Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #361
Naamini ku expose madudu kwa nia njema, ni jambo jema kwa nchi yangu, tena hapo ndio nimenyamaza kutoyasema yote ninayoyajua, maana kuna mambo mtu unasikia, halafu unaamua kutoamini na mwishowe kujifanya kama hujasikia, mfano mzuri soma bandiko hili uone nilisikia nini na lini, na nimesema nini!.Mayalla najua yote uliyoongea.Hata hivyo kumbuka kwamba Tanzania bado ni nchi ya kiafrika where transparency is not the norm.Paschal what do you loose by keeping quiet. Hawa watu huwa hapendi criticism na hawapendi kabisa mambo yao yafahamike.Please take care.
Asante kamandaMTU mwenye sifa ya Extrovert hafai kufanya kazi ya ISS,pia MTU mwenye IQ ndogo hafai kufanya hiyo kazi, ulimwenguni kote ndivyo ilivyo.Ikumbukwe kuwa ufauru wako shuleni haimaanishi kuwa una IQ kubwa,Madonna ni mwanamuziki aliyeishia elimu ya msingi lakini baada ya kupimwa IQ yake ilionekana imefikia 140 akiwa amewapita maprofesa waliowengi.Hivyo basi uwezo mkubwa wa kifikiri haupatikani darasani,bali MTU huzaliwa nao na baadae huboreshwa na mazingira ya makuzi.
Mkuu Crabat, naunga mkono hoja. Ila hili la Kanda ya Ziwa, sii kweli, mnamsingizia tuu, na nimelizungumza hapaPascal Mayalla enzi za Nyerere nafahamu wahindi na waarabu kama watatu hivi wakiwa kwenye pay role ya Usalama.
Leo hawa jamaa hata kuwapa nafasi ya kawaida hawapewi imekuwa taboo ...leo huwezi kuwapata tena kina Alnoor Kassom, Amir Jamal, Leader Sterling, Adolf Walden , Ali Mahfoudh
Kuna hekina zake kuwa na watu wa aina hii ....ila sasa wote kanda ya ziwa
Pascal tunayajua mengi lakini tunanyamaza.Nyamaza kwa usalama wako.Naamini ku expose madudu kwa nia njema, ni jambo jema kwa nchi yangu, tena hapo ndio nimenyamaza kutoyasema yote ninayoyajua, maana kuna mambo mtu unasikia, halafu unaamua kutoamini na mwishowe kujifanya kama hujasikia, mfano mzuri soma bandiko hili uone nilisikia nini na lini, na nimesema nini!.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
P.
Mkuu hata wavuvi wa kanda ya ziwa mpaka chato wamenyoshwa kwa uvuvi haramuMkuu Crabat, naunga mkono hoja. Ila hili la Kanda ya Ziwa, sii kweli, mnamsingizia tuu, na nimelizungumza hapa
Tuhuma Za Ukabila: Wasukuma Sii Miongoni Mwa Makabila Yenye Ukabila, Tatizo Ndio Walio Wengi!
P
I am in contrary to Zitto et al thinking on dissolving TISS. Dissolving the organization would be disastrous to the Nation because doing so would fulfil the objectives of organized criminals. Many of the would be former intelligence agents would be recruited by numerous mafia groups. They would extend an informal network, support each other, support their ex- bosses, and worse - if united they would be able to easily form even a private army. Let's not forget that we live in a society where informal institutions are stronger than formal ones. Its why we are categorised as a "problematic state", only one level up from being a "failed state". A problematic state is the one that lacks rule of law (instead under a big man rule), and dominated by informal institutions (absence of strong formal institutions).
What needs to be done instead?
-The parliament should adopt relevant laws to guide its activities.
-A parliamentary oversight should be established and it should involve experienced parliamentaries in security matters.
- TISS needs to be depolitized. There should be a ban on party associations for the staff; there should also be prohibition of any political related activity within the working
places of TISS).
- Centralized oversized security apparatus needs to be dismantled.
- There should be a reduction of the number of the staff down to the real needs of the national
security.
- TISS should be put under a more sophisticated controlling system i.e
Parliamentary, administrative and, judicial.
In the final analysis, CCM and the State should no longer be held in " synonymous ".
Kwa maana ya Intelligence, hakuna kumumunya maneno.MTU mwenye sifa ya Extrovert hafai kufanya kazi ya ISS,pia MTU mwenye IQ ndogo hafai kufanya hiyo kazi, ulimwenguni kote ndivyo ilivyo.Ikumbukwe kuwa ufauru wako shuleni haimaanishi kuwa una IQ kubwa,Madonna ni mwanamuziki aliyeishia elimu ya msingi lakini baada ya kupimwa IQ yake ilionekana imefikia 140 akiwa amewapita maprofesa waliowengi.Hivyo basi uwezo mkubwa wa kifikiri haupatikani darasani,bali MTU huzaliwa nao na baadae huboreshwa na mazingira ya makuzi.
Acha kuzunguka mbuyu, anayewatuma anafahamika , mnazunguka nini? TISS ni nini, wako chini ya nani? acha hizo wanatumwa na Ikuru, Ikuru ni nini?, Ikuru ni nani?
Paskali tutakukosa shemela oohoo
Shemela ndo wapi tena, ha ha!Paskali tutakukosa shemela oohoo
ha ha haShemela ndo wapi tena, ha ha!
How?.
Kila mtu anafahamu TISS wanadukua simu za watu illegal, kiongozi anatoa taarifa simu ya fulani imedukuliwa na hajacross the red line!.
Mimi ni Mtanzania mzalendo wa kweli ambaye natambua umuhimu wa TISS, the biggest red line crossing ni ku expose ma agents wetu!, kiongozi anafanya exposure ya agents with names, hamsemi ame cross the red line, sisi tunaoibua madudu y wanatafuta documents, sisi wenyewe ambao ndio tuhusu, hata habari hatuna!.
P.