Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haikuwa chini ya Bashe.Basi we hujui.. kuelekea uchaguzi wa 2005 timu JK chini ya Rostam walinunua nyumba ya magazeti pendwa ya habari corporation iliyokuwa ikimiliki Rai, Dimba na Mtanzania.
Mkurugenzi mkuu akawa Bashe..ikawa ni mwendo wa kuchafua kila aliyeonekana ana mvuto na anataka urais dhidi ya JK.
Na wakaenda mbali wakamuibulia skendo mzee Salim Ahmed Salim kuwa alimuua mzee Karume.
Sasa jiulize hiyo ilikuwa awamu iliyopita.
Basi we hujui.. kuelekea uchaguzi wa 2005 timu JK chini ya Rostam walinunua nyumba ya magazeti pendwa ya habari corporation iliyokuwa ikimiliki Rai, Dimba na Mtanzania.
Mkurugenzi mkuu akawa Bashe..ikawa ni mwendo wa kuchafua kila aliyeonekana ana mvuto na anataka urais dhidi ya JK.
Na wakaenda mbali wakamuibulia skendo mzee Salim Ahmed Salim kuwa alimuua mzee Karume.
Sasa jiulize hiyo ilikuwa awamu iliyopita.
Kupenda kweli upofu... Magazeti ya Ijumaa na uwazi kwa ivo yameanzishwa hivi zama za Samia!!??Lakini awamu ya Magufuli hatukusikia magazeti ya ijumaa, uwazi wala msanii.
Alitimuliwa...?? Uongo unawasaidia nini!?Tido muhando aliyetumuliwa BBC kwa weak performance ndio atasema nini
🎯✍️📝👍👌👏🤝👊🙏🎁🛡️Magazeti ya Ijumaa na Uwazi yaliishi kwa scandalfaragja za watu. Kutungwa kwa sheria ulinzi wa faragha ndiyo ilikuwa kitanzi na hatinaye kifi cha magazeti hayo, na sheria hiyo ilitungwa dakika za mwisho za awamu ya JK.
Magufuli alikuwa anajua hii ''good news'' yako kuwa kifo ni cha kila mtu wakati anaamuru Lissu apigwe risasi na kupanga ni namna gani anataka maombelezo yake yawe?Kifo nilikiogopa na kukiheshimu sana kilivyopita na Mzilankede wa Chato bila kupepesa macho!
......Mwamba aendelee kupumzika huko alikotanguliza wengine.
Good news: Wote tutamfuata kila mtu kwa wakati wake.
Hii ni mojawapo ya sheria za hovyoni awamu ya Magufuli ndipo lilitoka tamko waandishi lazima wawe na diploma.
Alikuwa coward tu, hoja zinamshinda yeye anafikiria kuua tu. Ni shujaa wa wajinga!Yule jamaa alikuwa na big ball's, hakuna mwingine katika yenu blah blah mwenye uwezo wa kufikia hata robo ya uthubutu na ushababi wa yule jamaa.
Mtamsimanga lakini sisi tunajua mpaka sasa yeye ndiye mshindi kwenye kile tulichokuwa tunakihitaji kutoka kwa head of state.
JPM alikuwa ndio nembo ya Ikulu na kiongozi mkubwa mwenye maamuzi.
Mzee huyylu nilimuheshimu lkn naona anazeeka vibaya saiz kuongea porojo ni ujinga wa hali ya juuHii ni miongoni mwa Kauli alizotoa Mwenyekiti wa Kamati ya kuchunguza Dhiki au Matatizo ya uchumi yanavyovikabili vyombo vya habari nchini Tanzania , Tido Muhando.
Mhando ameyasema hayo alipotoa hotuba yake kwenye kongamano la Maendeleo ya sekta ya habari linaloendelea Dar es Salaam
Ni nini hasa maana ya Comedy Journalism?
View attachment 3019964
Huyu mzee mwandishi uchwara amechanganyikiwa Kwa sababu ya uzee. uwezo wake wa kufikiri umeisha kabisa.Hata nyumbani kwake huw a aanguka hovyo sababu ya ukichaa wake
Leo tido kawa uchwara??Huyu mzee mwandishi uchwara amechanganyikiwa Kwa sababu ya uzee. uwezo wake wa kufikiri umeisha kabisa.Hata nyumbani kwake huw a aanguka hovyo sababu ya ukichaa wake
Ile kesi ilikuwa na uhalali upi?Huyo mzee alikua na kesi kipindi cha Magufuli,
Hawezi mpenda
Kesi ni kesi tu.Ile kesi ilikuwa na uhalali upi?
Magufuli alikuwa na bifu na dunia yoteKesi ni kesi tu.
Huyo mzee ana bifu na Magufuli .
Kapata platform ya kutema nyongo basi lazima aitumie hana lolote huyo.
Ulikuwa na umri gani wakati Makonda anatumwa na Magufuli kuvamia vyombo vya habari na makombora?Mzee huyylu nilimuheshimu lkn naona anazeeka vibaya saiz kuongea porojo ni ujinga wa hali ya juu
Leteni mengine basi maana kila siku hayo hayo tu.Ulikuwa na umri gani wakati Makonda anatumwa na Magufuli kuvamia vyombo vya habari na makombora?
Bado hayajatokea mengineLeteni mengine basi maana kila siku hayo hayo tu.
Lkn Kuna habari imewekwa humu na Mzee Mwanakijiji inaonesha awamu hii uhuru wa vyombo vya habari uko taabani.Vumilia ukweli, dhalimu magu alishiriki sana kuua Uhuru wa vyombo vya habari katika ile kampeni yake ya kujifanya anakubalika.
Source ya uoga wa Sasa wa vyombo vya habari ni mbegu ya uoga aliyopanda Magufuli. Utawala huu unetembelea humo humo kwa kujifanya wema kwa waandishi wa habari.Lkn Kuna habari imewekwa humu na Mzee Mwanakijiji inaonesha awamu hii uhuru wa vyombo vya habari uko taabani.
Vyombo vyote vya habari vinajikomba kwa serikali na kuandika habari za kichawa (wanasifia tu, hawakosoi). Akakazia kwa kusema awamu hii kuna "ukunguru wa habari" na siyo uhuru wa habari.
Hii sawa tu na awamu ya tano ambapo vyombo vyote vya habari vilikuwa vinaiogopa serikali na kuandika habari za kumsifia tu (waliogopa kukosa)