Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
š¤£zee linagombea kuzikwa kwa heshima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£zee linagombea kuzikwa kwa heshima
Mbona anaonekana ni zaidi ya MugabeHuyu kapungunza miaka.
He looks older than MugabeYaani hata kama ni Siasa hii sasa komesha. Tinubu (70) ni mdogo kuliko Rais Mstaafu Jakaya Kikwete(72)?
NB: Chinekeeeee
View attachment 2565798
Halafu ni tajiri sasa.Maana ilitakiwa aonekane Yanki zaidi kwe hiyo 70.Mbona anaonekana ni zaidi ya Mugabe
Hilo ni pozi tu la kupotezea maboya watu, ila unaweza kukuta yuko makini sana.Yaani hata kama ni Siasa hii sasa komesha. Tinubu (70) ni mdogo kuliko Rais Mstaafu Jakaya Kikwete(72)?
NB: Chinekeeeee
View attachment 2565798
Kuna watu wengine wanazeeka haraka. Trust me. Ila sitetei kuwa umri wake ni sahihi. Mkuu vipi hapo ukiangukiwa na zari la kupendwa naye, uambiwe uwe first lady utakataa?Huyu kapungunza miaka.
Napendekeza uongozi wa JF waondoe emoji Ili tuwe serious.[emoji38][emoji38][emoji38]
Ila Nigeria noma sana. Kweli wanachagua mtu kama huyu? Au labda ni picha tu imetoka vibaya.ha ha ha. Zee la nyeti linasinzia tu
Siasa za afrika ujanja ujanja mwingi
Naanzia wapi kukataa ?Ila nitakuwa motivated na visima vya mafuta tu.Lengo langu litakuwa ni kwenda kupata fursa ya kumiliki visima vya mafuta kule Delta state na si upendo.Kuna watu wengine wanazeeka haraka. Trust me. Ila sitetei kuwa umri wake ni sahihi. Mkuu vipi hapo ukiangukiwa na zari la kupendwa naye, uambiwe uwe first lady utakataa?
Si kweli,kwani Biden anamiaka mingapi?Siasa za afrika ujanja ujanja mwingi
Si kweli,kwani Biden anamiaka mingapi?
Siyo Africa tu hadi Marekani........Kwa Afrika huyo bado kijana mbichi sana.Utajaza mwenyewe.
Sisi waafrica nikama tuna mtindio wa ubongo, likitokea Kwa wale mentor wetu tunaojifanya tunajifunza kwao siyo shida,ila ikitokea kwetu tunaona ni changamoto
africa kuna laana ya ajabu. yote haya ni kutaka kula rushwa. Huyu anamzidi hata Raila Odinga kwa umriYaani hata kama ni Siasa hii sasa komesha. Tinubu (70) ni mdogo kuliko Rais Mstaafu Jakaya Kikwete(72)?
NB: Chinekeeeee
View attachment 2565798
Ilikuwaje hii mkuu?,msukosuko Mzee wetu kikwete aliopata maishani mwake mote ni mmoja TU alivotembea Kwa mguu kilomita karibu 10 au zaidi akikimbia chuo mafuzo kijeshi monduli baada ya kurikisha aliyorikisha Kwa nyerere kuwa wazi
Ukikaa naye wakati anatoa speech utakuwa unaona-ona aibu kama huyu? Hatari sana. By the way mwanamke akimkubali mwanaume kwa sababu ya fedha tu na akaishi naye baada ya muda penzi la kweli litachipuka.Naanzia wapi kukataa ?Ila nitakuwa motivated na visima vya mafuta tu.Lengo langu litakuwa ni kwenda kupata fursa ya kumiliki visima vya mafuta kule Delta state na si upendo.