Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Loo mdogo wangu unapuyanga sana,hivi unaweza kuyatafuta hayo majibu ya mambo magumu bila kufikiri? Shule ulienda kusomea ushabiki wa Yanga tu?Research sio kufikiri but ni namna ya kutafuta majibu juu ya mambo magumu
Daah, umeshahama kwenye mpira sasa uko kwenye ukada wa CCM,kwaheri.Yaah kijana wangu .....lazima tu appreciate efforts za Chama na serikali
Acha kuwa brainwashed na wapinzani
AahaaaaaNa hii ndio ukweli wenyewe. Kuna watu kama vile hawana mechi
Umemaliza.Ukiona timu inaruhusu mashabiki kuingia bure ujue haina mashabiki wa kutosha wenye uhakika wa milo miwili.
I would like to know the institute(reputation) that conducted that research you are talking about.Owk
Kwenye sampling design..in data collection....imetumika purposive sampling design.... where by a targeted population where visited basing on their special xtics they had eg education about football...age
Data collection methods ..... involved questionnaire..., observation.....and interview
Huyo mtoto hajui kuwa kuanzia miaka ya 1970, Watanzania wote tulichangishwa kwa ajili ya viwanja ambavyo baada ya mfumo wa vyama vingi kurudishwa tena 1992, CCM wakajimilikisha viwanja hivyo pamoja na mali nyingine lukuki.Lini na wapi CCM imejenga viwanja?
Una uzuzu wa kiwango cha juu, wewe ni malighafi ya ccm, u mali ya chama Ila viwanja hivyo sio mali ya chamaUwanja wa ccm kirumba...... uwanja wa jamhuri .....uwanja wa Benjamin mkapa ......na uwanja wa Samia utaojengwa Arusha city ...vyote vinajengwa na ccm
Note that .....sio nchi zote zenye miundombinu mizuri kama bongo
kwa hiyo?Then zote ziwe compitative internationally
Na ni mwarabu huyo huyo aliyewadharirisha nduguzo kwa kuwauza ili ajinufaushe yeye na ukoo wake.GSM ni muarabu mkuu.....sio kanjibhai bahili
Ni aibu mwanaume kulipiwa na mwanaume mwenzako,jiulize anataka nini kwako?Na ni mwarabu huyo huyo aliyewadharirisha nduguzo kwa kuwauza ili ajinufaushe yeye na ukoo wake.
Leo hii anaendeleza dharau kwa kuwainguza bure [emoji196][emoji196] lia lia.
Ni aibu ni aibu mwanaume mzima kulipiwa kiingilio cha buku 2
Unajua kwa nini free entrance ipo pale mzunguko pekee?
Halafu mtoa ofa mwenyewe ni mwarabu (kwa mujibu wa Laban og) hao 🐸🐸 wanaume ni mazuzu kabisa kabisaa.Ni aibu mwanaume kulipiwa na mwanaume mwenzako,jiulize anataka nini kwako?
Kufikiri hakutoi majibu...lazima uingie site kufanya research then ugenerate findings [emoji23][emoji23]Loo mdogo wangu unapuyanga sana,hivi unaweza kuyatafuta hayo majibu ya mambo magumu bila kufikiri? Shule ulienda kusomea ushabiki wa Yanga tu?
Jaribu kuwa muelewa,unaweza kufanya research bila kufikiri kwanza????Wewe unachozungumza ni procedures.Kufikiri hakutoi majibu...lazima uingie site kufanya research then ugenerate findings [emoji23][emoji23]