Kaka nakusihi kitu kimoja,usiizungunzie Qur'aan sababu huijui,katika Qur'aan mule hakuna hata herufi moja ya mwanadamu yaani ule ni ufunuo moja kwa moja toka kwa Mola wetu mlezi. Mule hakuna fasihi ya Mwanadamu ndio maana hata wale mabingwa wa lugha ya kiarabu wa zama za mtume waliishangaa sana Qur'aan.
Kwa maneno yako hayo yanazidi kuitia dosari Biblia kuonekana ya kuwa katika Biblia kuna ufundi wa mwanadamu ndio maana ina makosa mengi.
Vitabu vya dini vimekusanya habari za kale na kuumbwa kwa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo ili sisi waja tupate kujua wapi tumetokea,na hili