TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Hawa wahanga wa mateso ya TISS ni watu wa aina gani? Je, wanapaswa kufanya wanayoyafanya na kwa staili ya aina hiyo wanayoyafanya hadi kuwa wahanga wa TISS? Je, huoni kwamba madhara yanayoweza kutokea kwa taifa na watu wake kutokana na vitendo vya hawa wahanga wa TISS ni makubwa kuliko mateso yao?
Tanzania kwanza, wahanga baadaye!
Linda usalama wako mwenyewe kwa kuwa muungwana, kwani usalama wako ndio usalama wa mwingine na taifa kwa ujumla!
Hivi ninyi watanzania ni nani kawapumbaza kiasi hiki!? Wewe unaona hao wahanga walichokifanya walihatarisha usalama wa nchi!? Wahanga hawa wengi wamekuwa ni wahanga wa watu binafsi na cyo nchi... Mfano tu huwezi kusema Shilawadu wangeweza kuhatarisha usalama wa nchi hadi ipelekee wao kuvamiwa. Au Roma Mkatoliki unasema nae alihatarishaje usalama wa nchi!?

Je, kusema na kuikosoa serikali ni kuhatarisha usalama wa nchi au ni kuiokoa nchi isitumbukie kusiko?

Usalama wa Taifa kama wana uwezo huo wa kufanya watu wawe vilema au kupotea kabisa kwanini wasingewafanyia hayo mafisadi? Walishindwa nini kuhakikisha viwanda vyetu, ndege zetu, fedha zetu hazipigwi na wachache!? Katika Biblia kuna kisa cha mtu mmoja aliyekuwa ametundikwa msalabani pamoja na Yesu Kristo, badala ajitetee akawa anamdhihaki Yesu. Hata sisi watanzania tuna kasoro kubwa sana ya kujikomba na ndo maana nchi imeendelea kuwa masikini na watu wake
 
Duh Paskali umenikumbusha State Research Bureau (SRB) ya Uganda enzi za Idd Amin! Mungu atuepushe na madhila kama hayo!
 
TISS ni taasisi exceptional eti ikanushe! Unategemea tiss waanze kuitisha vipress conference na kuanza kukanusha upuuzi wa mitandaoni? Yaani muanze kuwajadili mpk elimu zao humu!!!!

Point of correction makirikiri hawajavamia clouds bali waliingia na silaha. Sifa za kuvamia hazipo kwenye tukio lile.
 
kwa mujibu wa Kifungu cha 5(2) cha sheria ya usalama wa Taifa kinaizuia TISS kumfuatilia mtu yeyote wala kumpekua pekua au kumfanyia ujasusi kwa sababu ya msimamo wake kisiasa au Uhuru wake wa kuipinga Serikali. TISS inavunja sheria kila wakati kwenye eneo hili, rais anatangaza wanadukua simu za watu, by implication, waelewa wote, walielewa aliyedukuliwa!, kisha rais akasema kwa hasira, wasaliti wa aina hii, hawawezi kuachwa hivi hivi na kutolea mfano wa kinachowapata wasaliti wa jeshini, then mara mtajwa, yanamkuta ya kumkuta!, hata mtoto mdogo lazima atadhania ya kudhania!.
Hivi Upelelezi wa Lissu kupigwa Risasi za kutosha umefikia wapi?
 
"TISS inatakiwa kubadilika na kuunda kitengo madhubuti cha ujasusi wa kiuchumi, mfano, tuna Balozi zetu katika nchi zote zinazochenjua Mchanga wa makinikia, TISS wangekuwa wa maana, by now tungeisha jua hao Acacia wanapata nini kwenye Mchanga wetu, gharama za uchenjuaji container la Mchanga ni kiasi gani na kila kinachopatikana!, lakini wao wamekalia kudukua tuu simu, badala ya kudeal na serious issues za kiuchumi!. Kiukweli ile bili ya trilioni 190 ya TRA sio realistic, rais wetu ataonekana mjinga, Waziri Kabudi ataonekana mjinga, na nchi nzima tutaonekana ni taifa la wajinga, wakati ukweli utakapobainika, kitu ambacho TISS makini ingeweza kuzuia"

Hapa hutawaona, wako bize kudukua simu na favce book
 
Hivi ninyi watanzania ni nani kawapumbaza kiasi hiki!? Wewe unaona hao wahanga walichokifanya walihatarisha usalama wa nchi!? Wahanga hawa wengi wamekuwa ni wahanga wa watu binafsi na cyo nchi... Mfano tu huwezi kusema Shilawadu wangeweza kuhatarisha usalama wa nchi hadi ipelekee wao kuvamiwa. Au Roma Mkatoliki unasema nae alihatarishaje usalama wa nchi!?

Je, kusema na kuikosoa serikali ni kuhatarisha usalama wa nchi au ni kuiokoa nchi isitumbukie kusiko?

Usalama wa Taifa kama wana uwezo huo wa kufanya watu wawe vilema au kupotea kabisa kwanini wasingewafanyia hayo mafisadi? Walishindwa nini kuhakikisha viwanda vyetu, ndege zetu, fedha zetu hazipigwi na wachache!? Katika Biblia kuna kisa cha mtu mmoja aliyekuwa ametundikwa msalabani pamoja na Yesu Kristo, badala ajitetee akawa anamdhihaki Yesu. Hata sisi watanzania tuna kasoro kubwa sana ya kujikomba na ndo maana nchi imeendelea kuwa masikini na watu wake
Sioni ni wapi watanzania wamepumbaa. Kama kutoa maoni yenye kukinzana na ya mtu mwingine ni upumbavu, basi mwenye kuona hivyo ndiye mpumbavu!
Kuna kukosoa au kutukana au kukashifu. Unapotukana au kukashifu, je, huoni kama huwa unajihatarishia maisha mwenyewe kutoka kwa unayemtukana au kumkashifu? Unatarajia reaction gani kutoka kwa unayemtukana? Akiwa muungwana, atakubeza au kumuachia Mungu. Akiwa mbabe au mfitini, utakiona cha mtema kuni! Akiwa mpole, atakupeleka kwenye vyombo vya sheria au kukusamehe!
Aidha ukiwa mhanga wa kuhatarisha usalama wa watu binafsi wenye nchi, ni dhahiri unahatarisha usalama wa nchi! Anzia hapo!
 
Wanabodi

TISS ni idara nyeti, uadilifu wake unapaswa kuwa wa kiwango cha juu kabisa ambao haupaswi kutiliwa shaka yoyote, unapaswa kuwa ni uadilifu wa kiwango cha mke wa Kaisari, ile kutuhumiwa tuu ni kosa tosha hata bila kuthibitishwa, anahukumiwa!.

Hivyo ndivyo zilivyo tuhuma za TISS wetu, kuwa wale makirikiri wa Bashite ni TISS!, na yule mpuuzi wa Nape ni TISS!. Hivyo kama wale makirikiri wa Bashite waliovamia Clouds TV sio watu wao, TISS wasikae kimya wajitokeze na kukanusha!. Kama yule mpuuzi aliyemtishia Nape kwa bastola sio mtu wao, wajitokeze wakanushe. Huku kukaa kimya kunachukuliwa ni admission of guilt!.

Kama tuhuma dhidi ya TISS zimefika hadi kwenye Bunge letu Tukufu, na TISS iko chini ya Ikulu yetu, na Ikulu ni mahala patakatifu, tuhuma tuu kumhusu mke wa Kaisari zinatosha kumuondoa Ikulu asije akapanajisi patakatifu petu!. Hiyo TISS isikae kimya lazima ijitathimini na kujisafisha na uchafu wa makandokando haya!.

Huu mjadala unaoendelea kuhusu utekaji, utesaji na mauaji ambavyo vinahusishwa na idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa, TISS ni uthibitisho tosha kuwa TISS imechafuka inahitaji au kujisafisha au kusafishwa!.

Pamoja na Tanzania kuridhia mkakati wa Open Government Initiatives lakini kuna vitu huwezi kuvijadili openly lakini bado unaweza kuvichunguza na kuvifanyia kazi kimya kimya ila public ikaona matokeo na kurudisha imani.

Kuna watu wanadhani Usalama wa Taifa TISS wao ni malaika na hawawezi kabisa kufanya makosa kama madudu haya wanayotuhumiwa nayo sasa. No!, TISS sio malaika kwa sababu nayo inaongozwa na binadamu!.

Tiss huko nyuma iliwahi kufanya makosa ya utekaji, utesaji na hata uuaji, na ikafumuliwa!. Hivyo kwa vile tayari tunayo precedence ya vitendo viovu vya TISS huko nyuma, hivyo kwa kuutumia uthibitisho wa uovu huo, una justify kuwa kuna uwezekano ikawa ni kweli TISS is behind huu uovu na uchafu unaozungumziwa sasa Bungeni.

Lakini pia inawezekana sio TISS as TISS bali ni acts za individual members wa TISS wakifanya a "stand alone operations" bila kupokea command yoyote kutoka juu, hivyo vitendo vya wachache, vikaichafua TISS yetu collectively kwenye a collective responsibilities formula.

Pia inawezekana kabisa vitendo hivi vinafanywa na wahuni fulani, ambao wana pose as TISS just to make believe kuwa ni TISS kumbe sio TISS bali ni just impostors wanaochafua the good image ya TISS wetu waadilifu.

Whichever the case, TISS ijitokeze iwakane na kurudisha imani na TISS wetu

Hebu kwanza msikilizeni Tundu Lissu anasema nini kuhusu utekaji na utesaji wa TISS, hao anaowatetea ndio wenye bahati who could live to tell, hivyo ndio waliosalimika, only God knows kwa wale wasio na bahati hatima yao ilikuwaje because they couldn't live to tell!.

Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu! .

Hii sio mara ya kwanza kusikia serikali inafanya torture!. Hapa chini ni kisa cha kweli kabisa cha udhalimu wa TISS wa enzi hizo ambacho kilimhusu member wa familia yangu kujaribu kuwanusuru watuhumiwa wa torture na katika kufanya wema, wema wake ulimponza, RIP Mzee wangu Andrew Mayalla.

Kitendo kilichofanywa Clouds Media ni uthibitisho wa uhuni kama huu wa gross abuse of power na Nape alipotaka kufanya wema kuikingia kifua serikali yake isijinasibishe na uchafu huu, wema wake ulimponza.

Mwaka 1976 kule Mwanza kwenye eneo la Kigoto, watuhumiwa wa mauaji ya vikongwe walikuwa tortured na maofisa wa polisi.

Mzee wangu, Andrew Mayalla akiwa RSO wa Mwanza, akawanusuru watuhumiwa wawili, Masanja Makula Mazengenuka na Isaak Mwanamkoboko kutoka eneo la Kigoto baada ya mateso makubwa, wakiwa njiani wakamweza hawajala chochote kwa muda wa siku 3 za mateso ya usiku na mchana!.

Akaamua kuwapeleka Bugando, on their way akasimama mahali kuwanunulia soda na kitafunio, soda waliweza kunywa, kutafuna walishindwa.

Bugando akawakabidhi kwa Dr. Nkulila. The next day they were both dead, mtuhumiwa wa kwanza ni aliyewaleta!.

Hizo ni enzi za Nyerere, tulikuwa tukiishi Isamilo ya chini, next door ni RPC alikuwa akiitwa Mkwawa, nyumba ya tatu ni DSO. Just imagine majirani watatu wanaishi nyumba zinazofuatana wanapokutwa na kisanga.

Baada ya Taarifa kumfikia Nyerere, kuanzia Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi alipoteza uwaziri, IGP wa wakati huo Pundugu alipoteza kazi, Mkurugenzi wa Tiss, Mzena, alipoteza kazi, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Peter Kisumo, alipoteza kazi,

Mzee wangu, Mzee Mayalla, RSO, RPC, DSO na OCD wa Mwanza wote walistaafishwa kwa manufaa ya umma, tulihamishwa usiku usiku na kurudishwa kijijini (detention fulani za Nyerere).

Wakati yote haya yakifanyika, mimi nilikuwa mdogo sana, sikujua hili wala lile, hadi ilipoanza kuunguruma, Kesi ya Mauaji Mwanza, ndipo niligundua dingi alikuwa nani!, na thanks God, mtu pekee aliyenasuka ni Mzee Andrew Mayalla (RIP) kufuatia kazi kubwa iliyofanywa na wakili Murtaza Lakha.

Kwa wale tuliofuatilia ile kesi ya Uhaini ya mwaka 1982 tulisoma jinsi TISS wanavyoteka, wanavyo tesa na wanavyo ua yakiwemo mauaji ya Martin Tamimu. Utekaji wa Hatty Magee, kule jijini Nairobi, etc.

Mahakama ndio Mhimili pekee wa haki ndani ya katiba yetu, kwenye kesi hiyo ya uhaini, tumeshuhudia watuhumiwa wakitoa ushuhuda jinsi walivyoteswa na TISS kwenye torture chambers zao na kulazimishwa kukiri, hivyo kupelekwa kwa Walinzi wa Amani kukiri kuhusika kwao halafu walipofika mahakamani wakavikana viapo vyao kwa Walinzi wa Amani na kusema waliteswa ndio maana wakakiri.

Japo torture ni kinyume cha sheria, polisi na TISS zote duniani wanatumia mbinu hizo kuhoji ambazo nyingine ni halali na nyingine ni haramu.

Marekani ndio inayoongoza kwa kutumia torture na kuihalalisha ila kwa vile ni kinyume cha sheria za nchi hiyo, wanalitumia gereza la Guantanamo Bay lililoko kwenye kisiwa cha Cuba ambako sio ardhi ya Marekani kufanya ushenzi huo.

Hivyo kama tuhuma hizi za Lisu ni kweli, hii sio mara ya kwanza kwa TISS kuhusishwa na makando kando ya ajabu!. Ya Ulimboka tuliyasoma Mwanahalisi, hadi yakamuibua msemaji wa Tiss ya wakati huo Jack Zoka.

Ya Kibanda nilishikwa sikio na mtu tete a tete ila hii nilielezwa ni wale vijana wa Kijitonyama ila it was a personal social issue!.

Yaliyotokea Clouds TV wote tumeyashuhudia kupitia CCTV, na yale makirikiri tumeyaona, na ya Nape Mnauye tumeyashuhudia live mubashara kwenye TV huku huyo mpuuzi akionekana wazi hadi sura watu wanamjua.

Naunga mkono TISS isijadiliwe na Kamati ya Bunge kwa uwazi kama ambavyo bajeti yao na ile ya defence hazijadiliwi, lakini bado wanaweza kuchunguzwa, na Sheria ya Usalama wa Taifa, sheria namba 15 ya mwaka 1996 ina mapungufu makubwa, imepitwa na wakati na kila siku sio tu inavunjwa na TISS wenyewe, bali pia inatumiwa vibaya na wanasiasa kuanzia Mkuu mwenyewe kuitumia kama bakora ya kuwachapia wapinzani!.

Just imagine, Mkuu wa nchi mwenyewe, anatamka hadharani kuwa simu za watu zinadukuliwa, bila wanaharakati kupiga kelele wakati inafahamika wazi kabisa, udukuzi kwa simu za wanasiasa ni kosa kisheria!, kwa mujibu wa Kifungu cha 5(2) cha sheria ya usalama wa Taifa kinaizuia TISS kumfuatilia mtu yeyote wala kumpekua pekua au kumfanyia ujasusi kwa sababu ya msimamo wake kisiasa au Uhuru wake wa kuipinga Serikali. TISS inavunja sheria kila wakati kwenye eneo hili, rais anatangaza wanadukua simu za watu, by implication, waelewa wote, walielewa aliyedukuliwa!, kisha rais akasema kwa hasira, wasaliti wa aina hii, hawawezi kuachwa hivi hivi na kutolea mfano wa kinachowapata wasaliti wa jeshini, then mara mtajwa, yanamkuta ya kumkuta!, hata mtoto mdogo lazima atadhania ya kudhania!.

TISS inatakiwa kubadilika na kuunda kitengo madhubuti cha ujasusi wa kiuchumi, mfano, tuna Balozi zetu katika nchi zote zinazochenjua Mchanga wa makinikia, TISS wangekuwa wa maana, by now tungeisha jua hao Acacia wanapata nini kwenye Mchanga wetu, gharama za uchenjuaji container la Mchanga ni kiasi gani na kila kinachopatikana!, lakini wao wamekalia kudukua tuu simu, badala ya kudeal na serious issues za kiuchumi!. Kiukweli ile bili ya trilioni 190 ya TRA sio realistic, rais wetu ataonekana mjinga, Waziri Kabudi ataonekana mjinga, na nchi nzima tutaonekana ni taifa la wajinga, wakati ukweli utakapobainika, kitu ambacho TISS makini ingeweza kuzuia!.

Serikali yetu lazima ifanye damage control kwa msemaji wa TISS kuibuka na kumkana yule mpuuzi aliyemtisha Nape Bastola na kuwakana wale makirikiri wa Bashite!.

Huu ukimya wa Mwigulu, na serikali ni uthibitisho kuwa serikali has a hand kwenye hayo!. Ili kuonyesha kuwa serikali haihusiki na uhuni,upuuzi na ushenzi huu, rais Magufuli lazima akasirike kama Nyerere alivyo kasirika idara ya TISS inapochafuliwa, aliifumua mwanzo mwisho bila huruma.

Ukiondoa hizo torture za TISS zilizoibuliwa mahakamani, torture za jeshi la polisi ndio isiseme kabisa, innocent (until proven guilt) people have been tortured to death, hakuna kesi and nobody cares as if polisi are doing the right thing!.

Tukio la mwisho ni gunning down waendesha bodaboda wawili na abiria wao wawili kisa wamesimamishwa pale daraja la Mkapa wakapitiliza!. Polisi wakawaripoti hivyo walipofika next check point walimiminiwa tuu na kumaliza kazi hapo hapo, hawakukutwa na silaha yoyote!.

Haya ya polisi tumeisha yapigia sana kelele humu jukwaani.

IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality!. Utampeleka JK The Hague-Part II!

Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa!, Polisi Wako Ni Wauaji!. P'se Stop This

Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Na kwa wale wenye interest na TISS kuijua zaidi, tembelea
Namna ya kujiunga na usalama wa Taifa | JamiiForums | The Home of

Kujiunga na Chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, Bunju

Afisa usalama wa taifa "shushushu" ni nani? Anafanya shughuli gani

Shushushu (Afisa Usalama wa Taifa) ni mtu wa aina gani .

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa | JamiiForums | The Home of Great .

Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa ...

Dr. Hassy Kitine, aliyekuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa .

Usalama wa Taifa waibana polisi; NI KUHUSU TUHUMA ZA MKE ...


Paskali
Update
Mkuu Mchambuzi
thanks very much for this, its very objective naona kama umemaliza kila kitu!.

It's true kuna lots of details nime avoid kutokana na uzalendo, pia nimemtaja Mzee wangu tuu kwa sababu alihusika direct, lakini sikumtaja mama yangu ambaye she is still alive and retired (hawaritayi kabisa) wala sikusema kuwa hata mimi nilipomaliza shule na kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria, nilipomaliza JKT, nilijiunga JWTZ straight japo niliacha Jeshi. Ukiwa ni mtoto wa hawa jamaa, both parents, born and breed Tiss, then mimi nami ni almanusura sana!. Anyway haya tuyaache.

Although mhusika mkuu hataisoma kutokana na lingua uliyotumia, wahusika wenyewe wamesoma, na wamesikia labda waendelee tuu kutia pamba masikioni kwa sababu kujadili jambo lolote kuhusu TISS was considered a taboo hivyo bandiko hili kwa TISS ni kama abomination!.
Thanks again.
Paskali

We we ni zaidi ya mwandishi. Uko well informed.
 
Wanabodi

TISS ni idara nyeti, uadilifu wake unapaswa kuwa wa kiwango cha juu kabisa ambao haupaswi kutiliwa shaka yoyote, unapaswa kuwa ni uadilifu wa kiwango cha mke wa Kaisari, ile kutuhumiwa tuu ni kosa tosha hata bila kuthibitishwa, anahukumiwa!.

Hivyo ndivyo zilivyo tuhuma za TISS wetu, kuwa wale makirikiri wa Bashite ni TISS!, na yule mpuuzi wa Nape ni TISS!. Hivyo kama wale makirikiri wa Bashite waliovamia Clouds TV sio watu wao, TISS wasikae kimya wajitokeze na kukanusha!. Kama yule mpuuzi aliyemtishia Nape kwa bastola sio mtu wao, wajitokeze wakanushe. Huku kukaa kimya kunachukuliwa ni admission of guilt!.

Kama tuhuma dhidi ya TISS zimefika hadi kwenye Bunge letu Tukufu, na TISS iko chini ya Ikulu yetu, na Ikulu ni mahala patakatifu, tuhuma tuu kumhusu mke wa Kaisari zinatosha kumuondoa Ikulu asije akapanajisi patakatifu petu!. Hiyo TISS isikae kimya lazima ijitathimini na kujisafisha na uchafu wa makandokando haya!.

Huu mjadala unaoendelea kuhusu utekaji, utesaji na mauaji ambavyo vinahusishwa na idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa, TISS ni uthibitisho tosha kuwa TISS imechafuka inahitaji au kujisafisha au kusafishwa!.

Pamoja na Tanzania kuridhia mkakati wa Open Government Initiatives lakini kuna vitu huwezi kuvijadili openly lakini bado unaweza kuvichunguza na kuvifanyia kazi kimya kimya ila public ikaona matokeo na kurudisha imani.

Kuna watu wanadhani Usalama wa Taifa TISS wao ni malaika na hawawezi kabisa kufanya makosa kama madudu haya wanayotuhumiwa nayo sasa. No!, TISS sio malaika kwa sababu nayo inaongozwa na binadamu!.

Tiss huko nyuma iliwahi kufanya makosa ya utekaji, utesaji na hata uuaji, na ikafumuliwa!. Hivyo kwa vile tayari tunayo precedence ya vitendo viovu vya TISS huko nyuma, hivyo kwa kuutumia uthibitisho wa uovu huo, una justify kuwa kuna uwezekano ikawa ni kweli TISS is behind huu uovu na uchafu unaozungumziwa sasa Bungeni.

Lakini pia inawezekana sio TISS as TISS bali ni acts za individual members wa TISS wakifanya a "stand alone operations" bila kupokea command yoyote kutoka juu, hivyo vitendo vya wachache, vikaichafua TISS yetu collectively kwenye a collective responsibilities formula.

Pia inawezekana kabisa vitendo hivi vinafanywa na wahuni fulani, ambao wana pose as TISS just to make believe kuwa ni TISS kumbe sio TISS bali ni just impostors wanaochafua the good image ya TISS wetu waadilifu.

Whichever the case, TISS ijitokeze iwakane na kurudisha imani na TISS wetu

Hebu kwanza msikilizeni Tundu Lissu anasema nini kuhusu utekaji na utesaji wa TISS, hao anaowatetea ndio wenye bahati who could live to tell, hivyo ndio waliosalimika, only God knows kwa wale wasio na bahati hatima yao ilikuwaje because they couldn't live to tell!.

Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu! .

Hii sio mara ya kwanza kusikia serikali inafanya torture!. Hapa chini ni kisa cha kweli kabisa cha udhalimu wa TISS wa enzi hizo ambacho kilimhusu member wa familia yangu kujaribu kuwanusuru watuhumiwa wa torture na katika kufanya wema, wema wake ulimponza, RIP Mzee wangu Andrew Mayalla.

Kitendo kilichofanywa Clouds Media ni uthibitisho wa uhuni kama huu wa gross abuse of power na Nape alipotaka kufanya wema kuikingia kifua serikali yake isijinasibishe na uchafu huu, wema wake ulimponza.

Mwaka 1976 kule Mwanza kwenye eneo la Kigoto, watuhumiwa wa mauaji ya vikongwe walikuwa tortured na maofisa wa polisi.

Mzee wangu, Andrew Mayalla akiwa RSO wa Mwanza, akawanusuru watuhumiwa wawili, Masanja Makula Mazengenuka na Isaak Mwanamkoboko kutoka eneo la Kigoto baada ya mateso makubwa, wakiwa njiani wakamweza hawajala chochote kwa muda wa siku 3 za mateso ya usiku na mchana!.

Akaamua kuwapeleka Bugando, on their way akasimama mahali kuwanunulia soda na kitafunio, soda waliweza kunywa, kutafuna walishindwa.

Bugando akawakabidhi kwa Dr. Nkulila. The next day they were both dead, mtuhumiwa wa kwanza ni aliyewaleta!.

Hizo ni enzi za Nyerere, tulikuwa tukiishi Isamilo ya chini, next door ni RPC alikuwa akiitwa Mkwawa, nyumba ya tatu ni DSO. Just imagine majirani watatu wanaishi nyumba zinazofuatana wanapokutwa na kisanga.

Baada ya Taarifa kumfikia Nyerere, kuanzia Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi alipoteza uwaziri, IGP wa wakati huo Pundugu alipoteza kazi, Mkurugenzi wa Tiss, Mzena, alipoteza kazi, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Peter Kisumo, alipoteza kazi,

Mzee wangu, Mzee Mayalla, RSO, RPC, DSO na OCD wa Mwanza wote walistaafishwa kwa manufaa ya umma, tulihamishwa usiku usiku na kurudishwa kijijini (detention fulani za Nyerere).

Wakati yote haya yakifanyika, mimi nilikuwa mdogo sana, sikujua hili wala lile, hadi ilipoanza kuunguruma, Kesi ya Mauaji Mwanza, ndipo niligundua dingi alikuwa nani!, na thanks God, mtu pekee aliyenasuka ni Mzee Andrew Mayalla (RIP) kufuatia kazi kubwa iliyofanywa na wakili Murtaza Lakha.

Kwa wale tuliofuatilia ile kesi ya Uhaini ya mwaka 1982 tulisoma jinsi TISS wanavyoteka, wanavyo tesa na wanavyo ua yakiwemo mauaji ya Martin Tamimu. Utekaji wa Hatty Magee, kule jijini Nairobi, etc.

Mahakama ndio Mhimili pekee wa haki ndani ya katiba yetu, kwenye kesi hiyo ya uhaini, tumeshuhudia watuhumiwa wakitoa ushuhuda jinsi walivyoteswa na TISS kwenye torture chambers zao na kulazimishwa kukiri, hivyo kupelekwa kwa Walinzi wa Amani kukiri kuhusika kwao halafu walipofika mahakamani wakavikana viapo vyao kwa Walinzi wa Amani na kusema waliteswa ndio maana wakakiri.

Japo torture ni kinyume cha sheria, polisi na TISS zote duniani wanatumia mbinu hizo kuhoji ambazo nyingine ni halali na nyingine ni haramu.

Marekani ndio inayoongoza kwa kutumia torture na kuihalalisha ila kwa vile ni kinyume cha sheria za nchi hiyo, wanalitumia gereza la Guantanamo Bay lililoko kwenye kisiwa cha Cuba ambako sio ardhi ya Marekani kufanya ushenzi huo.

Hivyo kama tuhuma hizi za Lisu ni kweli, hii sio mara ya kwanza kwa TISS kuhusishwa na makando kando ya ajabu!. Ya Ulimboka tuliyasoma Mwanahalisi, hadi yakamuibua msemaji wa Tiss ya wakati huo Jack Zoka.

Ya Kibanda nilishikwa sikio na mtu tete a tete ila hii nilielezwa ni wale vijana wa Kijitonyama ila it was a personal social issue!.

Yaliyotokea Clouds TV wote tumeyashuhudia kupitia CCTV, na yale makirikiri tumeyaona, na ya Nape Mnauye tumeyashuhudia live mubashara kwenye TV huku huyo mpuuzi akionekana wazi hadi sura watu wanamjua.

Naunga mkono TISS isijadiliwe na Kamati ya Bunge kwa uwazi kama ambavyo bajeti yao na ile ya defence hazijadiliwi, lakini bado wanaweza kuchunguzwa, na Sheria ya Usalama wa Taifa, sheria namba 15 ya mwaka 1996 ina mapungufu makubwa, imepitwa na wakati na kila siku sio tu inavunjwa na TISS wenyewe, bali pia inatumiwa vibaya na wanasiasa kuanzia Mkuu mwenyewe kuitumia kama bakora ya kuwachapia wapinzani!.

Just imagine, Mkuu wa nchi mwenyewe, anatamka hadharani kuwa simu za watu zinadukuliwa, bila wanaharakati kupiga kelele wakati inafahamika wazi kabisa, udukuzi kwa simu za wanasiasa ni kosa kisheria!, kwa mujibu wa Kifungu cha 5(2) cha sheria ya usalama wa Taifa kinaizuia TISS kumfuatilia mtu yeyote wala kumpekua pekua au kumfanyia ujasusi kwa sababu ya msimamo wake kisiasa au Uhuru wake wa kuipinga Serikali. TISS inavunja sheria kila wakati kwenye eneo hili, rais anatangaza wanadukua simu za watu, by implication, waelewa wote, walielewa aliyedukuliwa!, kisha rais akasema kwa hasira, wasaliti wa aina hii, hawawezi kuachwa hivi hivi na kutolea mfano wa kinachowapata wasaliti wa jeshini, then mara mtajwa, yanamkuta ya kumkuta!, hata mtoto mdogo lazima atadhania ya kudhania!.

TISS inatakiwa kubadilika na kuunda kitengo madhubuti cha ujasusi wa kiuchumi, mfano, tuna Balozi zetu katika nchi zote zinazochenjua Mchanga wa makinikia, TISS wangekuwa wa maana, by now tungeisha jua hao Acacia wanapata nini kwenye Mchanga wetu, gharama za uchenjuaji container la Mchanga ni kiasi gani na kila kinachopatikana!, lakini wao wamekalia kudukua tuu simu, badala ya kudeal na serious issues za kiuchumi!. Kiukweli ile bili ya trilioni 190 ya TRA sio realistic, rais wetu ataonekana mjinga, Waziri Kabudi ataonekana mjinga, na nchi nzima tutaonekana ni taifa la wajinga, wakati ukweli utakapobainika, kitu ambacho TISS makini ingeweza kuzuia!.

Serikali yetu lazima ifanye damage control kwa msemaji wa TISS kuibuka na kumkana yule mpuuzi aliyemtisha Nape Bastola na kuwakana wale makirikiri wa Bashite!.

Huu ukimya wa Mwigulu, na serikali ni uthibitisho kuwa serikali has a hand kwenye hayo!. Ili kuonyesha kuwa serikali haihusiki na uhuni,upuuzi na ushenzi huu, rais Magufuli lazima akasirike kama Nyerere alivyo kasirika idara ya TISS inapochafuliwa, aliifumua mwanzo mwisho bila huruma.

Ukiondoa hizo torture za TISS zilizoibuliwa mahakamani, torture za jeshi la polisi ndio isiseme kabisa, innocent (until proven guilt) people have been tortured to death, hakuna kesi and nobody cares as if polisi are doing the right thing!.

Tukio la mwisho ni gunning down waendesha bodaboda wawili na abiria wao wawili kisa wamesimamishwa pale daraja la Mkapa wakapitiliza!. Polisi wakawaripoti hivyo walipofika next check point walimiminiwa tuu na kumaliza kazi hapo hapo, hawakukutwa na silaha yoyote!.

Haya ya polisi tumeisha yapigia sana kelele humu jukwaani.

IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality!. Utampeleka JK The Hague-Part II!

Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa!, Polisi Wako Ni Wauaji!. P'se Stop This

Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Na kwa wale wenye interest na TISS kuijua zaidi, tembelea
Namna ya kujiunga na usalama wa Taifa | JamiiForums | The Home of

Kujiunga na Chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, Bunju

Afisa usalama wa taifa "shushushu" ni nani? Anafanya shughuli gani

Shushushu (Afisa Usalama wa Taifa) ni mtu wa aina gani .

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa | JamiiForums | The Home of Great .

Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa ...

Dr. Hassy Kitine, aliyekuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa .

Usalama wa Taifa waibana polisi; NI KUHUSU TUHUMA ZA MKE ...


Paskali
Update
Mkuu Mchambuzi
thanks very much for this, its very objective naona kama umemaliza kila kitu!.

It's true kuna lots of details nime avoid kutokana na uzalendo, pia nimemtaja Mzee wangu tuu kwa sababu alihusika direct, lakini sikumtaja mama yangu ambaye she is still alive and retired (hawaritayi kabisa) wala sikusema kuwa hata mimi nilipomaliza shule na kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria, nilipomaliza JKT, nilijiunga JWTZ straight japo niliacha Jeshi. Ukiwa ni mtoto wa hawa jamaa, both parents, born and breed Tiss, then mimi nami ni almanusura sana!. Anyway haya tuyaache.

Although mhusika mkuu hataisoma kutokana na lingua uliyotumia, wahusika wenyewe wamesoma, na wamesikia labda waendelee tuu kutia pamba masikioni kwa sababu kujadili jambo lolote kuhusu TISS was considered a taboo hivyo bandiko hili kwa TISS ni kama abomination!.
Thanks again.
Paskali
Uhayawani huu....Paskali umekuwa mtu wa hovyo kabsa!!
 
Shida anaewalipa anapenda majungu, ndio maana usiku na mchana kazi ni kudukua watu hili apate umbea.
Hii taasisi iwe na weledi wa hali ya juu.

Wajiepushe na majungu kabisa,hili nalo linawavunjia heshima,nadhani uwepo mfumo wa udhibiti wa intelligence analysis,asiachiwe mtu mmoja hasa huko mawilayani,kwa sasa taasisi inakosa heshima nadhani kwa kuwa pengine hakuna guidelines za kufatwa kabla intelligence information haijawa acted upon.

Lazima mabosi wa hawa maafisa wawe wanawabana vijana wao waje na hard facts,ambazo zimekuwa analysed sawasawa,akileta jungu kisa tu amegombania demu na mwananchi,piga chini taarifa yake.

Pia ziwepo rules of engagement kati ya taasisi na wanasiasa,inawezekana taasisi ikawa nzuri kila hakuna rules of engaging with politicians,ni wazi wanasiasa ni watu wa visasi,na visasi vyao vinaanzia jinsi wanavyopata madaraka,ni vizuri taasisi ikaweka taratibu detailed ambazo zitawafanya wanasiasa kama wakuu wa mikoa,wilaya,wasiwatumie vibaya,na afisa akikubali kutumika vibaya,ajue kuna adhabu,hii itawapa Uhuru na utashi wa kuwashauri wanasiasa kwamba mzee hoja yako tumeisikia,tumeichambua,tunakushauri acha,suala hilo litavunja heshima yako,ya serikali,na hata wananchi wataitilia shaka serikali.

Ila kimsingi hawa jamaa mpaka sasa,naona kama wana mzuka,wanabebwa na kushawishiwa na wanasiasa kutumika vibaya,ni hawa hawa juzi awamu ya nne,ya tatu,wengine ya pili walikuwepo kama watu wazuri tu,wanasiasa wanapowapa kiburi shida inaanza

Hata polisi walitaka kubadilika,lakini nadhani wamekumbushana kurudi kwenye msitari

Tatizo la nchi hii ni wanasiasa.....tukishaweka miongozo ya wazi ya mahusiano kati ya wataalam na wanasiasa,nchi hii itakuwa kama China ndani ya miaka 50!

Sehemu zote wanazolaumiwa,ni kwa sababu mwanasiasa aliwaharibu(ishu ya nape,press conference ya Roma na harmomwakye)

Japo sipingi mabadiliko
 
Back
Top Bottom