much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Nasema hivyo ni kwenye vyama vyenu tu ila sio kwasisi vidume na bado kwenye ndoa zenu Kuna watoto wetuNaona sindano imekuchoma ! Wewe kama hutaki kuoa subiri kuolewa, si ndio mnavyotaka nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasema hivyo ni kwenye vyama vyenu tu ila sio kwasisi vidume na bado kwenye ndoa zenu Kuna watoto wetuNaona sindano imekuchoma ! Wewe kama hutaki kuoa subiri kuolewa, si ndio mnavyotaka nyie
Walikuwa wanamfukuza kwa uwazi kabisaInaonekana Ile familia haijamridhia yule kaka Ile ni fedheha sana Kwa mwanaume ila ndo mtafute hela hizi dharau ziwapite
Walikua wanapeleka ujumbe wazwaz kua wewe sio type ya mtoto wetu kakijana ka watu kakisukuma kalikua kana tabasmu tu ila Dr Chen mnafiki sana et kalamba dodo [emoji23][emoji23][emoji23]Walikuwa wanamfukuza kwa uwazi kabisa
Tabia za kimasikini hiziNdoa na kuoa ni Gereza lenye ghiriba kubwa , ulaghai wa wazi, uchoyo wa wazi, ubinafsi wa wazi.
Mwanangu Debora tumekupa Ghorofa la Bahari Beach, Nyumba Madale, Kiwanja DSM na Dodoma.
Ndio mtajua hamjui shetani ametawala nyanja ya kuoa na kuolewa.
Msukuma kaolewa kifala sana dharau peupe mwanaume unaolewa ni hovyo.
Endeleeni kushabikia ufala wa kuoa, unaanza kuona chungu kwenye sendoff kisha harusi kudadadadeake.
Mtaendelea kuyaona mengi timu Kataa Kuoa Kataa Ndoa Ina maono ya kimalaika.
Mwenye Video ya Mama Deborah tafadhari attach hapa watu waone uhalisia
Kataa Kuoa Kataa ufala
Pang Fung Mi
Endelea na ufala kupanga ni kuchaguaTabia za kimasikini hizi
Wewe kibwengo kisokolokwinyo mind your businessUmeandika ujinga rubbish takataka
😅😅😅😅Walikua wanapeleka ujumbe wazwaz kua wewe sio type ya mtoto wetu kakijana ka watu kakisukuma kalikua kana tabasmu tu ila Dr Chen mnafiki sana et kalamba dodo [emoji23][emoji23][emoji23]
Buswelu kuna zile dharau?Inaonekana Ile familia haijamridhia yule kaka Ile ni fedheha sana Kwa mwanaume ila ndo mtafute hela hizi dharau ziwapite
PoaNasema hivyo ni kwenye vyama vyenu tu ila sio kwasisi vidume na bado kwenye ndoa zenu Kuna watoto wetu
Muwe mnatuuzia tuu, mtapata hela nyingi kuliko kuolewa.Sasa mkikataa kuoa wote, wenzenu tutaishije tunawategemea mjue 😢
Mimi sijaona kosa la mama. Kwasababu tumezoea kuona wazazi wakitaja zawadi watakazo mpatia mtoto wao.Acha aoe, si masifa wamefanya
Basi watagawana nusu nusu
Ila mtoto wao haukuwa na furaha kusikia anayosema Mama yake..
Hakupendezwa.. Nimempenda hapo.. Ana utu binti yao
Mwingine angekuwa anakenua meno nje nje...
Sometimes siyo lazima mtaje kila kitu mlichompa binti yenu publicly, kwa mwenye busara angetaja vichache tu ambavyo havimshushii heshima kijanaMimi sijaona kosa la mama. Kwasababu tumezoea kuona wazazi wakitaja zawadi watakazo mpatia mtoto wao.
Shida nadhani imeanzia kwenye aina ya zawadi alizotajiwa mtoto imeonekana ni too much ukilinganisha na mume mtarajiwa anavyoonekana mnyonge.
Mimi nadhani shida iko kwa jamaa, kama hali ya kwao ndio ile pangu pakavu tia mchuzi basi amejichanganya, wasukuma wanasema ameligorogosha.
KabisaNdoa na kuoa ni Gereza lenye ghiriba kubwa , ulaghai wa wazi, uchoyo wa wazi, ubinafsi wa wazi.
Mwanangu Debora tumekupa Ghorofa la Bahari Beach, Nyumba Madale, Kiwanja DSM na Dodoma.
Ndio mtajua hamjui shetani ametawala nyanja ya kuoa na kuolewa.
Msukuma kaolewa kifala sana dharau peupe mwanaume unaolewa ni hovyo.
Endeleeni kushabikia ufala wa kuoa, unaanza kuona chungu kwenye sendoff kisha harusi kudadadadeake.
Mtaendelea kuyaona mengi timu Kataa Kuoa Kataa Ndoa Ina maono ya kimalaika.
Mwenye Video ya Mama Deborah tafadhari attach hapa watu waone uhalisia
Kataa Kuoa Kataa ufala
Pang Fung Mi
Usikute umeshayaaga mashindanoUkikataa kuoa maana yake upo tiyari kuolewa, either of the two! Period