Timu inayofungwa 3-0 inakuzaje utalii nchini?

Timu inayofungwa 3-0 inakuzaje utalii nchini?

Kwanini mataifa makini hayathubutu kuandika Visit nchi yao kwa kutumia timu za mpira wa miguu, tazama hii

 
Masikini utopwinyo 😜😜😜. River alikupigilia misumari nje ndani tena ahsubuhi na mapema
TANAPA kuweni makini na vitendo vinavyokinzana na jitihada zetu za kuvutia utalii nchini.

Timu inayoandika kwenye jezi yake "visit Tanzania, then inafungwa bao 3-0 kwenye mechi inayotazamwa dunia nzima kunapunguza utalii wetu. Timu ameandika Visit Tanzania, then unanunua waamuzi wachezeshe unavyotaka wewe kwenye mechi ambayo inaonekana dunia nzima kunapunguza utalii nchini.

Tuwe makini na Nia njema za timu zetu kwenye kuvutia watalii. Timu inayofungwa 5-0 inavutiaje utalii?

Badala ya visit Tanzania iwe Visit mo Arena
 
Masikini utopwinyo 😜😜😜. River alikupigilia misumari nje ndani tena ahsubuhi na mapema
Mimi sina tatizo na timu ya Simba bali napingana na vitendo visivyokuwa vya kimichezo kwenye timu zetu halafu kiongozi mkubwa anazipa timu mbovu na zenye utovu wa nidhamu jukumu la kuitangaza Tanzania na vivutio vyake. Mfano, timu kama hii hapo chini unaipaje jukukumu la Visit Kilimanjaro na Zanzibar? Watalii watakujaje kwa kuangalia mechi ya hivi. Ndio maana nadhani Ndumbaro ameondolewa pale utalii kwasabu ya thread yangu hii, haha!

 
W
Mimi sina tatizo na timu ya Simba bali napingana na vitendo visivyokuwa vya kimichezo kwenye timu zetu halafu kiongozi mkubwa anazipa timu mbovu na zenye utovu wa nidhamu jukumu la kuitangaza Tanzania na vivutio vyake. Mfano, timu kama hii hapo chini unaipaje jukukumu la Visit Kilimanjaro na Zanzibar? Watalii watakujaje kwa kuangalia mechi ya hivi. Ndio maana nadhani Ndumbaro ameondolewa pale utalii kwasabu ya thread yangu hii, haha!


We ni famba kinoma noma. Wachezaji ndio walivunja viti .?? Stupid
 
Toa hoja kuonyesha kuwa nawewe una akili. Nimekwambia unitajie nchi duniani ambayo ambayo imechukua timu yake moja kwenye ligi na kuruhusi timu hiyo moja iandiake kwenye jezi yake Visit Germany, Visit England, Visit Ukraine, Visit USA, Visit China, etc, UKishindwa kuitaja hiyo nchi na timu iliyotumika basi ujue wewe na wenzako ni maboya? Hata Rwanda haikutumia timu yake ya kwenye ligi kufanya hivyo badala yake imetumia timu ya England, Arsenal, kwanza ina mashabiki wengi wanaoifuatilia duniani kote, pili ligi ya England inatizamwa duniani kote, tatu watalii wengi ni wazungu, nne Arsenal ni timu kubwa na tano Rais Kagame ni shabiki wa Arsernal.

Hasara ya kutumia timu kama Simba kuitangaza Tanzania ni pale itakapofanya jambo la kashifa linaloabisha kama vile kung'oa viti, kupigana uwanjani, kupanga matokeo, wachezaji kutumia madawa ya kulevya, mchezaji kutukana au timu kufungwa mabao mengi kila wakati kama vile 5-0. 5-0, 4-0 na 3-0 inapunguza imani ya watalii kwa tanzania. Balozi akiwa mbaya na anachokiwakilisha kinakuwa kibaya pia.

kwa ujumla wewe huna akili ya kuelewa ndio maana natumia muda wangu mwingi kueleza kitu kilekile.

Ndiyo maana hata Rais Samia alivyomteua Mh. Humphrey Polepole kuwa balozi Malawi kwanza aliagiza Polepole apelekwe chuoni kwanza na baada ya hapo lazima akutane na Rais mwenyewe kabla ya kuondoka kwenda Malawi. Yote haya ni kwaajili ya kumfunda Polepole ili afanane na kile alichokikusudia asijekutuangusha watanzania wote.

Waziri Ndumbaro mwenye dhamana alikaa lini na wadhamini, viongozi na wachezaji wa Simba kuwafunda juu ya maana ya "visit Tanzania kwenye zeji zao? Do they know what it means to be a Tanzania tourism ambassador? Mchezaji anapomkanyaga makusudi mchezaji mwenzake uwanjani anatuwakilisha vyema? Mchezaji asipojituma uwanjani na kusababisha timu kufungwa 5-0 anatuwakilisha vema? uwongozi unapopanga matokeo ya mechi anausaidia utalii wa Tanzania?
Wewe nimegundua siyo mjinga bali umeadvance kuwa mpumbavu.
Kwanini hiyo nafasi ya VISIT TANZANIA haikuchaguliwa timu nyingine bali Simba.

Jibu hilo halafu utagundua wewe ni mpumbavu na unaleta porojo.

Btw hakuna Yanga mwenye akili.
 
TANAPA kuweni makini na vitendo vinavyokinzana na jitihada zetu za kuvutia utalii nchini.

Timu inayoandika kwenye jezi yake "visit Tanzania, then inafungwa bao 3-0 kwenye mechi inayotazamwa dunia nzima kunapunguza utalii wetu. Timu ameandika Visit Tanzania, then unanunua waamuzi wachezeshe unavyotaka wewe kwenye mechi ambayo inaonekana dunia nzima kunapunguza utalii nchini.

Tuwe makini na Nia njema za timu zetu kwenye kuvutia watalii. Timu inayofungwa 5-0 inavutiaje utalii?

Badala ya visit Tanzania iwe Visit mo Arena
Kwa matokeo ya Leo Simba 4-0 Gendermarie.
Simba wamekuvua nguo ,

Hapo ulipo,
upo uchi mbele ya binti zako umejiziba na remote ya tv kwa aibu maamae.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Wewe nimegundua siyo mjinga bali umeadvance kuwa mpumbavu.
Kwanini hiyo nafasi ya VISIT TANZANIA haikuchaguliwa timu nyingine bali Simba.

Jibu hilo halafu utagundua wewe ni mpumbavu na unaleta porojo.

Btw hakuna Yanga mwenye akili.
Hata huna akili, aliebuni hiyo Visit Tanzania ni CEO wa Simba, Barabra, hakuna mtu yeyote alieichagua Simba kuvaa visit Tanzania.
 
Kwa matokeo ya Leo Simba 4-0 Gendermarie.
Simba wamekuvua nguo ,

Hapo ulipo,
upo uchi mbele ya binti zako umejiziba na remote ya tv kwa aibu maamae.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Kama vile hukuona utovu wa nidhamu wa Simba kumulika wachezaji machoni na vitochi.
 
TANAPA kuweni makini na vitendo vinavyokinzana na jitihada zetu za kuvutia utalii nchini.

Timu inayoandika kwenye jezi yake "visit Tanzania, then inafungwa bao 3-0 kwenye mechi inayotazamwa dunia nzima kunapunguza utalii wetu. Timu ameandika Visit Tanzania, then unanunua waamuzi wachezeshe unavyotaka wewe kwenye mechi ambayo inaonekana dunia nzima kunapunguza utalii nchini.

Tuwe makini na Nia njema za timu zetu kwenye kuvutia watalii. Timu inayofungwa 5-0 inavutiaje utalii?

Badala ya visit Tanzania iwe Visit mo Arena
MWAMBIE MAMA YAKO ATANGAZE HUO UTALII. NGURUWE PORI WW
 
Back
Top Bottom