OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Simba ndio timu inayoongoza kufungwa na YANGANa wewe timu yako mbona Inabutuliwa tu kila siku na Yanga ko na wewe ni kibonde?
Kinyume fc umepata wapi nguvu ya kuandika huu uharo..FT: TP Mazembe 0-2 Monastir
Huwezi kujiona una timu kwa kuifunga TP Mazembe nyumbani. TP Mazembe ni ile ya kina Samata au hii ya juzi kati ya kina Baleke.
Timu mpaka inafungwa na Utopolo hiyo sio timu ni kikundi cha wahuni. Yaani mgonjwa mahututi anakuja kupigia chafya kwako.
Angalia hapo inapigwa na Monastir 2 kwao. Nilikuwa Mazembe ilikuwaje mpaka wakashiriki kombe la losers? Sasa nimepata majibu. Kwenye hili kundi timu ni Monastir tu.
Muanzisha Uzi tunamvumilia tu mapungufu yake maana kila ukitembelea nyuzi zake unakutana na umbumbumbu ulokuthiri.Simba ndio timu inayoongoza kufungwa na YANGA
Simba ndio timu inayoongoza kufungwa na kibonde wetu tp MAZEMBE
Mashabiki wa THIMBA wengi wao ni mumbumbu hawajielewi.
Huyu nahisi ubongo wake haupo vizuri.Muanzisha Uzi tunamvumilia tu mapungufu yake maana kila ukitembelea nyuzi zake unakutana na umbumbumbu ulokuthiri.
Kila siku hua nalisema hili, tatizo la mashabiki wa Simba ni moja tu kujiona wao ndio wanahaki ya kushinda na wao ndio wana timu ila wengine wote hawana timu,. Ila kiuhalisia wao sasa kipindi hiki ndio hawana timu wala wachezaji ,, Yanga ya sasa sio level zenu..FT: TP Mazembe 0-2 Monastir
Huwezi kujiona una timu kwa kuifunga TP Mazembe nyumbani. TP Mazembe ni ile ya kina Samata au hii ya juzi kati ya kina Baleke.
Timu mpaka inafungwa na Utopolo hiyo sio timu ni kikundi cha wahuni. Yaani mgonjwa mahututi anakuja kupigia chafya kwako.
Angalia hapo inapigwa na Monastir 2 kwao. Nilikuwa Mazembe ilikuwaje mpaka wakashiriki kombe la losers? Sasa nimepata majibu. Kwenye hili kundi timu ni Monastir tu.
We Simba si ilikukanda 5-0Na wewe timu yako mbona Inabutuliwa tu kila siku na Yanga ko na wewe ni kibonde?
Wazee wa 5-0 utopoloSimba ndio timu inayoongoza kufungwa na YANGA
Simba ndio timu inayoongoza kufungwa na kibonde wetu tp MAZEMBE
Mashabiki wa THIMBA wengi wao ni mbumbumbu hawajielewi.
Kuna wakati unajishushia hadhi ujue.FT: TP Mazembe 0-2 Monastir
Huwezi kujiona una timu kwa kuifunga TP Mazembe nyumbani. TP Mazembe ni ile ya kina Samata au hii ya juzi kati ya kina Baleke.
Timu mpaka inafungwa na Utopolo hiyo sio timu ni kikundi cha wahuni. Yaani mgonjwa mahututi anakuja kupigia chafya kwako.
Angalia hapo inapigwa na Monastir 2 kwao. Nilikuwa Mazembe ilikuwaje mpaka wakashiriki kombe la losers? Sasa nimepata majibu. Kwenye hili kundi timu ni Monastir tu.
FT: TP Mazembe 0-2 Monastir
Huwezi kujiona una timu kwa kuifunga TP Mazembe nyumbani. TP Mazembe ni ile ya kina Samata au hii ya juzi kati ya kina Baleke.
Timu mpaka inafungwa na Utopolo hiyo sio timu ni kikundi cha wahuni. Yaani mgonjwa mahututi anakuja kupigia chafya kwako.
Angalia hapo inapigwa na Monastir 2 kwao. Nilikuwa Mazembe ilikuwaje mpaka wakashiriki kombe la losers? Sasa nimepata majibu. Kwenye hili kundi timu ni Monastir tu.
NakaziaFT: TP Mazembe 0-2 Monastir
Huwezi kujiona una timu kwa kuifunga TP Mazembe nyumbani. TP Mazembe ni ile ya kina Samata au hii ya juzi kati ya kina Baleke.
Timu mpaka inafungwa na Utopolo hiyo sio timu ni kikundi cha wahuni. Yaani mgonjwa mahututi anakuja kupigia chafya kwako.
Angalia hapo inapigwa na Monastir 2 kwao. Nilikuwa Mazembe ilikuwaje mpaka wakashiriki kombe la losers? Sasa nimepata majibu. Kwenye hili kundi timu ni Monastir tu.