TID: Makonda alinachafua sana kwenye ishu ya madawa ya kulevya

TID: Makonda alinachafua sana kwenye ishu ya madawa ya kulevya

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,412
Reaction score
3,043
Akihojiwa na Salama Jabir katika kipindi cha Salama na kinachorushwa Dstv, msanii wa bongofleva Khalid Mohamed maarufu TID amesema ishu ya kutajwa katika scandal ya matumizi ya madawa ya kulevya ilimchafua sana kwani alikaa ndani siku 5 na hatozisahau!

TID anasema mpaka leo hajawahi kukaa sawa kwani jamaa, ndugu na marafiki wamekuwa wakimsema na kumchukulia vibaya!

Anadai kama sio kipaji na connection hata career yake ya mziki ingekuwa imefika mwisho, hivyo mpaka leo hajawahi kumuelewa Makonda!!

Naona watu wameamua kuisagia kunguni awamu ya 5.
 
Aache unafiki, tunakumbuka alimuunga mkono makonda na kujifanya balozi wa kupinga madawa ya kulevya baada ya kutajwa na makonda, clip zipo mtandaoni, pili TID ni kweli unatumia unga usibishe
 
IMG_20211104_222407.jpg
 
Akihojiwa na Salama Jabir katika kipindi cha Salama na kinachorushwa Dstv, msanii wa bongofleva Khalid Mohamed maarufu TID amesema ishu ya kutajwa katika scandal ya matumizi ya madawa ya kulevya ilimchafua sana kwani alikaa ndani siku 5 na hatozisahau!

TID anasema mpaka leo hajawahi kukaa sawa kwani jamaa, ndugu na marafiki wamekuwa wakimsema na kumchukulia vibaya!

Anadai kama sio kipaji na connection hata career yake ya mziki ingekuwa imefika mwisho, hivyo mpaka leo hajawahi kumuelewa Makonda!!

Naona watu wameamua kuisagia kunguni awamu ya 5.
Ni yeye ! Mzee Mnyama , Jembe [emoji38][emoji38]
 
uzuri ni kwamba criminal huwa haifi, hata miaka 50 bado huwa hai, kuna siku mtu akiamua kuliamsha hata kama hawataprove charge lakini ndani atakaapo kidogo. hiyo siku ipo.
 
Inaonesha hakupenda kutajwa hadharani mpaka ndugu na Marafiki zake wakajua.
hata mimi kipindi kile ndo nikajua jamaa ni teja. baada ya kulazimishwa akiri mbele ya umma ili kumsafisha bashite ionekana anchokifanya ni sahihi. ajabu yake, hata leo hii TID kwenda ulaya visa yake kuipata itakuwa ngumu sana.
 
Back
Top Bottom