Timu yenu iliyowapa ushujaa imeshuka daraja

Timu yenu iliyowapa ushujaa imeshuka daraja

Mpira wa miguu wakati fulani unategemea bahati sana.Sajili vizuri,jiweke vizuri kisha subiri bahati inaweza kukubeba.

Haya mashujaa mliowatoa timu dhaifu kuliko zote Afrika kusini,njooni hapa mtukane kuondoa uchungu mioyoni mwenu maana mmejaa sifa na hampendi habari kama hizi.

Nilikuwa najiuliza kwa nini ijapo mpo fainali hamna furah!?Kumbe njia mliyopita mkiwaza tu mnaona aibu mnabaki kuisema Simba ili mpate furaha.

Hata hivyo Simba iliwasokota bao mbili msijisahaulishe hili pia
Zingine ni stori na mbwembwe za vijiwe vya kahawa tu. Kikubwa watani zetu wametinga fainali. Tuwapongeze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpira wa miguu wakati fulani unategemea bahati sana.Sajili vizuri,jiweke vizuri kisha subiri bahati inaweza kukubeba.

Haya mashujaa mliowatoa timu dhaifu kuliko zote Afrika kusini,njooni hapa mtukane kuondoa uchungu mioyoni mwenu maana mmejaa sifa na hampendi habari kama hizi.

Nilikuwa najiuliza kwa nini ijapo mpo fainali hamna furah!?Kumbe njia mliyopita mkiwaza tu mnaona aibu mnabaki kuisema Simba ili mpate furaha.

Hata hivyo Simba iliwasokota bao mbili msijisahaulishe hili pia
Mashabiki wa Yanga tupewe ulinzi, 😉😉
 
Simba inajulikana nje ya Afrika kuliko yanga

Zote ni timu za Tanzania nazi support zikicheza continental
.
 
Hebu kua serious kidogo basi mleta mada. Yani wanayanga tuko na uchungu? Kweli kabisa?

Tushinde ligi, tufike fainali huko kimataifa, alafu bado tuwe na uchungu? Makolo si watakua wamezaa tayari!
 
Makolo nendeni mkauze sabuni
20230517_112503.jpg
 
Sasa kwani yanga walipeleka barua caf kuwaomba wapangiwe na marumo? Au huyo marumo nafasi ya kucheza caf wameipataje au ligi ya south wanachukua washindi wanne kutoka mwisho? Au wanarusha shilingi hili washiriki wapatikane ? Hapo wazomeeni south africa ligi yao kutoa wawakilishi wabovu wakija uku ni kuwapiga tu akuna namna
 
Kila nikitaka kuisifu Yanga kuwa Ni timu Bora Africa huwa naishiwa nguvu. Ona Sasa timu iliyowasumbua na kuwakosa kosa mabao nusu fainali malumo Sasa imechapwa mbili bila na kushuka daraja South Afrika. Huku timu inayoongoza ligi hiyo hiyo kwa point karibu karibu 16 juu ya mshindi wa pili. Kifupi timu isiyoshikiks south Africa Mamelod ikitolewa klabu bingwa kwa muda wa kawaida na wydad timu Ambayo aliwatoa kwa matuta baada ya kunusurika kipigo Cha mbwa mwizi kwa mkapa*


Tunapoenda kusifu au kulinda Simba au Yanga kimataifa tuwe tunaangalia na njia walizopitia.

Kumbuka timu iliyowaondosha Yanga klabu bingwa ilichabangwa na mabingwa Hawa wa south afrika kwenye group stage na kutovuka makundi.
Aibu naona mie
 
Twende kwa fact sio unasema tu haiwezekani bila kuweka misingi ya hoja.

Hawa Marumo kwa South Africa si dhaifu si ndio, je unaweza kuniambia ni kwanini timu dhaifu ya kutoka South Africa imemfunga timu inayoshika nafasi ya tatu ( tofauti ya point 2 na iyeshika nafasi huku wakiwa na game mbili mkononi) ambao ni Pyramids ambao pia ni washindi kwenye kombe la shirikisho Misri.

Nipe sababu kwanini hii tumu dhaifu kutoka South Africa imeifunga goli mbili kwa bila timu inayoshika nafasi ya nane kwenye ligi ya Algeria (USM Alger)?

Nipe sababu kwanini timu dhaifu kutoka South Africa imeifunga nje ndani timu ya pili kwenye msima wa ligi ya Congo (Sait eloi Lupopo)

Nipe sababu kwanini timu dhaifu kutoka South Africa imeifunga timu za juu kwenye msimamo wa ligi ya Libya (Al Ahli Tripoli na Al Akhdar)

Nipe sababu ya hawa Marumo kushindwa kung'ara endapo wangekuwa kwenye ligi za nchi zingine.
Unaongelea maluzaz tu hao wote.
Ukweli unabaki pale pale kwani ni record ti mu iliyoshuka daraja kufika semi final.

Ndio maana kuna timu ilifika fanal na haisifu.
 
House girl ahheshimiwe, labda kubaka kuku na mbuzi[emoji23][emoji23][emoji23]
Wafugaji ndo zenu hizo kushindana na mabeberu na majogoo.

Ndio maana unashabikia yanga maana huwezi kufikiria kumfanyia vitendo hivyo Simba
 
Unaongelea maluzaz tu hao wote.
Ukweli unabaki pale pale kwani ni record ti mu iliyoshuka daraja kufika semi final.

Ndio maana kuna timu ilifika fanal na haisifu.
Una maoni gani kwa Kabylie iliyoshiriki robo fainali ya klabu bingwa?
 
Wote mmeongozana vichwa maji wa mchezo wa mpira wa miguu
Hao wa Marumo mpaka wamefika hapo kwenye nusu fainali walicheza na timu zina,oshuka daraja wenzie? Mbona hushangai Kabylie alifika robo fainali klabu bingwa na huku wakiwa nafasi za chini kabisa kwenye msimamo wa ligi ya Algeria.

Hao Marumo mpaka wanafika hatua hiyo wamemtoa Pyramids timu ya tatu kwa ubora ligi ya Misri. Pia hao Pyramids imecheza fainali kombe la Egypt FA msimu huu na kutoa sare na Al Ahly ndani ya dakika 90. Hivyo Pyramids ni moja ya timu bora kabisa Misri.

Ligi za ndani haiwezi kuhukumu ubira au ubovu wa timu kwasababu kila ligi ina kiwango chake cha ubora tofauti na ligi ya nchi nyingine. Timu inaweza kushuka daraja nhi fulani lakini ikaenda nchi nyingine ikabeba ubingwa.

Marumo katika kundi lake alikuwa pamoja na huyu anayecheza fainali na Yanga, na walikula goli mbili pale South Africa. Na ndio timu pekee ambayo kwenye uwanja wao wa nyumbani kwenye kombe la shirikisho hawakuwa kufungwa.

Pendeni mpira kuliko kupnda timu, hayo madhara yake
Sasa ndio uandike mgazeti wote huu,kwani uongo kuwa jamaa wameshuka daraja,????NI KWELI
 
Mie najua timu zote wamejitahidi mpaka hapo . Acheni fitina halafu mie SIMBA ina mvuto nyie hamna mvuto na t-shirt kama mazingira wai , siwezi shangilia yanga haya iweje timu ya ajabu ajabuwoi
 
Wafugani ndo zenu hizo kushindana na mabeberu na majogoo.

Ndio maana unashabikia yanga maana huwezi kufikiria kumfanyia vitendo hivyo Simba
Unaumiaje sasa, Simba kitu hana buana juzi hapa karambishwa ice cream akatulia utaniambia nini
 
Nipe sababu ya hawa Marumo kushindwa kung'ara endapo wangekuwa kwenye ligi za nchi zingine.
Wameshindwa kung'ara kwenye ligi yao, wakang'arw kwenye ligi nyingine?

Kamfunga huyu, kamfunga yule...ni sawa tu na Yanga, si kawafunga wote kwenye uchochoro aliopitia?

Ebu ongea kwa hizo facts, angalau kwa kuangalia RANKS ndani ya Africa, kisha uziweke hizo timu zote hapa kwa rank zao wakati wanapigwa na Marumo!
 
Back
Top Bottom