Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah daah,.vipi siku hizi bado mgao wa magari upo??Acheni hizo jamani mnataka sisi tukale wapi? kila mwaka tunapiga safari si chini ya 5 nje ya Tanzania (Kujifunza, semina na makongamano) kila baada ya miaka 3 tunapata mgao wa magari mapya, kasha tunauziana hayo ya "Zamani" ukitaka ufanisi kafungue kampuni wewe na mkeo si huku TIC wala TAN-TRADE.
Temesasa yamejaa kama yoteHahahah daah,.vipi siku hizi bado mgao wa magari upo??
Natumaini wenye maamuzi wanasoma na watafanyia kaziZiunganishwe hizo iundwe MAMLAKA ama BODI ya Maendeleo ya BIASHARA (TANZANIA BUSINESS AUTHORITY) vinginevyo kuwa na taasisi nyingi kunatuchelewesha.
Okay1. Bodi ya Korosho,
2. Bodi ya Kahawa,
3. Bodi ya Pamba,
4. Bodi ya Chai,
5. bodi ya Sukari,
6. Bodi ya MAZIWA,
7. BODI YA MAZAO MCHANGANYIKO.
MmhLowassa 2015 vunja huu upuuzi!
Bila shaka nafikiri tayari zimeunganishwa hizi mbili sasa hivi inaitwa MADR(Medical Associations of Drugs Regulations) sina hakika sana kama niko sahihi though.Mawaziri zilipo TFDA na TBS wameagizwa kupeleka muswada bungeni taasisi hizo ziunganishwe
TFDA wapo vizuri safari kama zote. Same as NEMC watu wameporomosha mijumba balaa kwa trip za njeHao TFDA walikua wanapiga hela balaa research za kuunga-unga ili mtu apate hela. Safari za Ughaibuni eti kufanya inspection kwenye viwanda vilivyotengeneza dawa/bidhaa inayoombewa kibali jamaa wamezunguka dunia mkwere cha mtoto.
Mgao uliisha tarehe 04 November 2015Hahahah daah,.vipi siku hizi bado mgao wa magari upo??
ThanksgivingMgao uliisha tarehe 04 November 2015