Timu inayochukua Kombe la Dunia ni lazima iwe na wachezaji hawa

Timu inayochukua Kombe la Dunia ni lazima iwe na wachezaji hawa

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Kombe la dunia limefikia tamati.

Ilikuwa rahisi kukisia matokeo ya mechi nyingi na kuona timu ambazo hazitafika mbali. Ili timu yoyote ibebe kombe la dunia ni lazima wachezaji hawa wawepo:

1. Mchezaji anayeweza kubadilisha matokeo wakati wowote

2022 Argentina - Messi
2018 France - Mbappe
2014 Germany - Muller
2010 Spain - Villa
2006 Italy - Pirlo
2002 Brazil - de Lima
1998- France - Zidane

2. Mchezaji mgumu na muhuni anayetawala dimba la katikati

2022 Argentina - de Paul
2018 France - Kante
2014 Germany - Bastian
2010 Spain - Xavi
2006 Italy - Gatusso
2002 Brazil - Gilberto
1998- France - Deschamps

3. Beki mkatili sana anayeweza kuzuia hatari wakati wowote

2022 Argentina - Otamendi
2018 France - Varane
2014 Germany - Hummels
2010 Spain - Puyol
2006 Italy - Cannavaro
2002 Brazil - Lucio
1998- France - Thuram

4. Golikipa anayeweza kuokoa jahazi pale mabeki wanapozidiwa mbinu.

2022 Argentina - Martinez
2018 France - Lloris
2014 Germany - Neuer
2010 Spain - Casilas
2006 Italy - Buffon
2002 Brazil - Marcos
1998- France - Barthez

Sasa ukiangalia Spain na Germany walikuwa dhaifu karibu maeneo yote maana walileta watoto, ubelgiji walileta wazee waliochoka, Brazil wakajaza wavivu na mabishoo. Portugal hawakuwa na bahati kama ilivyo kwa waingereza wanaochezea mpira mdomoni.

Croatia na Morocco walikuwa na safu butu za ushambuliaji huku waholanzi wao kama kawaida hawana bahati. Japan walipambana na udhaifu wao kwenye penati ukawaangusha huku Korea kusini wao walikosa kocha ambaye ni tactical. Uswisi walipoteana kwa kukosa nidhamu siku walipocheza na ureno.

Tukutane 2026 panapo majaliwa.
 
Dah miaka minne ni mingi sana wapunguze miaka. Nitalimis sana kombe la dunia mpaka nahisi kuumwa. Hongera sana Messi na Argentina mmepigana vita vikali mmestahili. Mbappe nakupenda sana ingawa leo nilitaka Argentina nao waonje raha ya ubingwa maana wewe ulishaonja 2018. Kikosi kizima cha ufaransa nawapenda sana nasubiria 2026 mchukue kombe lenu chini ya captain Mbappe inshaallah
 
Kombe la dunia limefikia tamati.

Ilikuwa rahisi kukisia matokeo ya mechi nyingi na kuona timu ambazo hazitafika mbali. Ili timu yoyote ibebe kombe la dunia ni lazima wachezaji hawa wawepo:

1. Mchezaji anayeweza kubadilisha matokeo wakati wowote

2022 Argentina - Messi
2018 France - Mbappe
2014 Germany - Muller
2010 Spain - Villa
2006 Italy - Pirlo
2002 Brazil - de Lima
1998- France - Zidane

2. Mchezaji mgumu na muhuni anayetawala dimba la katikati

2022 Argentina - de Paul
2018 France - Kante
2014 Germany - Bastian
2010 Spain - Xavi
2006 Italy - Gatusso
2002 Brazil - Gilberto
1998- France - Deschamps

3. Beki mkatili sana anayeweza kuzuia hatari wakati wowote

2022 Argentina - Otamendi
2018 France - Varane
2014 Germany - Hummels
2010 Spain - Puyol
2006 Italy - Cannavaro
2002 Brazil - Lucio
1998- France - Thuram

4. Golikipa anayeweza kuokoa jahazi pale mabeki wanapozidiwa mbinu.

2022 Argentina - Martinez
2018 France - Lloris
2014 Germany - Neuer
2010 Spain - Casilas
2006 Italy - Buffon
2002 Brazil - Marcos
1998- France - Barthez

Sasa ukiangalia Spain na Germany walikuwa dhaifu karibu maeneo yote maana walileta watoto, ubelgiji walileta wazee waliochoka, Brazil wakajaza wavivu na mabishoo. Portugal hawakuwa na bahati kama ilivyo kwa waingereza wanaochezea mpira mdomoni.

Croatia na Morocco walikuwa na safu butu za ushambuliaji huku waholanzi wao kama kawaida hawana bahati. Japan walipambana na udhaifu wao kwenye penati ukawaangusha huku Korea kusini wao walikosa kocha ambaye ni tactical. Uswisi walipoteana kwa kukosa nidhamu siku walipocheza na ureno.

Tukutane 2026 panapo majaliwa.
Kwa Uholanzi [emoji817] kabisa. Timu nzuri isiyo na bahati.
 
Varene ati beki katili! hapo si angewekwa hata Pepe?
Huyu jamaa ana upuuzi kwa game ya jana unaweza sema Ottamendi ni beki katili? timu inaongoza goli 2 mpka dakika ya 80 mnafungwa goli mbili ndani ya dakika 2 the same hata game ya Argentina Vs Nederland magoli mpesi, Argentina Vs Saudia Arabia vile vile huyu bwege anasema Ottamendi ni beki katili
 
Huyu jamaa ana upuuzi kwa game ya jana unaweza sema Ottamendi ni beki katili? timu inaongoza goli 2 mpka dakika ya 80 mnafungwa goli mbili ndani ya dakika 2 the same hata game ya Argentina Vs Nederland magoli mpesi, Argentina Vs Saudia Arabia vile vile huyu bwege anasema Ottamendi ni beki katili
Acha ujingaujinga wewe kiazi. Otamendi amesimama mechi saba zote na amepata ubingwa wa dunia. Wewe mropokaji na mpumbavu unaleta uswahili wako.
 
Jana nimeona Ottamendi kacheza kistaarabu Sana Mana hata ile move ya koloumuane kamzuia kisoka ilikuwa amlambe bunda la kuvunja ugoko na hii ndio michezo yake na kulizua ni KAWAIDA Sana kwake.
 
Dah miaka minne ni mingi sana wapunguze miaka. Nitalimis sana kombe la dunia mpaka nahisi kuumwa. Hongera sana Messi na Argentina mmepigana vita vikali mmestahili. Mbappe nakupenda sana ingawa leo nilitaka Argentina nao waonje raha ya ubingwa maana wewe ulishaonja 2018. Kikosi kizima cha ufaransa nawapenda sana nasubiria 2026 mchukue kombe lenu chini ya captain Mbappe inshaallah
sikufurahishwa namna kocha alivyomtoa Di Maria ili Messi aoenekane, madhara yake wakayaona
 
Back
Top Bottom