Inasoma jina na network inaonyesha iko juu ila sijaitumia kwa kupigiwa simu wala kutumiwa msgInasoma na inafanya kazi au inasoma jina?
Muda huu imetuliaMi hadi mda huu, imenilazmu ninunue bundle la Airtel. Hawapo serious yaan tangu jana eti.
Mm mwenyewe unasoma ila nilio nao karibu wananiambia sipatikaniinasoma jina na network inaonyesha iko juu ila sijaitumia kwa kupigiwa simu wala kutumiwa msg
Itakuwa minala imeenda na mafuriko [emoji848][emoji848][emoji848]Hata TTCL toka saa 21 ni emergency only.