Tiba ya harufu mbaya kama samaki aliyeoza kwenye uke

Mara nyingi harufu hiyo kwa mwwnamke huwa ni shahawa, jaribu kufuatilia kama inatema muda wote ila kama inakuja na kupotea basi atakuwa na shahawa aza mwwnaume ama wanaume wengine zinakutana na kufanya reaction na ww ndo unasikia hiyo harufu.
Ila kama ni fangasi huambatana na maji mazito sana meupe, mpe zile tyub za bomba
 
Hachukui hata dk 5 lazima avitoe maana vitunguu saumu vinaunguza tena avitumbuze ukeni na joto lote
 
Mkuu meza sumu tu jiue hamna namna. Dingi yako kakutatua. Mama yako, mke wako na binti nao hawana marinda. Na nina uhakika marehemu bibi yako naye atakuwa alitatuliwa tu na kafa bila marinda. Meza sumu tu.
 
Fangasi na UTI sugu hiyo nje na ndani ya mbususu.
sindano na vidonge vinahusika apo...

Aachane na chupi yake moja anayovaa kila siku...
Awe na chupi zaidi ya 10 na asirudie kuvaa chupi ikiwa hajaifua na kukauka vizur...

Aachane na tabia ya kuvaa chupi yenye unyevu na
Aachane na kushukashika mbususu kwa mikono yake michafu usiku na kunusanusa hiyo harufu 🐒
 
Asante
 
Interesting
Interesting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…