XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Na yanga ndio timu inayoongoza kupigwa nyingi na simba,, 6-0, 5-0, 4-1 etcNa wewe timu yako mbona Inabutuliwa tu kila siku na Yanga ko na wewe ni kibonde?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na yanga ndio timu inayoongoza kupigwa nyingi na simba,, 6-0, 5-0, 4-1 etcNa wewe timu yako mbona Inabutuliwa tu kila siku na Yanga ko na wewe ni kibonde?
Waambiage hao Ngada FC Sembe FC Pusha FC Punda FC Bwimbwi FC.Simba ndio timu inayoongoza kufungwa na YANGA
Simba ndio timu inayoongoza kufungwa na kibonde wetu tp MAZEMBE
Mashabiki wa THIMBA wengi wao ni mbumbumbu hawajielewi.
Huwezi kumfananisha muzamilu na Serge Mukoko Tonombe labda ujitoe ufahamu kama mbumbumbuMazembe walipoanza kusajili wachezaji calibre ya Mukoko Tonombe ndipo nilipoamini hii timu imeanza kujifia
Waambiage hao Ngada FC Sembe FC Pusha FC Punda FC Bwimbwi FC.
Imetosha mkuu, awawezi kuludi hapa,, mimi ndio mtu wa mwisho nafunga uziMabingwa wa Afrika Simba Sc Vs Vibonde maji wa Afrika Tp Mazembe.
Kweli Rage aliiona mbali.[emoji16]View attachment 2532140View attachment 2532142
Sent using Jamii Forums mobile app
We kweli Juha. Unashaangaa Monastir kuifunga kwao Mazembe 2-0. Alafu hushangai Casablanca kuifunga kwao Simba 3-0.FT: TP Mazembe 0-2 Monastir
Huwezi kujiona una timu kwa kuifunga TP Mazembe nyumbani. TP Mazembe ni ile ya kina Samata au hii ya juzi kati ya kina Baleke.
Timu mpaka inafungwa na Utopolo hiyo sio timu ni kikundi cha wahuni. Yaani mgonjwa mahututi anakuja kupigia chafya kwako.
Angalia hapo inapigwa na Monastir 2 kwao. Nilikuwa Mazembe ilikuwaje mpaka wakashiriki kombe la losers? Sasa nimepata majibu. Kwenye hili kundi timu ni Monastir tu.
Huyu jamaa na Popoma Genta ni mtoto wa baba mdogo na baba mkubwa. Akili zao zinatenganishwa na uzi mwembamba sana.Kuna wakati unajishushia hadhi ujue.
Anaudhi hata timu kama unaichukia, siyo hivyoHuyu jamaa na Popoma Genta ni mtoto wa baba mdogo na baba mkubwa. Akili zao zinatenganishwa na uzi mwembamba sana.
Sio kikundi cha wahuni, wahuni wakiamua lao mbona mtahama mtaa, hao ni kikundi cha walevi.FT: TP Mazembe 0-2 Monastir
Huwezi kujiona una timu kwa kuifunga TP Mazembe nyumbani. TP Mazembe ni ile ya kina Samata au hii ya juzi kati ya kina Baleke.
Timu mpaka inafungwa na Utopolo hiyo sio timu ni kikundi cha wahuni. Yaani mgonjwa mahututi anakuja kupigia chafya kwako.
Angalia hapo inapigwa na Monastir 2 kwao. Nilikuwa Mazembe ilikuwaje mpaka wakashiriki kombe la losers? Sasa nimepata majibu. Kwenye hili kundi timu ni Monastir tu.
NakaziaTimu ya maana haiwezi kufungwa na yanga kwenye mashindano ya maana. Huo ndio ukweli.
Mbumbumbu wa pili! Muda si mrefu Mbumbumbu mtafika dazeniNakazia