TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!


RED:
Napata tabu sana kila mtu analalamika na kila kitu kipo wazi kuanzia uniform zao refer clouds uvamizi, magari yao refer Lissu na kibiti , Wanakopelekwa refer Roma, ben ni kulekule kwenye makazi yao na kila mtu anakujua, utasemajie hawahusiki?

BLUE:
Liko wazi vyombo hisika hawakuwa na hiyo intelejensia na mimi nilishwawahi kuhoji ndugu na jama na marafiki walio huko, kikubwa n fedha hakuna ya kufanya hiyo kazi, uwekezaji mkubw aumewekwa kwqenye intelejensia ya kuwafuatilia wanasiasa badala ya hayo mengine yenye tija.

na ukitaka kujua hawana weledi ni hay ya Maiti kuokotwa coco na kule ruvu. how come chombo chenye uwezo kweli kikafanya matkio kama yale yanayoacha footprint kila kona.
 

JF raha sana!

“Operesheni Mauaji” 1976 vs "Operesheni Tokomeza" 2013
 

Historia hizo, hiyo ilikuwa enzi za mwalimu hasa wakati wa mapambano ya kupigania Uhuru huko kusini mwa janga la sahara.
 
Aiseee hiv intelligence agency za nchi zingine wanafanya kama wanayofanya hawa wa hapa kwetu au ni sisi tu tupo kipekee
 

wale wale!
 
Ila umetiririka Ngosha! Kinoma noma..
Yasemwayo...
Twajuwa USA na nchi za mgharibi wanateka na kutesa kichini chini, huku wakikanusha vikali..
Russia na nchi za Ulaya Mashariki, kwa Waaarabu na Asia usiombe, jiue kabla hawajakukamata!
 

yani zina kuuma kuliko hata TISS wenyewe sio?
si ajabu nikisem awewe utakuwa ni mwanasiasa unayefaidika na hayo matendo nitakuw asijakosea.
Ila jiulize mwisho wa haya ni nini?
 
Watu wa kawaida sana. Tunaishi nao mitaani humu humu. Tena sio mmoja....hata watatu au wanne unaweza kuwapiga ngumi. Ukiwajua hawa watu raha sana. Unaishi kwa amani....nielewe.....watu wa kawaida sana....wengine ni visichana vya kawaida tu.

Kuna mmoja nilikua namlia timing nimtongoze....akaniomba nimsindikize mahali fulani....nikasema yes...fursa si ndio hii....nafika kule kumbe ndio bwanake alikuwa anamsubiri. Kufika pale kanaona aibu kunitambulisha...na mchizi naye akawa haelewi mi nani na kwanini nimekuja na demu wake. Akanigwaya.....nikasepa zangu.
 

Asilimia 80 ya Watanzania tupo kama wewe. Akili zetu, uwezo wetu wa kuchanganua mambo, maono na mienendo yetu ipo sawa sawa kabisa; ndio maana hata baada ya miaka 50 ya uhuru hali zetu ndio hizi.
Tupo wengi zaidi yao hao vibaraka, mafisadi na wapinzani wa kila kitu hivyo hawatatushinda. Tupige tu kazi na raisi wetu hatayumbishwa kwa namna yeyote ile!!!
 
Mchambuzi umegonga pale pale...
Kwa kweli sina la kuongeza zaidi ya kupiga makofi na ku-bow..
Tunakubaliana nawe 110%..
 
Mkuu Crabat, naunga mkono hoja. Ila hili la Kanda ya Ziwa, sii kweli, mnamsingizia tuu, na nimelizungumza hapa
Tuhuma Za Ukabila: Wasukuma Sii Miongoni Mwa Makabila Yenye Ukabila, Tatizo Ndio Walio Wengi!
P
ni kweli wasukuma hawana hii tabia ya ukabilia wa maringo. ..tena ni kwa majority hawana tabia hii.
sometimes weakness ya mtu mmoja mkubwa kutojiamini inamfanya aweke ndugu zake karibu kwa fikra labda wata msaidia zaidi na kumlinda lakini sio kweli Watanzania kwa pamoja wakikunga mkono unakua huna waswas
 
ni kweli wasukuma hawana hii tabia ya ukabilia wa maringo. ..tena ni kwa majority hawana tabia hii.
Ni kweli Wasukuma hawana ukabila kabisa, ila wamezungukwa na makabila yenye ukabila. Hivyo akitokea Msukuma mwenye ukabila, ni either amechanganya kabila na majirani zetu, au ni wale waliohamia Usukumani miaka mingi nyuma, wakalowea Usukumani, wakakulia Usukumani, wakasomea Usukumani na kuongea Kisukuma lakini...
P
 
Hawa wahanga wa mateso ya TISS ni watu wa aina gani? Je, wanapaswa kufanya wanayoyafanya na kwa staili ya aina hiyo wanayoyafanya hadi kuwa wahanga wa TISS? Je, huoni kwamba madhara yanayoweza kutokea kwa taifa na watu wake kutokana na vitendo vya hawa wahanga wa TISS ni makubwa kuliko mateso yao?
Tanzania kwanza, wahanga baadaye!
Linda usalama wako mwenyewe kwa kuwa muungwana, kwani usalama wako ndio usalama wa mwingine na taifa kwa ujumla!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…