Watanzania ndio tulivyo, hatujadili issue, tunajadili mtu. Ukipitia thread nzima, Sijaona mtu ambaye amempinga kwa fact Ila kwa hisia.
Na ni ukweli usiopingika kuwa uchawa wa kisiasa na vyombo vya habari kugeuka praise team inayopigia promo mediocrity ili kufidia ukosefu wa content za maana za kisiasa. Vilishamiri kipindi cha awamu iliyopita
Hata kinachoendelea bungeni kimetokana na awamu iliyopita
So, tukubali kuwa Anko alikuwa na mazuri yake mengi sana Ila kwa upande mwingine, alifeli pia. Sio kumsimanga, Ila ni kuongea uhalisia