Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mbwa wa ulayaYani mijezi ya tanzania ni uchafu Fulani hivi
Sawa nyani wa AfricaSawa mbwa wa ulaya
Ngoja nikuunganishe na Basha wa ulaya unaonekana uko desperate sanaSawa nyani wa Africa
Nyani wa Africa 🤣Ngoja nikuunganishe na Basha wa ulaya unaonekana uko desperate sana
Mtumwa wa uzungu, mpuuzi wewe.Yaani aisee ulaya itazidi kuwa juu mpaka dunia itapoishia yaani huu uchafu waliozindua simba na yanga mmoja kazindua sanda yaani mijezi haieleweki aisee imekaakaa kishamba.
Mwingine jana usiku kazindua vitenge yaani mijezi imezubaa haina muonekano aisee. Kweli nilikua sahihi kushabikia FC BARCELONA NA LIVERPOOL FC timu Bora mpaka jezi milele.
Yaani mpira wa Bongo ni takataka mpaka mijezi yao ni ya hovyo na ukifuatilia wanaonunua hayo majezi ni washamba Fulani hivi yaani tangia wazaliwe mpaka Leo hawajawahi kujitenganisha na ushamba siwezi toa hela yangu nikanunua hayo matambara ya simba na Yanga kweli nyani ni nyani tu.
Sawa nyaniMtumwa wa uzungu, mpuuzi wewe.
Hamna kituSubiri azam tutupie mtoko wetu
Tulia wewe kolo sijui utopolo sisi kama Azam Uzi wetu mtaupendaHamna kitu
Wewe kweli nyani kumbe bado unashabikia timu za tanzaniaTulia wewe kolo sijui utopolo sisi kama Azam Uzi wetu mtaupenda
Tuliza FUTA hiloWewe kweli nyani kumbe bado unashabikia timu za tanzania
Wewe nawe! Kwahiyo huu uzi unaufananisha na hizo takataka zenu?Kama jezi za yanga unaita ni batiki na uchafu, je jezi za Chelsea utaziitaje? Bado ni mtumwa wewe wa akili.
Acha wendawazimu unajua material ya hiyo Jessey au unaandika kwa sababu unakiandikio?unafikiri inauzwa 40k kama tishet zenu za simba na yanga?Kama jezi za yanga unaita ni batiki na uchafu, je jezi za Chelsea utaziitaje? Bado ni mtumwa wewe wa akili.
NyaniTuliza FUTA hilo
Mwambie huyo nikiongea Mimi naonekana mkorofiAcha wendawazimu unajua material ya hiyo Jessey au unaandika kwa sababu unakiandikio?unafikiri inauzwa 40k kama tishet zenu za simba na yanga?
Naunga mkono hoja Tena ni mkoloni mchafu huyu Cc ephen_Kama jezi za yanga unaita ni batiki na uchafu, je jezi za Chelsea utaziitaje? Bado ni mtumwa wewe wa akili.