Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #81
Hiyo ni nchi au uchafuMkuu fungasha virago ukaishi huko kwa wajanja utuachie nchi yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni nchi au uchafuMkuu fungasha virago ukaishi huko kwa wajanja utuachie nchi yetu.
Marindaless utawajua tuYa ulaya yoyote ni kali. Yaani hizo hazipingwi
Sawa mamaHaya maelezo yako yamenisaidia sana kuipata tofauti ya muda mrefu ya kati ya mtu anayevuta bangi, na yule anayetumia bange!
MI nashangaa sana yaani kikianzia kwetu kukawa kipya kinaonekana kibaya ila kikitokea ughaibuni bhaasi hicho ni maliMarindaless utawajua tu
Zifue basi.Yaani aisee ulaya itazidi kuwa juu mpaka dunia itapoishia yaani huu uchafu waliozindua simba na yanga mmoja kazindua sanda yaani mijezi haieleweki aisee imekaakaa kishamba.
Mwingine jana usiku kazindua vitenge yaani mijezi imezubaa haina muonekano aisee. Kweli nilikua sahihi kushabikia FC BARCELONA NA LIVERPOOL FC timu Bora mpaka jezi milele.
Yaani mpira wa Bongo ni takataka mpaka mijezi yao ni ya hovyo na ukifuatilia wanaonunua hayo majezi ni washamba Fulani hivi yaani tangia wazaliwe mpaka Leo hawajawahi kujitenganisha na ushamba siwezi toa hela yangu nikanunua hayo matambara ya simba na Yanga kweli nyani ni nyani tu wajinga ndio waliwao.
We Ma.ta.ko uchumi wa hivyo virabu uko sawa na uchumi wa vilabu vya Tanzania?Yaani aisee ulaya itazidi kuwa juu mpaka dunia itapoishia yaani huu uchafu waliozindua simba na yanga mmoja kazindua sanda yaani mijezi haieleweki aisee imekaakaa kishamba.
Mwingine jana usiku kazindua vitenge yaani mijezi imezubaa haina muonekano aisee. Kweli nilikua sahihi kushabikia FC BARCELONA NA LIVERPOOL FC timu Bora mpaka jezi milele.
Yaani mpira wa Bongo ni takataka mpaka mijezi yao ni ya hovyo na ukifuatilia wanaonunua hayo majezi ni washamba Fulani hivi yaani tangia wazaliwe mpaka Leo hawajawahi kujitenganisha na ushamba siwezi toa hela yangu nikanunua hayo matambara ya simba na Yanga kweli nyani ni nyani tu wajinga ndio waliwao.
Sawa mamaWe Ma.ta.ko uchumi wa hivyo virabu uko sawa na uchumi wa vilabu vya Tanzania?
Sawa mamaMI nashangaa sana yaani kikianzia kwetu kukawa kipya kinaonekana kibaya ila kikitokea ughaibuni bhaasi hicho ni mali
Miminimewai letewa jezi ya celtic narafikiyangu og ila ni daraja la tatu nilishangaa uzito wa ile jezi pili ni usd40 sisi shida nikupata material tuuKama jezi za yanga unaita ni batiki na uchafu, je jezi za Chelsea utaziitaje? Bado ni mtumwa wewe wa akili.
Ndio hivyo kaangalie Sasa jezi original namba 1 ya simba au yanga utacheka 🤣🤣🤣🤣Miminimewai letewa jezi ya celtic narafikiyangu og ila ni daraja la tatu nilishangaa uzito wa ile jezi pili ni usd40 sisi shida nikupata material tuu
Sisi hapa tunashindwa ku weka oda Adidas nike,au umbro pesa hatuna. Tunamdandia vunjabei ausandaland na sheriangowi wanaenda india kwenye viwandavidogo wanachakacha borahata waende china tu😂Ndio hivyo kaangalie Sasa jezi original namba 1 ya simba au yanga utacheka 🤣🤣🤣🤣
Unakuta mtu anasema Uzi mkali hua nakaa nacheka yaani jezi ya simba na yanga original wanavyochezea uwanjani inazidiwa quality na vijezi feki vya timu za ulaya vinavyouzwa hapa bongo 25 aiseeSisi hapa tunashindwa ku weka oda Adidas nike,au umbro pesa hatuna. Tunamdandia vunjabei ausandaland na sheriangowi wanaenda india kwenye viwandavidogo wanachakacha borahata waende china tu😂
KabisaUnakuta mtu anasema Uzi mkali hua nakaa nacheka yaani jezi ya simba na yanga original wanavyochezea uwanjani inazidiwa quality na vijezi feki vya timu za ulaya vinavyouzwa hapa bongo 25 aisee
Wewe nunua mfano jezi ya Liverpool ya elfu 25 hizi za hapa bongo halafu kalinganishe na jezi ya simba au yanga ambazo zinauzwa elfu 45 utacheka mpaka ufe yaani jezi feki ya timu ya ulaya ni nzito kuzidi wanazoita original ya timu ya bongo🤣🤣🤣🤣🤣Kabisa
Haina mbaya ajuzaSawa mama
Alishawah kusema anarafik yake mdenmark kaja bongo anatafuta shogaUkute kapata bwana wa kizungu kila kitu cha mzungu matoto ya siku hizi nut zimelegea
Daima mbeleeeee 💚💛🖤💪💪💪💪