Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Na ukubwa huu akili za nini mie Nina akili ya pesa wewe mkoloni mchafu Cc ephen_Akili huna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukubwa huu akili za nini mie Nina akili ya pesa wewe mkoloni mchafu Cc ephen_Akili huna
Mada inahusu material au muonekano? Ndio maana katumia neno batiki kwa maana ya muonekano.Acha wendawazimu unajua material ya hiyo Jessey au unaandika kwa sababu unakiandikio?unafikiri inauzwa 40k kama tishet zenu za simba na yanga?
Upo sahihi naunga mkono hoja huyu na ana kaaa kwa dada yake piaKwa uandishi wako inaonyesha kabisa wewe ni Mwana LUNYASI,baada ya kuona Jezi za Kimataifa kutoka Kwa Young Africans ndiyo umepagawa kabisa!
Mwana LUNYASI akianani nakuhakikishia tarehe 8 uta LUNYASIKA zaidi ya Leo 😂😂😂😂😂😂😂
Mkuu timu za Ulaya na baadhi za timu za Afrika jezi zao zinatengenezwa na Makampuni makubwa ya vifaa vya michezo mfano Nike, Adidas, Puma, ndiyo maana jezi zao nzuri, mfano tu angalia jezi za Alhly, Zamaleki za Misri.Yaani aisee ulaya itazidi kuwa juu mpaka dunia itapoishia yaani huu uchafu waliozindua simba na yanga mmoja kazindua sanda yaani mijezi haieleweki aisee imekaakaa kishamba.
Mwingine jana usiku kazindua vitenge yaani mijezi imezubaa haina muonekano aisee. Kweli nilikua sahihi kushabikia FC BARCELONA NA LIVERPOOL FC timu Bora mpaka jezi milele.
Yaani mpira wa Bongo ni takataka mpaka mijezi yao ni ya hovyo na ukifuatilia wanaonunua hayo majezi ni washamba Fulani hivi yaani tangia wazaliwe mpaka Leo hawajawahi kujitenganisha na ushamba siwezi toa hela yangu nikanunua hayo matambara ya simba na Yanga kweli nyani ni nyani tu.
Hazina tofauti ila hii ya chama kuna rangi imepigwa na editing
Moja zilipendwa mbili gen z kaka
Kwa hiyo hizo zote ni njano?Hazina tofauti ila hii ya chama kuna rangi imepigwa na editing
Unamwitaje mwenzako nyani?Nyani ktk ubora wako, na umethibitisha without any reasonable doubt.
Hahaha mtajikuta mnavaa nyekundu siku moja 😁😁Moja zilipendwa mbili gen z kaka
Hii ya chama ni njano ya unyama kama alivyosema ndugu yangu Vincenzo Jr njano ya Gen ZKwa hiyo hizo zote ni njano?
Kumbe na wewe una tatizo la kutambua rangi😁😁Hii ya chama ni njano ya unyama kama alivyosema ndugu yangu Vincenzo Jr njano ya Gen Z
Sina hilo tatizo!Kumbe na wewe una tatizo la kutambua rangi😁😁
Mkuu labda nikikata tamaa ya maisha labda 😂🤣😁Hahaha mtajikuta mnavaa nyekundu siku moja 😁😁
Naunga mkono hojaHii ya chama ni njano ya unyama kama alivyosema ndugu yangu Vincenzo Jr njano ya Gen Z
Kwanza sisi simba tupo bize na mambo yetu ,nyie wenzenu ni azam ndio wapinzani wenu ,achaneni na sisi🤣🤣🤣🤣Naunga mkono hoja