Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi napenda waamini Yanga mbovu, wazee ili siku ya Derby wafunguke vizuri wapokee DHAHAMA. Nilitamani hivi vipigo vya Azam na Tabora tungevipata wakati mechi inayofuata ni MAKOLO.Ukiachilia mbali matokeo ya Azam na Tabora.
Sijaona timu yoyote iliyocheza mpira mwingi wa nguvu hali na kushambulia muda mwingi kuizidi Yanga.
Hata huyo Azam aliyeshinda moja muda mwingi alikuwa anashambuliwa na kupelekewa moto as if wao ndiyo wako pungufu.
Sasa propaganda zenu za uzee bakini nazo ukoloni huko.
Mnadhani Kila siku ni mchana, na usiku upo. Huwezi kuifunga Simba mara 5 mfululizo, uwezo huo hamna.Mimi napenda waamini Yanga mbovu, wazee ili siku ya Derby wafunguke vizuri wapokee DHAHAMA. Nilitamani hivi vipigo vya Azam na Tabora tungevipata wakati mechi inayofuata ni MAKOLO.
Ghagla mmekuwa waungwana hivyo ? Hatukuwashauri mkifukuza kocha wenu .....si mtulizane tu ? HaiwahusuuuuMimi simba ila sijaufurahia uamuzi wa Yanga kumfukuza gamondi
For what reason?
Weka na ulivyo wekwa kimoja na mimiAzam 1 uto 0
Tabora 3 uto 1
Kutoka maktaba ya serikali.
HautambulikiNdiyo
Man of the match Kayoko.Weka na ulivyo wekwa kimoja na mimi
Na ya 5 alikuwa nani wwMan of the match Kayoko.
Wewe ndio hutambulikiHautambuliki
Hersi anatafuta hela za kampeni/wajumbe. Mwakani anataka ubunge wa Kongwa Dodoma.Msirudi tu na kauli yenu ya GSM anatuharibia ligi, atadhaminije timu nyingi? Mara Hersi anatuharibia ligi..!!!
Sawa, atafute hela za chochote, nisemacho, msije mkarudi na kauli za namna ile..!!Hersi anatafuta hela za kampeni/wajumbe. Mwakani anataka ubunge wa Kongwa Dodoma.
Kuanzia sasa hivi mpaka mwakani atakuwa bize na kuusaka Ubunge. Safari za Dodoma zitakuwa nyingi mno.Sawa, atafute hela za chochote, nisemacho, msije mkarudi na kauli za namna ile..!!