Timu za Tanzania jezi zao ni uchafu

Timu za Tanzania jezi zao ni uchafu

😁nyuzi kama hizi huwa zinawaunganisha mashabiki wa simba na yanga pamoja.

Leta mada ya kumsema mmoja sasa, mfano iponde jezi ya mmoja wao uone wanavyochuana vita humu.
 
Yaani aisee ulaya itazidi kuwa juu mpaka dunia itapoishia yaani huu uchafu waliozindua simba na yanga mmoja kazindua sanda yaani mijezi haieleweki aisee imekaakaa kishamba.

Mwingine jana usiku kazindua vitenge yaani mijezi imezubaa haina muonekano aisee. Kweli nilikua sahihi kushabikia FC BARCELONA NA LIVERPOOL FC timu Bora mpaka jezi milele.

Yaani mpira wa Bongo ni takataka mpaka mijezi yao ni ya hovyo na ukifuatilia wanaonunua hayo majezi ni washamba Fulani hivi yaani tangia wazaliwe mpaka Leo hawajawahi kujitenganisha na ushamba siwezi toa hela yangu nikanunua hayo matambara ya simba na Yanga kweli nyani ni nyani tu.
Mkuu timu za Ulaya na baadhi za timu za Afrika jezi zao zinatengenezwa na Makampuni makubwa ya vifaa vya michezo mfano Nike, Adidas, Puma, ndiyo maana jezi zao nzuri, mfano tu angalia jezi za Alhly, Zamaleki za Misri.
 
ephen_ Vincenzo Jr hiz rangi zinatofauti gani?
20240728_092935.jpg
 
Back
Top Bottom