Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Eneo nilipo watu wote wenye laini za Tigo mtandao hausomi!
Kwenu hali ikoje?
======
View attachment 2878279
Walikuwa na fiber cut kwenye moja ya njia za mikongo yao ya fiber...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eneo nilipo watu wote wenye laini za Tigo mtandao hausomi!
Kwenu hali ikoje?
======
View attachment 2878279
Jana waliniweza hawa janmaaEneo nilipo watu wote wenye laini za Tigo mtandao hausomi!
Kwenu hali ikoje?
======
View attachment 2878279
fiber cut ndiyo niniWalikuwa na fiber cut kwenye moja ya njia za mikongo yao ya fiber...
Jana usiku nililazimika kuweka bando la vodatangu jana hakuna mtandao, au uko dhaifu sana. rekebisha kasoro hiyo au thamie airtel?
Hata tigo pesa,haifanyikazi,kuna hela ya mgonjwa ya kumpeleka hospital,imeshindikana kwenye tihopesa.Na Zantel pia haifanyikazi.Eneo nilipo watu wote wenye laini za Tigo mtandao hausomi!
Kwenu hali ikoje?
======
View attachment 2878279
Zantel imeshaanza kufanya kazi kama saa tatu zilizopita.Hata tigo pesa,haifanyikazi,kuna hela ya mgonjwa ya kumpeleka hospital,imeshindikana kwenye tihopesa.Na Zantel pia haifanyikazi.
Hamia Airtel ulie zaidi,wao tangu asubuhi,Mambo ni hayo hayoTangu jana tunapata shida sana na mtandao. Rekebisheni kasoro iliyopo. Au tuhamie airtel?
fiber cut ndiyo nini