Timu mpaka inafungwa na Utopolo CAF basi kimeo

Yanga sio kubwa bali ni kongwe huo ndio ukweli uto. Hakuna tofauti ya maana kati ya yanga na Ihefu maana ubingwa wa ligi wa zaidi ya 20 hauku wasaidia msiwe omba omba kama vile ni timu iliyopanda daraja.Utopolo ni timu kongwe.
 
Sometimes ushabiki unafanya watu wanakuwa wanaweka akili pembeni na kubaki empty kichwani....mzee najua we ni shabiki wa Simba, sasa jiulize Mara ya mwisho Simba kuishinda Yanga ilikuwa lini? Yani kwa sasa unaamini Simba ipo imara kuliko Yanga? Una matatizo wewe
 
NBC PL imejaa Vimeo anaongoza.
Kuna kimeo alikimwagia kombe FA mbele nyuma mfululizo
 

Hapo kwenye afrika kadanganye wanao anza kufwatilia pila leo
 
Mazembe yamekuwa mazembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…