Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah moto utawakaYoung Africans msimu uliopita ilifanya vizuri sana tofauti na matazamio ya wengi na kufika fainali ya confederation Africa na kukosa kombe kikanuni na zaidi ikawa Kwenye vilabu bora 5 vya afrika pamoja na mamelodi , vilevile ni mabingwa watetezi Tanzania.
Mamelodi walibeba kombe la afl na kufika nusu fainali ya cafcl .
Vilevile ndiyo timu iliyo na wachezaji 9 timu ya bafana bafana iliyoshika nafasi ya 3 afcon na ni mabingwa watetezi wa ligi ya afrika kusini .
Hizi timu zinacheza soka ya kuvutia .
Ila ni baba wa yangaaaaaCcm ni mlezi wa team zote mkuu.... that's y inajenga viwanja....
Inahitaji akili ya mwendawazimu kuamini huo uongo.Kila kitu kipo wazi mkuu
Lini na wapi CCM imejenga viwanja?Ccm ni mlezi wa team zote mkuu.... that's y inajenga viwanja....
kwa hiyo?Team zingine zijifunze
Pangu pakavu ni matajiri 😂😂😂Yaaah mkuu Yanga ni timu ya matajiri
Ni mpumbavu tu na lofa ndiye anayeweza kusema hivi.Ccm ni mlezi wa team zote mkuu.... that's y inajenga viwanja....
Na baba wa YangaaaHapana ni mlezi wa wote
GSM ni muarabu mkuu.....sio kanjibhai bahiliPangu pakavu ni matajiri [emoji23][emoji23][emoji23]
Kataeni sasa ujinga wa kudharirishwa kwa kuingizwa kutazama bure mechi ya CAFCL,
NBCPL ndio inafaa muwe mnaingizwa kutazama bure, sawa we [emoji196]!!
Uwanja wa ccm kirumba...... uwanja wa jamhuri .....uwanja wa Benjamin mkapa ......na uwanja wa Samia utaojengwa Arusha city ...vyote vinajengwa na ccmNi mpumbavu tu na lofa ndiye anayeweza kusema hivi.
Daah,pole sana dogo.Uwanja wa ccm kirumba...... uwanja wa jamhuri .....uwanja wa Benjamin mkapa ......na uwanja wa Samia utaojengwa Arusha city
Usinifundishe namna kufikiri.Fanya qualitative research then utapata jibu