Timu inayofungwa 3-0 inakuzaje utalii nchini?

Timu inayofungwa 3-0 inakuzaje utalii nchini?

Visit Tanzania then watu wanamulika wachezaji wenzao tochi wakati wa kudaka mpira au kupiga mipira ya adhabu. Ripoti imeshakabidhiwa Caf na FIFA juu ya vitendo vile vibaya kwa utalii wetu.
VAR tayari dadadeki
 
Vipi kuhusu timu inayo shinda goli 4-0? Inaweza ika kuza utalii?
Ikishinda hivi kihalali kabisa kila mtu kama ameona mpira umechezeka kwa sheria zote 17, bila shaka ushindi wa hivi unavutia utalii
 
Ikishinda hivi kihalali kabisa kila mtu kama ameona mpira umechezeka kwa sheria zote 17, bila shaka ushindi wa hivi unavutia utalii
Concept kubwa ni frequency ya viewers, sio matokeo. Kitendo cha kuwa na uhakika wa kucheza mechi sita za CAF CC kinamvutia mdhamini kutangaza bidhaa zake. Kwa sasa sio mechi sita tena, ni nane sasa jumla. Wadhamini huvutiwa zaidi na kutangaza bidhaa zao kwa kuangalia idadi ya jumla ya viewers, matokeo ya mechi sio sana maana sio interest yao kubwa
 
Concept kubwa ni frequency ya viewers, sio matokeo. Kitendo cha kuwa na uhakika wa kucheza mechi sita za CAF CC kinamvutia mdhamini kutangaza bidhaa zake. Kwa sasa sio mechi sita tena, ni nane sasa jumla. Wadhamini huvutiwa zaidi na kutangaza bidhaa zao kwa kuangalia idadi ya jumla ya viewers, matokeo ya mechi sio sana maana sio interest yao kubwa
We kaka wewe unahitaji maombi upate akili ya kujiongeza. Nchi inaweza kuwa na watu wengi sana lakini makampuni yakaacha kwenda kufanya biashara zao huko hata kama nchi hiyo Ikijitangaza namna gani. Haki za binadamu, utawala wa Sheria na usalama ni vitu muhimu. Unaweza kuwa na viewers wengi uliowaudhi na kuwaboa kiasi kwamba hawataki ku kuona. Hivi kufungwa mabao 5-0, kunyima watu penati na magoli halali, kukanyaga watu makusudi, kumulika watu tochi usoni na kutumia dawa za kuongeza nguvu kwenye mechi kunavutia vipi watu wanaotizama mechi kuja kwenye vivutio vyako? Unahitaji akili mpya. Unaweza kuwa na wateja wengi ukiowakatisha tamaa.

Kuna watu wanaovutiwa na integrity, kuna wanaovutiwa na utawala wa sheeria wa nchi, kuna wanaovutiwa na demokrasia, kuna wanaovutiwa Na hali ya hewa ya nchi, kuna wanaovutiwa na usalama ndani ya nchi, kuna wanaovutiwa na timu kufuata Sheria 17 za mpira wa miguu, kuna wanaovutiwa na usafi na mpangilio wa miji, kuna wanaovutiwa na mademu wazuri nk. Lakini USALAMA wao ndio kivutio NAMBA MOJA. polisi, Serikali, tff na wadau wengine wapo lakini wachezaji wanamulikwa na tochi zenye mionzi mibaya na hatari (Lazer) machoni, mtalii atafuata nn. SIMBA NI MIONGONI MWA CHANZO CHA KULETWA VAR
 
.... Lakini USALAMA wao ndio kivutio NAMBA MOJA. polisi, Serikali, tff na wadau wengine wapo lakini wachezaji wanamulikwa na tochi zenye mionzi mibaya na hatari (Lazer) machoni, mtalii atafuata nn. SIMBA NI MIONGONI MWA CHANZO CHA KULETWA VAR
Haya basi utopolo, andeleeni kudumisha usalama wa nchi kwa kutolewa raundi ya awali kila mwaka, huo usalama unaitangaza nchi yetu kwenye utalii. Visit Kilimanjaro and Zanzibar! 😂😂😂
 
Kuna ile timu ilivaa visit Zanzibar mechi mbili tu kampeni ikafa.


Wataalamu wa kampeni za kutangaza Utalii wanasema ile ndio kampeni fupi zaidi katika historia.
Tunasema kampeni fupi kuwahi kutokea
 
We kaka wewe unahitaji maombi upate akili ya kujiongeza. Nchi inaweza kuwa na watu wengi sana lakini makampuni yakaacha kwenda kufanya biashara zao huko hata kama nchi hiyo Ikijitangaza namna gani. Haki za binadamu, utawala wa Sheria na usalama ni vitu muhimu. Unaweza kuwa na viewers wengi uliowaudhi na kuwaboa kiasi kwamba hawataki ku kuona. Hivi kufungwa mabao 5-0, kunyima watu penati na magoli halali, kukanyaga watu makusudi, kumulika watu tochi usoni na kutumia dawa za kuongeza nguvu kwenye mechi kunavutia vipi watu wanaotizama mechi kuja kwenye vivutio vyako? Unahitaji akili mpya. Unaweza kuwa na wateja wengi ukiowakatisha tamaa.

Kuna watu wanaovutiwa na integrity, kuna wanaovutiwa na utawala wa sheeria wa nchi, kuna wanaovutiwa na demokrasia, kuna wanaovutiwa Na hali ya hewa ya nchi, kuna wanaovutiwa na usalama ndani ya nchi, kuna wanaovutiwa na timu kufuata Sheria 17 za mpira wa miguu, kuna wanaovutiwa na usafi na mpangilio wa miji, kuna wanaovutiwa na mademu wazuri nk. Lakini USALAMA wao ndio kivutio NAMBA MOJA. polisi, Serikali, tff na wadau wengine wapo lakini wachezaji wanamulikwa na tochi zenye mionzi mibaya na hatari (Lazer) machoni, mtalii atafuata nn. SIMBA NI MIONGONI MWA CHANZO CHA KULETWA VAR
Wewe ndio unahitaji maombi maana unabwabwaja tu pumba. Una ushabiki maandazi kwa kuichukia simba. Kuna mechi nyingi tu simba imepata matokeo ikiwa away lakini akili zako zinakuaminisha kuwa simba huwa haishindi kwa haki. Endelea kubwabwaja lakini simba inasonga mbele na kuitangaza Tanzania.
 
Wewe ndio unahitaji maombi maana unabwabwaja tu pumba. Una ushabiki maandazi kwa kuichukia simba. Kuna mechi nyingi tu simba imepata matokeo ikiwa away lakini akili zako zinakuaminisha kuwa simba huwa haishindi kwa haki. Endelea kubwabwaja lakini simba inasonga mbele na kuitangaza Tanzania.
Una changanya Na Bahati mbaya, fluke, good luck pamoja. Mfano, goli la Morrison ugenini dhidi ya gedrrndamarie ilikuwa ya ktuttbathta[[tttttttt
 
Una changanya Na Bahati mbaya, fluke, good luck pamoja. Mfano, goli la Morrison ugenini dhidi ya gedrrndamarie ilikuwa ya ktuttbathta[[tttttttt
Simba ikiwa away
Mbabane swallows alifungwa( 4-0), plateu alifungwa , Ud songo draw , vita alifungwa , Jwaneng alifungwa,USGN draw, kwa hiyo hizo zote ni bahati bila uwezo?
Sasa hizo bahati mbona akina Azam fc hawapati wanapokuwa wanawakilisha kimataifa? Bahati inaendana na uwezo , huwezi kupata bahati ya kufunga kama huna uwezo wa kusababisha hata kona. Fungua kichwa chako hicho acha ushabiki maandazi.
 
Simba ikiwa away
Mbabane swallows alifungwa( 4-0), plateu alifungwa , Ud songo draw , vita alifungwa , Jwaneng alifungwa,USGN draw, kwa hiyo hizo zote ni bahati bila uwezo?
Sasa hizo bahati mbona akina Azam fc hawapati wanapokuwa wanawakilisha kimataifa? Bahati inaendana na uwezo , huwezi kupata bahati ya kufunga kama huna uwezo wa kusababisha hata kona. Fungua kichwa chako hicho acha ushabiki maandazi.
Azam, namungo biashara wanacheza mpira uwanjani, wakifunga sawa na wakifungwa sawa tu ni matokeo 3 ya mechi. Lakini kuna timu zinacheza mpira ndani, nje, chini na juu ya uwanja lazima kupata matokeo mazuri. Hebu fikiria timu imevalishwa "vIsit Tanzania" kuvutia watalii waje halafu mwenzetu mmoja anaingia uwanjani na jitochi kuubwa la betri lenye mwanga mkali unaosafiri umbali wa mita 200 kwaajili tu ya kwenda kumulika usoni Washindani wetu ili wapate maluweluwe uwanjani, halafu shabiki huyo anajisifu na kushangiliwa kwa ushujaa wake huo wa kipumbavu. Hiyo ndiyo simba unayoutaka?
 

Hii ni aibu kwa taifa
 
Pumba.vu zako hiyo aibu ni kwa ukoo wako. Eti unamuamini kwa 100% kocha aliefungwa anaetetea kibarua chake, akili zako zina walakini.
Sisi tunazumgumzia mpira sio matusi, kwani hata simba na Yanga zikibeba kombe la dunia wewe utabakia hivyo hivyo ulivyo, kwenye mgao haumo.. Ile haikuwa penati. Kana kama hukuviona vitochi kwenye macho ya golikipa. Ww mpuuzi wa mpira wa simba N Yanga
 
Sisi tunazumgumzia mpira sio matusi, kwani hata simba na Yanga zikibeba kombe la dunia wewe utabakia hivyo hivyo ulivyo, kwenye mgao haumo.. Ile haikuwa penati. Kana kama hukuviona vitochi kwenye macho ya golikipa. Ww mpuuzi wa mpira wa simba N Yanga
Siungi mkono vitochi ila kusema haikuwa penalt bila uchambuzi wowote na kuunga mkono kwa 100% matamshi ya huyo kocha anaetetea kibarua chake ndio upuuzi wako ulipo.
 
Back
Top Bottom