Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Sasa hiyo utafananisha na uchafu wa yanga hivi unaakili timamu kweliKama jezi za yanga unaita ni batiki na uchafu, je jezi za Chelsea utaziitaje? Bado ni mtumwa wewe wa akili.
Yani mijezi ya tanzania ni uchafu Fulani hiviNyie ndio wale wa "bora nizaliwe mbwa ulaya" pumbafu kabisa
kuandika kwenyewe hujui kwanza. mimi mwenyewe mzee wa ukimani nakukataa. jezi ni nzuri well designed. halafu si kila kitu cha kuangazia wanavyofanya Ulaya. kuna vingine ni ubunifu wetuYaani aisee ulaya itazidi kuwa juu mpaka dunia itapoishia yaani huu uchafu waliozindua simba na yanga mmoja kazindua sanda yaani mijezi haieleweki aisee imekaa Kaa kishamba mwingine Jana usiku kazindua vitenge yaani mijezi imezubaa Haina muonekano aisee kweli nilikua sahii kushabikia FC BARCELONA NA LIVERPOOL FC timu Bora mpaka jezi milele yaani mpira wa bongo mbovu mpaka mijezi ya hovyo na ukifuatilia wanaonunua hayo majezi ni washamba Fulani hivi yaani tangia wazaliwe mpaka Leo hawajawahi kujitenganisha na ushamba siwezi toa hela yangu nikanunua hayo matambara ya simba na yanga
Ukute kapata bwana wa kizungu kila kitu cha mzungu matoto ya siku hizi nut zimelegeaKama jezi za yanga unaita ni batiki na uchafu, je jezi za Chelsea utaziitaje? Bado ni mtumwa wewe wa akili.
Jinga kweli hili, utafikiri kashikiwa bunduki kuzinunua!!Nyie ndio wale wa "bora nizaliwe mbwa ulaya" pumbafu kabisa
Wewe ni kipofukuandika kwenyewe hujui kwanza. mimi mwenyewe mzee wa ukimani nakukataa. jezi ni nzuri well designed. halafu si kila kitu cha kuangazia wanavyofanya Ulaya. kuna vingine ni ubunifu wetu
Jezi za timu za manyani ni uchafuJinga kweli hili, utafikiri kashikiwa bunduki kuzinunua!!
Bado akili ya kitumwa imemjaa, mzungu ndio SI unit yake. No wonder....kuandika kwenyewe hujui kwanza. mimi mwenyewe mzee wa ukimani nakukataa. jezi ni nzuri well designed. halafu si kila kitu cha kuangazia wanavyofanya Ulaya. kuna vingine ni ubunifu wetu
Jezi za timu za manyani ni uchafuUkute kapata bwana wa kizungu kila kitu cha mzungu matoto ya siku hizi nut zimelegea
Jezi za timu za manyani ni uchafuBado akili ya kitumwa imemjaa, mzungu ndio SI unit yake. No wonder....
Wewe mwenye nazo umefanyia nini? Zaidi ya kushikiwa akili na wazungu!!!!Akili huna
Nyani ktk ubora wako, na umethibitisha without any reasonable doubt.Jezi za timu za manyani ni uchafu
Jezi za timu za manyan wa kariakooi ni uchafuWewe mwenye nazo umefanyia nini? Zaidi ya kushikiwa akili na wazungu!!!!
Jezi za timu za manyani wa kariakoo ni uchafuNyani ktk ubora wako, na umethibitisha without any reasonable doubt.
SANDA??? 🙄Yaani aisee ulaya itazidi kuwa juu mpaka dunia itapoishia yaani huu uchafu waliozindua simba na yanga mmoja kazindua sanda yaani mijezi haieleweki aisee imekaaKaa kishamba mwingine Jana usiku kazindua vitenge yaani mijezi imezubaa Haina muonekano aisee kweli nilikua sahii kushabikia FC BARCELONA NA LIVERPOOL FC timu Bora mpaka jezi milele yaani mpira wa bongo mbovu mpaka mijezi ya hovyo na ukifuatilia wanaonunua hayo majezi ni washamba Fulani hivi yaani tangia wazaliwe mpaka Leo hawajawahi kujitenganisha na ushamba siwezi toa hela yangu nikanunua hayo matambara ya simba na yanga
Ndio Kuna sanda za kuzikiwa zimezinduliwaSANDA??? 🙄