Times FM: Asilimia 90 ya Watanzania wanaifuatilia Yanga tu

Times FM: Asilimia 90 ya Watanzania wanaifuatilia Yanga tu

Hapana mkuu Mimi sio kada....lakn lazima tupongeze...then tukosoe
Nipongeze hewa? Lini CCM wamejenga viwanja? Hivyo unavyosikia vina majina ya CCM huo ni uporajaji wa mali za umma uliofanywa na CCM baada 'kurududishwa' kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa. Mfano Mkwakwani Stadium ya Tanga zamani ukiitwa Municipal Stadium,ulikuwa unamilikiwa na Manispaa ya mji wa Tanga. Sasa unataka nipongeze uporaji uliofanywa na hiyo CCM yako? Any way tuyaache inawezekana ulikuwa bado kuzaliwa,umezaliwa ukikuta viwanja hivyo vinaitwa kwa majina ya CCM.
Wewe umejinasibu kuwa mtaalamu wa kufanya research,basi tafiti kwanza juu ya hilo.
 
Jaribu kuwa muelewa,unaweza kufanya research bila kufikiri kwanza????Wewe unachozungumza ni procedures.
Yaaah upo sahihi Mkuu
Lazima uwe na wazo idea ( 1)problem identification) mfano uwepo wa ushirikina simba

Then utaaza kufikiri....na kujiuliza plus kujijibu maswali ( hypothesis formulation)

Mfano wa hypothesis
1)Ni kweli ushirikina unawasaidia makolo
2) Je bila ushirikina simba kimataifa haitoboi ?????

So my conclusion is .....huwezi kufikiri tu update majibu....lazima uzame deep kuendelea na procedure zingine
 
Hata chizi akiwa na panga mkononi ,,watu hufatilia zaidi nyendo zake kuliko mtu mwenye akili timamu.

Kitendo cha NYUMA MWIKO FC kujimwambafya kutamba watamfunga mamelod kinamshangaza kila mtu.,,
Uko sahihi Mkuu.....Yanga always huwashangaza watu Kwa pira lake
 
N
Yaaah upo sahihi Mkuu
Lazima uwe na wazo idea ( 1)problem identification) mfano uwepo wa ushirikina simba

Then utaaza kufikiri....na kujiuliza plus kujijibu maswali ( hypothesis formulation)

Mfano wa hypothesis
1)Ni kweli ushirikina unawasaidia makolo
2) Je bila ushirikina simba kimataifa haitoboi ?????

So my conclusion is .....huwezi kufikiri tu update majibu....lazima uzame deep kuendelea na procedure zingine
Ndiyo maana nakuuliza shuleni ulienda kusomea ushabiki wa Yanga? Hapo tayari ume conclude kuwa napingana kufanya research ili kupata majibu sahihi,ume miss point yangu, unaanza kufikiri 'kwanza' then unapata wazo la kufanya research ili kupata majibu sahihi.
 
N

Ndiyo maana nakuuliza shuleni ulienda kusomea ushabiki wa Yanga? Hapo tayari ume conclude kuwa napingana kufanya research ili kupata majibu sahihi,ume miss point yangu, unaanza kufikiri 'kwanza' then unapata wazo la kufanya research ili kupata majibu sahihi.
Yaaah uko sahihi bosi ....Ina lazima uanze na idea ( kufikiri)
 
Back
Top Bottom