Timu mbovu ya Yanga imewezaje kuongoza ligi hadi sasa?

Timu zengine ni mbovu zaidi
 

Unajua hata vilaza hawakosi kiongozi[emoji196][emoji196][emoji196]
 
We hujui wamebebwa sana?
Maana ni wacheza mieleka sasa wamekutana na wacheza mieleka wenzao
 
Na sisi tutaanza kuingia na MAPAKA kwenye mechi zetu zijazo [emoji82][emoji80][emoji80][emoji82][emoji79][emoji79] ili tupate ushindi wa 4 - 0!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ