Timu kataa Ndoa kataa kuoa video ya Mama Deborah imetoa picha kwa mazezeta ambao wanafagilia Kuoa kwa kutokujua

Timu kataa Ndoa kataa kuoa video ya Mama Deborah imetoa picha kwa mazezeta ambao wanafagilia Kuoa kwa kutokujua

🙆🙆
20250117_104742.jpg
 
Ndoa na kuoa ni Gereza lenye ghiriba kubwa , ulaghai wa wazi, uchoyo wa wazi, ubinafsi wa wazi.

Mwanangu Debora tumekupa Ghorofa la Bahari Beach, Nyumba Madale, Kiwanja DSM na Dodoma.

Ndio mtajua hamjui shetani ametawala nyanja ya kuoa na kuolewa.

Msukuma kaolewa kifala sana dharau peupe mwanaume unaolewa ni hovyo.

Endeleeni kushabikia ufala wa kuoa, unaanza kuona chungu kwenye sendoff kisha harusi kudadadadeake.

Mtaendelea kuyaona mengi timu Kataa Kuoa Kataa Ndoa Ina maono ya kimalaika.

Mwenye Video ya Mama Deborah tafadhari attach hapa watu waone uhalisia

Kataa Kuoa Kataa ufala

Pang Fung Mi
Tabia za kimasikini hizi
 
Acha aoe, si masifa wamefanya

Basi watagawana nusu nusu

Ila mtoto wao haukuwa na furaha kusikia anayosema Mama yake..

Hakupendezwa.. Nimempenda hapo.. Ana utu binti yao

Mwingine angekuwa anakenua meno nje nje...
 
Acha aoe, si masifa wamefanya

Basi watagawana nusu nusu

Ila mtoto wao haukuwa na furaha kusikia anayosema Mama yake..

Hakupendezwa.. Nimempenda hapo.. Ana utu binti yao

Mwingine angekuwa anakenua meno nje nje...
Mimi sijaona kosa la mama. Kwasababu tumezoea kuona wazazi wakitaja zawadi watakazo mpatia mtoto wao.

Shida nadhani imeanzia kwenye aina ya zawadi alizotajiwa mtoto imeonekana ni too much ukilinganisha na mume mtarajiwa anavyoonekana mnyonge.

Mimi nadhani shida iko kwa jamaa, kama hali ya kwao ndio ile pangu pakavu tia mchuzi basi amejichanganya, wasukuma wanasema ameligorogosha.
 
Kama mwanaume unataka kuoa basi oa mwanamke mwenye pesa na mali...
Ila usifanye upumbav wa kuoa mwanamke jobless masikini hana mbele wala nyuma. Hizo shida na dhiki zake muachie ateseke nazo na ndugu zake...
Haiwezekan umpe jina lenye heshima (Mrs fulani...) Halafu hana pesa na mali...

Kataa ndoa ni upuuzi ushamba uoga utoto usengerema ushenzi ushetani
 
Mimi sijaona kosa la mama. Kwasababu tumezoea kuona wazazi wakitaja zawadi watakazo mpatia mtoto wao.

Shida nadhani imeanzia kwenye aina ya zawadi alizotajiwa mtoto imeonekana ni too much ukilinganisha na mume mtarajiwa anavyoonekana mnyonge.

Mimi nadhani shida iko kwa jamaa, kama hali ya kwao ndio ile pangu pakavu tia mchuzi basi amejichanganya, wasukuma wanasema ameligorogosha.
Sometimes siyo lazima mtaje kila kitu mlichompa binti yenu publicly, kwa mwenye busara angetaja vichache tu ambavyo havimshushii heshima kijana
 
Ndoa na kuoa ni Gereza lenye ghiriba kubwa , ulaghai wa wazi, uchoyo wa wazi, ubinafsi wa wazi.

Mwanangu Debora tumekupa Ghorofa la Bahari Beach, Nyumba Madale, Kiwanja DSM na Dodoma.

Ndio mtajua hamjui shetani ametawala nyanja ya kuoa na kuolewa.

Msukuma kaolewa kifala sana dharau peupe mwanaume unaolewa ni hovyo.

Endeleeni kushabikia ufala wa kuoa, unaanza kuona chungu kwenye sendoff kisha harusi kudadadadeake.

Mtaendelea kuyaona mengi timu Kataa Kuoa Kataa Ndoa Ina maono ya kimalaika.

Mwenye Video ya Mama Deborah tafadhari attach hapa watu waone uhalisia

Kataa Kuoa Kataa ufala

Pang Fung Mi
Kabisa
Kuoa si uhakika wa kupata kimoja cha usiku au usubuhi
 
Back
Top Bottom