Kwa kiwango cha uwezo wako wa kufikiri,mipaka ya demokrasia huanzia wapi na kuishia wapi hasa?
 
Vumilia ukweli, dhalimu magu alishiriki sana kuua Uhuru wa vyombo vya habari katika ile kampeni yake ya kujifanya anakubalika.
Kwani sasa hivi vyombo vya habari havimsifu Samia!!!
 

Marehemu kwenye masuala ya kuheshimu uhuru wa maoni, uhuru wa vyombo vya habari, kulinda haki, kuheshimu utawala wa sheria, kuheshimu haki za watu, kuhesimu demokrasia, ALIPATA 0%.
 
Huyo kastaafu azam anatafuta ukurugenzi ikulu..ni awamu ya Magufuli ndipo lilitoka tamko waandishi lazima wawe na diploma. Lakini awamu ya Magufuli hatukusikia magazeti ya ijumaa, uwazi wala msanii.
Anstafuta ukurugenzi wa nini kama alishakuwa mkurugenzi na kiongozi wa BBC. Unachopinga ni nini? Hao akina Zembwela, Masanja, Mwijaku, Mpoki, Bi Kazumari and Cos wameatokea katika kipindi kipi?

Sasa kuna watangazaji machawa tupu na hata ukisikiloza redio au vyombo vya habari, hakuna waandishi wenye "critical thinking" na hawana cha maana zaidi ya udaku tu wa akina Mange.
 
Comedy journalism unafanya na kina
Kitenge
Mwijaku
Babalevo
Gerald hando
Zembwela
Musa kipanya
Mpoki
Etc
Utakuta ishu ni serious kama ya do world au uhamishaji wamasai ngorongoro wao uwasilishaji wao hauna mtirirko wa kimantiki
 
Viongozi dhaifu, siku zote hutafuta pa kutupia lawama. Unafiki huwa hauendelei mbali sana.
 
Hawa ndo wale wanaitwa cowards wanapaza sauti kwa mtu asiye hai ila kipindi kile waliufyata mkia nyuma km mijibwa koko
 
Nimeimiss comedy journalism yaani mtu anajirekodi na kuanza kutisha watu ama kusifu hata kucheza makilikili
Nilidhani ni mimi tu ninaona 'comedy journalism's kumbe tuko wengi. Majeruhi wa awamu ya tano kumbe wengi.
 
Kila sekta iliharibika,utetezi wao ni Sgr,bwawa na ndege tuu hakuna Kingine Cha maana.
 
Nauliza tu ndugu Waandishi wa habari, Comedy Journalism ndio nini?

Mungu wa Mbinguni awabariki!
 
Alikua sadist,uthubutu alikua nao ila neno lake lilikua sheria,zama zake zimepita, tufocus mbele
 
Nilidhani ni mimi tu ninaona 'comedy journalism's kumbe tuko wengi. Majeruhi wa awamu ya tano kumbe wengi.
He was a worst President ever,nchi ilijaa hofu mpaka maprofesa walijiita wa jalalani πŸ˜‚
 
Kila sekta iliharibika,utetezi wao ni Sgr,bwawa na ndege tuu hakuna Kingine Cha maana.
Alikua anaiharibu nchi kimsingi kwa kuongeza chuki na matabaka, kwamfano baina ya watumishi wa umma na raia.Mwanzo mwisho alikua attention seeker,kila anapoenda lazima awe live πŸ˜‚,Mungu atuepushe na janga km lile
 
Hawa ndo wale wanaitwa cowards wanapaza sauti kwa mtu asiye hai ila kipindi kile waliufyata mkia nyuma km mijibwa koko
Yule alikua killer,kamuulize Lissu πŸ˜‚,alafu sio kila mtu ni jasiri jombaa,hata resistance zilikua za aina tofauti
 
Ulikuwa na umri gani wakati Makonda anatumwa na Magufuli kuvamia vyombo vya habari na makombora?
Makonda alivamia clouds kwa matakwa yake ila si kwa kutumwa na Magufuli Mungu amrehemu.
Labda utaje chombo kingine cha habari kilichovamiwa tofauti na clouds shilawadu.
 
Marehemu kwenye masuala ya kuheshimu uhuru wa maoni, uhuru wa vyombo vya habari, kulinda haki, kuheshimu utawala wa sheria, kuheshimu haki za watu, kuhesimu demokrasia, ALIPATA 0%.
Hakikata mkuu πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…