Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Lakini haitaondoa uhalisia kuwa hivyo vitu vipoSometimes siyo lazima mtaje kila kitu mlichompa binti yenu publicly, kwa mwenye busara angetaja vichache tu ambavyo havimshushii heshima kijana