Tido Mhando: Awamu ya Hayati Magufuli imechangia 'Comedy Journalism'
Basi we hujui.. kuelekea uchaguzi wa 2005 timu JK chini ya Rostam walinunua nyumba ya magazeti pendwa ya habari corporation iliyokuwa ikimiliki Rai, Dimba na Mtanzania.

Mkurugenzi mkuu akawa Bashe..ikawa ni mwendo wa kuchafua kila aliyeonekana ana mvuto na anataka urais dhidi ya JK.

Na wakaenda mbali wakamuibulia skendo mzee Salim Ahmed Salim kuwa alimuua mzee Karume.
Sasa jiulize hiyo ilikuwa awamu iliyopita.
Haikuwa chini ya Bashe.
Ilikuwa chini ya Salva Rweyemamu ambaye baada ya hapo akapewa shukrani ya usemaji wa ikulu
 
Basi we hujui.. kuelekea uchaguzi wa 2005 timu JK chini ya Rostam walinunua nyumba ya magazeti pendwa ya habari corporation iliyokuwa ikimiliki Rai, Dimba na Mtanzania.

Mkurugenzi mkuu akawa Bashe..ikawa ni mwendo wa kuchafua kila aliyeonekana ana mvuto na anataka urais dhidi ya JK.

Na wakaenda mbali wakamuibulia skendo mzee Salim Ahmed Salim kuwa alimuua mzee Karume.
Sasa jiulize hiyo ilikuwa awamu iliyopita.

Hizo ni siasa chafu kipindi cha uchaguzi na kama unakumbuka hata Magu pia alitumia hali ya kiafya ya Lowassa kuonesha yupo vizuri zaidi. Mbaya zaidi watu wa "chini", walimchafua kuwa alijiasadia haja kubwa jukwaani..

So ni kipya kwenye kuchafuana wakati wa kampeni

Hata hivyo umetoa mfano irrelevant, ulitakiwa kuonesha awamu ya kikwete kilitokea nini na si kipindi cha kampeni. Tunaongelea awamu ya uongozi na si wagombea mkuu
 
Lakini awamu ya Magufuli hatukusikia magazeti ya ijumaa, uwazi wala msanii.
Kupenda kweli upofu... Magazeti ya Ijumaa na uwazi kwa ivo yameanzishwa hivi zama za Samia!!??

Kweli maajabu hayaishi CCM.
 
Magazeti ya Ijumaa na Uwazi yaliishi kwa scandalfaragja za watu. Kutungwa kwa sheria ulinzi wa faragha ndiyo ilikuwa kitanzi na hatinaye kifi cha magazeti hayo, na sheria hiyo ilitungwa dakika za mwisho za awamu ya JK.
🎯✍️📝👍👌👏🤝👊🙏🎁🛡️

⚖️4Asimwe#
 
Kifo nilikiogopa na kukiheshimu sana kilivyopita na Mzilankede wa Chato bila kupepesa macho!
......Mwamba aendelee kupumzika huko alikotanguliza wengine.
Good news: Wote tutamfuata kila mtu kwa wakati wake.
Magufuli alikuwa anajua hii ''good news'' yako kuwa kifo ni cha kila mtu wakati anaamuru Lissu apigwe risasi na kupanga ni namna gani anataka maombelezo yake yawe?
 
Yule jamaa alikuwa na big ball's, hakuna mwingine katika yenu blah blah mwenye uwezo wa kufikia hata robo ya uthubutu na ushababi wa yule jamaa.

Mtamsimanga lakini sisi tunajua mpaka sasa yeye ndiye mshindi kwenye kile tulichokuwa tunakihitaji kutoka kwa head of state.

JPM alikuwa ndio nembo ya Ikulu na kiongozi mkubwa mwenye maamuzi.
Alikuwa coward tu, hoja zinamshinda yeye anafikiria kuua tu. Ni shujaa wa wajinga!
 
Hii ni miongoni mwa Kauli alizotoa Mwenyekiti wa Kamati ya kuchunguza Dhiki au Matatizo ya uchumi yanavyovikabili vyombo vya habari nchini Tanzania , Tido Muhando.

Mhando ameyasema hayo alipotoa hotuba yake kwenye kongamano la Maendeleo ya sekta ya habari linaloendelea Dar es Salaam

Ni nini hasa maana ya Comedy Journalism?

View attachment 3019964
Mzee huyylu nilimuheshimu lkn naona anazeeka vibaya saiz kuongea porojo ni ujinga wa hali ya juu
 
Huyu mzee mwandishi uchwara amechanganyikiwa Kwa sababu ya uzee. uwezo wake wa kufikiri umeisha kabisa.Hata nyumbani kwake huw a aanguka hovyo sababu ya ukichaa wake
Huyu mzee mwandishi uchwara amechanganyikiwa Kwa sababu ya uzee. uwezo wake wa kufikiri umeisha kabisa.Hata nyumbani kwake huw a aanguka hovyo sababu ya ukichaa wake
Leo tido kawa uchwara??
 
Vumilia ukweli, dhalimu magu alishiriki sana kuua Uhuru wa vyombo vya habari katika ile kampeni yake ya kujifanya anakubalika.
Lkn Kuna habari imewekwa humu na Mzee Mwanakijiji inaonesha awamu hii uhuru wa vyombo vya habari uko taabani.

Vyombo vyote vya habari vinajikomba kwa serikali na kuandika habari za kichawa (wanasifia tu, hawakosoi). Akakazia kwa kusema awamu hii kuna "ukunguru wa habari" na siyo uhuru wa habari.

Hii sawa tu na awamu ya tano ambapo vyombo vyote vya habari vilikuwa vinaiogopa serikali na kuandika habari za kumsifia tu (waliogopa kukosa)
 
Lkn Kuna habari imewekwa humu na Mzee Mwanakijiji inaonesha awamu hii uhuru wa vyombo vya habari uko taabani.

Vyombo vyote vya habari vinajikomba kwa serikali na kuandika habari za kichawa (wanasifia tu, hawakosoi). Akakazia kwa kusema awamu hii kuna "ukunguru wa habari" na siyo uhuru wa habari.

Hii sawa tu na awamu ya tano ambapo vyombo vyote vya habari vilikuwa vinaiogopa serikali na kuandika habari za kumsifia tu (waliogopa kukosa)
Source ya uoga wa Sasa wa vyombo vya habari ni mbegu ya uoga aliyopanda Magufuli. Utawala huu unetembelea humo humo kwa kujifanya wema kwa waandishi wa habari.
 
Back
Top Bottom