Timu mpaka inafungwa na Utopolo CAF basi kimeo

Timu mpaka inafungwa na Utopolo CAF basi kimeo

Mazembe walipoanza kusajili wachezaji calibre ya Mukoko Tonombe ndipo nilipoamini hii timu imeanza kujifia
 
Simba ndio timu inayoongoza kufungwa na YANGA
Simba ndio timu inayoongoza kufungwa na kibonde wetu tp MAZEMBE
Mashabiki wa THIMBA wengi wao ni mbumbumbu hawajielewi.
Waambiage hao Ngada FC Sembe FC Pusha FC Punda FC Bwimbwi FC.
 
Mabingwa wa Afrika Simba Sc Vs Vibonde maji wa Afrika Tp Mazembe.

Kweli Rage aliiona mbali.[emoji16]
Screenshot_20230227-231957.jpg
Screenshot_20230227-232504.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
FT: TP Mazembe 0-2 Monastir

Huwezi kujiona una timu kwa kuifunga TP Mazembe nyumbani. TP Mazembe ni ile ya kina Samata au hii ya juzi kati ya kina Baleke.

Timu mpaka inafungwa na Utopolo hiyo sio timu ni kikundi cha wahuni. Yaani mgonjwa mahututi anakuja kupigia chafya kwako.

Angalia hapo inapigwa na Monastir 2 kwao. Nilikuwa Mazembe ilikuwaje mpaka wakashiriki kombe la losers? Sasa nimepata majibu. Kwenye hili kundi timu ni Monastir tu.
We kweli Juha. Unashaangaa Monastir kuifunga kwao Mazembe 2-0. Alafu hushangai Casablanca kuifunga kwao Simba 3-0.
 
FT: TP Mazembe 0-2 Monastir

Huwezi kujiona una timu kwa kuifunga TP Mazembe nyumbani. TP Mazembe ni ile ya kina Samata au hii ya juzi kati ya kina Baleke.

Timu mpaka inafungwa na Utopolo hiyo sio timu ni kikundi cha wahuni. Yaani mgonjwa mahututi anakuja kupigia chafya kwako.

Angalia hapo inapigwa na Monastir 2 kwao. Nilikuwa Mazembe ilikuwaje mpaka wakashiriki kombe la losers? Sasa nimepata majibu. Kwenye hili kundi timu ni Monastir tu.
Sio kikundi cha wahuni, wahuni wakiamua lao mbona mtahama mtaa, hao ni kikundi cha walevi.
 
Timu ya maana haiwezi kufungwa na yanga kwenye mashindano ya maana. Huo ndio ukweli.
 
Yanga amewazidi parefu sana Makolo, huu wote ni wivu..
Hebu nikumbushe Kolo mara ya mwsho kumfunga Yanga ni lini... ?
Na nakufahamisha tu, mtahastle San kuifinga Yanga ndani ya miaka 10 mtaendelea kupokea vichapo na kombe mtalisikia tu likitua pale Jangwani.

Yanga hii sio size yenu kabisa madogo.. Yanga ni Timu kubwa mno
 
Kwa Forehead yako iko na ujinga ati simba ni big club ilihali inanyorosha back to back na yanga
 
Back
Top Bottom