Tiba ya harufu mbaya kama samaki aliyeoza kwenye uke

Tiba ya harufu mbaya kama samaki aliyeoza kwenye uke

Siku hizi ni kama nina bahati mbaya yaan Kila nikiotea kibint nakuta kinanuka ukeni .....yaan vingine vidogo tu lkn balaa....

Naomba msaada wa matibabu ya hii kitu maana Kuna bint mmoja alinisumbua miaka minne ndio kanikubalia siku kuu ya juzi....sasa nikajipanga kupiga doz ya maana lkn bahati mbaya nikakuta ana harufu mbaya sana kama samaki mbichi aliyeoza.... kwakweli niliishiwa pozi mpaka mawazo ya kufikilia kumuona yakakata.

Ila sasa kwasababu nampenda ndio nikaona niombe msaada wa matibabu ya huo ugonjwa Kwa anayefahamu ili atibiwe mm niendelee naye maana bint huyu kachanganya uchagani na unyakyusani...sasa kachukua sura ya Moshi na umbile la Mbeya....hatari sana..

Asante
Mkuu hiyo kitu ndiyo maana wengine wakaiita.Papaa!
 
Kunya kwa kuchamba na makaratasi au wengine hata toilet paper ni changamoto na kupelekea mavi kupanda juu ukeni
Duh ndio ustaarabu wa kizungu kupitia dini zao.

Wazungu walimukosea nini,acha upuuzi,kuna makabila bongo vijijini watu wanachambia majani au magunzi,dini isikufanye uwe mpuuzi kiwango hicho.
 
Siku hizi ni kama nina bahati mbaya yaan Kila nikiotea kibint nakuta kinanuka ukeni .....yaan vingine vidogo tu lkn balaa....

Naomba msaada wa matibabu ya hii kitu maana Kuna bint mmoja alinisumbua miaka minne ndio kanikubalia siku kuu ya juzi....sasa nikajipanga kupiga doz ya maana lkn bahati mbaya nikakuta ana harufu mbaya sana kama samaki mbichi aliyeoza.... kwakweli niliishiwa pozi mpaka mawazo ya kufikilia kumuona yakakata.

Ila sasa kwasababu nampenda ndio nikaona niombe msaada wa matibabu ya huo ugonjwa Kwa anayefahamu ili atibiwe mm niendelee naye maana bint huyu kachanganya uchagani na unyakyusani...sasa kachukua sura ya Moshi na umbile la Mbeya....hatari sana..

Asante
Mwambie asafishe Papa kiustadi
 
Siku hizi ni kama nina bahati mbaya yaan Kila nikiotea kibint nakuta kinanuka ukeni .....yaan vingine vidogo tu lkn balaa....

Naomba msaada wa matibabu ya hii kitu maana Kuna bint mmoja alinisumbua miaka minne ndio kanikubalia siku kuu ya juzi....sasa nikajipanga kupiga doz ya maana lkn bahati mbaya nikakuta ana harufu mbaya sana kama samaki mbichi aliyeoza.... kwakweli niliishiwa pozi mpaka mawazo ya kufikilia kumuona yakakata.

Ila sasa kwasababu nampenda ndio nikaona niombe msaada wa matibabu ya huo ugonjwa Kwa anayefahamu ili atibiwe mm niendelee naye maana bint huyu kachanganya uchagani na unyakyusani...sasa kachukua sura ya Moshi na umbile la Mbeya....hatari sana..

Asante
Mkuu usihangaike, Mimi ndugu yangu wa karibu mke wake aliteseka sana na kitu kama iyo na matokeo yake alikuja kupona Kwa hii kitu. Kuna mdau hapo ameongelea kuhusu kitungu swahumu, hii ni tiba nzuri sana Kwa watu wenye tatizo Hilo. Njoo pm nitakuelekeza Kwa mama mmoja anazo
garlic-allium-complex-60-tablets-neolife-gnld-soar-like-a-dove_249.jpg

View attachment 2869353
 
Mwambie mrembo wako uke hauoshwi ndani kwa kuingiza vidole unajiosha wenyewe, yeye anatakiwa akiosha aoshe nje tu tena aanze kuosha uke ndio aoshe nyuma...

Na akijitawaza haja kubwa aoshe kwenda nyuma sio arudishe mbele ya uke...

Mwambie ameze vitunguu swaumu, anakata vipande anameza na maji.
 
Back
Top Bottom