Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Labda kama unatania....TID ana uwezo wa kupiga show mwenyewe non stop na usikae kitini. .kila ngoma yake atayoimba kama unafatilia mziki utaimba nae hapo akiwa hajaamua kupiga copy za kinyamwezi hajaamua kukata kuimba aanze kudance. ..waulize waliosoma nae shaaban Robert zile food evening zao alikuwa anafanya balaa gani hapo kabla hajatoka kimziki rasmi kabla hajaanza kurap na wanae black gangsters. ..akiflow kama humuoni unajua huyu nas escobar
Mkuu Tid sio mshkaji wangu..Mi Ni shabiki tu kama shabiki wengine...Nnachoweza kukushauri..Rudi kasikilize kazi zake zote zen urudi kujenga hoja..
Muuza sura ahhh hahahaha umetisha,Huu mjadala umefanya nitamani kulia. .unga noma ila tid ni bad news. ..huyu mnyamwezi ana star look kipindi hiko hata hajatoka kimziki nakumbuka yupo o level akitokea sehem lazma utaratibu uvurugike. ..alikuwa ana swing dozen lake moja hilo dah. .akapata safari ya kwenda Birmingham alivyotoka kimziki. ..wabongo wa Birmingham walikoma maana hizo pozi the wacko jacko anasubiri
mkuu unajua maana ya mapovu? najua unajua maana yake kwa lugha ya kiswahili tu sasa ebu jaribu kuangalia maana ya hilo jina kwa kihispania kwanza
Nenda kawaambie rafiki zako mtaani kwenu kuhusu mapovu maana unachojua kuhusu kihispania ni sinorita na mama cita tuRudi shule, hakuna neon la mapovu katika lugha ya kihispania.
Nenda kawaambie rafiki zako mtaani kwenu kuhusu mapovu maana unachojua kuhusu kihispania ni sinorita na mama cita tu
ni nani anaejua kuimba sasa?Unga unamsaidia sana TID ila kimuziki inabidi ajipange upya, fani ina wenyewe hii.
mkuu nimeishi puerto rico pia nikaenda Argentina inchi zote hizo wanaongea spanish na portuguesse sanaMkuu nakubishia kwa sababu hapa kihispania na kireni kinapanda na ndiyo maana nakuambia hakuna hilo neon mapovu....unahisi unakijuwa kihispania au?
ni nani anaejua kuimba sasa?
TID yuko vizuri basi tu miunga anayotumia,na ni mbishi hakuna!
Kila kitu anajua yeye,sasa sijui ni nani atakayeweza kumnasua huko kwenye uteja.
mkuu nimeishi puerto rico pia nikaenda Argentina inchi zote hizo wanaongea spanish na portuguesse sana
Mkuu mie nilienda kiacademics zaidi sio hayo mambo yenu ya dona....hivi hukumsikia samatta alivyokuwa anatiririka french kwa miaka michache tu aliyoishi pale lubumbashUnaweza kuishi huko na usijuwe kuongea....kwa taarifa yako No existe palabra de "Mapovu" en espanol, umejifunza nini huko Puerto Rico au nyie ndiyo wale wabwiaji na wasambazaji mliolostika hapa nchini na kwenda kusambaza dona nchi za watu?
unaongea maneno mengi lakini huujui mziki,katika video ya zeze ilikubalika sauti choreography..kwa nini nimesema kwenye zeze hakuna madem its because watu wengi wanapenda especially wanaume wimbo kama number one sababu video imejaa wadada wakali..zeze tiid kaimba kigumu na ilikubalika na rika zote..ulikuwa hujazaliwa au hujaja mjini kutoka mwandiga wewe!!!Kiumri unaweza kuniita kaka yako...TID hana sauti ya mvuto na hana tungo zilizoenda shule. Mi nafikiri huyu jamaa alivamia fani tu kwa pupa au tu alipewa ushauri mbovu na wabwia unga wenziwe. Sasa kwa akili yako unataka kuniambia choreography ndiye inamfanya TID kuwa bora au kutokuwa na mademu wazuri kwenye video yake ndiyo chanzo cha yeye kuwa bora au? You need to grow up na utofautishe muziki na mwanamuziki....have you ever heard of the phenomenon called "One Hit Wonder?" This fits TID very well.
Samahani mkuuπhivi wewe ni muha???maana kuna usemi kwamba muha mmoja aweza bishana na abiria wa behewa moja dar mpaka huko kigomaπKiumri unaweza kuniita kaka yako...TID hana sauti ya mvuto na hana tungo zilizoenda shule. Mi nafikiri huyu jamaa alivamia fani tu kwa pupa au tu alipewa ushauri mbovu na wabwia unga wenziwe. Sasa kwa akili yako unataka kuniambia choreography ndiye inamfanya TID kuwa bora au kutokuwa na mademu wazuri kwenye video yake ndiyo chanzo cha yeye kuwa bora au? You need to grow up na utofautishe muziki na mwanamuziki....have you ever heard of the phenomenon called "One Hit Wonder?" This fits TID very well.
Ukimuuliza swali kabla hujamaliza keshakujibu.Na kufanya interview na huyu mtu ni shida... KILA KITU ANAKIJUA YEYE
Hahahahahaaaa mkuu nimecheka sana.Samahani mkuuπhivi wewe ni muha???maana kuna usemi kwamba muha mmoja aweza bishana na abiria wa behewa moja dar mpaka huko kigomaπ