Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Nyie ni ndugu zetu mtaa mmoja kariakoo😁😁🤣Kwanza sisi simba tupo bize na mambo yetu ,nyie wenzenu ni azam ndio wapinzani wenu ,achaneni na sisi🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ni ndugu zetu mtaa mmoja kariakoo😁😁🤣Kwanza sisi simba tupo bize na mambo yetu ,nyie wenzenu ni azam ndio wapinzani wenu ,achaneni na sisi🤣🤣🤣🤣
Mkuu sisi ni timu yetu tupo nafasi ya tatu na shirikisho ,tunaijenga timu yetu hatuhitaji pressure kubwa.Nyie ni ndugu zetu mtaa mmoja kariakoo😁😁🤣
Naskia mmejipanga kufika fainali huko shirikishoMkuu sisi ni timu yetu tupo nafasi ya tatu na shirikisho ,tunaijenga timu yetu hatuhitaji pressure kubwa.
Mkuu kiukweli kuwa nawachezaji zaidi ya nane wapya kwenye kikosi inahitajika mda ili wajipate, simba inahitaji subra kuliko Wakati mwingine wowote.Naskia mmejipanga kufika fainali huko shirikisho
Naunga mkono hoja mkuu sema wakijipanga fresh wanacheza vizuri tuMkuu kiukweli kuwa nawachezaji zaidi ya nane wapya kwenye kikosi inahitajika mda ili wajipate, simba inahitaji subra kuliko Wakati mwingine wowote.
Mda unahitajika na jinsi mashabiki wasivyo wavumilivu sjui itakuajeNaunga mkono hoja mkuu sema wakijipanga fresh wanacheza vizuri tu
Ndugu yangu hujaishi vijijini. Kijijini MTU hanunui nguo mpaka iwe imeng'aa. Jezi zinatengenezwa kutokana na matakwa ya wavaaji.Yaani aisee ulaya itazidi kuwa juu mpaka dunia itapoishia yaani huu uchafu waliozindua simba na yanga mmoja kazindua sanda yaani mijezi haieleweki aisee imekaakaa kishamba.
Mwingine jana usiku kazindua vitenge yaani mijezi imezubaa haina muonekano aisee. Kweli nilikua sahii kushabikia FC BARCELONA NA LIVERPOOL FC timu Bora mpaka jezi milele.
Yaani mpira wa Bongo mbovu mpaka mijezi ya hovyo na ukifuatilia wanaonunua hayo majezi ni washamba Fulani hivi yaani tangia wazaliwe mpaka Leo hawajawahi kujitenganisha na ushamba siwezi toa hela yangu nikanunua hayo matambara ya simba na Yanga kweli nyani ni nyani tu.
Kabisa mashabiki bongo Simba na yanga wote huwa hatuna uvumilivu aiseeMda unahitajika na jinsi mashabiki wasivyo wavumilivu sjui itakuaje
🤣 🤣 🤣Yaani aisee ulaya itazidi kuwa juu mpaka dunia itapoishia yaani huu uchafu waliozindua simba na yanga mmoja kazindua sanda yaani mijezi haieleweki aisee imekaakaa kishamba.
Mwingine jana usiku kazindua vitenge yaani mijezi imezubaa haina muonekano aisee. Kweli nilikua sahihi kushabikia FC BARCELONA NA LIVERPOOL FC timu Bora mpaka jezi milele.
Yaani mpira wa Bongo ni takataka mpaka mijezi yao ni ya hovyo na ukifuatilia wanaonunua hayo majezi ni washamba Fulani hivi yaani tangia wazaliwe mpaka Leo hawajawahi kujitenganisha na ushamba siwezi toa hela yangu nikanunua hayo matambara ya simba na Yanga kweli nyani ni nyani tu wajinga ndio waliwao.
Nyani🤣 🤣 🤣
Punguza chuki na makasiriko Mkuu shida yako nini? Nyuzi zako zote huwa unaziandika kwa hisia sana. Relax
mkuu umemaliza kabisa..si kila kitu cha kuangazia wanavyofanya Ulaya. kuna vingine ni ubunifu wetu
Kesho kama utafika sikiliza TBC Radio saa nne na dk 15 usiku utapata msaada wa kiakiliNyani
Sawa mamaKesho kama utafika sikiliza TBC Radio saa nne na dk 15 usiku utapata msaada wa kiakili
Ya ulaya yoyote ni kali. Yaani hizo hazipingwiKama jezi za yanga unaita ni batiki na uchafu, je jezi za Chelsea utaziitaje? Bado ni mtumwa wewe wa akili.
Mkuu fungasha virago ukaishi huko kwa wajanja utuachie nchi yetu.Yaani aisee ulaya itazidi kuwa juu mpaka dunia itapoishia yaani huu uchafu waliozindua simba na yanga mmoja kazindua sanda yaani mijezi haieleweki aisee imekaakaa kishamba.
Mwingine jana usiku kazindua vitenge yaani mijezi imezubaa haina muonekano aisee. Kweli nilikua sahihi kushabikia FC BARCELONA NA LIVERPOOL FC timu Bora mpaka jezi milele.
Yaani mpira wa Bongo ni takataka mpaka mijezi yao ni ya hovyo na ukifuatilia wanaonunua hayo majezi ni washamba Fulani hivi yaani tangia wazaliwe mpaka Leo hawajawahi kujitenganisha na ushamba siwezi toa hela yangu nikanunua hayo matambara ya simba na Yanga kweli nyani ni nyani tu wajinga ndio waliwao.