Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Simba ni timu tunayojiamini hata mashabiki wake wanajielewa.
Kwa upande wa Yanga hamjiamini mnaiba iba wachezaji wetu .
Mnawaita kisiri kama wachawi halafu mnawawekea madawa yenu ya kichawi nakuwawekea fitina ili wahamie huko.
Kama mnajiamini acheni wachezaji wetu tafuteni wenu na mjiamini.
Namuwape mazoezi yakutosha ili wajue kucheza sio nasio mnahangaika na Simba tu acheni huo ni wizi.
Acheni wizi mbona sisi hatuhangaiki na wakwenu
Imetosha kwa usumbufu mnaboa jamani.
Kha acheni uboya .
Kwa upande wa Yanga hamjiamini mnaiba iba wachezaji wetu .
Mnawaita kisiri kama wachawi halafu mnawawekea madawa yenu ya kichawi nakuwawekea fitina ili wahamie huko.
Kama mnajiamini acheni wachezaji wetu tafuteni wenu na mjiamini.
Namuwape mazoezi yakutosha ili wajue kucheza sio nasio mnahangaika na Simba tu acheni huo ni wizi.
Acheni wizi mbona sisi hatuhangaiki na wakwenu
Imetosha kwa usumbufu mnaboa jamani.
Kha acheni uboya .