Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Lakini wanasema ndio dawaSi ataanza kunuka na mdomo ashindwe kuchagua atibu kipi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini wanasema ndio dawaSi ataanza kunuka na mdomo ashindwe kuchagua atibu kipi.
Jamani mnataka watu wapate maradhi zaidi vizuri ni kunywa sio kuweka hukoKampime hatskosa either magonjws ya zinaa / UTI . Na kisfrica kabisa kuna dawa ya asili itstoa hilo tatizo kabisa, asage vitunguu saumu, vipondeke kabisa, avifunge keenye kitambas kissfi, avitumbukize ukeni usiku akiwa amesha oga alale kitambaa kikiwa ukeni, asubuhi akikitoa ataona uchafu meingi umevutwa kwenye kitambaa, akisafishe na maji ya moto, usiku tena afanye hivyo ndani ya siku ttatu, then leta majibu. Utakuja kunishukuru.
Wazungu walimukosea nini,acha upuuzi,kuna makabila bongo vijijini watu wanachambia majani au magunzi,dini isikufanye uwe mpuuzi kiwango hicho.
BadoItaanza vip badae!?, kwani una uke Mkuu?
Daaah,,,,,,✍️🦵Kama uko Arusha huyo Binti namjua [emoji23][emoji23]
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
😀😄😀😀......Ile kitu tamu brother...sio uzinzi....hata Brian deacon aliyeigiza picha la Yesu aliona mke wa kwanza lkn akaja kuachana nae harafu akaona mwingine.... sababu ni utam wala hamna kingine🤗🤗Uzinzi tu, lione kwanza
Ya kale ni dhahabu , nakukumbuka sana FilomenaSiku hizi ni kama nina bahati mbaya yaan Kila nikiotea kibint nakuta kinanuka ukeni .....yaan vingine vidogo tu lkn balaa....
Naomba msaada wa matibabu ya hii kitu maana Kuna bint mmoja alinisumbua miaka minne ndio kanikubalia siku kuu ya juzi....sasa nikajipanga kupiga doz ya maana lkn bahati mbaya nikakuta ana harufu mbaya sana kama samaki mbichi aliyeoza.... kwakweli niliishiwa pozi mpaka mawazo ya kufikilia kumuona yakakata.
Ila sasa kwasababu nampenda ndio nikaona niombe msaada wa matibabu ya huo ugonjwa Kwa anayefahamu ili atibiwe mm niendelee naye maana bint huyu kachanganya uchagani na unyakyusani...sasa kachukua sura ya Moshi na umbile la Mbeya....hatari sana..
Asante
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mawazo ya kufikilia kumuona yakakata.
Na wewe Usha nusa ya nani binti [emoji848]mna tuchanganyaDuh Harufu ukeni ni hatari asee! Mtu anaenda kupiga deki anakutana na smell [emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961]
God forbid
Siipendi hata kidogo.Ndio,nachukia harufu ya samaki.
Kwani unaipenda?😅
Lakini napenda samaki,Siipendi hata kidogo.
🤣🤣🤣Lakini napenda samaki,
Lakini macho makubwa napenda zaidi🤣