Wewe mama j, kama unaona inakuuma simba kupata matokeo kwa Mkapa , kashitaki CAS au kwenye vyombo vyovyote vile vinavyohusika na masuala ya rushwa . Vinginevyo ni kuzidi kuoonesha jinsi watu wa utopolo mlivyo mazuzu.
Ujasiri wa kusema simba kwa Mkapa huwa anapuliza simu vyumbani ndipo ashinde huwa mnautoa wapi?
Simba alimfunga As vita 1 ,0 hukohuko kwao , simba alimfunga Plateu ya Nigeria 1,0 hukohuko kwao , simba alimfunga Mbabane swallows 4,1 hukohuko kwao.Je, huko nako alikuwa anapuliza sumu vyumbani?
Tuwache siasa za kijinga kwenye mpira hazitatusaidia.
Rai yangu , uto kama mpira umewashinda achaneni nao mwendeleze mradi wenu wa ufugaji wa ng'ombe.
Nyie kama mnaona ni sifa nzuri kufungwa nyumbani kama mnavyofungwa nyie kila mwaka , simba hatuna Ujinga kama huo.
Mwisho , Luc Eymael hakukosea kuwaita Manyani sababu ya uropokaji. Naye Mkuu wa Misukule Haji Manara hakukosea kusema; Kule usukuleni wenye unafuu wa akili ni wawili tu , Sunday Manara na JK. Mliobaki hamnazo. Na hiki kinyesi chako ulichoharisha humu kinadhihirisha hilo.
NB; kwa tuhuma hizi unazozitoa ushahidi unao. Upeleke kwa vyombo husika vichukue hatua . vinginevyo tunaita hayo ni majungu na unafiki.