King smoker
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,002
- 675
Alikua ana muogopa mlevi hahahaaaaaaMbona mchukua video alikuwa anahangaika sana kama anaogopa asije kuonwa na mnyama!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua ana muogopa mlevi hahahaaaaaaMbona mchukua video alikuwa anahangaika sana kama anaogopa asije kuonwa na mnyama!?
Kabisa hata wazo hamnaEnzi hizo aaah jamaa ukiwa huna hela unakuwa hauna nguvu za kiume ??
yaani utombee hela ya msaada?
Eti kupigwa na mlevi 😂😂Naona Mnyama kafanyiwa Unyama yaani,TID ni mwanskulitafuta wacha alipate,familia yao karibia wehu tu mama yao anawafuga.
Anaonekana mkorofiMnyama ana nyota ya kuchezea vichapo
[emoji23]Huyo mchukua video sasa utadhani alikuwa juu ya trekta kasimamia mguu m'moja.
Sasa anachukuaje video hivyo, na hakuwa na sababu ya kukwepesha kamera. Amenikera ningemkuta na yeye ningemkung'uta.
Ulikuwa unataka anasa tu
Maisha mazuri hivyo unawaza waza hela ukahonge
Nyie madogo bwana
Hivi mama yao ana ishu ganiNaona Mnyama kafanyiwa Unyama yaani,TID ni mwanskulitafuta wacha alipate,familia yao karibia wehu tu mama yao anawafuga.
Basi akili ya utoto tu ilikusumbuaMkuu how old are you ? Me sio dogo mkuu
Duuh..huu uzi kweli watu wana stress [emoji23][emoji23][emoji23]
Ntamueleza Sonda Boy hbr zako hlf mmalizane uko...Vijana wa stereo ndy maisha yao
Hiyo mitaa nimeishi sana
Ila wakina TID,Kaka yke mudy Panky,manyemba wote hamnazo
Ova
Basi akili ya utoto tu ilikusumbua
Nyumbani mambo safi unataka hela za kutombea
Kaka yake TID Mudy si ndio yule kwenye video ya JIDE Understand? Nilikuwa nakaa mkwajuni zamani.Vijana wa stereo ndy maisha yao
Hiyo mitaa nimeishi sana
Ila wakina TID,Kaka yke mudy Panky,manyemba wote hamnazo
Ova
Yeah alipigwagwa bomba toka uk kitambo sanaKaka yake TID Mudy si ndio yule kwenye video ya JIDE Understand? Nilikuwa nakaa mkwajuni zamani.