Times FM: Asilimia 90 ya Watanzania wanaifuatilia Yanga tu

Research sio kufikiri but ni namna ya kutafuta majibu juu ya mambo magumu
Loo mdogo wangu unapuyanga sana,hivi unaweza kuyatafuta hayo majibu ya mambo magumu bila kufikiri? Shule ulienda kusomea ushabiki wa Yanga tu?
 
I would like to know the institute(reputation) that conducted that research you are talking about.
 
Uwanja wa ccm kirumba...... uwanja wa jamhuri .....uwanja wa Benjamin mkapa ......na uwanja wa Samia utaojengwa Arusha city ...vyote vinajengwa na ccm

Note that .....sio nchi zote zenye miundombinu mizuri kama bongo
Una uzuzu wa kiwango cha juu, wewe ni malighafi ya ccm, u mali ya chama Ila viwanja hivyo sio mali ya chama
 
GSM ni muarabu mkuu.....sio kanjibhai bahili
Na ni mwarabu huyo huyo aliyewadharirisha nduguzo kwa kuwauza ili ajinufaushe yeye na ukoo wake.

Leo hii anaendeleza dharau kwa kuwainguza bure 🐸🐸 lia lia.

Ni aibu ni aibu mwanaume mzima kulipiwa kiingilio cha buku 2

Unajua kwa nini free entrance ipo pale mzunguko pekee?
 
Ni aibu mwanaume kulipiwa na mwanaume mwenzako,jiulize anataka nini kwako?
 
Loo mdogo wangu unapuyanga sana,hivi unaweza kuyatafuta hayo majibu ya mambo magumu bila kufikiri? Shule ulienda kusomea ushabiki wa Yanga tu?
Kufikiri hakutoi majibu...lazima uingie site kufanya research then ugenerate findings [emoji23][emoji23]
 
Una uzuzu wa kiwango cha juu, wewe ni malighafi ya ccm, u mali ya chama Ila viwanja hivyo sio mali ya chama
Hapana mkuu....lazima tuache unafki na sio dhambi kusifia efforts za Chama na serikali
 
Hata chizi akiwa na panga mkononi ,,watu hufatilia zaidi nyendo zake kuliko mtu mwenye akili timamu.

Kitendo cha NYUMA MWIKO FC kujimwambafya kutamba watamfunga mamelod kinamshangaza kila mtu.,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…