Timu za Tanzania jezi zao ni uchafu

Timu za Tanzania jezi zao ni uchafu

Yaani aisee ulaya itazidi kuwa juu mpaka dunia itapoishia yaani huu uchafu waliozindua simba na yanga mmoja kazindua sanda yaani mijezi haieleweki aisee imekaakaa kishamba.

Mwingine jana usiku kazindua vitenge yaani mijezi imezubaa haina muonekano aisee. Kweli nilikua sahihi kushabikia FC BARCELONA NA LIVERPOOL FC timu Bora mpaka jezi milele.

Yaani mpira wa Bongo ni takataka mpaka mijezi yao ni ya hovyo na ukifuatilia wanaonunua hayo majezi ni washamba Fulani hivi yaani tangia wazaliwe mpaka Leo hawajawahi kujitenganisha na ushamba siwezi toa hela yangu nikanunua hayo matambara ya simba na Yanga kweli nyani ni nyani tu wajinga ndio waliwao.
Zifue basi.
 
Yaani aisee ulaya itazidi kuwa juu mpaka dunia itapoishia yaani huu uchafu waliozindua simba na yanga mmoja kazindua sanda yaani mijezi haieleweki aisee imekaakaa kishamba.

Mwingine jana usiku kazindua vitenge yaani mijezi imezubaa haina muonekano aisee. Kweli nilikua sahihi kushabikia FC BARCELONA NA LIVERPOOL FC timu Bora mpaka jezi milele.

Yaani mpira wa Bongo ni takataka mpaka mijezi yao ni ya hovyo na ukifuatilia wanaonunua hayo majezi ni washamba Fulani hivi yaani tangia wazaliwe mpaka Leo hawajawahi kujitenganisha na ushamba siwezi toa hela yangu nikanunua hayo matambara ya simba na Yanga kweli nyani ni nyani tu wajinga ndio waliwao.
We Ma.ta.ko uchumi wa hivyo virabu uko sawa na uchumi wa vilabu vya Tanzania?
 
Kama jezi za yanga unaita ni batiki na uchafu, je jezi za Chelsea utaziitaje? Bado ni mtumwa wewe wa akili.
Miminimewai letewa jezi ya celtic narafikiyangu og ila ni daraja la tatu nilishangaa uzito wa ile jezi pili ni usd40 sisi shida nikupata material tuu
 
Miminimewai letewa jezi ya celtic narafikiyangu og ila ni daraja la tatu nilishangaa uzito wa ile jezi pili ni usd40 sisi shida nikupata material tuu
Ndio hivyo kaangalie Sasa jezi original namba 1 ya simba au yanga utacheka 🤣🤣🤣🤣
 
Ndio hivyo kaangalie Sasa jezi original namba 1 ya simba au yanga utacheka 🤣🤣🤣🤣
Sisi hapa tunashindwa ku weka oda Adidas nike,au umbro pesa hatuna. Tunamdandia vunjabei ausandaland na sheriangowi wanaenda india kwenye viwandavidogo wanachakacha borahata waende china tu😂
 
Sisi hapa tunashindwa ku weka oda Adidas nike,au umbro pesa hatuna. Tunamdandia vunjabei ausandaland na sheriangowi wanaenda india kwenye viwandavidogo wanachakacha borahata waende china tu😂
Unakuta mtu anasema Uzi mkali hua nakaa nacheka yaani jezi ya simba na yanga original wanavyochezea uwanjani inazidiwa quality na vijezi feki vya timu za ulaya vinavyouzwa hapa bongo 25 aisee
 
Wewe nunua mfano jezi ya Liverpool ya elfu 25 hizi za hapa bongo halafu kalinganishe na jezi ya simba au yanga ambazo zinauzwa elfu 45 utacheka mpaka ufe yaani jezi feki ya timu ya ulaya ni nzito kuzidi wanazoita original ya timu ya bongo🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom