Timu inayofungwa 3-0 inakuzaje utalii nchini?

Timu inayofungwa 3-0 inakuzaje utalii nchini?

TANAPA kuweni makini na vitendo vinavyokinzana na jitihada zetu za kuvutia utalii nchini.

Timu inayoandika kwenye jezi yake "visit Tanzania, then inafungwa bao 3-0 kwenye mechi inayotazamwa dunia nzima kunapunguza utalii wetu. Timu ameandika Visit Tanzania, then unanunua waamuzi wachezeshe unavyotaka wewe kwenye mechi ambayo inaonekana dunia nzima kunapunguza utalii nchini.

Tuwe makini na Nia njema za timu zetu kwenye kuvutia watalii. Timu inayofungwa 5-0 inavutiaje utalii?

Badala ya visit Tanzania iwe Visit mo Arena
Akili fupi
 
Waziri Ana mihemko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... kasahau alikotolewa Yanga na Simba nae ametolewa mapema tu. Huku aliko Simba ni kwa akina Biashara United. Waziri amefeli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
ameshaisahau J Galaxy mapema hivi, eti nae amesema
 
TANAPA kuweni makini na vitendo vinavyokinzana na jitihada zetu za kuvutia utalii nchini.

Timu inayoandika kwenye jezi yake "visit Tanzania, then inafungwa bao 3-0 kwenye mechi inayotazamwa dunia nzima kunapunguza utalii wetu. Timu ameandika Visit Tanzania, then unanunua waamuzi wachezeshe unavyotaka wewe kwenye mechi ambayo inaonekana dunia nzima kunapunguza utalii nchini.

Tuwe makini na Nia njema za timu zetu kwenye kuvutia watalii. Timu inayofungwa 5-0 inavutiaje utalii?

Badala ya visit Tanzania iwe Visit mo Arena
Tatizo sio kufungwa 3, faida imeonekana duniani na watu wanauliza Tanzania Tanzania ni wapi? mwingine ameuliza mimi nasikia SIMBA ila Tanzania sijaisikia.Kufungwa hata hao walioifunga SIMBA wamefungwa goli 3 hapa kwa Mkapa
 
Kama kama simba inapata matokeo ugenini kwanini iwe lazima wageni wasipate matokeo kwa Mkapa? hii ina maanisha kuwa timu nyingine kwenye mashindano ziko fair nyumbani na ugenini. Hii inadhibitishwa na zile timu ambazo zilizofungwa na Simba kwa Mkapa ndizo zilizocheza nusu final na final, kuonyesha kuwa kwa Mkapa zilifungwa kwa kichupli.

hebu ona wachezaji wa simba hawakuwepo hata mmoja kwenye timu ya taifa vs Afrika ya Kati lakini Taifa stars imepata matokeo safi ya 3-1, hii ni kuonyesha kuwa simba inadekezwa tu kufurahisha waumini wake kama wewe
Unaposema wageni kwa Mkapa kwa lazima huwa hawapati matokeo, unatumia akili gani ndugu au wewe ni hamnazo? Kwa hiyo hujui Jwaneng na UD song walipata matokeo kwa Mkapa?
 
Akili fupi
Hata Barcelona hakuna Visit Spain, hii yetu imetoka wapi? ushamba huu utaligharimu taifa. Timu inayopewa kutangaza utalii lazima viongozi na wachezaji wake wapewe semina kwelikweli kuhusu DOs na DONTs ndani na nje ya uwanja vingine tutaharibu jitihada zote zinazofanywa kukuza utalii. Kama waziri anavyosema mechi za simba caf zinatazamwa na watu 5bil duniani basi ajue pia watu 5bil pia wanaangalia timu ikichapwa 5-0, timu pinzani zikinyimwa penati na magoli halali na wachezaji wakiwachezea wenzao rafu mbaya bila kupewa adhabu stahiki. Hii kwenye utalii na watalii ni ile inayoitwa "come easy and go easy". Kwa kuvaa Visit Tanzania Watalii watadhani unyani wote huo una baraka za serikali na TFF ya Tanzania. Timu ina "vichaa" kama Morisson na Mkude itavaaje visit Tanzania? Kwani wachezaji wa Russia na Abramovic wanaathibiwa kwaajili gani? kwani ni wao wameagiza Putin kuivamia Ukraine?
 
Unaposema wageni kwa Mkapa kwa lazima huwa hawapati matokeo, unatumia akili gani ndugu au wewe ni hamnazo? Kwa hiyo hujui Jwaneng na UD song walipata matokeo kwa Mkapa?
Sijui huyo utopolo anatumia nini kufikiri.Na huyu ni miongoni mwa wanayanga wanaowafanya Yanga wote waonekane hamnazo . Achana naye . Ana akili za aina tatu tu.
1. Kula
2. Kunya
3.kulala.

Kwa kifupi nilipembetatu.
 
Unaposema wageni kwa Mkapa kwa lazima huwa hawapati matokeo, unatumia akili gani ndugu au wewe ni hamnazo? Kwa hiyo hujui Jwaneng na UD song walipata matokeo kwa Mkapa?
Kwahiyo anaesema Kwa Mkapa hatoki mtu ni taahira au anamaanisha nini? hajui kuwa kuna matokeo 3 ya mechi za mpira wa miguu? Wewe ndiyo hamnazo. Unapokosana na jirani yako halafu unaishia kumwaambia kuwa "utaona wewe" halafu kesho nyumba yake inaugua moto (kunyimwa penati/kunyimwa goli) maana yake ni nini?
 
Huu ni wivu kama wivu mwingine tu. Kwani timu inatanga Utalii au inatangaza matokeo? Wanaoweka matangazo wanaweka kabla ya Mechi na si baada ya Mechi na hakuna anayejua matokeo kabla ya Mechi.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo anaesema Kwa Mkapa hatoki mtu ni taahira au anamaanisha nini? hajui kuwa kuna matokeo 3 ya mechi za mpira wa miguu? Wewe ndiyo hamnazo. Unapokosana na jirani yako halafu unaishia kumwaambia kuwa "utaona wewe" halafu kesho nyumba yake inaugua moto (kunyimwa penati/kunyimwa goli) maana yake ni nini?
Nahisi kama kuna harufu ya dishikuyumba humu jf
 
TANAPA kuweni makini na vitendo vinavyokinzana na jitihada zetu za kuvutia utalii nchini.

Timu inayoandika kwenye jezi yake "visit Tanzania, then inafungwa bao 3-0 kwenye mechi inayotazamwa dunia nzima kunapunguza utalii wetu. Timu ameandika Visit Tanzania, then unanunua waamuzi wachezeshe unavyotaka wewe kwenye mechi ambayo inaonekana dunia nzima kunapunguza utalii nchini.

Tuwe makini na Nia njema za timu zetu kwenye kuvutia watalii. Timu inayofungwa 5-0 inavutiaje utalii?

Badala ya visit Tanzania iwe Visit mo Arena
Yanga bhana, endeleeni kunywa mtori, nyama mtazikuta chini! Mechi moja tu na Wanigeria kwisha habari yenu!

😀
😀 😀 😀 😀 😀
 
Sijui huyo utopolo anatumia nini kufikiri.Na huyu ni miongoni mwa wanayanga wanaowafanya Yanga wote waonekane hamnazo . Achana naye . Ana akili za aina tatu tu.
1. Kula
2. Kunya
3.kulala.

Kwa kifupi nilipembetatu.
Simba hamnzo, mko kama mazuzu na misukule ya Barbara na Mo, hebu nitajie nchi nyingine ambayo imeruhusu timu yake moja kwenye ligi ivae jezi iliyoandikwa Visit Rwanda, Kenya, England, Ethiopia, USA, N. Korea, India, nk. Huu ni uzembe mkubwa sana umefanyika kwasababu utalii wetu na taifa letu zima litabeba lawama, udhaifu na umahiri wowote utakaoonyeshwa na hiyo timu kuanzia mdhamini, management, wachezaji na mashabiki wake. Mfano, timu ambayo imewahi kuharibu mali ya taifa kwa kung'oa viti vya uwanja wa taifa itatangazaje utalii wetu?
 
Hata Barcelona hakuna Visit Spain, hii yetu imetoka wapi? ushamba huu utaligharimu taifa. Timu inayopewa kutangaza utalii lazima viongozi na wachezaji wake wapewe semina kwelikweli kuhusu DOs na DONTs ndani na nje ya uwanja vingine tutaharibu jitihada zote zinazofanywa kukuza utalii. Kama waziri anavyosema mechi za simba caf zinatazamwa na watu 5bil duniani basi ajue pia watu 5bil pia wanaangalia timu ikichapwa 5-0, timu pinzani zikinyimwa penati na magoli halali na wachezaji wakiwachezea wenzao rafu mbaya bila kupewa adhabu stahiki. Hii kwenye utalii na watalii ni ile inayoitwa "come easy and go easy". Kwa kuvaa Visit Tanzania Watalii watadhani unyani wote huo una baraka za serikali na TFF ya Tanzania. Timu ina "vichaa" kama Morisson na Mkude itavaaje visit Tanzania? Kwani wachezaji wa Russia na Abramovic wanaathibiwa kwaajili gani? kwani ni wao wameagiza Putin kuivamia Ukraine?
Ushamba unao wewe

Hata mantiki ya hayo matangazo huyajui

Kagame alitangaza visit Rwanda Kwa asenane na psg

Tanzania tulitumia sunderland, Leicester city walitangaza Malaysia nk

Nawaza tu ni nini kilichokufanya ukaacha dawa zako? Unaona sasa umevurugika tena?

Ya Putin yamekujaje?
 
Tatizo sio kufungwa 3, faida imeonekana duniani na watu wanauliza Tanzania Tanzania ni wapi? mwingine ameuliza mimi nasikia SIMBA ila Tanzania sijaisikia.Kufungwa hata hao walioifunga SIMBA wamefungwa goli 3 hapa kwa Mkapa
Hata Russia inatangazwa duniani kote sasa hivi, je, watalii wanakwenda huko? HUwezi kufungwa 5-0, kunyima watu penati, kunyima watu magoli halali na wachezaji wengi kupewa kadi kwa mchezo mbaya halafu usema unaitangaza nchi watalii waje, badala yake unafanya kinyume chake. Hakuna mtalii inaependa kwenye nchi yenye dhuluma, chafu, wezi, dhaifu, nk. Badala ya kutangaza uzuri unatangaza ubaya.
 
Kwanini Visit Rwanda haiko kwenye jezi za timu za Rwanda, APR? elimu yetu imeshuka kwelikweli tusibishe.
Eti kwa nini dah akili zako wewe jamaa... Na mimi nakuuliza kwa nini Botswana hawajitangazi kupitia Arsenal kama Rwanda anavyofanya?
 
Haya sasa nadhani jibu umelipata bwana uto
 
Hata Russia inatangazwa duniani kote sasa hivi, je, watalii wanakwenda huko? HUwezi kufungwa 5-0, kunyima watu penati, kunyima watu magoli halali na wachezaji wengi kupewa kadi kwa mchezo mbaya halafu usema unaitangaza nchi watalii waje, badala yake unafanya kinyume chake. Hakuna mtalii inaependa kwenye nchi yenye dhuluma, chafu, wezi, dhaifu, nk. Badala ya kutangaza uzuri unatangaza ubaya.
 
Back
Top Bottom