Yanga sio kubwa bali ni kongwe huo ndio ukweli uto. Hakuna tofauti ya maana kati ya yanga na Ihefu maana ubingwa wa ligi wa zaidi ya 20 hauku wasaidia msiwe omba omba kama vile ni timu iliyopanda daraja.Utopolo ni timu kongwe.Yanga amewazidi parefu sana Makolo, huu wote ni wivu..
Hebu nikumbushe Kolo mara ya mwsho kumfunga Yanga ni lini... ?
Na nakufahamisha tu, mtahastle San kuifinga Yanga ndani ya miaka 10 mtaendelea kupokea vichapo na kombe mtalisikia tu likitua pale Jangwani.
Yanga hii sio size yenu kabisa madogo.. Yanga ni Timu kubwa mno