Tido Mhando: Awamu ya Hayati Magufuli imechangia 'Comedy Journalism'
Yule jamaa alikuwa na big ball's, hakuna mwingine katika yenu blah blah mwenye uwezo wa kufikia hata robo ya uthubutu na ushababi wa yule jamaa.

Mtamsimanga lakini sisi tunajua mpaka sasa yeye ndiye mshindi kwenye kile tulichokuwa tunakihitaji kutoka kwa head of state.

JPM alikuwa ndio nembo ya Ikulu na kiongozi mkubwa mwenye maamuzi.
 
1718730459119.png

Tido Mhando akiwa leo 18/06/2024 Jumanna jijini Dar es Salaam wakati akizungumza katika kongamano la maendeleo ya sekta ya habari, amemshukuru Rais Samia kubadili upepo katika tasnia ya habari tofauti na ilivyotokea katika utawala wa Hayari Magufuli. Tido, amedai kuwa Utawala wa Hayati Magufuli umechochea kuzalisha Comedy Journalism. Akieleza hoja yake katika Kongamano hilo Tido amesema:

Tunashukuru kwenye awamu yako hii ya sita yameanza kuondoka kidogo kidogo lakini kama ulivyotoa neno kwa viongozi hawa wa kisiasa wamekuwa wakileta ubabe ubabe katika sekta hii ya habari.
“Ubabe umekuwa mwingi tunaomba utasaidie kukabiliana na suala hili. Nina hakika hakuna chombo cha habari ambacho hakijatikiswa na ubabe huu kutoka kwa baadhi ya viongozi mifano ni mingi lakini nisingependa kuitaja hapa kwa sababu ya muda,” - Tido Mhando
 
Magazeti ya Ijumaa na Uwazi yaliishi kwa scandalfaragja za watu. Kutungwa kwa sheria ulinzi wa faragha ndiyo ilikuwa kitanzi na hatinaye kifi cha magazeti hayo, na sheria hiyo ilitungwa dakika za mwisho za awamu ya JK.
Nani atasoma yale magazeti wakati siku hizi kuna mitandao ya kijamii? Kifo chake kilisababishwa na mitandao ya kijamii. Gazeti mpaka lisubiri Ijumaa ndiyo litoke, na umbeya wake uko kwenye form ya maandishi na picha tu wakati mtandao unakuletea hapo kwa hapo tena wakati mwingine ni video clip, kama ni scandal ya ''kubanjuana'' unaona in real.
 
Vyombo vya habari na wanahabari wengi wa nchi hii nao ni masikini tu, wengi huhongwa ili waandike jinsi mabosi wao wanataka

Nitakataka tupu hao wanaosema hivyo
 
Watanzania ndio tulivyo, hatujadili issue, tunajadili mtu. Ukipitia thread nzima, Sijaona mtu ambaye amempinga kwa fact Ila kwa hisia.

Na ni ukweli usiopingika kuwa uchawa wa kisiasa na vyombo vya habari kugeuka praise team inayopigia promo mediocrity ili kufidia ukosefu wa content za maana za kisiasa. Vilishamiri kipindi cha awamu iliyopita

Hata kinachoendelea bungeni kimetokana na awamu iliyopita

So, tukubali kuwa Anko alikuwa na mazuri yake mengi sana Ila kwa upande mwingine, alifeli pia. Sio kumsimanga, Ila ni kuongea uhalisia
 
Watanzania ndio tulivyo, hatujadili issue, tunajadili mtu. Ukipitia thread nzima, Sijaona mtu ambaye amempinga kwa fact Ila kwa hisia...
Basi we hujui.. kuelekea uchaguzi wa 2005 timu JK chini ya Rostam walinunua nyumba ya magazeti pendwa ya habari corporation iliyokuwa ikimiliki Rai, Dimba na Mtanzania.

Mkurugenzi mkuu akawa Bashe..ikawa ni mwendo wa kuchafua kila aliyeonekana ana mvuto na anataka urais dhidi ya JK.

Na wakaenda mbali wakamuibulia skendo mzee Salim Ahmed Salim kuwa alimuua mzee Karume.
Sasa jiulize hiyo ilikuwa awamu iliyopita.
 
Uhuru na demokrasia isiyo na mipaka ni vurugu. Halafu hiyo ina apply kote kuanzia ngazi ya familia labda kama we huna familia..hata mbinguni malaika walipozidisha uhuru na demokrasia kwa maana lucipher alitaka ajiweke position ya Mungu, Mungu aliwakata.

Hata Mbowe akiona demokrasia imezidi kwenye chama chake huwa anafanya maamuzi magumu..wapi Chacha Wangwe, muulize Zitto na sasa Tundu Lissu.
Haya wamepewa uhuru na Magu hayupo, kiko wapi??
Huo ni ukweli usiofichika. MAGUFUKI aliharibu sana. Kama unaweza ukabana demokrasia ya vyama vingi na uhuru wa maoni ambavyo vinatambulika na Katiba iliyokuweka madarakani unakuwa umeturudisha nyuma miaka 35 kwenye chama kimoja
 
Back
Top Bottom