Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Ligi ya drc,linafoot imesimama muda tu,kwa sababu za kisiasa
Hizo timu zote zinakosa match fitness,wanacheza mechi za kimataifa tu
Kingine siasa ya drc ,maana hizo timu nyuma yake zina wanasiasa.
Mfn,tp mazembe na katumbi
lupopo ni timu ya serikali shirika la reli congo
as vita ni ya kamanda tango four
Hizo timu zote zinakosa match fitness,wanacheza mechi za kimataifa tu
Kingine siasa ya drc ,maana hizo timu nyuma yake zina wanasiasa.
Mfn,tp mazembe na katumbi
lupopo ni timu ya serikali shirika la reli congo
as vita ni ya kamanda tango four