Timu yangu Simba na mashabiki wote

Timu yangu Simba na mashabiki wote

Mpira huchezwa hadharani. Kwa kweli leo UTO wamelimwaga biriani ambalo msimu uliopita tulikuwa tunalipiga na kwa sasa hatuwezi tena, ni ukweli ambao baadhi ya wana Simba hawapendi kuusikia, ni kwa sababu tuliuza hazina zetu mbili na kufifiza ile ndoto ya kwenda mpaka fainali ya CAF.
Ukisikiliza wachambuzi wengi huongelea jinsi kiwango chetu kilivyoshuka ukilinganisha na msimu uliopita. Cha kushangangaza kinachoongelewa ni pengo lao na simsikii mwana Simba yoyote akijigamba kwa bulungutu tulilolipata kwa kuwauza wale mabwana hodari kabisa na roho timu. Naona tutawaongelea kwa muda mrefu sana.
Kimpira, UTO wame-improve sana na upo uwezekano wakainua makwapa mwaka huu kama nasi uchezaji wetu ukiendelea kama ulivyo sasa hivi. Mimi ni mwanamichezo na nimeisha jipanga kisaikojia kwa matokeo yoyote. Nililipenda goli lao la pili na kunikumbusha kuwa hayo ndio yalikuwa magoli yetu yaliyokuwa yakitupa furaha misimu kadhaa iliyooita.
Kupanga ni kuchagua. Kuna mtu ataambulia bulungutu. Mwingine basi jipya na labda mwingine atainua kwapa baada miaka minne,
Who knows, time will tell.
 
Naona kabisa kwa trend hii tunaenda kupotea. Huu mwendelezo wa kila mtu kulaumu ooh timu mbovu mara wachezaji hawachezi mara sijui Mo kafanyaje kwakweli itenda kutugharimu... kivipi

1) Hii hali inashusha morale ya wachezaji na kujisikia inferior kwa sababu hata sisi tuu tunaowashangilia tunawavunja moyo kwa kuwasema wakikosea kidogo. Mkunbuke ni hawahawa walikuwepo msimu ulopita hao wawili waliouzwa kina Chama hawakuwa wanacheza wenyewe bali ilikua wanacheza as a team hivyo basi tuombe Mungu tupate mwalimu atakae weka formart ya timu vzr.

2) Hii ishu inawapa faida upande wa pili kwa kujiona wao ni unstopable yani wao ni washindi,hii mentality ya kuona kwamba wao mwaka huu kombe ni lao tayari huo ni ushindi tosha. Mind set zao zinajiweka ki ushindi kitu ambacho bado mapema sana kusema wao ni washindi ndo kwaaanza ligi imeanza.

Ushauri wangu kwa wanasimba wenzangu wale tunaopenda timu yetu. Wale tulozaliwa tukajikuta ni Simba yani toka wadogo tunaipenda Simba kwanza tusiache kuipenda timu yetu tuipende mnoooo na tuipende kuliko siku zote, tuwape moyo wachezaji wetu ,tuwaambie wanaweza.

Halafu kingine acheni kuwapa vichwa utopolo kwanini mnawasifia sifia hivyo? Hata kama wana timu nzuri kaeni navyo moyoni huku kudeclare direct kuwa ni wazuri ni failure kubwa kwetu. Mwisho nasema hiviiii Simba tunachukua kombe kwa mara ya tano mfululizo huu uzi mtaufufua mwakani mwisho wa ligi. ...
Alamsiki
Acha wanasimba watapike nyongo ni ujinga una striker bocco age 36 kagere 35 wawa beki35 then wanaanza first eleven unaona kabasa wanavo hangaika akili zinataka miili inakataa kwa nini wana simba wasitapike nyongo ? Nahao nimetolea mfano wapo wachezaji wengi ambao wako hoi Bini taabani.Na huo ndio udhaifu wa Management nzima ya Simba haikujipanga vyema wacha wana simba waseme ya moyoni
 
Simba tumesajili vibaya- wachezaji wote wapya- viwango vyao sio vizuri- na wale wa zamani wamechokai- Simba bado inahitaji- kiungo mkabaji- kiungo mshambuliaji- na mshambuliaji- bila kufanya hivyo- Mwaka huu tuta feli kabisa
 
Mimi natamani watu wa uto na wale Simba mguu nje ndani waendelee kuwavimbisha uto kuwa wanabeba ubingwa na kuwapa kila sifa ,hii Ina faida Sana kwa Simba.
Simba Mara nyingi anaanza kinyonge sana full presha Ila gari likiwaka linawaka kweli kweli wakat upande wa pili wakiendelea kujiaminisha watakuja pigwa na mbeya city pale sokoine au kule sumbawaga kwa wajera jera ndipo sasa presha itakuwa sehemu yao na msimu kuyoyoma hatmae muda wa kupewa lawama karia na marefa utawadia katika sehemu yake.

Unbeaten haijaanza huu msimu nadhan Ni neno lililozoeleka kwa Wana uto hasa mzunguko wa kwanza ,so sishangai kwa hizi kelele na Tambo za kila namna .

Mahesab mwisho wa msimu ,alafu nilitamani Simba hata huko shirikisho atoke mapema tu ili wajipange upya kupitia ligi kuu ,kusiwe na viporo vya mechi wanavyolalamikia kila kukicha Hawa uto .
 
Simba tumesajili vibaya- wachezaji wote wapya- viwango vyao sio vizuri- na wale wa zamani wamechokai- Simba bado inahitaji- kiungo mkabaji- kiungo mshambuliaji- na mshambuliaji- bila kufanya hivyo- Mwaka huu tuta feli kabisa
Nakubalina na wewe hapo kwa mshambuliaj pekee Ila sehem zingine pako poa tu sio kinyonge ni swala la muda tu.
Beki anzisha onyango na innonga au Kennedy na innonga Mambo ni bambam,

Pemben anzisha zimbwe ,kule weka mwenda ,kapombe awe anatokea sub , katikat Ni utitir wa viungo ni kocha tu anaamua aanze na kina Nan ,mrishaji kwa maana no kumi bwalya anatosha Sana Tena Sana , tatizo lipo pale mbele ,Mugalu ni mtu Ila Hana shabaha ,kibu ni mtu Ila Ana wenge Sana ,kagere na bocco wangepisha tu dirisha dogo
 
Simba bado ndio timu bora Tanzania.

Usitishwe na Utopolo wanakutana na timu mbovu. Ukitoa Simba timu bora Tanzania kwa sasa ni Polisi Tz, Biashara na Dodoma jiji.

Subiri uwaone wagosi wa kaya pira tutakalowachezea.
Ina ubora upi tena?
 
Nimekubali kwa gemu ya jana na azam.. utoh wameimarika mno. Ila kombe haliendi kwao.. litabaki unyamani
 
Mimi natamani watu wa uto na wale Simba mguu nje ndani waendelee kuwavimbisha uto kuwa wanabeba ubingwa na kuwapa kila sifa ,hii Ina faida Sana kwa Simba.
Simba Mara nyingi anaanza kinyonge sana full presha Ila gari likiwaka linawaka kweli kweli wakat upande wa pili wakiendelea kujiaminisha watakuja pigwa na mbeya city pale sokoine au kule sumbawaga kwa wajera jera ndipo sasa presha itakuwa sehemu yao na msimu kuyoyoma hatmae muda wa kupewa lawama karia na marefa utawadia katika sehemu yake.

Unbeaten haijaanza huu msimu nadhan Ni neno lililozoeleka kwa Wana uto hasa mzunguko wa kwanza ,so sishangai kwa hizi kelele na Tambo za kila namna .

Mahesab mwisho wa msimu ,alafu nilitamani Simba hata huko shirikisho atoke mapema tu ili wajipange upya kupitia ligi kuu ,kusiwe na viporo vya mechi wanavyolalamikia kila kukicha Hawa uto .
Bata fc acha tuendelee kujifariji
 
Baiskeli ya miti tu hiyo kwenye mipando itafahamika tu
#Nguvumoja
 
Naona kabisa kwa trend hii tunaenda kupotea. Huu mwendelezo wa kila mtu kulaumu ooh timu mbovu mara wachezaji hawachezi mara sijui Mo kafanyaje kwakweli itenda kutugharimu... kivipi

1) Hii hali inashusha morale ya wachezaji na kujisikia inferior kwa sababu hata sisi tuu tunaowashangilia tunawavunja moyo kwa kuwasema wakikosea kidogo. Mkunbuke ni hawahawa walikuwepo msimu ulopita hao wawili waliouzwa kina Chama hawakuwa wanacheza wenyewe bali ilikua wanacheza as a team hivyo basi tuombe Mungu tupate mwalimu atakae weka formart ya timu vzr.

2) Hii ishu inawapa faida upande wa pili kwa kujiona wao ni unstopable yani wao ni washindi,hii mentality ya kuona kwamba wao mwaka huu kombe ni lao tayari huo ni ushindi tosha. Mind set zao zinajiweka ki ushindi kitu ambacho bado mapema sana kusema wao ni washindi ndo kwaaanza ligi imeanza.

Ushauri wangu kwa wanasimba wenzangu wale tunaopenda timu yetu. Wale tulozaliwa tukajikuta ni Simba yani toka wadogo tunaipenda Simba kwanza tusiache kuipenda timu yetu tuipende mnoooo na tuipende kuliko siku zote, tuwape moyo wachezaji wetu ,tuwaambie wanaweza.

Halafu kingine acheni kuwapa vichwa utopolo kwanini mnawasifia sifia hivyo? Hata kama wana timu nzuri kaeni navyo moyoni huku kudeclare direct kuwa ni wazuri ni failure kubwa kwetu. Mwisho nasema hiviiii Simba tunachukua kombe kwa mara ya tano mfululizo huu uzi mtaufufua mwakani mwisho wa ligi. ...
Alamsiki
Muandiko wa kiume sana huu
 
Simba bado ndio timu bora Tanzania.

Usitishwe na Utopolo wanakutana na timu mbovu. Ukitoa Simba timu bora Tanzania kwa sasa ni Polisi Tz, Biashara na Dodoma jiji.

Subiri uwaone wagosi wa kaya pira tutakalowachezea.
Vp? Pira mlilowachezea
 
Back
Top Bottom