TID: Makonda alinachafua sana kwenye ishu ya madawa ya kulevya

TID: Makonda alinachafua sana kwenye ishu ya madawa ya kulevya

hakuna mtu yeyote mwenye akili ambaye aliwahi kumwelewa makonda. zero wenzake tu ndio huwa wanamuelewa na kumtetea.

Makonda should be given credit at least for daring to put a stop to rampant drug dealing in the country. He was so daring that he brought to book untouchables including politicians and parliamentarians!!
 
Makonda should be given credit at least for daring to put a stop to rampant drug dealing in the country. He was so daring that he brought to book untouchables including politicians and parliamentarians!!
wewe nawe ni mburura mwenzake. Hakuna chochote bashite alikifanya kwenye madawa zaidi ya kunyang'anya magari na mali za watu. ndio maana hata sabaya anaponyang'anya mali za watu na mipesa alikuwa anaawambia watajua wenyewe watakavyotafsiri kama ni Makonda style au nini.

watu pekee waliokomesha biashara ya madawa ya kulevya ni yule Kamishna wa madawa aliyestaafu (yule mmasai), akaja Kamishna Kaji, na huyo wa sasahivi. and I tell you, hadi sasahivi pamoja na juhudi kubwa walizofanya madawa bado yapo yanaingia kama kawaida kwa njia ya majahazi hata njia za kawaida. usiwe na akili yenye matope kama yeye.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
wewe nawe ni mburura mwenzake. Hakuna chochote bashite alikifanya kwenye madawa zaidi ya kunyang'anya magari na mali za watu. ndio maana hata sabaya anaponyang'anya mali za watu na mipesa alikuwa anaawambia watajua wenyewe watakavyotafsiri kama ni Makonda style au nini.

watu pekee waliokomesha biashara ya madawa ya kulevya ni yule Kamishna wa madawa aliyestaafu (yule mmasai), akaja Kamishna Kaji, na huyo wa sasahivi. and I tell you, hadi sasahivi pamoja na juhudi kubwa walizofanya madawa bado yapo yanaingia kama kawaida kwa njia ya majahazi hata njia za kawaida. usiwe na akili yenye matope kama yeye.Isiwe na wewe alikugusa kama alivyowagusa

Isije kuwa na wewe ulikuwemo kwenye orodha yake! Kama ulikuwemo, una kila sababu ya kumsagia kunguni!!
 
Isije kuwa na wewe ulikuwemo kwenye orodha yake! Kama ulikuwemo, una kila sababu ya kumsagia kunguni!!
never, sehemu pekee niliyowahi kuyaona madawa ni Mahakamani wakati kesi ikiendeshwa, nayo yalikuwa yamefungwa. ila kwa mpenda haki yeyote, na mtu mwenye akili timamu hawezi kushabikia BASHITE, labda kama ubongo wake una spondylosis fragmantation.
 
hadi sasahivi pamoja na juhudi kubwa walizofanya madawa bado yapo yanaingia kama kawaida kwa njia ya majahazi hata njia za kawaida. usiwe na akili yenye matope kama yey

Ndio maana nasema povu linakutoka Bashite lazima alikupitia kwenye orodha yake otherwise wewe mbwiga ungejuaje kuwa hiyo biashara bado inashamiri?
 
Ndio maana nasema povu linakutoka Bashite lazima alikupitia kwenye orodha yake otherwise wewe mbwiga ungejuaje kuwa hiyo biashara bado inashamiri?
unaongea ujinga sawasawa na naman bashite anavyoongeaka. sijui mtapata lini akili aisee.
 
Mtu ambaye aliniumiza kwa yaliyompata ni yule anasemaga upo juu mawinguni aliposemwa pale ukumbini kuwa ni mtu wa ovyo.
 
Aache unafiki, tunakumbuka alimuunga mkono makonda na kujifanya balozi wa kupinga madawa ya kulevya baada ya kutajwa na makonda, clip zipo mtandaoni, pili TID ni kweli unatumia unga usibishe
Ni kweli, ila kumbuka ilibidi tu amtumikie kafir kulikuwa hamna namna
 
Akihojiwa na Salama Jabir katika kipindi cha Salama na kinachorushwa Dstv, msanii wa bongofleva Khalid Mohamed maarufu TID amesema ishu ya kutajwa katika scandal ya matumizi ya madawa ya kulevya ilimchafua sana kwani alikaa ndani siku 5 na hatozisahau!

TID anasema mpaka leo hajawahi kukaa sawa kwani jamaa, ndugu na marafiki wamekuwa wakimsema na kumchukulia vibaya!

Anadai kama sio kipaji na connection hata career yake ya mziki ingekuwa imefika mwisho, hivyo mpaka leo hajawahi kumuelewa Makonda!!

Naona watu wameamua kuisagia kunguni awamu ya 5.
WANAFKI TU HAO

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Aache unafiki, tunakumbuka alimuunga mkono makonda na kujifanya balozi wa kupinga madawa ya kulevya baada ya kutajwa na makonda, clip zipo mtandaoni, pili TID ni kweli unatumia unga usibishe
Acha kujitoa akili ww,ukumbuki watu walilazimishwa kuunga juhudi?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
TID anaweza kuwa ni utangulizi tu,ila huko mbeleni kuna mshike mshike, unajua ukitaka kula ugali wa mtama lazima uanze kuchoma nyama taratiibu huku ukiandaa kichuri chako kwa mbwembwe na kachumbali, wakati huo unajituliza na togwa kwenye jagi,ngoja niishie hapa
 
TID ni Teja hasaa!!
Makonda anaweza awe na mapungufu yake, Ila huyu TID hana moral authority ya kumbagaza former RC.
 
Back
Top Bottom