Timu inayofungwa 3-0 inakuzaje utalii nchini?

Timu inayofungwa 3-0 inakuzaje utalii nchini?

Ile iliyotoa draw na Somalia under 20 ina faida gani nchini?
 
Hata Russia inatangazwa duniani kote sasa hivi, je, watalii wanakwenda huko? HUwezi kufungwa 5-0, kunyima watu penati, kunyima watu magoli halali na wachezaji wengi kupewa kadi kwa mchezo mbaya halafu usema unaitangaza nchi watalii waje, badala yake unafanya kinyume chake. Hakuna mtalii inaependa kwenye nchi yenye dhuluma, chafu, wezi, dhaifu, nk. Badala ya kutangaza uzuri unatangaza ubaya.
Ila Huu ni ubishi wa kule kwny kahawa .....Rwanda wamebandika kwny vitu vya Arsenal...visit Rwanda na Arsenal inafungwa but visibility does be affected na results?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila Huu ni ubishi wa kule kwny kahawa .....Rwanda wamebandika kwny vitu vya Arsenal...visit Rwanda na Arsenal inafungwa but visibility does be affected na results?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kwanini Rwanda hawakubandika kwenye timu zao wakaenda kubandika Arsenal? UNICEF walibandika Barcelona lakini Spain yenyewe hawakubandi visit Spain? Mh. Ndumbaro na akina Barbara wakashindwa kwenda kubandika kwenye timu timu za mbele kama Liverpool, Man City, Real Madrid, PSG wanakotoka watalii wakaishia kwenda kubandika Simba inayoishia hapo Benin, hivi watalii wetu wanatoka Afrika siku hizi. Je, Ulaya na Marekani ni watu wangapi wanaangalia mechi za mzuunguuko wa kwanza na makundi caf?

Yaani unataka kusema watalii watamiminika ngorongoro kwa kuana jina Tanzania kwenye shati la timu iliyofungwa 5-0 kwenye mechi na kupendelewa? Duniani kote tangazo la aina hiyo huwa linashusha hisa za kampuni na kupunguza wateja.
 
TANAPA kuweni makini na vitendo vinavyokinzana na jitihada zetu za kuvutia utalii nchini.

Timu inayoandika kwenye jezi yake "visit Tanzania, then inafungwa bao 3-0 kwenye mechi inayotazamwa dunia nzima kunapunguza utalii wetu. Timu ameandika Visit Tanzania, then unanunua waamuzi wachezeshe unavyotaka wewe kwenye mechi ambayo inaonekana dunia nzima kunapunguza utalii nchini.

Tuwe makini na Nia njema za timu zetu kwenye kuvutia watalii. Timu inayofungwa 5-0 inavutiaje utalii?

Badala ya visit Tanzania iwe Visit mo Arena
acha kutumia makalio kufikiri.

Hakuna Utopolo mwenye akili.
 
Unajua kwanini Rwanda hawakubandika kwenye timu zao wakaenda kubandika Arsenal? UNICEF walibandika Barcelona lakini Spain yenyewe hawakubandi visit Spain? Mh. Ndumbaro na akina Barbara wakashindwa kwenda kubandika kwenye timu timu za mbele kama Liverpool, Man City, Real Madrid, PSG wanakotoka watalii wakaishia kwenda kubandika Simba inayoishia hapo Benin, hivi watalii wetu wanatoka Afrika siku hizi. Je, Ulaya na Marekani ni watu wangapi wanaangalia mechi za mzuunguuko wa kwanza na makundi caf?

Yaani unataka kusema watalii watamiminika ngorongoro kwa kuana jina Tanzania kwenye shati la timu iliyofungwa 5-0 kwenye mechi na kupendelewa? Duniani kote tangazo la aina hiyo huwa linashusha hisa za kampuni na kupunguza wateja.

Unaandika pumba tu,hivi unawaza kwa kutumia nini?

Kwa vile kiwango cha Taifa stars ni kidogo na AFCON ya mwaka juzi stars ilizingua, kwa hiyo je hamna haja ya kupigania kufuzu Afcon au world cup sababu itakutana na vipigo na kukatisha tamaa watalii?

Kumbuka kushiriki mashindano makubwa kama Afcon na world cup ni kujitangaza.

Halafu unaposema tunawatangazia waafrika wenzetu badala ya ulaya na America, je hujui watalii wa mabara hayo wako kwenye mataifa mbali mbali ya kiafrika na wengine huwa wanaingia viwanjani. Sasa huoni kama mtalii aliyeko Benin anaweza kushawishika kuitembelea Tanzania kupitia kuijua kwa visit Tanzania? Panua fikra.
 
PSG walipigwa ngapi? Na ile VISIT RWANDA ni ya nini Boss
 
acha kutumia makalio kufikiri.

Hakuna Utopolo mwenye akili.
Toa hoja kuonyesha kuwa nawewe una akili. Nimekwambia unitajie nchi duniani ambayo ambayo imechukua timu yake moja kwenye ligi na kuruhusi timu hiyo moja iandiake kwenye jezi yake Visit Germany, Visit England, Visit Ukraine, Visit USA, Visit China, etc, UKishindwa kuitaja hiyo nchi na timu iliyotumika basi ujue wewe na wenzako ni maboya? Hata Rwanda haikutumia timu yake ya kwenye ligi kufanya hivyo badala yake imetumia timu ya England, Arsenal, kwanza ina mashabiki wengi wanaoifuatilia duniani kote, pili ligi ya England inatizamwa duniani kote, tatu watalii wengi ni wazungu, nne Arsenal ni timu kubwa na tano Rais Kagame ni shabiki wa Arsernal.

Hasara ya kutumia timu kama Simba kuitangaza Tanzania ni pale itakapofanya jambo la kashifa linaloabisha kama vile kung'oa viti, kupigana uwanjani, kupanga matokeo, wachezaji kutumia madawa ya kulevya, mchezaji kutukana au timu kufungwa mabao mengi kila wakati kama vile 5-0. 5-0, 4-0 na 3-0 inapunguza imani ya watalii kwa tanzania. Balozi akiwa mbaya na anachokiwakilisha kinakuwa kibaya pia.

kwa ujumla wewe huna akili ya kuelewa ndio maana natumia muda wangu mwingi kueleza kitu kilekile.

Ndiyo maana hata Rais Samia alivyomteua Mh. Humphrey Polepole kuwa balozi Malawi kwanza aliagiza Polepole apelekwe chuoni kwanza na baada ya hapo lazima akutane na Rais mwenyewe kabla ya kuondoka kwenda Malawi. Yote haya ni kwaajili ya kumfunda Polepole ili afanane na kile alichokikusudia asijekutuangusha watanzania wote.

Waziri Ndumbaro mwenye dhamana alikaa lini na wadhamini, viongozi na wachezaji wa Simba kuwafunda juu ya maana ya "visit Tanzania kwenye zeji zao? Do they know what it means to be a Tanzania tourism ambassador? Mchezaji anapomkanyaga makusudi mchezaji mwenzake uwanjani anatuwakilisha vyema? Mchezaji asipojituma uwanjani na kusababisha timu kufungwa 5-0 anatuwakilisha vema? uwongozi unapopanga matokeo ya mechi anausaidia utalii wa Tanzania?
 
TANAPA kuweni makini na vitendo vinavyokinzana na jitihada zetu za kuvutia utalii nchini.

Timu inayoandika kwenye jezi yake "visit Tanzania, then inafungwa bao 3-0 kwenye mechi inayotazamwa dunia nzima kunapunguza utalii wetu. Timu ameandika Visit Tanzania, then unanunua waamuzi wachezeshe unavyotaka wewe kwenye mechi ambayo inaonekana dunia nzima kunapunguza utalii nchini.

Tuwe makini na Nia njema za timu zetu kwenye kuvutia watalii. Timu inayofungwa 5-0 inavutiaje utalii?

Badala ya visit Tanzania iwe Visit mo Arena
Barcelona yenyewe imeishapigwagwa 5 na Psg
 
Ila kuna la kujifunza
jambo ambalo Waziri wa Utalii, Ndumbaro na wengine hawakulizingatia wakati wanaruhusu timu ya Simba au Yanga iitangaze Tanzania na Utalii wa Tanzania kwa kwamba kama timu hiyo ikifanya vizuri na utalii unafanya vizuri pia na kama ikifanya vibaya na utalii unafanya vibaya, kama timu ikizomewa na utalii wetu utazomewa na kama ikishangiliwa na utalii utashangiliwa, kama mchezaji atawaonyesha wenzake kidole cha kati hata utalii wetu utaonyeshwa kidole cha kati pia, na kama mchezaji wa hiyo timu akivua bukta akabakia na chupi wakati wa kushangilia hivyohivyo hata utalii wetu utavuliwa bukta na kubaki na chupi. Kuipa timu ubalozi wa kutanga biashara yako sio kitu cha kufanyia mzaha na porojo porojo kama ilivyofanyika,

Kwanza timu nzima, wachezaji, wadhamini na viongozi na hata wale mashabiki kindakindaki wa timu walipaswa TANAPA ikae nao na ikibidi iwatembeze kwenye vivutio vyetu vya utalii ili wote wafahamu kile wanachokitangaza, kisha wapatiwe dos and don'ts zao kama mabalozi wetu wanapokuwa ndani na nje ya uwanja. Ndumbaro hakulifanya hilo, anadai watu 5b wameangalia mechi lakini hajui kuwa, ukiwaudhi watu 5b pia ni hatari sana kwenye utalii. Ndio maana watu wenye akili hawezi kutumia club za nchi yake kwenye ligi ya nyumbani kuandika Visit South Afrika, Visit England, Visit Egypt. Kama ni hivyo Al-Ahly timu kubwa Afrika ingekuwa na maandishi mwili mzima ya Visit Egypt kuwaita watu wakaone mapiramidi ya mafarao kule.

unaweza kuwavutia watu 5b lakini unaweza kuwafukuza watu 5b pia.
 
jambo ambalo Waziri wa Utalii, Ndumbaro na wengine hawakulizingatia wakati wanaruhusu timu ya Simba au Yanga iitangaze Tanzania na Utalii wa Tanzania kwa kwamba kama timu hiyo ikifanya vizuri na utalii unafanya vizuri pia na kama ikifanya vibaya na utalii unafanya vibaya, kama timu ikizomewa na utalii wetu utazomewa na kama ikishangiliwa na utalii utashangiliwa, kama mchezaji atawaonyesha wenzake kidole cha kati hata utalii wetu utaonyeshwa kidole cha kati pia, na kama mchezaji wa hiyo timu akivua bukta akabakia na chupi wakati wa kushangilia hivyohivyo hata utalii wetu utavuliwa bukta na kubaki na chupi. Kuipa timu ubalozi wa kutanga biashara yako sio kitu cha kufanyia mzaha na porojo porojo kama ilivyofanyika,

Kwanza timu nzima, wachezaji, wadhamini na viongozi na hata wale mashabiki kindakindaki wa timu walipaswa TANAPA ikae nao na ikibidi iwatembeze kwenye vivutio vyetu vya utalii ili wote wafahamu kile wanachokitangaza, kisha wapatiwe dos and don'ts zao kama mabalozi wetu wanapokuwa ndani na nje ya uwanja. Ndumbaro hakulifanya hilo, anadai watu 5b wameangalia mechi lakini hajui kuwa, ukiwaudhi watu 5b pia ni hatari sana kwenye utalii. Ndio maana watu wenye akili hawezi kutumia club za nchi yake kwenye ligi ya nyumbani kuandika Visit South Afrika, Visit England, Visit Egypt. Kama ni hivyo Al-Ahly timu kubwa Afrika ingekuwa na maandishi mwili mzima ya Visit Egypt kuwaita watu wakaone mapiramidi ya mafarao kule.

unaweza kuwavutia watu 5b lakini unaweza kuwafukuza watu 5b pia.
Maandishi mareeefu yote pumba tu. Sasa hao Egypt, England , South A. umeona wapi wakijitangaza na klabu za nje? Kwa hiyo kwa vile hizo nchi hazijitangazi kwa klabu za ndani au nje basi ni sheria kwa nchi zingine zisijitangaze?

Yaani akili yako inakuambia kufanya vizuri ni matokeo tu ya uwanjani yaani hujui pia kushiriki tu mashindano makubwa ni kufanya vizuri na ndio maana klabu inayoshiriki daraja la kwanza inaweza kuwa isiwe na wadhamini lakini ikipanda ligi kuu tu wadhamini wanakuja sababu wanaamini kupitia ligi kuu watajulikana na idadi kubwa ya watu hata kama matokeo yatakuwa mabaya kwa hiyo timu.
 
jambo ambalo Waziri wa Utalii, Ndumbaro na wengine hawakulizingatia wakati wanaruhusu timu ya Simba au Yanga iitangaze Tanzania na Utalii wa Tanzania kwa kwamba kama timu hiyo ikifanya vizuri na utalii unafanya vizuri pia na kama ikifanya vibaya na utalii unafanya vibaya, kama timu ikizomewa na utalii wetu utazomewa na kama ikishangiliwa na utalii utashangiliwa, kama mchezaji atawaonyesha wenzake kidole cha kati hata utalii wetu utaonyeshwa kidole cha kati pia, na kama mchezaji wa hiyo timu akivua bukta akabakia na chupi wakati wa kushangilia hivyohivyo hata utalii wetu utavuliwa bukta na kubaki na chupi. Kuipa timu ubalozi wa kutanga biashara yako sio kitu cha kufanyia mzaha na porojo porojo kama ilivyofanyika,

Kwanza timu nzima, wachezaji, wadhamini na viongozi na hata wale mashabiki kindakindaki wa timu walipaswa TANAPA ikae nao na ikibidi iwatembeze kwenye vivutio vyetu vya utalii ili wote wafahamu kile wanachokitangaza, kisha wapatiwe dos and don'ts zao kama mabalozi wetu wanapokuwa ndani na nje ya uwanja. Ndumbaro hakulifanya hilo, anadai watu 5b wameangalia mechi lakini hajui kuwa, ukiwaudhi watu 5b pia ni hatari sana kwenye utalii. Ndio maana watu wenye akili hawezi kutumia club za nchi yake kwenye ligi ya nyumbani kuandika Visit South Afrika, Visit England, Visit Egypt. Kama ni hivyo Al-Ahly timu kubwa Afrika ingekuwa na maandishi mwili mzima ya Visit Egypt kuwaita watu wakaone mapiramidi ya mafarao kule.

unaweza kuwavutia watu 5b lakini unaweza kuwafukuza watu 5b pia.
Hii nchi vilaza mko wengi. Maelezo mareeefu lakini pumba tupu. Huwezi kuwa mchunga ng'ombe halafu ukawa na uelewa. Masikini , ng'ombe wa mayele sasa ndo kazidi kuwafanya muwe machizi zaidi.
 
Badala ya visit Tanzania iwe Visit mo Arena
ndo imeshakuwa Visit Tanzania, wenye nchi (serikali) wameshaamua, wananchi (wanyonge) kuweni wapole tu, mkapokee wageni pale airport wanaofika nchini ku Visit Tanzania
 
Hii nchi vilaza mko wengi. Maelezo mareeefu lakini pumba tupu. Huwezi kuwa mchunga ng'ombe halafu ukawa na uelewa. Masikini , ng'ombe wa mayele sasa ndo kazidi kuwafanya muwe mach

Hii nchi vilaza mko wengi. Maelezo mareeefu lakini pumba tupu. Huwezi kuwa mchunga ng'ombe halafu ukawa na uelewa. Masikini , ng'ombe wa mayele sasa ndo kazidi kuwafanya muwe machizi zaidi.
Maelezo ni marefu lakini umemaliza kuyasoma yote, ahsante sana. Narudia tena ukiwa balizi wetu kwenye utalii hatutaki mtuchafue kwa kunyang'anya watu penati na magoli Yao halali, chezeni mpira watu wafungwe kihalali ili timu na nchi vipate sifa stahili. Msiandike visit Tanzania Kisha ukanunua Waamuzi, dunia inaona vituko vyote.
 
Haya sasa nadhani jibu umelipata bwana uto

huu ni msiba sawa na misiba mingine kwetu, dunia nzima ina watu 7b, sasa kama 5b (71.4%) ya watu wa dunia walitizama mechi za Simba yatakuwa maajabu makubwa. Waziri wa hivi nashangaa hajajiuzulu kwa kusema uongo.
 
huu ni msiba sawa na misiba mingine kwetu, dunia nzima ina watu 7b, sasa kama kati 5b (71.4%) ya watu wa dunia walitizama mechi za Simba yatakuwa maajabu makubwa. Waziri wa hivi nashangaa hajajiuzulu kwa kusema uongo.
umekaa na maumivu wiki nzima ukaamua leo uje umwage chozi hadharani kwi kwi kwi
Si ulisema simba inalitia aibu taifa umejibiwa kwa hoja unalia lia kwi kwi kwi
 
umekaa na maumivu wiki nzima ukaamua leo uje umwage chozi hadharani kwi kwi kwi
Si ulisema simba inalitia aibu taifa umejibiwa kwa hoja unalia lia kwi kwi kwi
maumivu gani, nimekusaidia kujuwa kuwa hamjui.
 
Back
Top Bottom