kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
GSM ligi kaiharibu sana huoni biashara mnayofanya na singida!Bado aujasema na utasemaa,,na bado amjamtaja gsm anaharibu ligi vijana wa mangungu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GSM ligi kaiharibu sana huoni biashara mnayofanya na singida!Bado aujasema na utasemaa,,na bado amjamtaja gsm anaharibu ligi vijana wa mangungu!
Nyie biashara mnayofanya na marefa kuwapa penalty na magori ya mchongo amuioni?GSM ligi kaiharibu sana huoni biashara mnayofanya na singida!
Sasa ktk misimu hii miwili timu za jeshi na nyie Kolo FC mnatofauti gani au na nyie mnapewa amri ushagongwa na Yanga mara nne mfululizo.Hizi timu za majeshi wakicheza na yanga wanakwenda kukamilisha matokeo tu uwanjani maana magoli waliofungwa mashujaa wenye akili wanajua magoli ya mchongo!
Magoli rahisi sana!
Hapa tunazungumzia timu sio refa kama ni refa jana kawanyonga sana mashujaa walikuwa wakifanyiwa faulo anapeta ila yanga wakiguswa tu inawekwa fikiria kama wange guswa ndani ya box ingekuwa vipi!Nyie biashara mnayofanya na marefa kuwapa penalty na magori ya mchongo amuioni?
JIbril sila na chikolaa huwa hawana maelekezo!Sasa ktk misimu hii miwili timu za jeshi na nyie Kolo FC mnatofauti gani au na nyie mnapewa amri ushagongwa na Yanga mara nne mfululizo.
Kama ni timu basi anza na timu yenu mbona uwa mnapokea maelekezo Kila mkikutana na yanga,,mnataka Simba peke yake ndio awe anapokea maelekezo wengine wakipokea mnapata wivuHapa tunazungumzia timu sio refa kama ni refa jana kawanyonga sana mashujaa walikuwa wakifanyiwa faulo anapeta ila yanga wakiguswa tu inawekwa fikiria kama wange guswa ndani ya box ingekuwa vipi!
Umegongwa mara nne amri alitoa nani.JIbril sila na chikolaa huwa hawana maelekezo!
... na magoli ya offsidewao wapata penati kila mechi sisi hatusemi. yule fowad wao Ateba magoli yote ya penati. tusipoangalia anaweza kuwa mfungaji bora kupitia magoli ya penati
Penati hazina uhusiano na magoli ya maelekezo!... na magoli ya offside
Unamzungumzia ramadhani kayoko!Hivi simba ni timu ya JESHI? Mbona imefungwa mara nyingi na Yanga. Kila mtu alikua akiicheka yanga mkasahau kujipanga sasa geukeni nyuma wanawapumulia kisogoni kwenye msimamo
Comment reservedHizi timu za majeshi wakicheza na yanga wanakwenda kukamilisha matokeo tu uwanjani maana magoli waliofungwa mashujaa wenye akili wanajua magoli ya mchongo!
Magoli rahisi sana!
Yanga kubwa kiumri sio mpira kwa kipindi hiki cha miezi miwili!Timu zote jana zilicheza vzr, kilichoamua matokeo ni madaraja ya timu, yanga ni kubwa kuliko mashujaa (classes).
CCM imechangia kuzalisha kizazi mataahiraHizi timu za majeshi wakicheza na yanga wanakwenda kukamilisha matokeo tu uwanjani maana magoli waliofungwa mashujaa wenye akili wanajua magoli ya mchongo!
Magoli rahisi sana!
Hivi nikuchagulie tusi gani kati ya hayaHizi timu za majeshi wakicheza na yanga wanakwenda kukamilisha matokeo tu uwanjani maana magoli waliofungwa mashujaa wenye akili wanajua magoli ya mchongo!
Magoli rahisi sana!
Simba ni jeshi gani?Hizi timu za majeshi wakicheza na yanga wanakwenda kukamilisha matokeo tu uwanjani maana magoli waliofungwa mashujaa wenye akili wanajua magoli ya mchongo!
Magoli rahisi sana!