Times FM: Asilimia 90 ya Watanzania wanaifuatilia Yanga tu

Daaah moto utawaka
 
Yaaah mkuu Yanga ni timu ya matajiri
Pangu pakavu ni matajiri 😂😂😂

Kataeni sasa ujinga wa kudharirishwa kwa kuingizwa kutazama bure mechi ya CAFCL,

NBCPL ndio inafaa muwe mnaingizwa kutazama bure, sawa we 🐸!!
 
Pangu pakavu ni matajiri [emoji23][emoji23][emoji23]

Kataeni sasa ujinga wa kudharirishwa kwa kuingizwa kutazama bure mechi ya CAFCL,

NBCPL ndio inafaa muwe mnaingizwa kutazama bure, sawa we [emoji196]!!
GSM ni muarabu mkuu.....sio kanjibhai bahili
 
Ni mpumbavu tu na lofa ndiye anayeweza kusema hivi.
Uwanja wa ccm kirumba...... uwanja wa jamhuri .....uwanja wa Benjamin mkapa ......na uwanja wa Samia utaojengwa Arusha city ...vyote vinajengwa na ccm

Note that .....sio nchi zote zenye miundombinu mizuri kama bongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…