Timu imejaa maveterani 😅halafu Jumba bovu kaangushiwa Master Gamond

Timu imejaa maveterani 😅halafu Jumba bovu kaangushiwa Master Gamond

Mimi huwa napenda sana kusikiliza maoni ya watu wengine! Ila siyo wale mbumbumbu ambao hata hawajielewi! Leo timu ikifungwa utawasikia hatuwataki wachezaji fulani fulani! Mara hatumtaki kocha fulani! Mara hatumtaki kiongozi fulani!!

Halafu kesho timu ikishinda, kelele zote kwisha! Na badala yake wanaanza tena kuwasifia watu wale wale waliotuambia hawawataki! Sasa huu kama siyo umbumbumbu, ni nini!!
 
Unaongea hivi unajiamini kwa timu iliyo kupasua mara 4 na mara 5 inakuja soon utaishia kushika nafasi yako ya 3 View attachment 3153517
Manara anasema ameota yanga inachukua champions league, na kocha side anaenda kumrithi guariola pale man city. Angalieni chama lenu ni Kama energy imekata kinoma, mchezaji mwenye umri wa kuzaliwa wa miaka 49 unamkimbiza dakika 90 unafikir mchezo?

Yanga bado unaona Ina muunganiko, wachezaji wanacheza vizuri lakini uwezo + efficiency imeshuka Kwa wachezaji wengi sana, mpaka kufika mzize kuwa streka wa kutegemewa.

Hii yanga ikichukua huu ubingwa Basi itachukua Kwa tabu sana, Simba round ya pili watakuwa moto sana, hili Mimi naliona kabisa, mentality yao imebadilika Kwa Kasi sana.

Ule 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 umerudi Kwa Kasi sana.
 
Mimi huwa napenda sana kusikiliza maoni ya watu wengine! Ila siyo wale mbumbumbu ambao hata hawajielewi! Leo timu ikifungwa utawasikia hatuwataki wachezaji fulani fulani! Mara hatumtaki kocha fulani! Mara hatumtaki kiongozi fulani!!

Halafu kesho timu ikishinda, kelele zote kwisha! Na badala yake wanaanza tena kuwasifia watu wale wale waliotuambia hawawataki! Sasa huu kama siyo umbumbumbu, ni nini!!
Wa ovyo sana hawa jamaa.
 
Yaani mambo ya nyuma mwiko ndo kama lile tukio la Madaktari wa Muhimbili, Mgonjwa wa kichwa wakampasua mguu na wa mguu wakampasua kichwa.

Timu imejaa wastaafu telee , badala waimarishe kikosi Chao walete vijana wenye Ari na nguvu mpya wameenda kumtoa kafara Gamond. Mechi ya Tabora kakosekana Bacca na Job watu wamejipigia , kama kungekuwa na vijana wengine wenye uwezo unaofanania wangerambishwa Asali!?.

Sasa aliyekuja afadhali ya aliyeondoka😅😅😅, yaani ndo kusema pipa na mfuniko.

Aliyesema nyuma mwiko wenye akili ni wawili tu Wala hakukosea😅.
Tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini, mpanzu ndo huyooooooo kawaka sijui mtajificha wapi mwaka huu😂.
Dunduka tulia,tangulini uwemsharivkwa yanga?
 
Nyie ndio wakati wenu wa kujifariji baadae hatutaki mtoe milio ya kusema GSM Hana haribu ligi
Mimi ni mwananchi lialia kabisa ila hiki walichokifanya viongozi wa timu yetu si cha kuungwa mkono kabisa..

Ile Yanga ya kupiga goli tano ndo imekuwa ya kupigwa hadi na walina asali kweli?

Gamond hakuwa na tatizo ila usajili wa msimu huu tusahau kupiga goli tano hata aje Pep Guandola kuinoa Yanga

Rip mwananchi.
 
Yaani mambo ya nyuma mwiko ndo kama lile tukio la Madaktari wa Muhimbili, Mgonjwa wa kichwa wakampasua mguu na wa mguu wakampasua kichwa.

Timu imejaa wastaafu telee , badala waimarishe kikosi Chao walete vijana wenye Ari na nguvu mpya wameenda kumtoa kafara Gamond. Mechi ya Tabora kakosekana Bacca na Job watu wamejipigia , kama kungekuwa na vijana wengine wenye uwezo unaofanania wangerambishwa Asali!?.

Sasa aliyekuja afadhali ya aliyeondoka😅😅😅, yaani ndo kusema pipa na mfuniko.

Aliyesema nyuma mwiko wenye akili ni wawili tu Wala hakukosea😅.
Tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini, mpanzu ndo huyooooooo kawaka sijui mtajificha wapi mwaka huu😂.
Kabla ya kuendelea kulaumu viongozi subiri uone kama huyu kocha mpya atakubali tununue mechi ili tushinde na kuwachoma sindano/madawa ya kusisimua misuli ya wachezaji ama atakataa hayo mambo kama Gamondi.

Sisi kama viongozi wa Yanga tuna uwezo wa kushinda mechi zetu zote nje ya uwanja bila kutegemea kocha na wachezaji
 
Unaongea na vichwa vilivyojaza mavi alisema jamaa mmoja mashabiki wengi wa simba ni mbumbumbu na tafsiri ya mbumbumbu ni kwamba kichwani kumejaa mavi na sio ubongo..
Kuna jamaa kama sikosei alisema washabiki wa yanga ni manyani na mangedere tupuuu
 
Mimi ni mwananchi lialia kabisa ila hiki walichokifanya viongozi wa timu yetu si cha kuungwa mkono kabisa..

Ile Yanga ya kupiga goli tano ndo imekuwa ya kupigwa hadi na walina asali kweli?

Gamond hakuwa na tatizo ila usajili wa msimu huu tusahau kupiga goli tano hata aje Pep Guandola kuinoa Yanga

Rip mwananchi.
Wewe ni mwanachama wa Yanga SC ?
 
Manara anasema ameota yanga inachukua champions league, na kocha side anaenda kumrithi guariola pale man city. Angalieni chama lenu ni Kama energy imekata kinoma, mchezaji mwenye umri wa kuzaliwa wa miaka 49 unamkimbiza dakika 90 unafikir mchezo?

Yanga bado unaona Ina muunganiko, wachezaji wanacheza vizuri lakini uwezo + efficiency imeshuka Kwa wachezaji wengi sana, mpaka kufika mzize kuwa streka wa kutegemewa.

Hii yanga ikichukua huu ubingwa Basi itachukua Kwa tabu sana, Simba round ya pili watakuwa moto sana, hili Mimi naliona kabisa, mentality yao imebadilika Kwa Kasi sana.

Ule 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 umerudi Kwa Kasi sana.
Sawa ngoja utaona
 
Mshapoteana tayari sindano FC , mara uwanja mara kocha, yaani mpka mseme Bado hamjasema. Hersi nae ajiandae kuliwa kichwa.
Unaongeaa apoo ukiwa kwa shemeji yako umeshika remote ya tv baada ya kushiba makande aliyopika shemeji yako..unatema pumba tu saivi
 
Endeleeni kujifariji. Simba hii weka mbali n watoto, Bora usilete timu na wachezaji wenu wastaafu
Msirudi tu na kauli yenu ya GSM anatuharibia ligi, atadhaminije timu nyingi? Mara Hersi anatuharibia ligi..!!!
 
Back
Top Bottom