TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Wanabodi

TISS ni idara nyeti, uadilifu wake unapaswa kuwa wa kiwango cha juu kabisa ambao haupaswi kutiliwa shaka yoyote, unapaswa kuwa ni uadilifu wa kiwango cha mke wa Kaisari, ile kutuhumiwa tuu ni kosa tosha hata bila kuthibitishwa, anahukumiwa!.

Hivyo ndivyo zilivyo tuhuma za TISS wetu, kuwa wale makirikiri wa Bashite ni TISS!, na yule mpuuzi wa Nape ni TISS!. Hivyo kama wale makirikiri wa Bashite waliovamia Clouds TV sio watu wao, TISS wasikae kimya wajitokeze na kukanusha!. Kama yule mpuuzi aliyemtishia Nape kwa bastola sio mtu wao, wajitokeze wakanushe. Huku kukaa kimya kunachukuliwa ni admission of guilt!.

Kama tuhuma dhidi ya TISS zimefika hadi kwenye Bunge letu Tukufu, na TISS iko chini ya Ikulu yetu, na Ikulu ni mahala patakatifu, tuhuma tuu kumhusu mke wa Kaisari zinatosha kumuondoa Ikulu asije akapanajisi patakatifu petu!. Hiyo TISS isikae kimya lazima ijitathimini na kujisafisha na uchafu wa makandokando haya!.

Huu mjadala unaoendelea kuhusu utekaji, utesaji na mauaji ambavyo vinahusishwa na idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa, TISS ni uthibitisho tosha kuwa TISS imechafuka inahitaji au kujisafisha au kusafishwa!.

Pamoja na Tanzania kuridhia mkakati wa Open Government Initiatives lakini kuna vitu huwezi kuvijadili openly lakini bado unaweza kuvichunguza na kuvifanyia kazi kimya kimya ila public ikaona matokeo na kurudisha imani.

Kuna watu wanadhani Usalama wa Taifa TISS wao ni malaika na hawawezi kabisa kufanya makosa kama madudu haya wanayotuhumiwa nayo sasa. No!, TISS sio malaika kwa sababu nayo inaongozwa na binadamu!.

Tiss huko nyuma iliwahi kufanya makosa ya utekaji, utesaji na hata uuaji, na ikafumuliwa!. Hivyo kwa vile tayari tunayo precedence ya vitendo viovu vya TISS huko nyuma, hivyo kwa kuutumia uthibitisho wa uovu huo, una justify kuwa kuna uwezekano ikawa ni kweli TISS is behind huu uovu na uchafu unaozungumziwa sasa Bungeni.

Lakini pia inawezekana sio TISS as TISS bali ni acts za individual members wa TISS wakifanya a "stand alone operations" bila kupokea command yoyote kutoka juu, hivyo vitendo vya wachache, vikaichafua TISS yetu collectively kwenye a collective responsibilities formula.

Pia inawezekana kabisa vitendo hivi vinafanywa na wahuni fulani, ambao wana pose as TISS just to make believe kuwa ni TISS kumbe sio TISS bali ni just impostors wanaochafua the good image ya TISS wetu waadilifu.

Whichever the case, TISS ijitokeze iwakane na kurudisha imani na TISS wetu

Hebu kwanza msikilizeni Tundu Lissu anasema nini kuhusu utekaji na utesaji wa TISS, hao anaowatetea ndio wenye bahati who could live to tell, hivyo ndio waliosalimika, only God knows kwa wale wasio na bahati hatima yao ilikuwaje because they couldn't live to tell!.

Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu! .

Hii sio mara ya kwanza kusikia serikali inafanya torture!. Hapa chini ni kisa cha kweli kabisa cha udhalimu wa TISS wa enzi hizo ambacho kilimhusu member wa familia yangu kujaribu kuwanusuru watuhumiwa wa torture na katika kufanya wema, wema wake ulimponza, RIP Mzee wangu Andrew Mayalla.

Kitendo kilichofanywa Clouds Media ni uthibitisho wa uhuni kama huu wa gross abuse of power na Nape alipotaka kufanya wema kuikingia kifua serikali yake isijinasibishe na uchafu huu, wema wake ulimponza.

Mwaka 1976 kule Mwanza kwenye eneo la Kigoto, watuhumiwa wa mauaji ya vikongwe walikuwa tortured na maofisa wa polisi.

Mzee wangu, Andrew Mayalla akiwa RSO wa Mwanza, akawanusuru watuhumiwa wawili, Masanja Makula Mazengenuka na Isaak Mwanamkoboko kutoka eneo la Kigoto baada ya mateso makubwa, wakiwa njiani wakamweza hawajala chochote kwa muda wa siku 3 za mateso ya usiku na mchana!.

Akaamua kuwapeleka Bugando, on their way akasimama mahali kuwanunulia soda na kitafunio, soda waliweza kunywa, kutafuna walishindwa.

Bugando akawakabidhi kwa Dr. Nkulila. The next day they were both dead, mtuhumiwa wa kwanza ni aliyewaleta!.

Hizo ni enzi za Nyerere, tulikuwa tukiishi Isamilo ya chini, next door ni RPC alikuwa akiitwa Mkwawa, nyumba ya tatu ni DSO. Just imagine majirani watatu wanaishi nyumba zinazofuatana wanapokutwa na kisanga.

Baada ya Taarifa kumfikia Nyerere, kuanzia Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi alipoteza uwaziri, IGP wa wakati huo Pundugu alipoteza kazi, Mkurugenzi wa Tiss, Mzena, alipoteza kazi, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Peter Kisumo, alipoteza kazi,

Mzee wangu, Mzee Mayalla, RSO, RPC, DSO na OCD wa Mwanza wote walistaafishwa kwa manufaa ya umma, tulihamishwa usiku usiku na kurudishwa kijijini (detention fulani za Nyerere).

Wakati yote haya yakifanyika, mimi nilikuwa mdogo sana, sikujua hili wala lile, hadi ilipoanza kuunguruma, Kesi ya Mauaji Mwanza, ndipo niligundua dingi alikuwa nani!, na thanks God, mtu pekee aliyenasuka ni Mzee Andrew Mayalla (RIP) kufuatia kazi kubwa iliyofanywa na wakili Murtaza Lakha.

Kwa wale tuliofuatilia ile kesi ya Uhaini ya mwaka 1982 tulisoma jinsi TISS wanavyoteka, wanavyo tesa na wanavyo ua yakiwemo mauaji ya Martin Tamimu. Utekaji wa Hatty Magee, kule jijini Nairobi, etc.

Mahakama ndio Mhimili pekee wa haki ndani ya katiba yetu, kwenye kesi hiyo ya uhaini, tumeshuhudia watuhumiwa wakitoa ushuhuda jinsi walivyoteswa na TISS kwenye torture chambers zao na kulazimishwa kukiri, hivyo kupelekwa kwa Walinzi wa Amani kukiri kuhusika kwao halafu walipofika mahakamani wakavikana viapo vyao kwa Walinzi wa Amani na kusema waliteswa ndio maana wakakiri.

Japo torture ni kinyume cha sheria, polisi na TISS zote duniani wanatumia mbinu hizo kuhoji ambazo nyingine ni halali na nyingine ni haramu.

Marekani ndio inayoongoza kwa kutumia torture na kuihalalisha ila kwa vile ni kinyume cha sheria za nchi hiyo, wanalitumia gereza la Guantanamo Bay lililoko kwenye kisiwa cha Cuba ambako sio ardhi ya Marekani kufanya ushenzi huo.

Hivyo kama tuhuma hizi za Lisu ni kweli, hii sio mara ya kwanza kwa TISS kuhusishwa na makando kando ya ajabu!. Ya Ulimboka tuliyasoma Mwanahalisi, hadi yakamuibua msemaji wa Tiss ya wakati huo Jack Zoka.

Ya Kibanda nilishikwa sikio na mtu tete a tete ila hii nilielezwa ni wale vijana wa Kijitonyama ila it was a personal social issue!.

Yaliyotokea Clouds TV wote tumeyashuhudia kupitia CCTV, na yale makirikiri tumeyaona, na ya Nape Mnauye tumeyashuhudia live mubashara kwenye TV huku huyo mpuuzi akionekana wazi hadi sura watu wanamjua.

Naunga mkono TISS isijadiliwe na Kamati ya Bunge kwa uwazi kama ambavyo bajeti yao na ile ya defence hazijadiliwi, lakini bado wanaweza kuchunguzwa, na Sheria ya Usalama wa Taifa, sheria namba 15 ya mwaka 1996 ina mapungufu makubwa, imepitwa na wakati na kila siku sio tu inavunjwa na TISS wenyewe, bali pia inatumiwa vibaya na wanasiasa kuanzia Mkuu mwenyewe kuitumia kama bakora ya kuwachapia wapinzani!.

Just imagine, Mkuu wa nchi mwenyewe, anatamka hadharani kuwa simu za watu zinadukuliwa, bila wanaharakati kupiga kelele wakati inafahamika wazi kabisa, udukuzi kwa simu za wanasiasa ni kosa kisheria!, kwa mujibu wa Kifungu cha 5(2) cha sheria ya usalama wa Taifa kinaizuia TISS kumfuatilia mtu yeyote wala kumpekua pekua au kumfanyia ujasusi kwa sababu ya msimamo wake kisiasa au Uhuru wake wa kuipinga Serikali. TISS inavunja sheria kila wakati kwenye eneo hili, rais anatangaza wanadukua simu za watu, by implication, waelewa wote, walielewa aliyedukuliwa!, kisha rais akasema kwa hasira, wasaliti wa aina hii, hawawezi kuachwa hivi hivi na kutolea mfano wa kinachowapata wasaliti wa jeshini, then mara mtajwa, yanamkuta ya kumkuta!, hata mtoto mdogo lazima atadhania ya kudhania!.

TISS inatakiwa kubadilika na kuunda kitengo madhubuti cha ujasusi wa kiuchumi, mfano, tuna Balozi zetu katika nchi zote zinazochenjua Mchanga wa makinikia, TISS wangekuwa wa maana, by now tungeisha jua hao Acacia wanapata nini kwenye Mchanga wetu, gharama za uchenjuaji container la Mchanga ni kiasi gani na kila kinachopatikana!, lakini wao wamekalia kudukua tuu simu, badala ya kudeal na serious issues za kiuchumi!. Kiukweli ile bili ya trilioni 190 ya TRA sio realistic, rais wetu ataonekana mjinga, Waziri Kabudi ataonekana mjinga, na nchi nzima tutaonekana ni taifa la wajinga, wakati ukweli utakapobainika, kitu ambacho TISS makini ingeweza kuzuia!.

Serikali yetu lazima ifanye damage control kwa msemaji wa TISS kuibuka na kumkana yule mpuuzi aliyemtisha Nape Bastola na kuwakana wale makirikiri wa Bashite!.

Huu ukimya wa Mwigulu, na serikali ni uthibitisho kuwa serikali has a hand kwenye hayo!. Ili kuonyesha kuwa serikali haihusiki na uhuni,upuuzi na ushenzi huu, rais Magufuli lazima akasirike kama Nyerere alivyo kasirika idara ya TISS inapochafuliwa, aliifumua mwanzo mwisho bila huruma.

Ukiondoa hizo torture za TISS zilizoibuliwa mahakamani, torture za jeshi la polisi ndio isiseme kabisa, innocent (until proven guilt) people have been tortured to death, hakuna kesi and nobody cares as if polisi are doing the right thing!.

Tukio la mwisho ni gunning down waendesha bodaboda wawili na abiria wao wawili kisa wamesimamishwa pale daraja la Mkapa wakapitiliza!. Polisi wakawaripoti hivyo walipofika next check point walimiminiwa tuu na kumaliza kazi hapo hapo, hawakukutwa na silaha yoyote!.

Haya ya polisi tumeisha yapigia sana kelele humu jukwaani.

IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality!. Utampeleka JK The Hague-Part II!

Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa!, Polisi Wako Ni Wauaji!. P'se Stop This

Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Na kwa wale wenye interest na TISS kuijua zaidi, tembelea
Namna ya kujiunga na usalama wa Taifa | JamiiForums | The Home of

Kujiunga na Chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, Bunju

Afisa usalama wa taifa "shushushu" ni nani? Anafanya shughuli gani

Shushushu (Afisa Usalama wa Taifa) ni mtu wa aina gani .

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa | JamiiForums | The Home of Great .

Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa ...

Dr. Hassy Kitine, aliyekuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa .

Usalama wa Taifa waibana polisi; NI KUHUSU TUHUMA ZA MKE ...


Paskali
Update
Mkuu Mchambuzi
thanks very much for this, its very objective naona kama umemaliza kila kitu!.

It's true kuna lots of details nime avoid kutokana na uzalendo, pia nimemtaja Mzee wangu tuu kwa sababu alihusika direct, lakini sikumtaja mama yangu ambaye she is still alive and retired (hawaritayi kabisa) wala sikusema kuwa hata mimi nilipomaliza shule na kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria, nilipomaliza JKT, nilijiunga JWTZ straight japo niliacha Jeshi. Ukiwa ni mtoto wa hawa jamaa, both parents, born and breed Tiss, then mimi nami ni almanusura sana!. Anyway haya tuyaache.

Although mhusika mkuu hataisoma kutokana na lingua uliyotumia, wahusika wenyewe wamesoma, na wamesikia labda waendelee tuu kutia pamba masikioni kwa sababu kujadili jambo lolote kuhusu TISS was considered a taboo hivyo bandiko hili kwa TISS ni kama abomination!.
Thanks again.
Paskali

Umesema TISS wanapaswa kuwa wasafi kama mke wa Kaisari, wakituhumiwa, wanahukumiwa.

Baadae unasema wakikaa kimya ni sawa na admission of guilt, wajitathmini, wajitokeze, wakane tuhuma, wajisafishe, warudishe imani ya public kwa taasisi yao. Yani kumbe tuhuma zinakanushika, zinasafishika.

Hivi mnapokuwa mnaandika term papers za shahada ya kwanza, au thesis za uzamili, au dissertation za uzamivu, wakufunzi wenu hawawaambii kijana hebu pitia tena hapa na pale na pale unyooshe logical disasters zilizomo ili ujifunze logic ndugu???

Eti watu wanadhani TISS inaajiri malaika lakini na wenyewe ni binadamu, wanakosea. Nani anadhani, sisi au WEWE ULIYESEMA TISS NI MKE WA KAISARI ???

Unachoandika aya ya pili, Paskalli, hakitakiwi kupingana ki- logic na aya ya 18. Tujifunze ku think na kuandika logically!
 
Wanabodi

Introduction ya Mada
Hii ni mada very serious kwasababu inaijadili idara yetu nyeti ya TISS ambayo kutokana na unyeti wa idara hii, issues za idara hii huwa hazijadiliwi hovyo hovyo, hivyo ukiona hadi watu tunaojinasibu humu kuwa ni wazalendo wa taifa hili halafu tukajitokeza waziwazi humu kuijadili TISS huku tukitumia majina yetu hali, huu ni uthibitisho kuwa tunaleta mjadala huu kwa nia njema ya uzalendo wa kulisaidia taifa letu pale idara yake nyeti hii inapochafuliwa kwa kusingiziwa tuhuma za uongo, lakini pia kama ni kweli TISS inahusika, then tukubaliane kuwa TISS imechafuka na inahitaji kusafishwa.

Topic ya mjadala huu ni TISS Ikanushe Tuhuma za Uvamizi, Utekaji, Utesaji na Mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge Kwa Uwazi bali Wachunguzwe, Wakithibitika Kuhusika, Wafumuliwe Kwa Kusafishwa Tujenge TISS Safi!

Hivyo naomba mjadala huu ufanyike kwa heshima, staha na uangalifu mkubwa ili badiko hili lisionekane ni bandiko la kukosa uzalendo bali liwe ni bandiko la uzalendo wa kweli kwa taifa lalo lenye lengo la kusadia taifa letu kwasababu haya matukio ya ajabu ajabu yanayohusishwa na TISS, yanaichafua Taswira ya TISS yetu, ambapo kikawaida TISS inapaswa kuwa kama Ikulu, Ikulu ni mahali patakatifu, na TISS inapaswa kuwa ni Idara Takatifu, uadilifu wa TISS, unapaswa uwe ni uadilifu wa kiwango cha juu kabisa ambao haupaswi kutiliwa shaka yoyote, unapaswa kuwa ni uadilifu wa kiwango cha mke wa Kaisari, ile kutuhumiwa tuu ni kosa tosha hata bila kuthibitishwa, anahukumiwa!, hivyo hizi tuhuma mbalimbali za Uvamizi, Utekaji, Utesaji na Mauaji zinazoelekezwa TISS bila ya kukanushwa, zinapelekea TISS yetu kuhukumiwa na mahakama ya umma ambayo haihitaji ushahidi kama tuhuma tuu za mke wa Kaisari, hivyo lengo la bandiko hili ni ushauri wa bure kwa TISS yetu kuwa haya mambo mabaya ambayo TISS inanyooshewa kidole kuwa inahusika, kama haisiki, TISS i come to an open, ikanushe!, ukituhumiwa tuhuma za uongo, ukinyamaza kimya bila kukanusha, hiyo silence inachukuliwa kama ni admission of guilty.

Declaration of Interest
Tunapojadili jambo nyeti kama hili, ni vizuri ku declare interest ili kwanza kujenga imani kwenu wasomaji wangu kuwa mwandishi wa makala hii ni mtu wa kuaminika, hizi data kwenye bandiko hili ni data za kuaminika authentic na bonafide genuine sio data za kuokoteza, data za kubuni au data za kuzua,hivyo ni vyema mimi nikajitambulisha kidogo kwenu, pia kwa sababu mtu unapotoa data nyeti from time to time katika mabandiko yako, huchelewe kunyooshewa kidole kuwa huyu jamaa ni TISS, hivyo na mimi kudhaniwa ni TISS, hivyo bandiko kama hili, litawafungua macho wengi humu kuwa huyu mtoa mada atakuwa ni TISS wa ajabu kweli kuilaumu ofisi yake mitandaoni.

Mimi Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari wa kujitegemea mwenye uwezo wa kuandika Investigative Stories, (IJ), ila pia nimepata bahati ya kuzaliwa na kukulia katika familia ya TISS kwa wazazi wangu wote wawili, baba na mama. Baba Mzee Andrew Mayalla (RIP) ameishatangulia mbele ya haki, na mama bado yuko hai, hivyo baadhi ya hoja zangu za kiitelijensia, sio kwasababu mwana wa nyoka ni nyoka, bali mtoto ukizaliwa kwa wazazi wote wawili ni wana inteligensia wa TISS, unazaliwa na natural intelligence ambayo ni tool muhimu sana kuweza kuwa Investigative Journalist.

Tuhuma Mbalimbali TISS
Kuna matukio mbalimbali yametokea na kuhusishwa na TISS, mengine ni visible, mengine ni invisible, sasa kwa sababu watu wote wenye akili timamu, wanajua TISS zote duniani huwa zinafanya matukio, yale matukio ambayo in invisible yanayohusishwa na TISS, kama kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda, sitahitaji TISS wajitokeza kuyakanusha kwasababu ni tuhuma za hisia tuu, lakini kwa yale matukio visible kama kushambuliwa kwa Tundu Lissu, kuvamiwa kwa Clouds Media na wale makirikiri wa Mkuu wa Mkoa wa DSM na yule mpuuzi aliyemtishia bastola Waziri Nape kuelezwa kuwa wale ni TISS kunaichafua idara yetu nyeti ya TISS!. Hivyo kama wale makirikiri waliovamia Clouds TV sio watu wao, TISS wasikae kimya wajitokeze wawakane na kukanusha uhusika wa TISS!. Kama yule mpuuzi aliyemtishia Nape kwa bastola sio mtu wao, TISS wajitokeze wamkane na wakanushe. Huku kutokea kwa matukio kama haya na kuhusishwa na TISS, halafu TISS wanajua sii kweli, sii wao, huku kukaa kimya bila TISS kukanusha uhusika wake, kunachukuliwa ni admission of guilt!.

Jee Tuhuma za Uhusika wa TISS zinatolewa Wapi na Zinatolewa na Nani?.
Nyingi ya tuhuma za kuhusika kwa TISS katika baadhi ya matukio ya hovyo, huanza kwa kutolewa na watu tuu wa kawaida, tuhuma zinapotolewa na watu wa kawaida tuu, watu ambao they are nobody, na zinatolewa kwenye vijiwe vya kahawa, it is right, kuzipuuza, lakini tuhuma hizi dhidi ya TISS zinapofikia kiwango cha kutolewa ndani ya Bunge letu Tukufu, tuhuma hizi sio za kuzipuuzia hata kidogo kwasababu Bunge ni chombo rasmi, wabunge wtu ni wawakilishi rasmi wa wananchi, wanapoituhumu TISS Bungeni, this is something very serious, sio jambo la kupuuziwa kwasababu TISS iko chini ya Ikulu yetu, na Ikulu ni mahala patakatifu, tuhuma tuu kumhusu mke wa Kaisari zinatosha kumuondoa Ikulu asije akapanajisi patakatifu petu!. Hiyo TISS isikae kimya lazima iibuke kuja kukanusha kutohusika kwake na kujisafisha na uchafu wa makandokando haya!, winginevyo kama ni kweli inahusika, ijitathimini yenyewe kwa kuwajibika au iwajibishwe kwa kusafishwa!.

Jee TISS ni Chafu Inahitaji Kusafishwa?.
Huu mjadala unaoendelea kuhusu utekaji, utesaji na mauaji ambavyo vinahusishwa na idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa, TISS ni uthibitisho tosha kuwa TISS imechafuka inahitaji au kujisafisha au kusafishwa!.

Pamoja na Tanzania kuridhia mkakati wa Open Government Initiatives lakini kuna vitu huwezi kuvijadili openly lakini bado unaweza kuvichunguza na kuvifanyia kazi kimya kimya ila public ikaona matokeo na kurudisha imani.

Kuna watu wanadhani Usalama wa Taifa TISS wao ni malaika na hawawezi kabisa kufanya makosa kama madudu haya wanayotuhumiwa nayo sasa. No!, TISS ni kweli kwa vile iko chini ya Ikulu, na Ikulu ni mahali patakatifu, TISS pia inapaswa kuwa ni idara takatifu, lakini kwa vile TISS inaendeshwa na binadamu na sio malaika, TISS inaweza kufanya makosa na uchafu huo ukawa ni kweli ni TISS, ndio maana katika bandiko hili nasisitiza tuhuma hizi dhidi ya TISS kama sii kweli, TISS ikanushe, kama ni kweli, TISS imechafuka na inahitaji kusafishwa!. Hii sii mara ya kwanza kwa TISS kuchafuka, huko nyuma kuliwahi kutokea matukio ya TISS kuchafuka na Ilisafishwa!.

TISS Iliwahi Kuchafuka Vipi na Ilisafishwaje?.
Tiss huko nyuma iliwahi kufanya makosa ya utekaji, utesaji na hata uuaji, na ikafumuliwa!. Hivyo kwa vile tayari tunayo precedence ya vitendo viovu vya TISS kuwahi kufanyika huko nyuma, hivyo kwa kuutumia uthibitisho wa uovu huo, una justify kuwa kuna pia kuna wa vitendo hivi viovu ambavyo TISS inashutumiwa navyo, kuna uwezekano kabisa ikawa ni kweli ni TISS wetu ndio is behind huu uovu na uchafu huu unaozungumziwa sasa hadi Bungeni kwetu, ndio maana hadi Bunge linaelezwa halafu TISS wamekaa kimya wakishupaza shingo zao, kwa hoja kuwa "mnaweza kutufanya nini?", it's very true TISS ya nchi zote wakifanya uovu wowote kwa amri halali kutoka juu, no one can do anything!, hawawezi kufanywa lolote wala kuchunguzwa na yoyote, hapa duniani, but kuna mamlaka moja pekee kuu kuliko mamlaka zote, inayoweza kufanya kitu, kupitia kitu kinachoitwa Karma, hakuna atakajua kuwa mamlaka hiyo imefanya, bali matokeo ya karma ndio huonekana!.

Jee ni TISS Wetu Wanafanya Vitendo Hivi au Wanasingiziwa?.
Kuna uwezekano sio kila utekaji, utesaji, mashambulio na mauaji yanafanywa na TISS, inawezekana kabisa sio TISS as TISS bali matukio hayo ni acts za individual members wa TISS wakifanya a "stand alone operations" bila kupokea command yoyote kutoka juu, hivyo vitendo viovu vya members wachache wa TISS, vikaichafua image nzima ya TISS yetu safi collectively under the collective responsibilities formula.

Pia inawezekana kabisa vitendo hivi vinafanywa na wahuni fulani, ambao wana pose as TISS just to make believe kuwa ni TISS kumbe sio TISS bali ni just impostors wanao fanya matukio kwa kupose as TISS ili ionekane ni TISS, hivyo wanaochafua the good image ya TISS wetu waadilifu, this being the case, TISS iwakane wahuni hawa, ijitokeze kukanusha uhusika wake, na wahuni hawa watafutwe na kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwa kuchafua good image ya TISS yetu takatifu!.

Whichever the case, TISS ijitokeze ama ijisafishe na iwakane wahuni hawa, ama isafishwe na kurudisha imani na TISS wetu kwa wananchi wa taifa letu.

Sikilizeni Tuhuma za TISS Bungeni Kwetu
Hebu kwanza msikilizeni Tundu Lissu anasema nini kuhusu utekaji na utesaji wa TISS, hao anaowatetea ndio wenye bahati who could live to tell, hivyo ndio waliosalimika, only God knows kwa wale wasio na bahati hatima yao ilikuwaje because they couldn't live to tell!.

Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu! .

Hii sio mara ya kwanza kusikia serikali inafanya torture!. Hapa chini ni kisa cha kweli kabisa cha udhalimu wa TISS wa enzi hizo ambacho kilimhusu member wa familia yangu kujaribu kuwanusuru watuhumiwa wa torture na katika kufanya wema, wema wake ulimponza, RIP Mzee wangu Andrew Mayalla.

Kitendo kilichofanywa Clouds Media ni uthibitisho wa uhuni kama huu wa gross abuse of power na Nape alipotaka kufanya wema kuikingia kifua serikali yake isijinasibishe na uchafu huu, wema wake ulimponza.

Mwaka 1976 kule Mwanza kwenye eneo la Kigoto, watuhumiwa wa mauaji ya vikongwe walikuwa tortured na maofisa wa polisi.

Mzee wangu, Andrew Mayalla akiwa RSO wa Mwanza, akawanusuru watuhumiwa wawili, Masanja Makula Mazengenuka na Isaak Mwanamkoboko kutoka eneo la Kigoto baada ya mateso makubwa, wakiwa njiani wakamweza hawajala chochote kwa muda wa siku 3 za mateso ya usiku na mchana!.

Akaamua kuwapeleka Bugando, on their way akasimama mahali kuwanunulia soda na kitafunio, soda waliweza kunywa, kutafuna walishindwa.

Bugando akawakabidhi kwa Dr. Nkulila. The next day they were both dead, mtuhumiwa wa kwanza ni aliyewaleta!.

Hizo ni enzi za Nyerere, tulikuwa tukiishi Isamilo ya chini, next door ni RPC alikuwa akiitwa Mkwawa, nyumba ya tatu ni DSO. Just imagine majirani watatu wanaishi nyumba zinazofuatana wanapokutwa na kisanga.

Baada ya Taarifa kumfikia Nyerere, kuanzia Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi alipoteza uwaziri, IGP wa wakati huo Pundugu alipoteza kazi, Mkurugenzi wa Tiss, Mzena, alipoteza kazi, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Peter Kisumo, alipoteza kazi,

Mzee wangu, Mzee Mayalla, RSO, RPC, DSO na OCD wa Mwanza wote walistaafishwa kwa manufaa ya umma, tulihamishwa usiku usiku na kurudishwa kijijini (detention fulani za Nyerere).

Wakati yote haya yakifanyika, mimi nilikuwa mdogo sana, sikujua hili wala lile, hadi ilipoanza kuunguruma, Kesi ya Mauaji Mwanza, ndipo niligundua dingi alikuwa nani!, na thanks God, mtu pekee aliyenasuka ni Mzee Andrew Mayalla (RIP) kufuatia kazi kubwa iliyofanywa na wakili Murtaza Lakha.

Kwa wale tuliofuatilia ile kesi ya Uhaini ya mwaka 1982 tulisoma jinsi TISS wanavyoteka, wanavyo tesa na wanavyo ua yakiwemo mauaji ya Martin Tamimu. Utekaji wa Hatty Magee, kule jijini Nairobi, etc.

Mahakama ndio Mhimili pekee wa haki ndani ya katiba yetu, kwenye kesi hiyo ya uhaini, tumeshuhudia watuhumiwa wakitoa ushuhuda jinsi walivyoteswa na TISS kwenye torture chambers zao na kulazimishwa kukiri, hivyo kupelekwa kwa Walinzi wa Amani kukiri kuhusika kwao halafu walipofika mahakamani wakavikana viapo vyao kwa Walinzi wa Amani na kusema waliteswa ndio maana wakakiri.

Japo torture ni kinyume cha sheria, polisi na TISS zote duniani wanatumia mbinu hizo kuhoji ambazo nyingine ni halali na nyingine ni haramu.

Marekani ndio inayoongoza kwa kutumia torture na kuihalalisha ila kwa vile ni kinyume cha sheria za nchi hiyo, wanalitumia gereza la Guantanamo Bay lililoko kwenye kisiwa cha Cuba ambako sio ardhi ya Marekani kufanya ushenzi huo.

Hivyo kama tuhuma hizi za Lisu ni kweli, hii sio mara ya kwanza kwa TISS kuhusishwa na makando kando ya ajabu!. Ya Ulimboka tuliyasoma Mwanahalisi, hadi yakamuibua msemaji wa Tiss ya wakati huo Jack Zoka.

Ya Kibanda nilishikwa sikio na mtu tete a tete ila hii nilielezwa ni wale vijana wa Kijitonyama ila it was a personal social issue!.

Yaliyotokea Clouds TV wote tumeyashuhudia kupitia CCTV, na yale makirikiri tumeyaona, na ya Nape Mnauye tumeyashuhudia live mubashara kwenye TV huku huyo mpuuzi akionekana wazi hadi sura watu wanamjua.

Naunga mkono TISS isijadiliwe na Kamati ya Bunge kwa uwazi kama ambavyo bajeti yao na ile ya defence hazijadiliwi, lakini bado wanaweza kuchunguzwa, na Sheria ya Usalama wa Taifa, sheria namba 15 ya mwaka 1996 ina mapungufu makubwa, imepitwa na wakati na kila siku sio tu inavunjwa na TISS wenyewe, bali pia inatumiwa vibaya na wanasiasa kuanzia Mkuu mwenyewe kuitumia kama bakora ya kuwachapia wapinzani!.

Just imagine, Mkuu wa nchi mwenyewe, anatamka hadharani kuwa simu za watu zinadukuliwa, bila wanaharakati kupiga kelele wakati inafahamika wazi kabisa, udukuzi kwa simu za wanasiasa ni kosa kisheria!, kwa mujibu wa Kifungu cha 5(2) cha sheria ya usalama wa Taifa kinaizuia TISS kumfuatilia mtu yeyote wala kumpekua pekua au kumfanyia ujasusi kwa sababu ya msimamo wake kisiasa au Uhuru wake wa kuipinga Serikali. TISS inavunja sheria kila wakati kwenye eneo hili, rais anatangaza wanadukua simu za watu, by implication, waelewa wote, walielewa aliyedukuliwa!, kisha rais akasema kwa hasira, wasaliti wa aina hii, hawawezi kuachwa hivi hivi na kutolea mfano wa kinachowapata wasaliti wa jeshini, then mara mtajwa, yanamkuta ya kumkuta!, hata mtoto mdogo lazima atadhania ya kudhania!.

TISS inatakiwa kubadilika na kuunda kitengo madhubuti cha ujasusi wa kiuchumi, mfano, tuna Balozi zetu katika nchi zote zinazochenjua Mchanga wa makinikia, TISS wangekuwa wa maana, by now tungeisha jua hao Acacia wanapata nini kwenye Mchanga wetu, gharama za uchenjuaji container la Mchanga ni kiasi gani na kila kinachopatikana!, lakini wao wamekalia kudukua tuu simu, badala ya kudeal na serious issues za kiuchumi!. Kiukweli ile bili ya trilioni 190 ya TRA sio realistic, rais wetu ataonekana mjinga, Waziri Kabudi ataonekana mjinga, na nchi nzima tutaonekana ni taifa la wajinga, wakati ukweli utakapobainika, kitu ambacho TISS makini ingeweza kuzuia!.

Serikali yetu lazima ifanye damage control kwa msemaji wa TISS kuibuka na kumkana yule mpuuzi aliyemtisha Nape Bastola na kuwakana wale makirikiri wa Bashite!.

Huu ukimya wa Mwigulu, na serikali ni uthibitisho kuwa serikali has a hand kwenye hayo!. Ili kuonyesha kuwa serikali haihusiki na uhuni,upuuzi na ushenzi huu, rais Magufuli lazima akasirike kama Nyerere alivyo kasirika idara ya TISS inapochafuliwa, aliifumua mwanzo mwisho bila huruma.

Ukiondoa hizo torture za TISS zilizoibuliwa mahakamani, torture za jeshi la polisi ndio isiseme kabisa, innocent (until proven guilt) people have been tortured to death, hakuna kesi and nobody cares as if polisi are doing the right thing!.

Tukio la mwisho ni gunning down waendesha bodaboda wawili na abiria wao wawili kisa wamesimamishwa pale daraja la Mkapa wakapitiliza!. Polisi wakawaripoti hivyo walipofika next check point walimiminiwa tuu na kumaliza kazi hapo hapo, hawakukutwa na silaha yoyote!.

Haya ya polisi tumeisha yapigia sana kelele humu jukwaani.

IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality!. Utampeleka JK The Hague-Part II!

Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa!, Polisi Wako Ni Wauaji!. P'se Stop This

Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Na kwa wale wenye interest na TISS kuijua zaidi, tembelea
Namna ya kujiunga na usalama wa Taifa | JamiiForums | The Home of

Kujiunga na Chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, Bunju

Afisa usalama wa taifa "shushushu" ni nani? Anafanya shughuli gani

Shushushu (Afisa Usalama wa Taifa) ni mtu wa aina gani .

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa | JamiiForums | The Home of Great .

Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa ...

Dr. Hassy Kitine, aliyekuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa .

Usalama wa Taifa waibana polisi; NI KUHUSU TUHUMA ZA MKE ...


Paskali
Update
Mkuu Mchambuzi
thanks very much for this, its very objective naona kama umemaliza kila kitu!.

It's true kuna lots of details nime avoid kutokana na uzalendo, pia nimemtaja Mzee wangu tuu kwa sababu alihusika direct, lakini sikumtaja mama yangu ambaye she is still alive and retired (hawaritayi kabisa) wala sikusema kuwa hata mimi nilipomaliza shule na kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria, nilipomaliza JKT, nilijiunga JWTZ straight japo niliacha Jeshi. Ukiwa ni mtoto wa hawa jamaa, both parents, born and breed Tiss, then mimi nami ni almanusura sana!. Anyway haya tuyaache.

Although mhusika mkuu hataisoma kutokana na lingua uliyotumia, wahusika wenyewe wamesoma, na wamesikia labda waendelee tuu kutia pamba masikioni kwa sababu kujadili jambo lolote kuhusu TISS was considered a taboo hivyo bandiko hili kwa TISS ni kama abomination!.
Thanks again.
Paskali
paskali wewe una vitu vingi sana tunapaswa kuvijua kupitia wewe. Thanks kwa habari na Somo pia
 
Wanabodi

Introduction ya Mada
Hii ni mada very serious kwasababu inaijadili idara yetu nyeti ya TISS ambayo kutokana na unyeti wa idara hii, issues za idara hii huwa hazijadiliwi hovyo hovyo, hivyo ukiona hadi watu tunaojinasibu humu kuwa ni wazalendo wa taifa hili halafu tukajitokeza waziwazi humu kuijadili TISS huku tukitumia majina yetu hali, huu ni uthibitisho kuwa tunaleta mjadala huu kwa nia njema ya uzalendo wa kulisaidia taifa letu pale idara yake nyeti hii inapochafuliwa kwa kusingiziwa tuhuma za uongo, lakini pia kama ni kweli TISS inahusika, then tukubaliane kuwa TISS imechafuka na inahitaji kusafishwa.

Topic ya mjadala huu ni TISS Ikanushe Tuhuma za Uvamizi, Utekaji, Utesaji na Mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge Kwa Uwazi bali Wachunguzwe, Wakithibitika Kuhusika, Wafumuliwe Kwa Kusafishwa Tujenge TISS Safi!

Hivyo naomba mjadala huu ufanyike kwa heshima, staha na uangalifu mkubwa ili badiko hili lisionekane ni bandiko la kukosa uzalendo bali liwe ni bandiko la uzalendo wa kweli kwa taifa lalo lenye lengo la kusadia taifa letu kwasababu haya matukio ya ajabu ajabu yanayohusishwa na TISS, yanaichafua Taswira ya TISS yetu, ambapo kikawaida TISS inapaswa kuwa kama Ikulu, Ikulu ni mahali patakatifu, na TISS inapaswa kuwa ni Idara Takatifu, uadilifu wa TISS, unapaswa uwe ni uadilifu wa kiwango cha juu kabisa ambao haupaswi kutiliwa shaka yoyote, unapaswa kuwa ni uadilifu wa kiwango cha mke wa Kaisari, ile kutuhumiwa tuu ni kosa tosha hata bila kuthibitishwa, anahukumiwa!, hivyo hizi tuhuma mbalimbali za Uvamizi, Utekaji, Utesaji na Mauaji zinazoelekezwa TISS bila ya kukanushwa, zinapelekea TISS yetu kuhukumiwa na mahakama ya umma ambayo haihitaji ushahidi kama tuhuma tuu za mke wa Kaisari, hivyo lengo la bandiko hili ni ushauri wa bure kwa TISS yetu kuwa haya mambo mabaya ambayo TISS inanyooshewa kidole kuwa inahusika, kama haisiki, TISS i come to an open, ikanushe!, ukituhumiwa tuhuma za uongo, ukinyamaza kimya bila kukanusha, hiyo silence inachukuliwa kama ni admission of guilty.

Declaration of Interest
Tunapojadili jambo nyeti kama hili, ni vizuri ku declare interest ili kwanza kujenga imani kwenu wasomaji wangu kuwa mwandishi wa makala hii ni mtu wa kuaminika, hizi data kwenye bandiko hili ni data za kuaminika authentic na bonafide genuine sio data za kuokoteza, data za kubuni au data za kuzua,hivyo ni vyema mimi nikajitambulisha kidogo kwenu, pia kwa sababu mtu unapotoa data nyeti from time to time katika mabandiko yako, huchelewe kunyooshewa kidole kuwa huyu jamaa ni TISS, hivyo na mimi kudhaniwa ni TISS, hivyo bandiko kama hili, litawafungua macho wengi humu kuwa huyu mtoa mada atakuwa ni TISS wa ajabu kweli kuilaumu ofisi yake mitandaoni.

Mimi Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari wa kujitegemea mwenye uwezo wa kuandika Investigative Stories, (IJ), ila pia nimepata bahati ya kuzaliwa na kukulia katika familia ya TISS kwa wazazi wangu wote wawili, baba na mama. Baba Mzee Andrew Mayalla (RIP) ameishatangulia mbele ya haki, na mama bado yuko hai, hivyo baadhi ya hoja zangu za kiitelijensia, sio kwasababu mwana wa nyoka ni nyoka, bali mtoto ukizaliwa kwa wazazi wote wawili ni wana inteligensia wa TISS, unazaliwa na natural intelligence ambayo ni tool muhimu sana kuweza kuwa Investigative Journalist.

Tuhuma Mbalimbali TISS
Kuna matukio mbalimbali yametokea na kuhusishwa na TISS, mengine ni visible, mengine ni invisible, sasa kwa sababu watu wote wenye akili timamu, wanajua TISS zote duniani huwa zinafanya matukio, yale matukio ambayo in invisible yanayohusishwa na TISS, kama kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda, sitahitaji TISS wajitokeza kuyakanusha kwasababu ni tuhuma za hisia tuu, lakini kwa yale matukio visible kama kushambuliwa kwa Tundu Lissu, kuvamiwa kwa Clouds Media na wale makirikiri wa Mkuu wa Mkoa wa DSM na yule mpuuzi aliyemtishia bastola Waziri Nape kuelezwa kuwa wale ni TISS kunaichafua idara yetu nyeti ya TISS!. Hivyo kama wale makirikiri waliovamia Clouds TV sio watu wao, TISS wasikae kimya wajitokeze wawakane na kukanusha uhusika wa TISS!. Kama yule mpuuzi aliyemtishia Nape kwa bastola sio mtu wao, TISS wajitokeze wamkane na wakanushe. Huku kutokea kwa matukio kama haya na kuhusishwa na TISS, halafu TISS wanajua sii kweli, sii wao, huku kukaa kimya bila TISS kukanusha uhusika wake, kunachukuliwa ni admission of guilt!.

Jee Tuhuma za Uhusika wa TISS zinatolewa Wapi na Zinatolewa na Nani?.
Nyingi ya tuhuma za kuhusika kwa TISS katika baadhi ya matukio ya hovyo, huanza kwa kutolewa na watu tuu wa kawaida, tuhuma zinapotolewa na watu wa kawaida tuu, watu ambao they are nobody, na zinatolewa kwenye vijiwe vya kahawa, it is right, kuzipuuza, lakini tuhuma hizi dhidi ya TISS zinapofikia kiwango cha kutolewa ndani ya Bunge letu Tukufu, tuhuma hizi sio za kuzipuuzia hata kidogo kwasababu Bunge ni chombo rasmi, wabunge wtu ni wawakilishi rasmi wa wananchi, wanapoituhumu TISS Bungeni, this is something very serious, sio jambo la kupuuziwa kwasababu TISS iko chini ya Ikulu yetu, na Ikulu ni mahala patakatifu, tuhuma tuu kumhusu mke wa Kaisari zinatosha kumuondoa Ikulu asije akapanajisi patakatifu petu!. Hiyo TISS isikae kimya lazima iibuke kuja kukanusha kutohusika kwake na kujisafisha na uchafu wa makandokando haya!, winginevyo kama ni kweli inahusika, ijitathimini yenyewe kwa kuwajibika au iwajibishwe kwa kusafishwa!.

Jee TISS ni Chafu Inahitaji Kusafishwa?.
Huu mjadala unaoendelea kuhusu utekaji, utesaji na mauaji ambavyo vinahusishwa na idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa, TISS ni uthibitisho tosha kuwa TISS imechafuka inahitaji au kujisafisha au kusafishwa!.

Pamoja na Tanzania kuridhia mkakati wa Open Government Initiatives lakini kuna vitu huwezi kuvijadili openly lakini bado unaweza kuvichunguza na kuvifanyia kazi kimya kimya ila public ikaona matokeo na kurudisha imani.

Kuna watu wanadhani Usalama wa Taifa TISS wao ni malaika na hawawezi kabisa kufanya makosa kama madudu haya wanayotuhumiwa nayo sasa. No!, TISS ni kweli kwa vile iko chini ya Ikulu, na Ikulu ni mahali patakatifu, TISS pia inapaswa kuwa ni idara takatifu, lakini kwa vile TISS inaendeshwa na binadamu na sio malaika, TISS inaweza kufanya makosa na uchafu huo ukawa ni kweli ni TISS, ndio maana katika bandiko hili nasisitiza tuhuma hizi dhidi ya TISS kama sii kweli, TISS ikanushe, kama ni kweli, TISS imechafuka na inahitaji kusafishwa!. Hii sii mara ya kwanza kwa TISS kuchafuka, huko nyuma kuliwahi kutokea matukio ya TISS kuchafuka na Ilisafishwa!.

TISS Iliwahi Kuchafuka Vipi na Ilisafishwaje?.
Tiss huko nyuma iliwahi kufanya makosa ya utekaji, utesaji na hata uuaji, na ikafumuliwa!. Hivyo kwa vile tayari tunayo precedence ya vitendo viovu vya TISS kuwahi kufanyika huko nyuma, hivyo kwa kuutumia uthibitisho wa uovu huo, una justify kuwa kuna pia kuna wa vitendo hivi viovu ambavyo TISS inashutumiwa navyo, kuna uwezekano kabisa ikawa ni kweli ni TISS wetu ndio is behind huu uovu na uchafu huu unaozungumziwa sasa hadi Bungeni kwetu, ndio maana hadi Bunge linaelezwa halafu TISS wamekaa kimya wakishupaza shingo zao, kwa hoja kuwa "mnaweza kutufanya nini?", it's very true TISS ya nchi zote wakifanya uovu wowote kwa amri halali kutoka juu, no one can do anything!, hawawezi kufanywa lolote wala kuchunguzwa na yoyote, hapa duniani, but kuna mamlaka moja pekee kuu kuliko mamlaka zote, inayoweza kufanya kitu, kupitia kitu kinachoitwa Karma, hakuna atakajua kuwa mamlaka hiyo imefanya, bali matokeo ya karma ndio huonekana!.

Jee ni TISS Wetu Wanafanya Vitendo Hivi au Wanasingiziwa?.
Kuna uwezekano sio kila utekaji, utesaji, mashambulio na mauaji yanafanywa na TISS, inawezekana kabisa sio TISS as TISS bali matukio hayo ni acts za individual members wa TISS wakifanya a "stand alone operations" bila kupokea command yoyote kutoka juu, hivyo vitendo viovu vya members wachache wa TISS, vikaichafua image nzima ya TISS yetu safi collectively under the collective responsibilities formula.

Pia inawezekana kabisa vitendo hivi vinafanywa na wahuni fulani, ambao wana pose as TISS just to make believe kuwa ni TISS kumbe sio TISS bali ni just impostors wanao fanya matukio kwa kupose as TISS ili ionekane ni TISS, hivyo wanaochafua the good image ya TISS wetu waadilifu, this being the case, TISS iwakane wahuni hawa, ijitokeze kukanusha uhusika wake, na wahuni hawa watafutwe na kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwa kuchafua good image ya TISS yetu takatifu!.

Whichever the case, TISS ijitokeze ama ijisafishe na iwakane wahuni hawa, ama isafishwe na kurudisha imani na TISS wetu kwa wananchi wa taifa letu.

Sikilizeni Tuhuma za TISS Bungeni Kwetu
Hebu kwanza msikilizeni Mhe. Husein Bashe


Kisha msikilize Mhe. Tundu Lissu anasema nini kuhusu utekaji na utesaji wa TISS, hao anaowatetea ndio wenye bahati who could live to tell, hivyo ndio waliosalimika, only God knows kwa wale wasio na bahati hatima yao ilikuwaje because they couldn't live to tell!.

Msikilizeni Mhe Zitto


Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu! .

Uthibitisho wa TISS Kufanya Utekaji, Utesaji na Uuaji
Hii sio mara ya kwanza kusikia serikali inafanya torture!. Hapa chini ni kisa cha kweli kabisa cha udhalimu wa TISS wa enzi hizo ambacho kilimhusu member wa familia yangu kujaribu kuwanusuru watuhumiwa wa torture na katika kufanya wema, wema wake ulimponza, RIP Mzee wangu Andrew Mayalla.

Kitendo kilichofanywa Clouds Media na wale makirikiri, kama kweli wale ni TISS, huu ni uthibitisho wa uhuni kama huu wa gross abuse of power unaofanywa na TISS kwa amri ya kichaa mmoja, kama wale makirikiri sio TISS, TISS iwakane na kukanusha kutohusika kwao!. Waziri wa Habari Nape alipotaka kufanya wema kuikingia kifua serikali yake isijinasibishe na uchafu huu, wema wake ulimponza!.

Mwaka 1976 kule Mwanza kwenye eneo la Kigoto, watuhumiwa wa mauaji ya vikongwe walikuwa tortured na maofisa wa polisi.

Kisa cha Kweli cha Maaji ya TISS ni Kadhia ya Kesi ya Mauaji Mwanza.
Kama nilivyoeleza kule mwanzo, mimi ni mwana familia wa TISS kwa upande wa wazazi wangu wote wawili, baba na mama, na kikawaida mzalendo yoyote wa nchi yake, anapomjua mtu fulani ni TISS, ni uzalendo kuto kumtaja, lakini mimi nadiriki kumtaja marehemu Mzee wangu, Baba Andrew Mayalla kuwa ni TISS ili kumtumia kama somo la uadilifu kwa hawa viongozi wetu wa sasa, kuona jinsi viongozi wenye uadilifu wa Mwalimu Nyerere, walifanywa nini pale mambo yalipokwenda mrama, ili kiongozi wetu mkuu, nae awawajibishe TISS na kuisafisha idara hii nyeti, akithibitisha huu uchafu unaendelea sasa wa utekaji, utesaji na mauaji, ni kweli unafanywa na TISS wasio waadilifu. Kwa vile ameishatangulia membe ya haki, kwa kumtaja huku hakumletei any security risks lakini mama yangu ambaye naye ni TISS, sijamtaja nimemuhifadhi for security reasons, na hii pia itanisaidia mimi kwa wale wajinga wajinga humu wanaodhani Pasco Mayalla ni TISS, then huyo Pasco Mayalla atakuwa ni TISS wa ajabu kuja kuanika madudu ya TISS humu mitandaoni!.

Kisa cha Mauaji Mwanza Kilicho Mhusisha Mzee Wangu.
Mzee wangu akiwa RSO wa Mwanza, alifanya wema wa kuwanusuru watuhumiwa wawili wa mauaji ya vikongwe huko Mwanza, Masaga Mahulu Mazegenuka wa mjini Mwanza, na Isaack Ng'wana Ng'hoboko, kutoka wilaya ya Magu, Mzee Mayalla aliwachukua watuhumiwa hao wawili eneo la Kigoto baada ya mateso makubwa, wakiwa njiani wakamweza hawajala chochote kwa muda wa siku 3 za mateso ya usiku na mchana!.

Akaamua kuwapeleka Bugando, on their way akasimama mahali kuwanunulia soda na kitafunio, soda waliweza kunywa kwa shida, lakini kutafuna walishindwa.

Alipowafikisha hospitali ya Bugando akawakabidhi kwa Dr. Nkulila. The next day they were both dead, mtuhumiwa wa kwanza ni mtu aliyewaleta!.

Hizo ni enzi za Nyerere, tulikuwa tukiishi Isamilo ya chini, next door ni RPC alikuwa akiitwa Mkwawa, nyumba ya tatu ni DSO. Just imagine majirani watatu wanaishi nyumba zinazofuatana wanapokumbwa na kisanga.

Baada ya Taarifa kumfikia Nyerere, kuanzia Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi alipoteza uwaziri, Waziri wa Usalama wa Taifa, Peter Siyovelwa alipoteza uwaziri. IGP wa wakati huo Samweli Pundugu alipoteza kazi, Mkurugenzi wa Tiss, Emilio Mzena, alipoteza kazi, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Peter Kisumo, alipoteza kazi,

Mzee wangu, Mzee Mayalla, RSO, RPC, DSO na OCD wa Mwanza wote walistaafishwa kwa manufaa ya umma, tulihamishwa usiku usiku na kurudishwa kijijini (detention fulani za Nyerere) na kila mmoja wa maofisa wale alirudishwa kwenye his place of domicile.

Wakati yote haya yakitokea, mimi nilikuwa mdogo, hivyo sikujua hili wala lile, hadi ilipoanza kuunguruma, Kesi ya Mauaji Mwanza, ndipo niligundua dingi alikuwa nani!, na thanks God, mtu pekee aliyenasuka ni Mzee wangu Andrew Mayalla (RIP) kufuatia kazi kubwa na mzuri iliyofanywa na wakili Murtaza Lakha ambaye kwangu, huyu wakili Lakha namhesabu ndie wakili mahiri kuliko mawakili wote wa criminal kuwahi kutokea Tanzania.

Utekaji, Utesaji na Uuaji wa TISS Kwa Watuhumiwa wa Uhaini Mwaka 1982.
Just by a coincidence, mwaka 1981 tukiwa tunaishi eneo la Drive In, jijini Dar es Salaam, tulikuwa tunaishi next to Banyikwas, nyumba kulipofanyikia vikao vya njama za kuipindua serikali ya Nyerere 1981!. Kwa wale tuliofuatilia ile kesi ya Uhaini ya mwaka 1982 tulisoma jinsi TISS wanavyoteka, wanavyo tesa na wanavyo ua yakiwemo mauaji ya Martin Tamimu. Utekaji wa Hatty Magee, kule jijini Nairobi, etc.

Mahakama ndio Mhimili pekee wa haki ndani ya katiba yetu, kwenye kesi hiyo ya uhaini, tumeshuhudia watuhumiwa wakitoa ushuhuda jinsi walivyoteswa na TISS kwenye torture chambers zao na kulazimishwa kukiri, hivyo kupelekwa kwa Walinzi wa Amani kukiri kuhusika kwao halafu walipofika mahakamani wakavikana viapo vyao kwa Walinzi wa Amani na kusema waliteswa ndio maana wakakiri.

Turture za Polisi na TISS Duniani Kote.
Japo torture ni kinyume cha sheria, polisi na TISS zote duniani wanatumia mbinu hizo kuhoji ambazo nyingine ni halali na nyingine ni haramu.

Marekani ndio nchi inayoongoza kwa kutumia torture na vile sio halali kufanya turture kwenye ardhi ya Marekani, ili Marekani kuihalalisha ila kwa vile ni kinyume cha sheria za nchi hiyo, wananunua maeneo nje ya ardhi ya Marekani na kujenga magereza na jela za mateso likiwemo la Guantanamo Bay lililoko kwenye kisiwa cha Cuba ambako sio ardhi ya Marekani kufanya ushenzi huo.

Hivyo kama tuhuma hizi za Lisu ni kweli, hii sio mara ya kwanza kwa TISS kuhusishwa na makando kando ya ajabu!. Ya Ulimboka tuliyasoma Mwanahalisi, hadi yakamuibua msemaji wa Tiss ya wakati huo Jack Zoka.

Ya Kibanda nilishikwa sikio na mtu tete a tete ila hii nilielezwa ni wale vijana wa Kijitonyama ila it was a personal social issue!.

Yaliyotokea Clouds TV wote tumeyashuhudia kupitia CCTV, na yale makirikiri tumeyaona, na ya Nape Mnauye tumeyashuhudia live mubashara kwenye TV huku huyo mpuuzi akionekana wazi hadi sura watu wanamjua.

Naunga mkono TISS isijadiliwe na Kamati ya Bunge kwa uwazi kama ambavyo bajeti yao na ile ya defence hazijadiliwi, lakini bado wanaweza kuchunguzwa, na Sheria ya Usalama wa Taifa, sheria namba 15 ya mwaka 1996 ina mapungufu makubwa, imepitwa na wakati na kila siku sio tu inavunjwa na TISS wenyewe, bali pia inatumiwa vibaya na wanasiasa kuanzia Mkuu mwenyewe kuitumia kama bakora ya kuwachapia wapinzani!.

Just imagine, Mkuu wa nchi mwenyewe, anatamka hadharani kuwa simu za watu zinadukuliwa, bila wanaharakati kupiga kelele wakati inafahamika wazi kabisa, udukuzi kwa simu za wanasiasa ni kosa kisheria!, kwa mujibu wa Kifungu cha 5(2) cha sheria ya usalama wa Taifa kinaizuia TISS kumfuatilia mtu yeyote wala kumpekua pekua au kumfanyia ujasusi kwa sababu ya msimamo wake kisiasa au Uhuru wake wa kuipinga Serikali. TISS inavunja sheria kila wakati kwenye eneo hili, rais anatangaza wanadukua simu za watu, by implication, waelewa wote, walielewa aliyedukuliwa!, kisha rais akasema kwa hasira, wasaliti wa aina hii, hawawezi kuachwa hivi hivi na kutolea mfano wa kinachowapata wasaliti wa jeshini, then mara mtajwa, yanamkuta ya kumkuta!, hata mtoto mdogo lazima atadhania ya kudhania!.

TISS inatakiwa kubadilika na kuunda kitengo madhubuti cha ujasusi wa kiuchumi, mfano, tuna Balozi zetu katika nchi zote zinazochenjua Mchanga wa makinikia, TISS wangekuwa wa maana, by now tungeisha jua hao Acacia wanapata nini kwenye Mchanga wetu, gharama za uchenjuaji container la Mchanga ni kiasi gani na kila kinachopatikana!, lakini wao wamekalia kudukua tuu simu, badala ya kudeal na serious issues za kiuchumi!. Kiukweli ile bili ya trilioni 190 ya TRA sio realistic, rais wetu ataonekana mjinga, Waziri Kabudi ataonekana mjinga, na nchi nzima tutaonekana ni taifa la wajinga, wakati ukweli utakapobainika, kitu ambacho TISS makini ingeweza kuzuia!.

Serikali yetu lazima ifanye damage control kwa msemaji wa TISS kuibuka na kumkana yule mpuuzi aliyemtisha Nape Bastola na kuwakana wale makirikiri wa Bashite!.

Huu ukimya wa Mwigulu, na serikali ni uthibitisho kuwa serikali has a hand kwenye hayo!. Ili kuonyesha kuwa serikali haihusiki na uhuni,upuuzi na ushenzi huu, rais Magufuli lazima akasirike kama Nyerere alivyo kasirika idara ya TISS inapochafuliwa, aliifumua mwanzo mwisho bila huruma.

Ukiondoa hizo torture za TISS zilizoibuliwa mahakamani, torture za jeshi la polisi ndio isiseme kabisa, innocent (until proven guilt) people have been tortured to death, hakuna kesi and nobody cares as if polisi are doing the right thing!.

Tukio la mwisho ni gunning down waendesha bodaboda wawili na abiria wao wawili kisa wamesimamishwa pale daraja la Mkapa wakapitiliza!. Polisi wakawaripoti hivyo walipofika next check point walimiminiwa tuu na kumaliza kazi hapo hapo, hawakukutwa na silaha yoyote!.

Haya ya polisi tumeisha yapigia sana kelele humu jukwaani.

IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality!. Utampeleka JK The Hague-Part II!

Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa!, Polisi Wako Ni Wauaji!. P'se Stop This

Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Na kwa wale wenye interest na TISS kuijua zaidi, tembelea
Namna ya kujiunga na usalama wa Taifa | JamiiForums | The Home of

Kujiunga na Chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, Bunju

Afisa usalama wa taifa "shushushu" ni nani? Anafanya shughuli gani

Shushushu (Afisa Usalama wa Taifa) ni mtu wa aina gani .

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa | JamiiForums | The Home of Great .

Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa ...

Dr. Hassy Kitine, aliyekuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa .

Usalama wa Taifa waibana polisi; NI KUHUSU TUHUMA ZA MKE ...


Paskali
Update
Mkuu Mchambuzi
thanks very much for this, its very objective naona kama umemaliza kila kitu!.

It's true kuna lots of details nime avoid kutokana na uzalendo, pia nimemtaja Mzee wangu tuu kwa sababu alihusika direct, lakini sikumtaja mama yangu ambaye she is still alive and retired (hawaritayi kabisa) wala sikusema kuwa hata mimi nilipomaliza shule na kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria, nilipomaliza JKT, nilijiunga JWTZ straight japo niliacha Jeshi. Ukiwa ni mtoto wa hawa jamaa, both parents, born and breed Tiss, then mimi nami ni almanusura sana!. Anyway haya tuyaache.

Although mhusika mkuu hataisoma kutokana na lingua uliyotumia, wahusika wenyewe wamesoma, na wamesikia labda waendelee tuu kutia pamba masikioni kwa sababu kujadili jambo lolote kuhusu TISS was considered a taboo hivyo bandiko hili kwa TISS ni kama abomination!.
Thanks again.
Paskali

Mkuu Paskali naona ulijitoa kinaga ubaga ili kuweka mezaji hoja ya TISS achilia mbali kutupa story za Mzee Andrea (RIP) na mama pia.

So far, baada ya bandiko lako na hoja ya Bashe kuitaka Kamati ya Bunge chini ya DCI Mstaafu Balozi Adadi, nadhani suala hili lili-ishia chini ya carpet. Nadhani wakubwa walitumia busara ya kutomwaga mchele kwenye kuku wengi.

Paskali umetoa link ya mtu anajinasibu kama jasusi alie-deffect na sasa yuko uskochi. Kwa maelezo yake, Idara hizi huajiri intelligent people to do intelligence works.

Sina ushahidi kwenye sector zingine idara inafanya nini, ila kwenye kujenga uchumi endelevu wa mama Tanzania ni either hakuna unit mahsusi kwa ajili ya kukuza uchumi au sijui nisemeje.

Siku kadhaa zimepita, nimeona correspondence ya mtu mmoja na supplier wa aina fulani ya machine za kuchakata mazao ya kilimo. Imeshangaza kuona Rwanda imetoa dhamana ya USD 5mil kujenga kiwanda cha kuchakata tani laki 200 kwa siku. Kwa quick survey tuliyofanya na mhusika ni kuwa Rwanda hana capacity ya kuzalisha raw material, ila anategemea Tanzania ilime then yeye ananunua kwa bei poa, anachakata kwa soko la ndani na ku-export.

Sijawahi kumsikia Waziri wa Fedha au Viwanda wakiwa wana-spearhead uwekezaji wa kimkakati hata kwe agro-processing ambako tunaweza kuuza lots of tons ya finished products na kuingiza forez za kutosha. Jamani, kama masuala ya kijasusi ya mambo mengine yanafanywa, iko haja tukae, tujadiliane; na kama huwa wanajadili basi reports za BoT zinatuumbua kwa kutokuonesha utekelezaji. Kwani taarifa ya hivi karibuni unaonesha -ve kwenye export kwenda Kenya na exports zetu na mahindi, maharage.

Lini Bandari yetu aitakuwa busy ku-export processed products kupitia bahari hindi ili kuingiza forex. Usalama bila shaka wanafanya vyema, ila Key Performance Indicator kwenye kujenga uchumi endelevu na jumuishi....labda mimi sioni sawia. Na naomba kuoneshwa au basi tuoneshane namna gani ya kuhakikisha wengi wanafika nchi ya ahadi
 
Wanabodi

Introduction ya Mada
Hii ni mada very serious kwasababu inaijadili idara yetu nyeti ya TISS ambayo kutokana na unyeti wa idara hii, issues za idara hii huwa hazijadiliwi hovyo hovyo, hivyo ukiona hadi watu tunaojinasibu humu kuwa ni wazalendo wa taifa hili halafu tukajitokeza waziwazi humu kuijadili TISS huku tukitumia majina yetu hali, huu ni uthibitisho kuwa tunaleta mjadala huu kwa nia njema ya uzalendo wa kulisaidia taifa letu pale idara yake nyeti hii inapochafuliwa kwa kusingiziwa tuhuma za uongo, lakini pia kama ni kweli TISS inahusika, then tukubaliane kuwa TISS imechafuka na inahitaji kusafishwa.

Topic ya mjadala huu ni TISS Ikanushe Tuhuma za Uvamizi, Utekaji, Utesaji na Mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge Kwa Uwazi bali Wachunguzwe, Wakithibitika Kuhusika, Wafumuliwe Kwa Kusafishwa Tujenge TISS Safi!

Hivyo naomba mjadala huu ufanyike kwa heshima, staha na uangalifu mkubwa ili badiko hili lisionekane ni bandiko la kukosa uzalendo bali liwe ni bandiko la uzalendo wa kweli kwa taifa lalo lenye lengo la kusadia taifa letu kwasababu haya matukio ya ajabu ajabu yanayohusishwa na TISS, yanaichafua Taswira ya TISS yetu, ambapo kikawaida TISS inapaswa kuwa kama Ikulu, Ikulu ni mahali patakatifu, na TISS inapaswa kuwa ni Idara Takatifu, uadilifu wa TISS, unapaswa uwe ni uadilifu wa kiwango cha juu kabisa ambao haupaswi kutiliwa shaka yoyote, unapaswa kuwa ni uadilifu wa kiwango cha mke wa Kaisari, ile kutuhumiwa tuu ni kosa tosha hata bila kuthibitishwa, anahukumiwa!, hivyo hizi tuhuma mbalimbali za Uvamizi, Utekaji, Utesaji na Mauaji zinazoelekezwa TISS bila ya kukanushwa, zinapelekea TISS yetu kuhukumiwa na mahakama ya umma ambayo haihitaji ushahidi kama tuhuma tuu za mke wa Kaisari, hivyo lengo la bandiko hili ni ushauri wa bure kwa TISS yetu kuwa haya mambo mabaya ambayo TISS inanyooshewa kidole kuwa inahusika, kama haisiki, TISS i come to an open, ikanushe!, ukituhumiwa tuhuma za uongo, ukinyamaza kimya bila kukanusha, hiyo silence inachukuliwa kama ni admission of guilty.

Declaration of Interest
Tunapojadili jambo nyeti kama hili, ni vizuri ku declare interest ili kwanza kujenga imani kwenu wasomaji wangu kuwa mwandishi wa makala hii ni mtu wa kuaminika, hizi data kwenye bandiko hili ni data za kuaminika authentic na bonafide genuine sio data za kuokoteza, data za kubuni au data za kuzua,hivyo ni vyema mimi nikajitambulisha kidogo kwenu, pia kwa sababu mtu unapotoa data nyeti from time to time katika mabandiko yako, huchelewe kunyooshewa kidole kuwa huyu jamaa ni TISS, hivyo na mimi kudhaniwa ni TISS, hivyo bandiko kama hili, litawafungua macho wengi humu kuwa huyu mtoa mada atakuwa ni TISS wa ajabu kweli kuilaumu ofisi yake mitandaoni.

Mimi Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari wa kujitegemea mwenye uwezo wa kuandika Investigative Stories, (IJ), ila pia nimepata bahati ya kuzaliwa na kukulia katika familia ya TISS kwa wazazi wangu wote wawili, baba na mama. Baba Mzee Andrew Mayalla (RIP) ameishatangulia mbele ya haki, na mama bado yuko hai, hivyo baadhi ya hoja zangu za kiitelijensia, sio kwasababu mwana wa nyoka ni nyoka, bali mtoto ukizaliwa kwa wazazi wote wawili ni wana inteligensia wa TISS, unazaliwa na natural intelligence ambayo ni tool muhimu sana kuweza kuwa Investigative Journalist.

Tuhuma Mbalimbali TISS
Kuna matukio mbalimbali yametokea na kuhusishwa na TISS, mengine ni visible, mengine ni invisible, sasa kwa sababu watu wote wenye akili timamu, wanajua TISS zote duniani huwa zinafanya matukio, yale matukio ambayo in invisible yanayohusishwa na TISS, kama kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda, sitahitaji TISS wajitokeza kuyakanusha kwasababu ni tuhuma za hisia tuu, lakini kwa yale matukio visible kama kushambuliwa kwa Tundu Lissu, kuvamiwa kwa Clouds Media na wale makirikiri wa Mkuu wa Mkoa wa DSM na yule mpuuzi aliyemtishia bastola Waziri Nape kuelezwa kuwa wale ni TISS kunaichafua idara yetu nyeti ya TISS!. Hivyo kama wale makirikiri waliovamia Clouds TV sio watu wao, TISS wasikae kimya wajitokeze wawakane na kukanusha uhusika wa TISS!. Kama yule mpuuzi aliyemtishia Nape kwa bastola sio mtu wao, TISS wajitokeze wamkane na wakanushe. Huku kutokea kwa matukio kama haya na kuhusishwa na TISS, halafu TISS wanajua sii kweli, sii wao, huku kukaa kimya bila TISS kukanusha uhusika wake, kunachukuliwa ni admission of guilt!.

Jee Tuhuma za Uhusika wa TISS zinatolewa Wapi na Zinatolewa na Nani?.
Nyingi ya tuhuma za kuhusika kwa TISS katika baadhi ya matukio ya hovyo, huanza kwa kutolewa na watu tuu wa kawaida, tuhuma zinapotolewa na watu wa kawaida tuu, watu ambao they are nobody, na zinatolewa kwenye vijiwe vya kahawa, it is right, kuzipuuza, lakini tuhuma hizi dhidi ya TISS zinapofikia kiwango cha kutolewa ndani ya Bunge letu Tukufu, tuhuma hizi sio za kuzipuuzia hata kidogo kwasababu Bunge ni chombo rasmi, wabunge wtu ni wawakilishi rasmi wa wananchi, wanapoituhumu TISS Bungeni, this is something very serious, sio jambo la kupuuziwa kwasababu TISS iko chini ya Ikulu yetu, na Ikulu ni mahala patakatifu, tuhuma tuu kumhusu mke wa Kaisari zinatosha kumuondoa Ikulu asije akapanajisi patakatifu petu!. Hiyo TISS isikae kimya lazima iibuke kuja kukanusha kutohusika kwake na kujisafisha na uchafu wa makandokando haya!, winginevyo kama ni kweli inahusika, ijitathimini yenyewe kwa kuwajibika au iwajibishwe kwa kusafishwa!.

Jee TISS ni Chafu Inahitaji Kusafishwa?.
Huu mjadala unaoendelea kuhusu utekaji, utesaji na mauaji ambavyo vinahusishwa na idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa, TISS ni uthibitisho tosha kuwa TISS imechafuka inahitaji au kujisafisha au kusafishwa!.

Pamoja na Tanzania kuridhia mkakati wa Open Government Initiatives lakini kuna vitu huwezi kuvijadili openly lakini bado unaweza kuvichunguza na kuvifanyia kazi kimya kimya ila public ikaona matokeo na kurudisha imani.

Kuna watu wanadhani Usalama wa Taifa TISS wao ni malaika na hawawezi kabisa kufanya makosa kama madudu haya wanayotuhumiwa nayo sasa. No!, TISS ni kweli kwa vile iko chini ya Ikulu, na Ikulu ni mahali patakatifu, TISS pia inapaswa kuwa ni idara takatifu, lakini kwa vile TISS inaendeshwa na binadamu na sio malaika, TISS inaweza kufanya makosa na uchafu huo ukawa ni kweli ni TISS, ndio maana katika bandiko hili nasisitiza tuhuma hizi dhidi ya TISS kama sii kweli, TISS ikanushe, kama ni kweli, TISS imechafuka na inahitaji kusafishwa!. Hii sii mara ya kwanza kwa TISS kuchafuka, huko nyuma kuliwahi kutokea matukio ya TISS kuchafuka na Ilisafishwa!.

TISS Iliwahi Kuchafuka Vipi na Ilisafishwaje?.
Tiss huko nyuma iliwahi kufanya makosa ya utekaji, utesaji na hata uuaji, na ikafumuliwa!. Hivyo kwa vile tayari tunayo precedence ya vitendo viovu vya TISS kuwahi kufanyika huko nyuma, hivyo kwa kuutumia uthibitisho wa uovu huo, una justify kuwa kuna pia kuna wa vitendo hivi viovu ambavyo TISS inashutumiwa navyo, kuna uwezekano kabisa ikawa ni kweli ni TISS wetu ndio is behind huu uovu na uchafu huu unaozungumziwa sasa hadi Bungeni kwetu, ndio maana hadi Bunge linaelezwa halafu TISS wamekaa kimya wakishupaza shingo zao, kwa hoja kuwa "mnaweza kutufanya nini?", it's very true TISS ya nchi zote wakifanya uovu wowote kwa amri halali kutoka juu, no one can do anything!, hawawezi kufanywa lolote wala kuchunguzwa na yoyote, hapa duniani, but kuna mamlaka moja pekee kuu kuliko mamlaka zote, inayoweza kufanya kitu, kupitia kitu kinachoitwa Karma, hakuna atakajua kuwa mamlaka hiyo imefanya, bali matokeo ya karma ndio huonekana!.

Jee ni TISS Wetu Wanafanya Vitendo Hivi au Wanasingiziwa?.
Kuna uwezekano sio kila utekaji, utesaji, mashambulio na mauaji yanafanywa na TISS, inawezekana kabisa sio TISS as TISS bali matukio hayo ni acts za individual members wa TISS wakifanya a "stand alone operations" bila kupokea command yoyote kutoka juu, hivyo vitendo viovu vya members wachache wa TISS, vikaichafua image nzima ya TISS yetu safi collectively under the collective responsibilities formula.

Pia inawezekana kabisa vitendo hivi vinafanywa na wahuni fulani, ambao wana pose as TISS just to make believe kuwa ni TISS kumbe sio TISS bali ni just impostors wanao fanya matukio kwa kupose as TISS ili ionekane ni TISS, hivyo wanaochafua the good image ya TISS wetu waadilifu, this being the case, TISS iwakane wahuni hawa, ijitokeze kukanusha uhusika wake, na wahuni hawa watafutwe na kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwa kuchafua good image ya TISS yetu takatifu!.

Whichever the case, TISS ijitokeze ama ijisafishe na iwakane wahuni hawa, ama isafishwe na kurudisha imani na TISS wetu kwa wananchi wa taifa letu.

Sikilizeni Tuhuma za TISS Bungeni Kwetu
Hebu kwanza msikilizeni Mhe. Husein Bashe


Kisha msikilize Mhe. Tundu Lissu anasema nini kuhusu utekaji na utesaji wa TISS, hao anaowatetea ndio wenye bahati who could live to tell, hivyo ndio waliosalimika, only God knows kwa wale wasio na bahati hatima yao ilikuwaje because they couldn't live to tell!.

Msikilizeni Mhe Zitto


Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu! .

Uthibitisho wa TISS Kufanya Utekaji, Utesaji na Uuaji
Hii sio mara ya kwanza kusikia serikali inafanya torture!. Hapa chini ni kisa cha kweli kabisa cha udhalimu wa TISS wa enzi hizo ambacho kilimhusu member wa familia yangu kujaribu kuwanusuru watuhumiwa wa torture na katika kufanya wema, wema wake ulimponza, RIP Mzee wangu Andrew Mayalla.

Kitendo kilichofanywa Clouds Media na wale makirikiri, kama kweli wale ni TISS, huu ni uthibitisho wa uhuni kama huu wa gross abuse of power unaofanywa na TISS kwa amri ya kichaa mmoja, kama wale makirikiri sio TISS, TISS iwakane na kukanusha kutohusika kwao!. Waziri wa Habari Nape alipotaka kufanya wema kuikingia kifua serikali yake isijinasibishe na uchafu huu, wema wake ulimponza!.

Mwaka 1976 kule Mwanza kwenye eneo la Kigoto, watuhumiwa wa mauaji ya vikongwe walikuwa tortured na maofisa wa polisi.

Kisa cha Kweli cha Maaji ya TISS ni Kadhia ya Kesi ya Mauaji Mwanza.
Kama nilivyoeleza kule mwanzo, mimi ni mwana familia wa TISS kwa upande wa wazazi wangu wote wawili, baba na mama, na kikawaida mzalendo yoyote wa nchi yake, anapomjua mtu fulani ni TISS, ni uzalendo kuto kumtaja, lakini mimi nadiriki kumtaja marehemu Mzee wangu, Baba Andrew Mayalla kuwa ni TISS ili kumtumia kama somo la uadilifu kwa hawa viongozi wetu wa sasa, kuona jinsi viongozi wenye uadilifu wa Mwalimu Nyerere, walifanywa nini pale mambo yalipokwenda mrama, ili kiongozi wetu mkuu, nae awawajibishe TISS na kuisafisha idara hii nyeti, akithibitisha huu uchafu unaendelea sasa wa utekaji, utesaji na mauaji, ni kweli unafanywa na TISS wasio waadilifu. Kwa vile ameishatangulia membe ya haki, kwa kumtaja huku hakumletei any security risks lakini mama yangu ambaye naye ni TISS, sijamtaja nimemuhifadhi for security reasons, na hii pia itanisaidia mimi kwa wale wajinga wajinga humu wanaodhani Pasco Mayalla ni TISS, then huyo Pasco Mayalla atakuwa ni TISS wa ajabu kuja kuanika madudu ya TISS humu mitandaoni!.

Kisa cha Mauaji Mwanza Kilicho Mhusisha Mzee Wangu.
Mzee wangu akiwa RSO wa Mwanza, alifanya wema wa kuwanusuru watuhumiwa wawili wa mauaji ya vikongwe huko Mwanza, Masaga Mahulu Mazegenuka wa mjini Mwanza, na Isaack Ng'wana Ng'hoboko, kutoka wilaya ya Magu, Mzee Mayalla aliwachukua watuhumiwa hao wawili eneo la Kigoto baada ya mateso makubwa, wakiwa njiani wakamweza hawajala chochote kwa muda wa siku 3 za mateso ya usiku na mchana!.

Akaamua kuwapeleka Bugando, on their way akasimama mahali kuwanunulia soda na kitafunio, soda waliweza kunywa kwa shida, lakini kutafuna walishindwa.

Alipowafikisha hospitali ya Bugando akawakabidhi kwa Dr. Nkulila. The next day they were both dead, mtuhumiwa wa kwanza ni mtu aliyewaleta!.

Hizo ni enzi za Nyerere, tulikuwa tukiishi Isamilo ya chini, next door ni RPC alikuwa akiitwa Mkwawa, nyumba ya tatu ni DSO. Just imagine majirani watatu wanaishi nyumba zinazofuatana wanapokumbwa na kisanga.

Baada ya Taarifa kumfikia Nyerere, kuanzia Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi alipoteza uwaziri, Waziri wa Usalama wa Taifa, Peter Siyovelwa alipoteza uwaziri. IGP wa wakati huo Samweli Pundugu alipoteza kazi, Mkurugenzi wa Tiss, Emilio Mzena, alipoteza kazi, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Peter Kisumo, alipoteza kazi,

Mzee wangu, Mzee Mayalla, RSO, RPC, DSO na OCD wa Mwanza wote walistaafishwa kwa manufaa ya umma, tulihamishwa usiku usiku na kurudishwa kijijini (detention fulani za Nyerere) na kila mmoja wa maofisa wale alirudishwa kwenye his place of domicile.

Wakati yote haya yakitokea, mimi nilikuwa mdogo, hivyo sikujua hili wala lile, hadi ilipoanza kuunguruma, Kesi ya Mauaji Mwanza, ndipo niligundua dingi alikuwa nani!, na thanks God, mtu pekee aliyenasuka ni Mzee wangu Andrew Mayalla (RIP) kufuatia kazi kubwa na mzuri iliyofanywa na wakili Murtaza Lakha ambaye kwangu, huyu wakili Lakha namhesabu ndie wakili mahiri kuliko mawakili wote wa criminal kuwahi kutokea Tanzania.

Utekaji, Utesaji na Uuaji wa TISS Kwa Watuhumiwa wa Uhaini Mwaka 1982.
Just by a coincidence, mwaka 1981 tukiwa tunaishi eneo la Drive In, jijini Dar es Salaam, tulikuwa tunaishi next to Banyikwas, nyumba kulipofanyikia vikao vya njama za kuipindua serikali ya Nyerere 1981!. Kwa wale tuliofuatilia ile kesi ya Uhaini ya mwaka 1982 tulisoma jinsi TISS wanavyoteka, wanavyo tesa na wanavyo ua yakiwemo mauaji ya Martin Tamimu. Utekaji wa Hatty Magee, kule jijini Nairobi, etc.

Mahakama ndio Mhimili pekee wa haki ndani ya katiba yetu, kwenye kesi hiyo ya uhaini, tumeshuhudia watuhumiwa wakitoa ushuhuda jinsi walivyoteswa na TISS kwenye torture chambers zao na kulazimishwa kukiri, hivyo kupelekwa kwa Walinzi wa Amani kukiri kuhusika kwao halafu walipofika mahakamani wakavikana viapo vyao kwa Walinzi wa Amani na kusema waliteswa ndio maana wakakiri.

Turture za Polisi na TISS Duniani Kote.
Japo torture ni kinyume cha sheria, polisi na TISS zote duniani wanatumia mbinu hizo kuhoji ambazo nyingine ni halali na nyingine ni haramu.

Marekani ndio nchi inayoongoza kwa kutumia torture na vile sio halali kufanya turture kwenye ardhi ya Marekani, ili Marekani kuihalalisha ila kwa vile ni kinyume cha sheria za nchi hiyo, wananunua maeneo nje ya ardhi ya Marekani na kujenga magereza na jela za mateso likiwemo la Guantanamo Bay lililoko kwenye kisiwa cha Cuba ambako sio ardhi ya Marekani kufanya ushenzi huo.

Hivyo kama tuhuma hizi za Lisu ni kweli, hii sio mara ya kwanza kwa TISS kuhusishwa na makando kando ya ajabu!. Ya Ulimboka tuliyasoma Mwanahalisi, hadi yakamuibua msemaji wa Tiss ya wakati huo Jack Zoka.

Ya Kibanda nilishikwa sikio na mtu tete a tete ila hii nilielezwa ni wale vijana wa Kijitonyama ila it was a personal social issue!.

Yaliyotokea Clouds TV wote tumeyashuhudia kupitia CCTV, na yale makirikiri tumeyaona, na ya Nape Mnauye tumeyashuhudia live mubashara kwenye TV huku huyo mpuuzi akionekana wazi hadi sura watu wanamjua.

Naunga mkono TISS isijadiliwe na Kamati ya Bunge kwa uwazi kama ambavyo bajeti yao na ile ya defence hazijadiliwi, lakini bado wanaweza kuchunguzwa, na Sheria ya Usalama wa Taifa, sheria namba 15 ya mwaka 1996 ina mapungufu makubwa, imepitwa na wakati na kila siku sio tu inavunjwa na TISS wenyewe, bali pia inatumiwa vibaya na wanasiasa kuanzia Mkuu mwenyewe kuitumia kama bakora ya kuwachapia wapinzani!.

Just imagine, Mkuu wa nchi mwenyewe, anatamka hadharani kuwa simu za watu zinadukuliwa, bila wanaharakati kupiga kelele wakati inafahamika wazi kabisa, udukuzi kwa simu za wanasiasa ni kosa kisheria!, kwa mujibu wa Kifungu cha 5(2) cha sheria ya usalama wa Taifa kinaizuia TISS kumfuatilia mtu yeyote wala kumpekua pekua au kumfanyia ujasusi kwa sababu ya msimamo wake kisiasa au Uhuru wake wa kuipinga Serikali. TISS inavunja sheria kila wakati kwenye eneo hili, rais anatangaza wanadukua simu za watu, by implication, waelewa wote, walielewa aliyedukuliwa!, kisha rais akasema kwa hasira, wasaliti wa aina hii, hawawezi kuachwa hivi hivi na kutolea mfano wa kinachowapata wasaliti wa jeshini, then mara mtajwa, yanamkuta ya kumkuta!, hata mtoto mdogo lazima atadhania ya kudhania!.

TISS inatakiwa kubadilika na kuunda kitengo madhubuti cha ujasusi wa kiuchumi, mfano, tuna Balozi zetu katika nchi zote zinazochenjua Mchanga wa makinikia, TISS wangekuwa wa maana, by now tungeisha jua hao Acacia wanapata nini kwenye Mchanga wetu, gharama za uchenjuaji container la Mchanga ni kiasi gani na kila kinachopatikana!, lakini wao wamekalia kudukua tuu simu, badala ya kudeal na serious issues za kiuchumi!. Kiukweli ile bili ya trilioni 190 ya TRA sio realistic, rais wetu ataonekana mjinga, Waziri Kabudi ataonekana mjinga, na nchi nzima tutaonekana ni taifa la wajinga, wakati ukweli utakapobainika, kitu ambacho TISS makini ingeweza kuzuia!.

Serikali yetu lazima ifanye damage control kwa msemaji wa TISS kuibuka na kumkana yule mpuuzi aliyemtisha Nape Bastola na kuwakana wale makirikiri wa Bashite!.

Huu ukimya wa Mwigulu, na serikali ni uthibitisho kuwa serikali has a hand kwenye hayo!. Ili kuonyesha kuwa serikali haihusiki na uhuni,upuuzi na ushenzi huu, rais Magufuli lazima akasirike kama Nyerere alivyo kasirika idara ya TISS inapochafuliwa, aliifumua mwanzo mwisho bila huruma.

Ukiondoa hizo torture za TISS zilizoibuliwa mahakamani, torture za jeshi la polisi ndio isiseme kabisa, innocent (until proven guilt) people have been tortured to death, hakuna kesi and nobody cares as if polisi are doing the right thing!.

Tukio la mwisho ni gunning down waendesha bodaboda wawili na abiria wao wawili kisa wamesimamishwa pale daraja la Mkapa wakapitiliza!. Polisi wakawaripoti hivyo walipofika next check point walimiminiwa tuu na kumaliza kazi hapo hapo, hawakukutwa na silaha yoyote!.

Haya ya polisi tumeisha yapigia sana kelele humu jukwaani.

IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality!. Utampeleka JK The Hague-Part II!

Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa!, Polisi Wako Ni Wauaji!. P'se Stop This

Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Na kwa wale wenye interest na TISS kuijua zaidi, tembelea
Namna ya kujiunga na usalama wa Taifa | JamiiForums | The Home of

Kujiunga na Chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, Bunju

Afisa usalama wa taifa "shushushu" ni nani? Anafanya shughuli gani

Shushushu (Afisa Usalama wa Taifa) ni mtu wa aina gani .

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa | JamiiForums | The Home of Great .

Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa ...

Dr. Hassy Kitine, aliyekuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa .

Usalama wa Taifa waibana polisi; NI KUHUSU TUHUMA ZA MKE ...


Paskali
Update
Mkuu Mchambuzi
thanks very much for this, its very objective naona kama umemaliza kila kitu!.

It's true kuna lots of details nime avoid kutokana na uzalendo, pia nimemtaja Mzee wangu tuu kwa sababu alihusika direct, lakini sikumtaja mama yangu ambaye she is still alive and retired (hawaritayi kabisa) wala sikusema kuwa hata mimi nilipomaliza shule na kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria, nilipomaliza JKT, nilijiunga JWTZ straight japo niliacha Jeshi. Ukiwa ni mtoto wa hawa jamaa, both parents, born and breed Tiss, then mimi nami ni almanusura sana!. Anyway haya tuyaache.

Although mhusika mkuu hataisoma kutokana na lingua uliyotumia, wahusika wenyewe wamesoma, na wamesikia labda waendelee tuu kutia pamba masikioni kwa sababu kujadili jambo lolote kuhusu TISS was considered a taboo hivyo bandiko hili kwa TISS ni kama abomination!.
Thanks again.
Paskali

Wakati mwingine afisa mmoja au baadhi ya maafisa wanaichafua idara (TISS) sababu tu hawana madili na walipata bahati ya kuwa maafisa. Ila mimi ninavyojua kati ya idara ambayo haipendi dhuluma kwa wananchi ni hii idara. Pengine kama ulivyosema watu wanafanya operations zao tu kama kikundi flan lakini wanaichafua idara . lakini ni kwa sababu ajira ndani ya idara zimekuwa za
Wanabodi

Introduction ya Mada
Hii ni mada very serious kwasababu inaijadili idara yetu nyeti ya TISS ambayo kutokana na unyeti wa idara hii, issues za idara hii huwa hazijadiliwi hovyo hovyo, hivyo ukiona hadi watu tunaojinasibu humu kuwa ni wazalendo wa taifa hili halafu tukajitokeza waziwazi humu kuijadili TISS huku tukitumia majina yetu hali, huu ni uthibitisho kuwa tunaleta mjadala huu kwa nia njema ya uzalendo wa kulisaidia taifa letu pale idara yake nyeti hii inapochafuliwa kwa kusingiziwa tuhuma za uongo, lakini pia kama ni kweli TISS inahusika, then tukubaliane kuwa TISS imechafuka na inahitaji kusafishwa.

Topic ya mjadala huu ni TISS Ikanushe Tuhuma za Uvamizi, Utekaji, Utesaji na Mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge Kwa Uwazi bali Wachunguzwe, Wakithibitika Kuhusika, Wafumuliwe Kwa Kusafishwa Tujenge TISS Safi!

Hivyo naomba mjadala huu ufanyike kwa heshima, staha na uangalifu mkubwa ili badiko hili lisionekane ni bandiko la kukosa uzalendo bali liwe ni bandiko la uzalendo wa kweli kwa taifa lalo lenye lengo la kusadia taifa letu kwasababu haya matukio ya ajabu ajabu yanayohusishwa na TISS, yanaichafua Taswira ya TISS yetu, ambapo kikawaida TISS inapaswa kuwa kama Ikulu, Ikulu ni mahali patakatifu, na TISS inapaswa kuwa ni Idara Takatifu, uadilifu wa TISS, unapaswa uwe ni uadilifu wa kiwango cha juu kabisa ambao haupaswi kutiliwa shaka yoyote, unapaswa kuwa ni uadilifu wa kiwango cha mke wa Kaisari, ile kutuhumiwa tuu ni kosa tosha hata bila kuthibitishwa, anahukumiwa!, hivyo hizi tuhuma mbalimbali za Uvamizi, Utekaji, Utesaji na Mauaji zinazoelekezwa TISS bila ya kukanushwa, zinapelekea TISS yetu kuhukumiwa na mahakama ya umma ambayo haihitaji ushahidi kama tuhuma tuu za mke wa Kaisari, hivyo lengo la bandiko hili ni ushauri wa bure kwa TISS yetu kuwa haya mambo mabaya ambayo TISS inanyooshewa kidole kuwa inahusika, kama haisiki, TISS i come to an open, ikanushe!, ukituhumiwa tuhuma za uongo, ukinyamaza kimya bila kukanusha, hiyo silence inachukuliwa kama ni admission of guilty.

Declaration of Interest
Tunapojadili jambo nyeti kama hili, ni vizuri ku declare interest ili kwanza kujenga imani kwenu wasomaji wangu kuwa mwandishi wa makala hii ni mtu wa kuaminika, hizi data kwenye bandiko hili ni data za kuaminika authentic na bonafide genuine sio data za kuokoteza, data za kubuni au data za kuzua,hivyo ni vyema mimi nikajitambulisha kidogo kwenu, pia kwa sababu mtu unapotoa data nyeti from time to time katika mabandiko yako, huchelewe kunyooshewa kidole kuwa huyu jamaa ni TISS, hivyo na mimi kudhaniwa ni TISS, hivyo bandiko kama hili, litawafungua macho wengi humu kuwa huyu mtoa mada atakuwa ni TISS wa ajabu kweli kuilaumu ofisi yake mitandaoni.

Mimi Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari wa kujitegemea mwenye uwezo wa kuandika Investigative Stories, (IJ), ila pia nimepata bahati ya kuzaliwa na kukulia katika familia ya TISS kwa wazazi wangu wote wawili, baba na mama. Baba Mzee Andrew Mayalla (RIP) ameishatangulia mbele ya haki, na mama bado yuko hai, hivyo baadhi ya hoja zangu za kiitelijensia, sio kwasababu mwana wa nyoka ni nyoka, bali mtoto ukizaliwa kwa wazazi wote wawili ni wana inteligensia wa TISS, unazaliwa na natural intelligence ambayo ni tool muhimu sana kuweza kuwa Investigative Journalist.

Tuhuma Mbalimbali TISS
Kuna matukio mbalimbali yametokea na kuhusishwa na TISS, mengine ni visible, mengine ni invisible, sasa kwa sababu watu wote wenye akili timamu, wanajua TISS zote duniani huwa zinafanya matukio, yale matukio ambayo in invisible yanayohusishwa na TISS, kama kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda, sitahitaji TISS wajitokeza kuyakanusha kwasababu ni tuhuma za hisia tuu, lakini kwa yale matukio visible kama kushambuliwa kwa Tundu Lissu, kuvamiwa kwa Clouds Media na wale makirikiri wa Mkuu wa Mkoa wa DSM na yule mpuuzi aliyemtishia bastola Waziri Nape kuelezwa kuwa wale ni TISS kunaichafua idara yetu nyeti ya TISS!. Hivyo kama wale makirikiri waliovamia Clouds TV sio watu wao, TISS wasikae kimya wajitokeze wawakane na kukanusha uhusika wa TISS!. Kama yule mpuuzi aliyemtishia Nape kwa bastola sio mtu wao, TISS wajitokeze wamkane na wakanushe. Huku kutokea kwa matukio kama haya na kuhusishwa na TISS, halafu TISS wanajua sii kweli, sii wao, huku kukaa kimya bila TISS kukanusha uhusika wake, kunachukuliwa ni admission of guilt!.

Jee Tuhuma za Uhusika wa TISS zinatolewa Wapi na Zinatolewa na Nani?.
Nyingi ya tuhuma za kuhusika kwa TISS katika baadhi ya matukio ya hovyo, huanza kwa kutolewa na watu tuu wa kawaida, tuhuma zinapotolewa na watu wa kawaida tuu, watu ambao they are nobody, na zinatolewa kwenye vijiwe vya kahawa, it is right, kuzipuuza, lakini tuhuma hizi dhidi ya TISS zinapofikia kiwango cha kutolewa ndani ya Bunge letu Tukufu, tuhuma hizi sio za kuzipuuzia hata kidogo kwasababu Bunge ni chombo rasmi, wabunge wtu ni wawakilishi rasmi wa wananchi, wanapoituhumu TISS Bungeni, this is something very serious, sio jambo la kupuuziwa kwasababu TISS iko chini ya Ikulu yetu, na Ikulu ni mahala patakatifu, tuhuma tuu kumhusu mke wa Kaisari zinatosha kumuondoa Ikulu asije akapanajisi patakatifu petu!. Hiyo TISS isikae kimya lazima iibuke kuja kukanusha kutohusika kwake na kujisafisha na uchafu wa makandokando haya!, winginevyo kama ni kweli inahusika, ijitathimini yenyewe kwa kuwajibika au iwajibishwe kwa kusafishwa!.

Jee TISS ni Chafu Inahitaji Kusafishwa?.
Huu mjadala unaoendelea kuhusu utekaji, utesaji na mauaji ambavyo vinahusishwa na idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa, TISS ni uthibitisho tosha kuwa TISS imechafuka inahitaji au kujisafisha au kusafishwa!.

Pamoja na Tanzania kuridhia mkakati wa Open Government Initiatives lakini kuna vitu huwezi kuvijadili openly lakini bado unaweza kuvichunguza na kuvifanyia kazi kimya kimya ila public ikaona matokeo na kurudisha imani.

Kuna watu wanadhani Usalama wa Taifa TISS wao ni malaika na hawawezi kabisa kufanya makosa kama madudu haya wanayotuhumiwa nayo sasa. No!, TISS ni kweli kwa vile iko chini ya Ikulu, na Ikulu ni mahali patakatifu, TISS pia inapaswa kuwa ni idara takatifu, lakini kwa vile TISS inaendeshwa na binadamu na sio malaika, TISS inaweza kufanya makosa na uchafu huo ukawa ni kweli ni TISS, ndio maana katika bandiko hili nasisitiza tuhuma hizi dhidi ya TISS kama sii kweli, TISS ikanushe, kama ni kweli, TISS imechafuka na inahitaji kusafishwa!. Hii sii mara ya kwanza kwa TISS kuchafuka, huko nyuma kuliwahi kutokea matukio ya TISS kuchafuka na Ilisafishwa!.

TISS Iliwahi Kuchafuka Vipi na Ilisafishwaje?.
Tiss huko nyuma iliwahi kufanya makosa ya utekaji, utesaji na hata uuaji, na ikafumuliwa!. Hivyo kwa vile tayari tunayo precedence ya vitendo viovu vya TISS kuwahi kufanyika huko nyuma, hivyo kwa kuutumia uthibitisho wa uovu huo, una justify kuwa kuna pia kuna wa vitendo hivi viovu ambavyo TISS inashutumiwa navyo, kuna uwezekano kabisa ikawa ni kweli ni TISS wetu ndio is behind huu uovu na uchafu huu unaozungumziwa sasa hadi Bungeni kwetu, ndio maana hadi Bunge linaelezwa halafu TISS wamekaa kimya wakishupaza shingo zao, kwa hoja kuwa "mnaweza kutufanya nini?", it's very true TISS ya nchi zote wakifanya uovu wowote kwa amri halali kutoka juu, no one can do anything!, hawawezi kufanywa lolote wala kuchunguzwa na yoyote, hapa duniani, but kuna mamlaka moja pekee kuu kuliko mamlaka zote, inayoweza kufanya kitu, kupitia kitu kinachoitwa Karma, hakuna atakajua kuwa mamlaka hiyo imefanya, bali matokeo ya karma ndio huonekana!.

Jee ni TISS Wetu Wanafanya Vitendo Hivi au Wanasingiziwa?.
Kuna uwezekano sio kila utekaji, utesaji, mashambulio na mauaji yanafanywa na TISS, inawezekana kabisa sio TISS as TISS bali matukio hayo ni acts za individual members wa TISS wakifanya a "stand alone operations" bila kupokea command yoyote kutoka juu, hivyo vitendo viovu vya members wachache wa TISS, vikaichafua image nzima ya TISS yetu safi collectively under the collective responsibilities formula.

Pia inawezekana kabisa vitendo hivi vinafanywa na wahuni fulani, ambao wana pose as TISS just to make believe kuwa ni TISS kumbe sio TISS bali ni just impostors wanao fanya matukio kwa kupose as TISS ili ionekane ni TISS, hivyo wanaochafua the good image ya TISS wetu waadilifu, this being the case, TISS iwakane wahuni hawa, ijitokeze kukanusha uhusika wake, na wahuni hawa watafutwe na kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwa kuchafua good image ya TISS yetu takatifu!.

Whichever the case, TISS ijitokeze ama ijisafishe na iwakane wahuni hawa, ama isafishwe na kurudisha imani na TISS wetu kwa wananchi wa taifa letu.

Sikilizeni Tuhuma za TISS Bungeni Kwetu
Hebu kwanza msikilizeni Mhe. Husein Bashe


Kisha msikilize Mhe. Tundu Lissu anasema nini kuhusu utekaji na utesaji wa TISS, hao anaowatetea ndio wenye bahati who could live to tell, hivyo ndio waliosalimika, only God knows kwa wale wasio na bahati hatima yao ilikuwaje because they couldn't live to tell!.

Msikilizeni Mhe Zitto


Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu! .

Uthibitisho wa TISS Kufanya Utekaji, Utesaji na Uuaji
Hii sio mara ya kwanza kusikia serikali inafanya torture!. Hapa chini ni kisa cha kweli kabisa cha udhalimu wa TISS wa enzi hizo ambacho kilimhusu member wa familia yangu kujaribu kuwanusuru watuhumiwa wa torture na katika kufanya wema, wema wake ulimponza, RIP Mzee wangu Andrew Mayalla.

Kitendo kilichofanywa Clouds Media na wale makirikiri, kama kweli wale ni TISS, huu ni uthibitisho wa uhuni kama huu wa gross abuse of power unaofanywa na TISS kwa amri ya kichaa mmoja, kama wale makirikiri sio TISS, TISS iwakane na kukanusha kutohusika kwao!. Waziri wa Habari Nape alipotaka kufanya wema kuikingia kifua serikali yake isijinasibishe na uchafu huu, wema wake ulimponza!.

Mwaka 1976 kule Mwanza kwenye eneo la Kigoto, watuhumiwa wa mauaji ya vikongwe walikuwa tortured na maofisa wa polisi.

Kisa cha Kweli cha Maaji ya TISS ni Kadhia ya Kesi ya Mauaji Mwanza.
Kama nilivyoeleza kule mwanzo, mimi ni mwana familia wa TISS kwa upande wa wazazi wangu wote wawili, baba na mama, na kikawaida mzalendo yoyote wa nchi yake, anapomjua mtu fulani ni TISS, ni uzalendo kuto kumtaja, lakini mimi nadiriki kumtaja marehemu Mzee wangu, Baba Andrew Mayalla kuwa ni TISS ili kumtumia kama somo la uadilifu kwa hawa viongozi wetu wa sasa, kuona jinsi viongozi wenye uadilifu wa Mwalimu Nyerere, walifanywa nini pale mambo yalipokwenda mrama, ili kiongozi wetu mkuu, nae awawajibishe TISS na kuisafisha idara hii nyeti, akithibitisha huu uchafu unaendelea sasa wa utekaji, utesaji na mauaji, ni kweli unafanywa na TISS wasio waadilifu. Kwa vile ameishatangulia membe ya haki, kwa kumtaja huku hakumletei any security risks lakini mama yangu ambaye naye ni TISS, sijamtaja nimemuhifadhi for security reasons, na hii pia itanisaidia mimi kwa wale wajinga wajinga humu wanaodhani Pasco Mayalla ni TISS, then huyo Pasco Mayalla atakuwa ni TISS wa ajabu kuja kuanika madudu ya TISS humu mitandaoni!.

Kisa cha Mauaji Mwanza Kilicho Mhusisha Mzee Wangu.
Mzee wangu akiwa RSO wa Mwanza, alifanya wema wa kuwanusuru watuhumiwa wawili wa mauaji ya vikongwe huko Mwanza, Masaga Mahulu Mazegenuka wa mjini Mwanza, na Isaack Ng'wana Ng'hoboko, kutoka wilaya ya Magu, Mzee Mayalla aliwachukua watuhumiwa hao wawili eneo la Kigoto baada ya mateso makubwa, wakiwa njiani wakamweza hawajala chochote kwa muda wa siku 3 za mateso ya usiku na mchana!.

Akaamua kuwapeleka Bugando, on their way akasimama mahali kuwanunulia soda na kitafunio, soda waliweza kunywa kwa shida, lakini kutafuna walishindwa.

Alipowafikisha hospitali ya Bugando akawakabidhi kwa Dr. Nkulila. The next day they were both dead, mtuhumiwa wa kwanza ni mtu aliyewaleta!.

Hizo ni enzi za Nyerere, tulikuwa tukiishi Isamilo ya chini, next door ni RPC alikuwa akiitwa Mkwawa, nyumba ya tatu ni DSO. Just imagine majirani watatu wanaishi nyumba zinazofuatana wanapokumbwa na kisanga.

Baada ya Taarifa kumfikia Nyerere, kuanzia Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi alipoteza uwaziri, Waziri wa Usalama wa Taifa, Peter Siyovelwa alipoteza uwaziri. IGP wa wakati huo Samweli Pundugu alipoteza kazi, Mkurugenzi wa Tiss, Emilio Mzena, alipoteza kazi, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Peter Kisumo, alipoteza kazi,

Mzee wangu, Mzee Mayalla, RSO, RPC, DSO na OCD wa Mwanza wote walistaafishwa kwa manufaa ya umma, tulihamishwa usiku usiku na kurudishwa kijijini (detention fulani za Nyerere) na kila mmoja wa maofisa wale alirudishwa kwenye his place of domicile.

Wakati yote haya yakitokea, mimi nilikuwa mdogo, hivyo sikujua hili wala lile, hadi ilipoanza kuunguruma, Kesi ya Mauaji Mwanza, ndipo niligundua dingi alikuwa nani!, na thanks God, mtu pekee aliyenasuka ni Mzee wangu Andrew Mayalla (RIP) kufuatia kazi kubwa na mzuri iliyofanywa na wakili Murtaza Lakha ambaye kwangu, huyu wakili Lakha namhesabu ndie wakili mahiri kuliko mawakili wote wa criminal kuwahi kutokea Tanzania.

Utekaji, Utesaji na Uuaji wa TISS Kwa Watuhumiwa wa Uhaini Mwaka 1982.
Just by a coincidence, mwaka 1981 tukiwa tunaishi eneo la Drive In, jijini Dar es Salaam, tulikuwa tunaishi next to Banyikwas, nyumba kulipofanyikia vikao vya njama za kuipindua serikali ya Nyerere 1981!. Kwa wale tuliofuatilia ile kesi ya Uhaini ya mwaka 1982 tulisoma jinsi TISS wanavyoteka, wanavyo tesa na wanavyo ua yakiwemo mauaji ya Martin Tamimu. Utekaji wa Hatty Magee, kule jijini Nairobi, etc.

Mahakama ndio Mhimili pekee wa haki ndani ya katiba yetu, kwenye kesi hiyo ya uhaini, tumeshuhudia watuhumiwa wakitoa ushuhuda jinsi walivyoteswa na TISS kwenye torture chambers zao na kulazimishwa kukiri, hivyo kupelekwa kwa Walinzi wa Amani kukiri kuhusika kwao halafu walipofika mahakamani wakavikana viapo vyao kwa Walinzi wa Amani na kusema waliteswa ndio maana wakakiri.

Turture za Polisi na TISS Duniani Kote.
Japo torture ni kinyume cha sheria, polisi na TISS zote duniani wanatumia mbinu hizo kuhoji ambazo nyingine ni halali na nyingine ni haramu.

Marekani ndio nchi inayoongoza kwa kutumia torture na vile sio halali kufanya turture kwenye ardhi ya Marekani, ili Marekani kuihalalisha ila kwa vile ni kinyume cha sheria za nchi hiyo, wananunua maeneo nje ya ardhi ya Marekani na kujenga magereza na jela za mateso likiwemo la Guantanamo Bay lililoko kwenye kisiwa cha Cuba ambako sio ardhi ya Marekani kufanya ushenzi huo.

Hivyo kama tuhuma hizi za Lisu ni kweli, hii sio mara ya kwanza kwa TISS kuhusishwa na makando kando ya ajabu!. Ya Ulimboka tuliyasoma Mwanahalisi, hadi yakamuibua msemaji wa Tiss ya wakati huo Jack Zoka.

Ya Kibanda nilishikwa sikio na mtu tete a tete ila hii nilielezwa ni wale vijana wa Kijitonyama ila it was a personal social issue!.

Yaliyotokea Clouds TV wote tumeyashuhudia kupitia CCTV, na yale makirikiri tumeyaona, na ya Nape Mnauye tumeyashuhudia live mubashara kwenye TV huku huyo mpuuzi akionekana wazi hadi sura watu wanamjua.

Naunga mkono TISS isijadiliwe na Kamati ya Bunge kwa uwazi kama ambavyo bajeti yao na ile ya defence hazijadiliwi, lakini bado wanaweza kuchunguzwa, na Sheria ya Usalama wa Taifa, sheria namba 15 ya mwaka 1996 ina mapungufu makubwa, imepitwa na wakati na kila siku sio tu inavunjwa na TISS wenyewe, bali pia inatumiwa vibaya na wanasiasa kuanzia Mkuu mwenyewe kuitumia kama bakora ya kuwachapia wapinzani!.

Just imagine, Mkuu wa nchi mwenyewe, anatamka hadharani kuwa simu za watu zinadukuliwa, bila wanaharakati kupiga kelele wakati inafahamika wazi kabisa, udukuzi kwa simu za wanasiasa ni kosa kisheria!, kwa mujibu wa Kifungu cha 5(2) cha sheria ya usalama wa Taifa kinaizuia TISS kumfuatilia mtu yeyote wala kumpekua pekua au kumfanyia ujasusi kwa sababu ya msimamo wake kisiasa au Uhuru wake wa kuipinga Serikali. TISS inavunja sheria kila wakati kwenye eneo hili, rais anatangaza wanadukua simu za watu, by implication, waelewa wote, walielewa aliyedukuliwa!, kisha rais akasema kwa hasira, wasaliti wa aina hii, hawawezi kuachwa hivi hivi na kutolea mfano wa kinachowapata wasaliti wa jeshini, then mara mtajwa, yanamkuta ya kumkuta!, hata mtoto mdogo lazima atadhania ya kudhania!.

TISS inatakiwa kubadilika na kuunda kitengo madhubuti cha ujasusi wa kiuchumi, mfano, tuna Balozi zetu katika nchi zote zinazochenjua Mchanga wa makinikia, TISS wangekuwa wa maana, by now tungeisha jua hao Acacia wanapata nini kwenye Mchanga wetu, gharama za uchenjuaji container la Mchanga ni kiasi gani na kila kinachopatikana!, lakini wao wamekalia kudukua tuu simu, badala ya kudeal na serious issues za kiuchumi!. Kiukweli ile bili ya trilioni 190 ya TRA sio realistic, rais wetu ataonekana mjinga, Waziri Kabudi ataonekana mjinga, na nchi nzima tutaonekana ni taifa la wajinga, wakati ukweli utakapobainika, kitu ambacho TISS makini ingeweza kuzuia!.

Serikali yetu lazima ifanye damage control kwa msemaji wa TISS kuibuka na kumkana yule mpuuzi aliyemtisha Nape Bastola na kuwakana wale makirikiri wa Bashite!.

Huu ukimya wa Mwigulu, na serikali ni uthibitisho kuwa serikali has a hand kwenye hayo!. Ili kuonyesha kuwa serikali haihusiki na uhuni,upuuzi na ushenzi huu, rais Magufuli lazima akasirike kama Nyerere alivyo kasirika idara ya TISS inapochafuliwa, aliifumua mwanzo mwisho bila huruma.

Ukiondoa hizo torture za TISS zilizoibuliwa mahakamani, torture za jeshi la polisi ndio isiseme kabisa, innocent (until proven guilt) people have been tortured to death, hakuna kesi and nobody cares as if polisi are doing the right thing!.

Tukio la mwisho ni gunning down waendesha bodaboda wawili na abiria wao wawili kisa wamesimamishwa pale daraja la Mkapa wakapitiliza!. Polisi wakawaripoti hivyo walipofika next check point walimiminiwa tuu na kumaliza kazi hapo hapo, hawakukutwa na silaha yoyote!.

Haya ya polisi tumeisha yapigia sana kelele humu jukwaani.

IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality!. Utampeleka JK The Hague-Part II!

Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa!, Polisi Wako Ni Wauaji!. P'se Stop This

Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Na kwa wale wenye interest na TISS kuijua zaidi, tembelea
Namna ya kujiunga na usalama wa Taifa | JamiiForums | The Home of

Kujiunga na Chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, Bunju

Afisa usalama wa taifa "shushushu" ni nani? Anafanya shughuli gani

Shushushu (Afisa Usalama wa Taifa) ni mtu wa aina gani .

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa | JamiiForums | The Home of Great .

Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa ...

Dr. Hassy Kitine, aliyekuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa .

Usalama wa Taifa waibana polisi; NI KUHUSU TUHUMA ZA MKE ...


Paskali
Update
Mkuu Mchambuzi
thanks very much for this, its very objective naona kama umemaliza kila kitu!.

It's true kuna lots of details nime avoid kutokana na uzalendo, pia nimemtaja Mzee wangu tuu kwa sababu alihusika direct, lakini sikumtaja mama yangu ambaye she is still alive and retired (hawaritayi kabisa) wala sikusema kuwa hata mimi nilipomaliza shule na kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria, nilipomaliza JKT, nilijiunga JWTZ straight japo niliacha Jeshi. Ukiwa ni mtoto wa hawa jamaa, both parents, born and breed Tiss, then mimi nami ni almanusura sana!. Anyway haya tuyaache.

Although mhusika mkuu hataisoma kutokana na lingua uliyotumia, wahusika wenyewe wamesoma, na wamesikia labda waendelee tuu kutia pamba masikioni kwa sababu kujadili jambo lolote kuhusu TISS was considered a taboo hivyo bandiko hili kwa TISS ni kama abomination!.
Thanks again.
Paskali
Maadili ndani ya idara yamepungua sana. Baadhi ya maafisa wasio na maadili wanaichafua idara(TISS) hii ni kwa sababu vijana wanachomekwa kwa kujuana sio kama kwa kupimwa uwezo na uadilifu. Lakini kusema kwamba torture ni mbinu ya upelezi sio kweli. Wenzetu huko US wameendelea zipo mashine zinatumika kumhoji mtuhumiwa na kama anadanganya inatambua. Pia hata kutesana walishasahau.
 
Kwani kipindi hicho ulikuwa bado hujaitwa pale mjengoni kwa Ndugaye?
Wanabodi

Introduction ya Mada
Hii ni mada very serious kwasababu inaijadili idara yetu nyeti ya TISS ambayo kutokana na unyeti wa idara hii, issues za idara hii huwa hazijadiliwi hovyo hovyo, hivyo ukiona hadi watu tunaojinasibu humu kuwa ni wazalendo wa taifa hili halafu tukajitokeza waziwazi humu kuijadili TISS huku tukitumia majina yetu hali, huu ni uthibitisho kuwa tunaleta mjadala huu kwa nia njema ya uzalendo wa kulisaidia taifa letu pale idara yake nyeti hii inapochafuliwa kwa kusingiziwa tuhuma za uongo, lakini pia kama ni kweli TISS inahusika, then tukubaliane kuwa TISS imechafuka na inahitaji kusafishwa.

Topic ya mjadala huu ni TISS Ikanushe Tuhuma za Uvamizi, Utekaji, Utesaji na Mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge Kwa Uwazi bali Wachunguzwe, Wakithibitika Kuhusika, Wafumuliwe Kwa Kusafishwa Tujenge TISS Safi!

Hivyo naomba mjadala huu ufanyike kwa heshima, staha na uangalifu mkubwa ili badiko hili lisionekane ni bandiko la kukosa uzalendo bali liwe ni bandiko la uzalendo wa kweli kwa taifa lalo lenye lengo la kusadia taifa letu kwasababu haya matukio ya ajabu ajabu yanayohusishwa na TISS, yanaichafua Taswira ya TISS yetu, ambapo kikawaida TISS inapaswa kuwa kama Ikulu, Ikulu ni mahali patakatifu, na TISS inapaswa kuwa ni Idara Takatifu, uadilifu wa TISS, unapaswa uwe ni uadilifu wa kiwango cha juu kabisa ambao haupaswi kutiliwa shaka yoyote, unapaswa kuwa ni uadilifu wa kiwango cha mke wa Kaisari, ile kutuhumiwa tuu ni kosa tosha hata bila kuthibitishwa, anahukumiwa!, hivyo hizi tuhuma mbalimbali za Uvamizi, Utekaji, Utesaji na Mauaji zinazoelekezwa TISS bila ya kukanushwa, zinapelekea TISS yetu kuhukumiwa na mahakama ya umma ambayo haihitaji ushahidi kama tuhuma tuu za mke wa Kaisari, hivyo lengo la bandiko hili ni ushauri wa bure kwa TISS yetu kuwa haya mambo mabaya ambayo TISS inanyooshewa kidole kuwa inahusika, kama haisiki, TISS i come to an open, ikanushe!, ukituhumiwa tuhuma za uongo, ukinyamaza kimya bila kukanusha, hiyo silence inachukuliwa kama ni admission of guilty.

Declaration of Interest
Tunapojadili jambo nyeti kama hili, ni vizuri ku declare interest ili kwanza kujenga imani kwenu wasomaji wangu kuwa mwandishi wa makala hii ni mtu wa kuaminika, hizi data kwenye bandiko hili ni data za kuaminika authentic na bonafide genuine sio data za kuokoteza, data za kubuni au data za kuzua,hivyo ni vyema mimi nikajitambulisha kidogo kwenu, pia kwa sababu mtu unapotoa data nyeti from time to time katika mabandiko yako, huchelewe kunyooshewa kidole kuwa huyu jamaa ni TISS, hivyo na mimi kudhaniwa ni TISS, hivyo bandiko kama hili, litawafungua macho wengi humu kuwa huyu mtoa mada atakuwa ni TISS wa ajabu kweli kuilaumu ofisi yake mitandaoni.

Mimi Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari wa kujitegemea mwenye uwezo wa kuandika Investigative Stories, (IJ), ila pia nimepata bahati ya kuzaliwa na kukulia katika familia ya TISS kwa wazazi wangu wote wawili, baba na mama. Baba Mzee Andrew Mayalla (RIP) ameishatangulia mbele ya haki, na mama bado yuko hai, hivyo baadhi ya hoja zangu za kiitelijensia, sio kwasababu mwana wa nyoka ni nyoka, bali mtoto ukizaliwa kwa wazazi wote wawili ni wana inteligensia wa TISS, unazaliwa na natural intelligence ambayo ni tool muhimu sana kuweza kuwa Investigative Journalist.

Tuhuma Mbalimbali TISS
Kuna matukio mbalimbali yametokea na kuhusishwa na TISS, mengine ni visible, mengine ni invisible, sasa kwa sababu watu wote wenye akili timamu, wanajua TISS zote duniani huwa zinafanya matukio, yale matukio ambayo in invisible yanayohusishwa na TISS, kama kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda, sitahitaji TISS wajitokeza kuyakanusha kwasababu ni tuhuma za hisia tuu, lakini kwa yale matukio visible kama kushambuliwa kwa Tundu Lissu, kuvamiwa kwa Clouds Media na wale makirikiri wa Mkuu wa Mkoa wa DSM na yule mpuuzi aliyemtishia bastola Waziri Nape kuelezwa kuwa wale ni TISS kunaichafua idara yetu nyeti ya TISS!. Hivyo kama wale makirikiri waliovamia Clouds TV sio watu wao, TISS wasikae kimya wajitokeze wawakane na kukanusha uhusika wa TISS!. Kama yule mpuuzi aliyemtishia Nape kwa bastola sio mtu wao, TISS wajitokeze wamkane na wakanushe. Huku kutokea kwa matukio kama haya na kuhusishwa na TISS, halafu TISS wanajua sii kweli, sii wao, huku kukaa kimya bila TISS kukanusha uhusika wake, kunachukuliwa ni admission of guilt!.

Jee Tuhuma za Uhusika wa TISS zinatolewa Wapi na Zinatolewa na Nani?.
Nyingi ya tuhuma za kuhusika kwa TISS katika baadhi ya matukio ya hovyo, huanza kwa kutolewa na watu tuu wa kawaida, tuhuma zinapotolewa na watu wa kawaida tuu, watu ambao they are nobody, na zinatolewa kwenye vijiwe vya kahawa, it is right, kuzipuuza, lakini tuhuma hizi dhidi ya TISS zinapofikia kiwango cha kutolewa ndani ya Bunge letu Tukufu, tuhuma hizi sio za kuzipuuzia hata kidogo kwasababu Bunge ni chombo rasmi, wabunge wtu ni wawakilishi rasmi wa wananchi, wanapoituhumu TISS Bungeni, this is something very serious, sio jambo la kupuuziwa kwasababu TISS iko chini ya Ikulu yetu, na Ikulu ni mahala patakatifu, tuhuma tuu kumhusu mke wa Kaisari zinatosha kumuondoa Ikulu asije akapanajisi patakatifu petu!. Hiyo TISS isikae kimya lazima iibuke kuja kukanusha kutohusika kwake na kujisafisha na uchafu wa makandokando haya!, winginevyo kama ni kweli inahusika, ijitathimini yenyewe kwa kuwajibika au iwajibishwe kwa kusafishwa!.

Jee TISS ni Chafu Inahitaji Kusafishwa?.
Huu mjadala unaoendelea kuhusu utekaji, utesaji na mauaji ambavyo vinahusishwa na idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa, TISS ni uthibitisho tosha kuwa TISS imechafuka inahitaji au kujisafisha au kusafishwa!.

Pamoja na Tanzania kuridhia mkakati wa Open Government Initiatives lakini kuna vitu huwezi kuvijadili openly lakini bado unaweza kuvichunguza na kuvifanyia kazi kimya kimya ila public ikaona matokeo na kurudisha imani.

Kuna watu wanadhani Usalama wa Taifa TISS wao ni malaika na hawawezi kabisa kufanya makosa kama madudu haya wanayotuhumiwa nayo sasa. No!, TISS ni kweli kwa vile iko chini ya Ikulu, na Ikulu ni mahali patakatifu, TISS pia inapaswa kuwa ni idara takatifu, lakini kwa vile TISS inaendeshwa na binadamu na sio malaika, TISS inaweza kufanya makosa na uchafu huo ukawa ni kweli ni TISS, ndio maana katika bandiko hili nasisitiza tuhuma hizi dhidi ya TISS kama sii kweli, TISS ikanushe, kama ni kweli, TISS imechafuka na inahitaji kusafishwa!. Hii sii mara ya kwanza kwa TISS kuchafuka, huko nyuma kuliwahi kutokea matukio ya TISS kuchafuka na Ilisafishwa!.

TISS Iliwahi Kuchafuka Vipi na Ilisafishwaje?.
Tiss huko nyuma iliwahi kufanya makosa ya utekaji, utesaji na hata uuaji, na ikafumuliwa!. Hivyo kwa vile tayari tunayo precedence ya vitendo viovu vya TISS kuwahi kufanyika huko nyuma, hivyo kwa kuutumia uthibitisho wa uovu huo, una justify kuwa kuna pia kuna wa vitendo hivi viovu ambavyo TISS inashutumiwa navyo, kuna uwezekano kabisa ikawa ni kweli ni TISS wetu ndio is behind huu uovu na uchafu huu unaozungumziwa sasa hadi Bungeni kwetu, ndio maana hadi Bunge linaelezwa halafu TISS wamekaa kimya wakishupaza shingo zao, kwa hoja kuwa "mnaweza kutufanya nini?", it's very true TISS ya nchi zote wakifanya uovu wowote kwa amri halali kutoka juu, no one can do anything!, hawawezi kufanywa lolote wala kuchunguzwa na yoyote, hapa duniani, but kuna mamlaka moja pekee kuu kuliko mamlaka zote, inayoweza kufanya kitu, kupitia kitu kinachoitwa Karma, hakuna atakajua kuwa mamlaka hiyo imefanya, bali matokeo ya karma ndio huonekana!.

Jee ni TISS Wetu Wanafanya Vitendo Hivi au Wanasingiziwa?.
Kuna uwezekano sio kila utekaji, utesaji, mashambulio na mauaji yanafanywa na TISS, inawezekana kabisa sio TISS as TISS bali matukio hayo ni acts za individual members wa TISS wakifanya a "stand alone operations" bila kupokea command yoyote kutoka juu, hivyo vitendo viovu vya members wachache wa TISS, vikaichafua image nzima ya TISS yetu safi collectively under the collective responsibilities formula.

Pia inawezekana kabisa vitendo hivi vinafanywa na wahuni fulani, ambao wana pose as TISS just to make believe kuwa ni TISS kumbe sio TISS bali ni just impostors wanao fanya matukio kwa kupose as TISS ili ionekane ni TISS, hivyo wanaochafua the good image ya TISS wetu waadilifu, this being the case, TISS iwakane wahuni hawa, ijitokeze kukanusha uhusika wake, na wahuni hawa watafutwe na kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwa kuchafua good image ya TISS yetu takatifu!.

Whichever the case, TISS ijitokeze ama ijisafishe na iwakane wahuni hawa, ama isafishwe na kurudisha imani na TISS wetu kwa wananchi wa taifa letu.

Sikilizeni Tuhuma za TISS Bungeni Kwetu
Hebu kwanza msikilizeni Mhe. Husein Bashe


Kisha msikilize Mhe. Tundu Lissu anasema nini kuhusu utekaji na utesaji wa TISS, hao anaowatetea ndio wenye bahati who could live to tell, hivyo ndio waliosalimika, only God knows kwa wale wasio na bahati hatima yao ilikuwaje because they couldn't live to tell!.

Msikilizeni Mhe Zitto


Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu! .

Uthibitisho wa TISS Kufanya Utekaji, Utesaji na Uuaji
Hii sio mara ya kwanza kusikia serikali inafanya torture!. Hapa chini ni kisa cha kweli kabisa cha udhalimu wa TISS wa enzi hizo ambacho kilimhusu member wa familia yangu kujaribu kuwanusuru watuhumiwa wa torture na katika kufanya wema, wema wake ulimponza, RIP Mzee wangu Andrew Mayalla.

Kitendo kilichofanywa Clouds Media na wale makirikiri, kama kweli wale ni TISS, huu ni uthibitisho wa uhuni kama huu wa gross abuse of power unaofanywa na TISS kwa amri ya kichaa mmoja, kama wale makirikiri sio TISS, TISS iwakane na kukanusha kutohusika kwao!. Waziri wa Habari Nape alipotaka kufanya wema kuikingia kifua serikali yake isijinasibishe na uchafu huu, wema wake ulimponza!.

Mwaka 1976 kule Mwanza kwenye eneo la Kigoto, watuhumiwa wa mauaji ya vikongwe walikuwa tortured na maofisa wa polisi.

Kisa cha Kweli cha Maaji ya TISS ni Kadhia ya Kesi ya Mauaji Mwanza.
Kama nilivyoeleza kule mwanzo, mimi ni mwana familia wa TISS kwa upande wa wazazi wangu wote wawili, baba na mama, na kikawaida mzalendo yoyote wa nchi yake, anapomjua mtu fulani ni TISS, ni uzalendo kuto kumtaja, lakini mimi nadiriki kumtaja marehemu Mzee wangu, Baba Andrew Mayalla kuwa ni TISS ili kumtumia kama somo la uadilifu kwa hawa viongozi wetu wa sasa, kuona jinsi viongozi wenye uadilifu wa Mwalimu Nyerere, walifanywa nini pale mambo yalipokwenda mrama, ili kiongozi wetu mkuu, nae awawajibishe TISS na kuisafisha idara hii nyeti, akithibitisha huu uchafu unaendelea sasa wa utekaji, utesaji na mauaji, ni kweli unafanywa na TISS wasio waadilifu. Kwa vile ameishatangulia membe ya haki, kwa kumtaja huku hakumletei any security risks lakini mama yangu ambaye naye ni TISS, sijamtaja nimemuhifadhi for security reasons, na hii pia itanisaidia mimi kwa wale wajinga wajinga humu wanaodhani Pasco Mayalla ni TISS, then huyo Pasco Mayalla atakuwa ni TISS wa ajabu kuja kuanika madudu ya TISS humu mitandaoni!.

Kisa cha Mauaji Mwanza Kilicho Mhusisha Mzee Wangu.
Mzee wangu akiwa RSO wa Mwanza, alifanya wema wa kuwanusuru watuhumiwa wawili wa mauaji ya vikongwe huko Mwanza, Masaga Mahulu Mazegenuka wa mjini Mwanza, na Isaack Ng'wana Ng'hoboko, kutoka wilaya ya Magu, Mzee Mayalla aliwachukua watuhumiwa hao wawili eneo la Kigoto baada ya mateso makubwa, wakiwa njiani wakamweza hawajala chochote kwa muda wa siku 3 za mateso ya usiku na mchana!.

Akaamua kuwapeleka Bugando, on their way akasimama mahali kuwanunulia soda na kitafunio, soda waliweza kunywa kwa shida, lakini kutafuna walishindwa.

Alipowafikisha hospitali ya Bugando akawakabidhi kwa Dr. Nkulila. The next day they were both dead, mtuhumiwa wa kwanza ni mtu aliyewaleta!.

Hizo ni enzi za Nyerere, tulikuwa tukiishi Isamilo ya chini, next door ni RPC alikuwa akiitwa Mkwawa, nyumba ya tatu ni DSO. Just imagine majirani watatu wanaishi nyumba zinazofuatana wanapokumbwa na kisanga.

Baada ya Taarifa kumfikia Nyerere, kuanzia Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi alipoteza uwaziri, Waziri wa Usalama wa Taifa, Peter Siyovelwa alipoteza uwaziri. IGP wa wakati huo Samweli Pundugu alipoteza kazi, Mkurugenzi wa Tiss, Emilio Mzena, alipoteza kazi, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Peter Kisumo, alipoteza kazi,

Mzee wangu, Mzee Mayalla, RSO, RPC, DSO na OCD wa Mwanza wote walistaafishwa kwa manufaa ya umma, tulihamishwa usiku usiku na kurudishwa kijijini (detention fulani za Nyerere) na kila mmoja wa maofisa wale alirudishwa kwenye his place of domicile.

Wakati yote haya yakitokea, mimi nilikuwa mdogo, hivyo sikujua hili wala lile, hadi ilipoanza kuunguruma, Kesi ya Mauaji Mwanza, ndipo niligundua dingi alikuwa nani!, na thanks God, mtu pekee aliyenasuka ni Mzee wangu Andrew Mayalla (RIP) kufuatia kazi kubwa na mzuri iliyofanywa na wakili Murtaza Lakha ambaye kwangu, huyu wakili Lakha namhesabu ndie wakili mahiri kuliko mawakili wote wa criminal kuwahi kutokea Tanzania.

Utekaji, Utesaji na Uuaji wa TISS Kwa Watuhumiwa wa Uhaini Mwaka 1982.
Just by a coincidence, mwaka 1981 tukiwa tunaishi eneo la Drive In, jijini Dar es Salaam, tulikuwa tunaishi next to Banyikwas, nyumba kulipofanyikia vikao vya njama za kuipindua serikali ya Nyerere 1981!. Kwa wale tuliofuatilia ile kesi ya Uhaini ya mwaka 1982 tulisoma jinsi TISS wanavyoteka, wanavyo tesa na wanavyo ua yakiwemo mauaji ya Martin Tamimu. Utekaji wa Hatty Magee, kule jijini Nairobi, etc.

Mahakama ndio Mhimili pekee wa haki ndani ya katiba yetu, kwenye kesi hiyo ya uhaini, tumeshuhudia watuhumiwa wakitoa ushuhuda jinsi walivyoteswa na TISS kwenye torture chambers zao na kulazimishwa kukiri, hivyo kupelekwa kwa Walinzi wa Amani kukiri kuhusika kwao halafu walipofika mahakamani wakavikana viapo vyao kwa Walinzi wa Amani na kusema waliteswa ndio maana wakakiri.

Turture za Polisi na TISS Duniani Kote.
Japo torture ni kinyume cha sheria, polisi na TISS zote duniani wanatumia mbinu hizo kuhoji ambazo nyingine ni halali na nyingine ni haramu.

Marekani ndio nchi inayoongoza kwa kutumia torture na vile sio halali kufanya turture kwenye ardhi ya Marekani, ili Marekani kuihalalisha ila kwa vile ni kinyume cha sheria za nchi hiyo, wananunua maeneo nje ya ardhi ya Marekani na kujenga magereza na jela za mateso likiwemo la Guantanamo Bay lililoko kwenye kisiwa cha Cuba ambako sio ardhi ya Marekani kufanya ushenzi huo.

Hivyo kama tuhuma hizi za Lisu ni kweli, hii sio mara ya kwanza kwa TISS kuhusishwa na makando kando ya ajabu!. Ya Ulimboka tuliyasoma Mwanahalisi, hadi yakamuibua msemaji wa Tiss ya wakati huo Jack Zoka.

Ya Kibanda nilishikwa sikio na mtu tete a tete ila hii nilielezwa ni wale vijana wa Kijitonyama ila it was a personal social issue!.

Yaliyotokea Clouds TV wote tumeyashuhudia kupitia CCTV, na yale makirikiri tumeyaona, na ya Nape Mnauye tumeyashuhudia live mubashara kwenye TV huku huyo mpuuzi akionekana wazi hadi sura watu wanamjua.

Naunga mkono TISS isijadiliwe na Kamati ya Bunge kwa uwazi kama ambavyo bajeti yao na ile ya defence hazijadiliwi, lakini bado wanaweza kuchunguzwa, na Sheria ya Usalama wa Taifa, sheria namba 15 ya mwaka 1996 ina mapungufu makubwa, imepitwa na wakati na kila siku sio tu inavunjwa na TISS wenyewe, bali pia inatumiwa vibaya na wanasiasa kuanzia Mkuu mwenyewe kuitumia kama bakora ya kuwachapia wapinzani!.

Just imagine, Mkuu wa nchi mwenyewe, anatamka hadharani kuwa simu za watu zinadukuliwa, bila wanaharakati kupiga kelele wakati inafahamika wazi kabisa, udukuzi kwa simu za wanasiasa ni kosa kisheria!, kwa mujibu wa Kifungu cha 5(2) cha sheria ya usalama wa Taifa kinaizuia TISS kumfuatilia mtu yeyote wala kumpekua pekua au kumfanyia ujasusi kwa sababu ya msimamo wake kisiasa au Uhuru wake wa kuipinga Serikali. TISS inavunja sheria kila wakati kwenye eneo hili, rais anatangaza wanadukua simu za watu, by implication, waelewa wote, walielewa aliyedukuliwa!, kisha rais akasema kwa hasira, wasaliti wa aina hii, hawawezi kuachwa hivi hivi na kutolea mfano wa kinachowapata wasaliti wa jeshini, then mara mtajwa, yanamkuta ya kumkuta!, hata mtoto mdogo lazima atadhania ya kudhania!.

TISS inatakiwa kubadilika na kuunda kitengo madhubuti cha ujasusi wa kiuchumi, mfano, tuna Balozi zetu katika nchi zote zinazochenjua Mchanga wa makinikia, TISS wangekuwa wa maana, by now tungeisha jua hao Acacia wanapata nini kwenye Mchanga wetu, gharama za uchenjuaji container la Mchanga ni kiasi gani na kila kinachopatikana!, lakini wao wamekalia kudukua tuu simu, badala ya kudeal na serious issues za kiuchumi!. Kiukweli ile bili ya trilioni 190 ya TRA sio realistic, rais wetu ataonekana mjinga, Waziri Kabudi ataonekana mjinga, na nchi nzima tutaonekana ni taifa la wajinga, wakati ukweli utakapobainika, kitu ambacho TISS makini ingeweza kuzuia!.

Serikali yetu lazima ifanye damage control kwa msemaji wa TISS kuibuka na kumkana yule mpuuzi aliyemtisha Nape Bastola na kuwakana wale makirikiri wa Bashite!.

Huu ukimya wa Mwigulu, na serikali ni uthibitisho kuwa serikali has a hand kwenye hayo!. Ili kuonyesha kuwa serikali haihusiki na uhuni,upuuzi na ushenzi huu, rais Magufuli lazima akasirike kama Nyerere alivyo kasirika idara ya TISS inapochafuliwa, aliifumua mwanzo mwisho bila huruma.

Ukiondoa hizo torture za TISS zilizoibuliwa mahakamani, torture za jeshi la polisi ndio isiseme kabisa, innocent (until proven guilt) people have been tortured to death, hakuna kesi and nobody cares as if polisi are doing the right thing!.

Tukio la mwisho ni gunning down waendesha bodaboda wawili na abiria wao wawili kisa wamesimamishwa pale daraja la Mkapa wakapitiliza!. Polisi wakawaripoti hivyo walipofika next check point walimiminiwa tuu na kumaliza kazi hapo hapo, hawakukutwa na silaha yoyote!.

Haya ya polisi tumeisha yapigia sana kelele humu jukwaani.

IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality!. Utampeleka JK The Hague-Part II!

Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa!, Polisi Wako Ni Wauaji!. P'se Stop This

Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Na kwa wale wenye interest na TISS kuijua zaidi, tembelea
Namna ya kujiunga na usalama wa Taifa | JamiiForums | The Home of

Kujiunga na Chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, Bunju

Afisa usalama wa taifa "shushushu" ni nani? Anafanya shughuli gani

Shushushu (Afisa Usalama wa Taifa) ni mtu wa aina gani .

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa | JamiiForums | The Home of Great .

Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa ...

Dr. Hassy Kitine, aliyekuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa .

Usalama wa Taifa waibana polisi; NI KUHUSU TUHUMA ZA MKE ...


Paskali
Update
Mkuu Mchambuzi
thanks very much for this, its very objective naona kama umemaliza kila kitu!.

It's true kuna lots of details nime avoid kutokana na uzalendo, pia nimemtaja Mzee wangu tuu kwa sababu alihusika direct, lakini sikumtaja mama yangu ambaye she is still alive and retired (hawaritayi kabisa) wala sikusema kuwa hata mimi nilipomaliza shule na kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria, nilipomaliza JKT, nilijiunga JWTZ straight japo niliacha Jeshi. Ukiwa ni mtoto wa hawa jamaa, both parents, born and breed Tiss, then mimi nami ni almanusura sana!. Anyway haya tuyaache.

Although mhusika mkuu hataisoma kutokana na lingua uliyotumia, wahusika wenyewe wamesoma, na wamesikia labda waendelee tuu kutia pamba masikioni kwa sababu kujadili jambo lolote kuhusu TISS was considered a taboo hivyo bandiko hili kwa TISS ni kama abomination!.
Thanks again.
Paskali


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi

Introduction ya Mada
Hii ni mada very serious kwasababu inaijadili idara yetu nyeti ya TISS ambayo kutokana na unyeti wa idara hii, issues za idara hii huwa hazijadiliwi hovyo hovyo, hivyo ukiona hadi watu tunaojinasibu humu kuwa ni wazalendo wa taifa hili halafu tukajitokeza waziwazi humu kuijadili TISS huku tukitumia majina yetu hali, huu ni uthibitisho kuwa tunaleta mjadala huu kwa nia njema ya uzalendo wa kulisaidia taifa letu pale idara yake nyeti hii inapochafuliwa kwa kusingiziwa tuhuma za uongo, lakini pia kama ni kweli TISS inahusika, then tukubaliane kuwa TISS imechafuka na inahitaji kusafishwa.

Topic ya mjadala huu ni TISS Ikanushe Tuhuma za Uvamizi, Utekaji, Utesaji na Mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge Kwa Uwazi bali Wachunguzwe, Wakithibitika Kuhusika, Wafumuliwe Kwa Kusafishwa Tujenge TISS Safi!

Hivyo naomba mjadala huu ufanyike kwa heshima, staha na uangalifu mkubwa ili badiko hili lisionekane ni bandiko la kukosa uzalendo bali liwe ni bandiko la uzalendo wa kweli kwa taifa lalo lenye lengo la kusadia taifa letu kwasababu haya matukio ya ajabu ajabu yanayohusishwa na TISS, yanaichafua Taswira ya TISS yetu, ambapo kikawaida TISS inapaswa kuwa kama Ikulu, Ikulu ni mahali patakatifu, na TISS inapaswa kuwa ni Idara Takatifu, uadilifu wa TISS, unapaswa uwe ni uadilifu wa kiwango cha juu kabisa ambao haupaswi kutiliwa shaka yoyote, unapaswa kuwa ni uadilifu wa kiwango cha mke wa Kaisari, ile kutuhumiwa tuu ni kosa tosha hata bila kuthibitishwa, anahukumiwa!, hivyo hizi tuhuma mbalimbali za Uvamizi, Utekaji, Utesaji na Mauaji zinazoelekezwa TISS bila ya kukanushwa, zinapelekea TISS yetu kuhukumiwa na mahakama ya umma ambayo haihitaji ushahidi kama tuhuma tuu za mke wa Kaisari, hivyo lengo la bandiko hili ni ushauri wa bure kwa TISS yetu kuwa haya mambo mabaya ambayo TISS inanyooshewa kidole kuwa inahusika, kama haisiki, TISS i come to an open, ikanushe!, ukituhumiwa tuhuma za uongo, ukinyamaza kimya bila kukanusha, hiyo silence inachukuliwa kama ni admission of guilty.

Declaration of Interest
Tunapojadili jambo nyeti kama hili, ni vizuri ku declare interest ili kwanza kujenga imani kwenu wasomaji wangu kuwa mwandishi wa makala hii ni mtu wa kuaminika, hizi data kwenye bandiko hili ni data za kuaminika authentic na bonafide genuine sio data za kuokoteza, data za kubuni au data za kuzua,hivyo ni vyema mimi nikajitambulisha kidogo kwenu, pia kwa sababu mtu unapotoa data nyeti from time to time katika mabandiko yako, huchelewe kunyooshewa kidole kuwa huyu jamaa ni TISS, hivyo na mimi kudhaniwa ni TISS, hivyo bandiko kama hili, litawafungua macho wengi humu kuwa huyu mtoa mada atakuwa ni TISS wa ajabu kweli kuilaumu ofisi yake mitandaoni.

Mimi Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari wa kujitegemea mwenye uwezo wa kuandika Investigative Stories, (IJ), ila pia nimepata bahati ya kuzaliwa na kukulia katika familia ya TISS kwa wazazi wangu wote wawili, baba na mama. Baba Mzee Andrew Mayalla (RIP) ameishatangulia mbele ya haki, na mama bado yuko hai, hivyo baadhi ya hoja zangu za kiitelijensia, sio kwasababu mwana wa nyoka ni nyoka, bali mtoto ukizaliwa kwa wazazi wote wawili ni wana inteligensia wa TISS, unazaliwa na natural intelligence ambayo ni tool muhimu sana kuweza kuwa Investigative Journalist.

Tuhuma Mbalimbali TISS
Kuna matukio mbalimbali yametokea na kuhusishwa na TISS, mengine ni visible, mengine ni invisible, sasa kwa sababu watu wote wenye akili timamu, wanajua TISS zote duniani huwa zinafanya matukio, yale matukio ambayo in invisible yanayohusishwa na TISS, kama kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda, sitahitaji TISS wajitokeza kuyakanusha kwasababu ni tuhuma za hisia tuu, lakini kwa yale matukio visible kama kushambuliwa kwa Tundu Lissu, kuvamiwa kwa Clouds Media na wale makirikiri wa Mkuu wa Mkoa wa DSM na yule mpuuzi aliyemtishia bastola Waziri Nape kuelezwa kuwa wale ni TISS kunaichafua idara yetu nyeti ya TISS!. Hivyo kama wale makirikiri waliovamia Clouds TV sio watu wao, TISS wasikae kimya wajitokeze wawakane na kukanusha uhusika wa TISS!. Kama yule mpuuzi aliyemtishia Nape kwa bastola sio mtu wao, TISS wajitokeze wamkane na wakanushe. Huku kutokea kwa matukio kama haya na kuhusishwa na TISS, halafu TISS wanajua sii kweli, sii wao, huku kukaa kimya bila TISS kukanusha uhusika wake, kunachukuliwa ni admission of guilt!.

Jee Tuhuma za Uhusika wa TISS zinatolewa Wapi na Zinatolewa na Nani?.
Nyingi ya tuhuma za kuhusika kwa TISS katika baadhi ya matukio ya hovyo, huanza kwa kutolewa na watu tuu wa kawaida, tuhuma zinapotolewa na watu wa kawaida tuu, watu ambao they are nobody, na zinatolewa kwenye vijiwe vya kahawa, it is right, kuzipuuza, lakini tuhuma hizi dhidi ya TISS zinapofikia kiwango cha kutolewa ndani ya Bunge letu Tukufu, tuhuma hizi sio za kuzipuuzia hata kidogo kwasababu Bunge ni chombo rasmi, wabunge wtu ni wawakilishi rasmi wa wananchi, wanapoituhumu TISS Bungeni, this is something very serious, sio jambo la kupuuziwa kwasababu TISS iko chini ya Ikulu yetu, na Ikulu ni mahala patakatifu, tuhuma tuu kumhusu mke wa Kaisari zinatosha kumuondoa Ikulu asije akapanajisi patakatifu petu!. Hiyo TISS isikae kimya lazima iibuke kuja kukanusha kutohusika kwake na kujisafisha na uchafu wa makandokando haya!, winginevyo kama ni kweli inahusika, ijitathimini yenyewe kwa kuwajibika au iwajibishwe kwa kusafishwa!.

Jee TISS ni Chafu Inahitaji Kusafishwa?.
Huu mjadala unaoendelea kuhusu utekaji, utesaji na mauaji ambavyo vinahusishwa na idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa, TISS ni uthibitisho tosha kuwa TISS imechafuka inahitaji au kujisafisha au kusafishwa!.

Pamoja na Tanzania kuridhia mkakati wa Open Government Initiatives lakini kuna vitu huwezi kuvijadili openly lakini bado unaweza kuvichunguza na kuvifanyia kazi kimya kimya ila public ikaona matokeo na kurudisha imani.

Kuna watu wanadhani Usalama wa Taifa TISS wao ni malaika na hawawezi kabisa kufanya makosa kama madudu haya wanayotuhumiwa nayo sasa. No!, TISS ni kweli kwa vile iko chini ya Ikulu, na Ikulu ni mahali patakatifu, TISS pia inapaswa kuwa ni idara takatifu, lakini kwa vile TISS inaendeshwa na binadamu na sio malaika, TISS inaweza kufanya makosa na uchafu huo ukawa ni kweli ni TISS, ndio maana katika bandiko hili nasisitiza tuhuma hizi dhidi ya TISS kama sii kweli, TISS ikanushe, kama ni kweli, TISS imechafuka na inahitaji kusafishwa!. Hii sii mara ya kwanza kwa TISS kuchafuka, huko nyuma kuliwahi kutokea matukio ya TISS kuchafuka na Ilisafishwa!.

TISS Iliwahi Kuchafuka Vipi na Ilisafishwaje?.
Tiss huko nyuma iliwahi kufanya makosa ya utekaji, utesaji na hata uuaji, na ikafumuliwa!. Hivyo kwa vile tayari tunayo precedence ya vitendo viovu vya TISS kuwahi kufanyika huko nyuma, hivyo kwa kuutumia uthibitisho wa uovu huo, una justify kuwa kuna pia kuna wa vitendo hivi viovu ambavyo TISS inashutumiwa navyo, kuna uwezekano kabisa ikawa ni kweli ni TISS wetu ndio is behind huu uovu na uchafu huu unaozungumziwa sasa hadi Bungeni kwetu, ndio maana hadi Bunge linaelezwa halafu TISS wamekaa kimya wakishupaza shingo zao, kwa hoja kuwa "mnaweza kutufanya nini?", it's very true TISS ya nchi zote wakifanya uovu wowote kwa amri halali kutoka juu, no one can do anything!, hawawezi kufanywa lolote wala kuchunguzwa na yoyote, hapa duniani, but kuna mamlaka moja pekee kuu kuliko mamlaka zote, inayoweza kufanya kitu, kupitia kitu kinachoitwa Karma, hakuna atakajua kuwa mamlaka hiyo imefanya, bali matokeo ya karma ndio huonekana!.

Jee ni TISS Wetu Wanafanya Vitendo Hivi au Wanasingiziwa?.
Kuna uwezekano sio kila utekaji, utesaji, mashambulio na mauaji yanafanywa na TISS, inawezekana kabisa sio TISS as TISS bali matukio hayo ni acts za individual members wa TISS wakifanya a "stand alone operations" bila kupokea command yoyote kutoka juu, hivyo vitendo viovu vya members wachache wa TISS, vikaichafua image nzima ya TISS yetu safi collectively under the collective responsibilities formula.

Pia inawezekana kabisa vitendo hivi vinafanywa na wahuni fulani, ambao wana pose as TISS just to make believe kuwa ni TISS kumbe sio TISS bali ni just impostors wanao fanya matukio kwa kupose as TISS ili ionekane ni TISS, hivyo wanaochafua the good image ya TISS wetu waadilifu, this being the case, TISS iwakane wahuni hawa, ijitokeze kukanusha uhusika wake, na wahuni hawa watafutwe na kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwa kuchafua good image ya TISS yetu takatifu!.

Whichever the case, TISS ijitokeze ama ijisafishe na iwakane wahuni hawa, ama isafishwe na kurudisha imani na TISS wetu kwa wananchi wa taifa letu.

Sikilizeni Tuhuma za TISS Bungeni Kwetu
Hebu kwanza msikilizeni Mhe. Husein Bashe


Kisha msikilize Mhe. Tundu Lissu anasema nini kuhusu utekaji na utesaji wa TISS, hao anaowatetea ndio wenye bahati who could live to tell, hivyo ndio waliosalimika, only God knows kwa wale wasio na bahati hatima yao ilikuwaje because they couldn't live to tell!.

Msikilizeni Mhe Zitto


Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu! .

Uthibitisho wa TISS Kufanya Utekaji, Utesaji na Uuaji
Hii sio mara ya kwanza kusikia serikali inafanya torture!. Hapa chini ni kisa cha kweli kabisa cha udhalimu wa TISS wa enzi hizo ambacho kilimhusu member wa familia yangu kujaribu kuwanusuru watuhumiwa wa torture na katika kufanya wema, wema wake ulimponza, RIP Mzee wangu Andrew Mayalla.

Kitendo kilichofanywa Clouds Media na wale makirikiri, kama kweli wale ni TISS, huu ni uthibitisho wa uhuni kama huu wa gross abuse of power unaofanywa na TISS kwa amri ya kichaa mmoja, kama wale makirikiri sio TISS, TISS iwakane na kukanusha kutohusika kwao!. Waziri wa Habari Nape alipotaka kufanya wema kuikingia kifua serikali yake isijinasibishe na uchafu huu, wema wake ulimponza!.

Mwaka 1976 kule Mwanza kwenye eneo la Kigoto, watuhumiwa wa mauaji ya vikongwe walikuwa tortured na maofisa wa polisi.

Kisa cha Kweli cha Maaji ya TISS ni Kadhia ya Kesi ya Mauaji Mwanza.
Kama nilivyoeleza kule mwanzo, mimi ni mwana familia wa TISS kwa upande wa wazazi wangu wote wawili, baba na mama, na kikawaida mzalendo yoyote wa nchi yake, anapomjua mtu fulani ni TISS, ni uzalendo kuto kumtaja, lakini mimi nadiriki kumtaja marehemu Mzee wangu, Baba Andrew Mayalla kuwa ni TISS ili kumtumia kama somo la uadilifu kwa hawa viongozi wetu wa sasa, kuona jinsi viongozi wenye uadilifu wa Mwalimu Nyerere, walifanywa nini pale mambo yalipokwenda mrama, ili kiongozi wetu mkuu, nae awawajibishe TISS na kuisafisha idara hii nyeti, akithibitisha huu uchafu unaendelea sasa wa utekaji, utesaji na mauaji, ni kweli unafanywa na TISS wasio waadilifu. Kwa vile ameishatangulia membe ya haki, kwa kumtaja huku hakumletei any security risks lakini mama yangu ambaye naye ni TISS, sijamtaja nimemuhifadhi for security reasons, na hii pia itanisaidia mimi kwa wale wajinga wajinga humu wanaodhani Pasco Mayalla ni TISS, then huyo Pasco Mayalla atakuwa ni TISS wa ajabu kuja kuanika madudu ya TISS humu mitandaoni!.

Kisa cha Mauaji Mwanza Kilicho Mhusisha Mzee Wangu.
Mzee wangu akiwa RSO wa Mwanza, alifanya wema wa kuwanusuru watuhumiwa wawili wa mauaji ya vikongwe huko Mwanza, Masaga Mahulu Mazegenuka wa mjini Mwanza, na Isaack Ng'wana Ng'hoboko, kutoka wilaya ya Magu, Mzee Mayalla aliwachukua watuhumiwa hao wawili eneo la Kigoto baada ya mateso makubwa, wakiwa njiani wakamweza hawajala chochote kwa muda wa siku 3 za mateso ya usiku na mchana!.

Akaamua kuwapeleka Bugando, on their way akasimama mahali kuwanunulia soda na kitafunio, soda waliweza kunywa kwa shida, lakini kutafuna walishindwa.

Alipowafikisha hospitali ya Bugando akawakabidhi kwa Dr. Nkulila. The next day they were both dead, mtuhumiwa wa kwanza ni mtu aliyewaleta!.

Hizo ni enzi za Nyerere, tulikuwa tukiishi Isamilo ya chini, next door ni RPC alikuwa akiitwa Mkwawa, nyumba ya tatu ni DSO. Just imagine majirani watatu wanaishi nyumba zinazofuatana wanapokumbwa na kisanga.

Baada ya Taarifa kumfikia Nyerere, kuanzia Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi alipoteza uwaziri, Waziri wa Usalama wa Taifa, Peter Siyovelwa alipoteza uwaziri. IGP wa wakati huo Samweli Pundugu alipoteza kazi, Mkurugenzi wa Tiss, Emilio Mzena, alipoteza kazi, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Peter Kisumo, alipoteza kazi,

Mzee wangu, Mzee Mayalla, RSO, RPC, DSO na OCD wa Mwanza wote walistaafishwa kwa manufaa ya umma, tulihamishwa usiku usiku na kurudishwa kijijini (detention fulani za Nyerere) na kila mmoja wa maofisa wale alirudishwa kwenye his place of domicile.

Wakati yote haya yakitokea, mimi nilikuwa mdogo, hivyo sikujua hili wala lile, hadi ilipoanza kuunguruma, Kesi ya Mauaji Mwanza, ndipo niligundua dingi alikuwa nani!, na thanks God, mtu pekee aliyenasuka ni Mzee wangu Andrew Mayalla (RIP) kufuatia kazi kubwa na mzuri iliyofanywa na wakili Murtaza Lakha ambaye kwangu, huyu wakili Lakha namhesabu ndie wakili mahiri kuliko mawakili wote wa criminal kuwahi kutokea Tanzania.

Utekaji, Utesaji na Uuaji wa TISS Kwa Watuhumiwa wa Uhaini Mwaka 1982.
Just by a coincidence, mwaka 1981 tukiwa tunaishi eneo la Drive In, jijini Dar es Salaam, tulikuwa tunaishi next to Banyikwas, nyumba kulipofanyikia vikao vya njama za kuipindua serikali ya Nyerere 1981!. Kwa wale tuliofuatilia ile kesi ya Uhaini ya mwaka 1982 tulisoma jinsi TISS wanavyoteka, wanavyo tesa na wanavyo ua yakiwemo mauaji ya Martin Tamimu. Utekaji wa Hatty Magee, kule jijini Nairobi, etc.

Mahakama ndio Mhimili pekee wa haki ndani ya katiba yetu, kwenye kesi hiyo ya uhaini, tumeshuhudia watuhumiwa wakitoa ushuhuda jinsi walivyoteswa na TISS kwenye torture chambers zao na kulazimishwa kukiri, hivyo kupelekwa kwa Walinzi wa Amani kukiri kuhusika kwao halafu walipofika mahakamani wakavikana viapo vyao kwa Walinzi wa Amani na kusema waliteswa ndio maana wakakiri.

Turture za Polisi na TISS Duniani Kote.
Japo torture ni kinyume cha sheria, polisi na TISS zote duniani wanatumia mbinu hizo kuhoji ambazo nyingine ni halali na nyingine ni haramu.

Marekani ndio nchi inayoongoza kwa kutumia torture na vile sio halali kufanya turture kwenye ardhi ya Marekani, ili Marekani kuihalalisha ila kwa vile ni kinyume cha sheria za nchi hiyo, wananunua maeneo nje ya ardhi ya Marekani na kujenga magereza na jela za mateso likiwemo la Guantanamo Bay lililoko kwenye kisiwa cha Cuba ambako sio ardhi ya Marekani kufanya ushenzi huo.

Hivyo kama tuhuma hizi za Lisu ni kweli, hii sio mara ya kwanza kwa TISS kuhusishwa na makando kando ya ajabu!. Ya Ulimboka tuliyasoma Mwanahalisi, hadi yakamuibua msemaji wa Tiss ya wakati huo Jack Zoka.

Ya Kibanda nilishikwa sikio na mtu tete a tete ila hii nilielezwa ni wale vijana wa Kijitonyama ila it was a personal social issue!.

Yaliyotokea Clouds TV wote tumeyashuhudia kupitia CCTV, na yale makirikiri tumeyaona, na ya Nape Mnauye tumeyashuhudia live mubashara kwenye TV huku huyo mpuuzi akionekana wazi hadi sura watu wanamjua.

Naunga mkono TISS isijadiliwe na Kamati ya Bunge kwa uwazi kama ambavyo bajeti yao na ile ya defence hazijadiliwi, lakini bado wanaweza kuchunguzwa, na Sheria ya Usalama wa Taifa, sheria namba 15 ya mwaka 1996 ina mapungufu makubwa, imepitwa na wakati na kila siku sio tu inavunjwa na TISS wenyewe, bali pia inatumiwa vibaya na wanasiasa kuanzia Mkuu mwenyewe kuitumia kama bakora ya kuwachapia wapinzani!.

Just imagine, Mkuu wa nchi mwenyewe, anatamka hadharani kuwa simu za watu zinadukuliwa, bila wanaharakati kupiga kelele wakati inafahamika wazi kabisa, udukuzi kwa simu za wanasiasa ni kosa kisheria!, kwa mujibu wa Kifungu cha 5(2) cha sheria ya usalama wa Taifa kinaizuia TISS kumfuatilia mtu yeyote wala kumpekua pekua au kumfanyia ujasusi kwa sababu ya msimamo wake kisiasa au Uhuru wake wa kuipinga Serikali. TISS inavunja sheria kila wakati kwenye eneo hili, rais anatangaza wanadukua simu za watu, by implication, waelewa wote, walielewa aliyedukuliwa!, kisha rais akasema kwa hasira, wasaliti wa aina hii, hawawezi kuachwa hivi hivi na kutolea mfano wa kinachowapata wasaliti wa jeshini, then mara mtajwa, yanamkuta ya kumkuta!, hata mtoto mdogo lazima atadhania ya kudhania!.

TISS inatakiwa kubadilika na kuunda kitengo madhubuti cha ujasusi wa kiuchumi, mfano, tuna Balozi zetu katika nchi zote zinazochenjua Mchanga wa makinikia, TISS wangekuwa wa maana, by now tungeisha jua hao Acacia wanapata nini kwenye Mchanga wetu, gharama za uchenjuaji container la Mchanga ni kiasi gani na kila kinachopatikana!, lakini wao wamekalia kudukua tuu simu, badala ya kudeal na serious issues za kiuchumi!. Kiukweli ile bili ya trilioni 190 ya TRA sio realistic, rais wetu ataonekana mjinga, Waziri Kabudi ataonekana mjinga, na nchi nzima tutaonekana ni taifa la wajinga, wakati ukweli utakapobainika, kitu ambacho TISS makini ingeweza kuzuia!.

Serikali yetu lazima ifanye damage control kwa msemaji wa TISS kuibuka na kumkana yule mpuuzi aliyemtisha Nape Bastola na kuwakana wale makirikiri wa Bashite!.

Huu ukimya wa Mwigulu, na serikali ni uthibitisho kuwa serikali has a hand kwenye hayo!. Ili kuonyesha kuwa serikali haihusiki na uhuni,upuuzi na ushenzi huu, rais Magufuli lazima akasirike kama Nyerere alivyo kasirika idara ya TISS inapochafuliwa, aliifumua mwanzo mwisho bila huruma.

Ukiondoa hizo torture za TISS zilizoibuliwa mahakamani, torture za jeshi la polisi ndio isiseme kabisa, innocent (until proven guilt) people have been tortured to death, hakuna kesi and nobody cares as if polisi are doing the right thing!.

Tukio la mwisho ni gunning down waendesha bodaboda wawili na abiria wao wawili kisa wamesimamishwa pale daraja la Mkapa wakapitiliza!. Polisi wakawaripoti hivyo walipofika next check point walimiminiwa tuu na kumaliza kazi hapo hapo, hawakukutwa na silaha yoyote!.

Haya ya polisi tumeisha yapigia sana kelele humu jukwaani.

IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality!. Utampeleka JK The Hague-Part II!

Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa!, Polisi Wako Ni Wauaji!. P'se Stop This

Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Na kwa wale wenye interest na TISS kuijua zaidi, tembelea
Namna ya kujiunga na usalama wa Taifa | JamiiForums | The Home of

Kujiunga na Chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, Bunju

Afisa usalama wa taifa "shushushu" ni nani? Anafanya shughuli gani

Shushushu (Afisa Usalama wa Taifa) ni mtu wa aina gani .

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa | JamiiForums | The Home of Great .

Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa ...

Dr. Hassy Kitine, aliyekuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa .

Usalama wa Taifa waibana polisi; NI KUHUSU TUHUMA ZA MKE ...


Paskali
Update
Mkuu Mchambuzi
thanks very much for this, its very objective naona kama umemaliza kila kitu!.

It's true kuna lots of details nime avoid kutokana na uzalendo, pia nimemtaja Mzee wangu tuu kwa sababu alihusika direct, lakini sikumtaja mama yangu ambaye she is still alive and retired (hawaritayi kabisa) wala sikusema kuwa hata mimi nilipomaliza shule na kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria, nilipomaliza JKT, nilijiunga JWTZ straight japo niliacha Jeshi. Ukiwa ni mtoto wa hawa jamaa, both parents, born and breed Tiss, then mimi nami ni almanusura sana!. Anyway haya tuyaache.

Although mhusika mkuu hataisoma kutokana na lingua uliyotumia, wahusika wenyewe wamesoma, na wamesikia labda waendelee tuu kutia pamba masikioni kwa sababu kujadili jambo lolote kuhusu TISS was considered a taboo hivyo bandiko hili kwa TISS ni kama abomination!.
Thanks again.
Paskali


Inawezekana viongozi wa juu hawajui yanauoendelea. Rafikiyangu shemeji yake alikuwa anasumbuliwa na matibabu nikauliza vipi akasema huyo kijana anafanya TISS na kapigwa risasi huko Musoma au Mwanza wakati wakijaribu kwenda kwa mfanyabiashara usiku bila kuwa na kibali. Mfanyabiashara huyu alifikiri ni wezi kibaya zaidi walikuwa hawajui kama na yeye ana bunduki wakanza kufetuliana na jamaa akapigwa risasi mbili amekuwa kama kilema na hakuna kesi maana hawakuwa wameenda kiutaratibu. Yaani familia ya huyo mdogo wake inashida sana sasa wana baba kilema. Hii ni ya ukweli kabisa nilikuwa nasikia tu lakini kumbe ni kweli
 
Wanabodi

Introduction ya Mada
Hii ni mada very serious kwasababu inaijadili idara yetu nyeti ya TISS ambayo kutokana na unyeti wa idara hii, issues za idara hii huwa hazijadiliwi hovyo hovyo, hivyo ukiona hadi watu tunaojinasibu humu kuwa ni wazalendo wa taifa hili halafu tukajitokeza waziwazi humu kuijadili TISS huku tukitumia majina yetu hali, huu ni uthibitisho kuwa tunaleta mjadala huu kwa nia njema ya uzalendo wa kulisaidia taifa letu pale idara yake nyeti hii inapochafuliwa kwa kusingiziwa tuhuma za uongo, lakini pia kama ni kweli TISS inahusika, then tukubaliane kuwa TISS imechafuka na inahitaji kusafishwa.

Topic ya mjadala huu ni TISS Ikanushe Tuhuma za Uvamizi, Utekaji, Utesaji na Mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge Kwa Uwazi bali Wachunguzwe, Wakithibitika Kuhusika, Wafumuliwe Kwa Kusafishwa Tujenge TISS Safi!

Hivyo naomba mjadala huu ufanyike kwa heshima, staha na uangalifu mkubwa ili badiko hili lisionekane ni bandiko la kukosa uzalendo bali liwe ni bandiko la uzalendo wa kweli kwa taifa lalo lenye lengo la kusadia taifa letu kwasababu haya matukio ya ajabu ajabu yanayohusishwa na TISS, yanaichafua Taswira ya TISS yetu, ambapo kikawaida TISS inapaswa kuwa kama Ikulu, Ikulu ni mahali patakatifu, na TISS inapaswa kuwa ni Idara Takatifu, uadilifu wa TISS, unapaswa uwe ni uadilifu wa kiwango cha juu kabisa ambao haupaswi kutiliwa shaka yoyote, unapaswa kuwa ni uadilifu wa kiwango cha mke wa Kaisari, ile kutuhumiwa tuu ni kosa tosha hata bila kuthibitishwa, anahukumiwa!, hivyo hizi tuhuma mbalimbali za Uvamizi, Utekaji, Utesaji na Mauaji zinazoelekezwa TISS bila ya kukanushwa, zinapelekea TISS yetu kuhukumiwa na mahakama ya umma ambayo haihitaji ushahidi kama tuhuma tuu za mke wa Kaisari, hivyo lengo la bandiko hili ni ushauri wa bure kwa TISS yetu kuwa haya mambo mabaya ambayo TISS inanyooshewa kidole kuwa inahusika, kama haisiki, TISS i come to an open, ikanushe!, ukituhumiwa tuhuma za uongo, ukinyamaza kimya bila kukanusha, hiyo silence inachukuliwa kama ni admission of guilty.

Declaration of Interest
Tunapojadili jambo nyeti kama hili, ni vizuri ku declare interest ili kwanza kujenga imani kwenu wasomaji wangu kuwa mwandishi wa makala hii ni mtu wa kuaminika, hizi data kwenye bandiko hili ni data za kuaminika authentic na bonafide genuine sio data za kuokoteza, data za kubuni au data za kuzua,hivyo ni vyema mimi nikajitambulisha kidogo kwenu, pia kwa sababu mtu unapotoa data nyeti from time to time katika mabandiko yako, huchelewe kunyooshewa kidole kuwa huyu jamaa ni TISS, hivyo na mimi kudhaniwa ni TISS, hivyo bandiko kama hili, litawafungua macho wengi humu kuwa huyu mtoa mada atakuwa ni TISS wa ajabu kweli kuilaumu ofisi yake mitandaoni.

Mimi Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari wa kujitegemea mwenye uwezo wa kuandika Investigative Stories, (IJ), ila pia nimepata bahati ya kuzaliwa na kukulia katika familia ya TISS kwa wazazi wangu wote wawili, baba na mama. Baba Mzee Andrew Mayalla (RIP) ameishatangulia mbele ya haki, na mama bado yuko hai, hivyo baadhi ya hoja zangu za kiitelijensia, sio kwasababu mwana wa nyoka ni nyoka, bali mtoto ukizaliwa kwa wazazi wote wawili ni wana inteligensia wa TISS, unazaliwa na natural intelligence ambayo ni tool muhimu sana kuweza kuwa Investigative Journalist.

Tuhuma Mbalimbali TISS
Kuna matukio mbalimbali yametokea na kuhusishwa na TISS, mengine ni visible, mengine ni invisible, sasa kwa sababu watu wote wenye akili timamu, wanajua TISS zote duniani huwa zinafanya matukio, yale matukio ambayo in invisible yanayohusishwa na TISS, kama kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda, sitahitaji TISS wajitokeza kuyakanusha kwasababu ni tuhuma za hisia tuu, lakini kwa yale matukio visible kama kushambuliwa kwa Tundu Lissu, kuvamiwa kwa Clouds Media na wale makirikiri wa Mkuu wa Mkoa wa DSM na yule mpuuzi aliyemtishia bastola Waziri Nape kuelezwa kuwa wale ni TISS kunaichafua idara yetu nyeti ya TISS!. Hivyo kama wale makirikiri waliovamia Clouds TV sio watu wao, TISS wasikae kimya wajitokeze wawakane na kukanusha uhusika wa TISS!. Kama yule mpuuzi aliyemtishia Nape kwa bastola sio mtu wao, TISS wajitokeze wamkane na wakanushe. Huku kutokea kwa matukio kama haya na kuhusishwa na TISS, halafu TISS wanajua sii kweli, sii wao, huku kukaa kimya bila TISS kukanusha uhusika wake, kunachukuliwa ni admission of guilt!.

Jee Tuhuma za Uhusika wa TISS zinatolewa Wapi na Zinatolewa na Nani?.
Nyingi ya tuhuma za kuhusika kwa TISS katika baadhi ya matukio ya hovyo, huanza kwa kutolewa na watu tuu wa kawaida, tuhuma zinapotolewa na watu wa kawaida tuu, watu ambao they are nobody, na zinatolewa kwenye vijiwe vya kahawa, it is right, kuzipuuza, lakini tuhuma hizi dhidi ya TISS zinapofikia kiwango cha kutolewa ndani ya Bunge letu Tukufu, tuhuma hizi sio za kuzipuuzia hata kidogo kwasababu Bunge ni chombo rasmi, wabunge wtu ni wawakilishi rasmi wa wananchi, wanapoituhumu TISS Bungeni, this is something very serious, sio jambo la kupuuziwa kwasababu TISS iko chini ya Ikulu yetu, na Ikulu ni mahala patakatifu, tuhuma tuu kumhusu mke wa Kaisari zinatosha kumuondoa Ikulu asije akapanajisi patakatifu petu!. Hiyo TISS isikae kimya lazima iibuke kuja kukanusha kutohusika kwake na kujisafisha na uchafu wa makandokando haya!, winginevyo kama ni kweli inahusika, ijitathimini yenyewe kwa kuwajibika au iwajibishwe kwa kusafishwa!.

Jee TISS ni Chafu Inahitaji Kusafishwa?.
Huu mjadala unaoendelea kuhusu utekaji, utesaji na mauaji ambavyo vinahusishwa na idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa, TISS ni uthibitisho tosha kuwa TISS imechafuka inahitaji au kujisafisha au kusafishwa!.

Pamoja na Tanzania kuridhia mkakati wa Open Government Initiatives lakini kuna vitu huwezi kuvijadili openly lakini bado unaweza kuvichunguza na kuvifanyia kazi kimya kimya ila public ikaona matokeo na kurudisha imani.

Kuna watu wanadhani Usalama wa Taifa TISS wao ni malaika na hawawezi kabisa kufanya makosa kama madudu haya wanayotuhumiwa nayo sasa. No!, TISS ni kweli kwa vile iko chini ya Ikulu, na Ikulu ni mahali patakatifu, TISS pia inapaswa kuwa ni idara takatifu, lakini kwa vile TISS inaendeshwa na binadamu na sio malaika, TISS inaweza kufanya makosa na uchafu huo ukawa ni kweli ni TISS, ndio maana katika bandiko hili nasisitiza tuhuma hizi dhidi ya TISS kama sii kweli, TISS ikanushe, kama ni kweli, TISS imechafuka na inahitaji kusafishwa!. Hii sii mara ya kwanza kwa TISS kuchafuka, huko nyuma kuliwahi kutokea matukio ya TISS kuchafuka na Ilisafishwa!.

TISS Iliwahi Kuchafuka Vipi na Ilisafishwaje?.
Tiss huko nyuma iliwahi kufanya makosa ya utekaji, utesaji na hata uuaji, na ikafumuliwa!. Hivyo kwa vile tayari tunayo precedence ya vitendo viovu vya TISS kuwahi kufanyika huko nyuma, hivyo kwa kuutumia uthibitisho wa uovu huo, una justify kuwa kuna pia kuna wa vitendo hivi viovu ambavyo TISS inashutumiwa navyo, kuna uwezekano kabisa ikawa ni kweli ni TISS wetu ndio is behind huu uovu na uchafu huu unaozungumziwa sasa hadi Bungeni kwetu, ndio maana hadi Bunge linaelezwa halafu TISS wamekaa kimya wakishupaza shingo zao, kwa hoja kuwa "mnaweza kutufanya nini?", it's very true TISS ya nchi zote wakifanya uovu wowote kwa amri halali kutoka juu, no one can do anything!, hawawezi kufanywa lolote wala kuchunguzwa na yoyote, hapa duniani, but kuna mamlaka moja pekee kuu kuliko mamlaka zote, inayoweza kufanya kitu, kupitia kitu kinachoitwa Karma, hakuna atakajua kuwa mamlaka hiyo imefanya, bali matokeo ya karma ndio huonekana!.

Jee ni TISS Wetu Wanafanya Vitendo Hivi au Wanasingiziwa?.
Kuna uwezekano sio kila utekaji, utesaji, mashambulio na mauaji yanafanywa na TISS, inawezekana kabisa sio TISS as TISS bali matukio hayo ni acts za individual members wa TISS wakifanya a "stand alone operations" bila kupokea command yoyote kutoka juu, hivyo vitendo viovu vya members wachache wa TISS, vikaichafua image nzima ya TISS yetu safi collectively under the collective responsibilities formula.

Pia inawezekana kabisa vitendo hivi vinafanywa na wahuni fulani, ambao wana pose as TISS just to make believe kuwa ni TISS kumbe sio TISS bali ni just impostors wanao fanya matukio kwa kupose as TISS ili ionekane ni TISS, hivyo wanaochafua the good image ya TISS wetu waadilifu, this being the case, TISS iwakane wahuni hawa, ijitokeze kukanusha uhusika wake, na wahuni hawa watafutwe na kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwa kuchafua good image ya TISS yetu takatifu!.

Whichever the case, TISS ijitokeze ama ijisafishe na iwakane wahuni hawa, ama isafishwe na kurudisha imani na TISS wetu kwa wananchi wa taifa letu.

Sikilizeni Tuhuma za TISS Bungeni Kwetu
Hebu kwanza msikilizeni Mhe. Husein Bashe


Kisha msikilize Mhe. Tundu Lissu anasema nini kuhusu utekaji na utesaji wa TISS, hao anaowatetea ndio wenye bahati who could live to tell, hivyo ndio waliosalimika, only God knows kwa wale wasio na bahati hatima yao ilikuwaje because they couldn't live to tell!.

Msikilizeni Mhe Zitto


Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu! .

Uthibitisho wa TISS Kufanya Utekaji, Utesaji na Uuaji
Hii sio mara ya kwanza kusikia serikali inafanya torture!. Hapa chini ni kisa cha kweli kabisa cha udhalimu wa TISS wa enzi hizo ambacho kilimhusu member wa familia yangu kujaribu kuwanusuru watuhumiwa wa torture na katika kufanya wema, wema wake ulimponza, RIP Mzee wangu Andrew Mayalla.

Kitendo kilichofanywa Clouds Media na wale makirikiri, kama kweli wale ni TISS, huu ni uthibitisho wa uhuni kama huu wa gross abuse of power unaofanywa na TISS kwa amri ya kichaa mmoja, kama wale makirikiri sio TISS, TISS iwakane na kukanusha kutohusika kwao!. Waziri wa Habari Nape alipotaka kufanya wema kuikingia kifua serikali yake isijinasibishe na uchafu huu, wema wake ulimponza!.

Mwaka 1976 kule Mwanza kwenye eneo la Kigoto, watuhumiwa wa mauaji ya vikongwe walikuwa tortured na maofisa wa polisi.

Kisa cha Kweli cha Maaji ya TISS ni Kadhia ya Kesi ya Mauaji Mwanza.
Kama nilivyoeleza kule mwanzo, mimi ni mwana familia wa TISS kwa upande wa wazazi wangu wote wawili, baba na mama, na kikawaida mzalendo yoyote wa nchi yake, anapomjua mtu fulani ni TISS, ni uzalendo kuto kumtaja, lakini mimi nadiriki kumtaja marehemu Mzee wangu, Baba Andrew Mayalla kuwa ni TISS ili kumtumia kama somo la uadilifu kwa hawa viongozi wetu wa sasa, kuona jinsi viongozi wenye uadilifu wa Mwalimu Nyerere, walifanywa nini pale mambo yalipokwenda mrama, ili kiongozi wetu mkuu, nae awawajibishe TISS na kuisafisha idara hii nyeti, akithibitisha huu uchafu unaendelea sasa wa utekaji, utesaji na mauaji, ni kweli unafanywa na TISS wasio waadilifu. Kwa vile ameishatangulia membe ya haki, kwa kumtaja huku hakumletei any security risks lakini mama yangu ambaye naye ni TISS, sijamtaja nimemuhifadhi for security reasons, na hii pia itanisaidia mimi kwa wale wajinga wajinga humu wanaodhani Pasco Mayalla ni TISS, then huyo Pasco Mayalla atakuwa ni TISS wa ajabu kuja kuanika madudu ya TISS humu mitandaoni!.

Kisa cha Mauaji Mwanza Kilicho Mhusisha Mzee Wangu.
Mzee wangu akiwa RSO wa Mwanza, alifanya wema wa kuwanusuru watuhumiwa wawili wa mauaji ya vikongwe huko Mwanza, Masaga Mahulu Mazegenuka wa mjini Mwanza, na Isaack Ng'wana Ng'hoboko, kutoka wilaya ya Magu, Mzee Mayalla aliwachukua watuhumiwa hao wawili eneo la Kigoto baada ya mateso makubwa, wakiwa njiani wakamweza hawajala chochote kwa muda wa siku 3 za mateso ya usiku na mchana!.

Akaamua kuwapeleka Bugando, on their way akasimama mahali kuwanunulia soda na kitafunio, soda waliweza kunywa kwa shida, lakini kutafuna walishindwa.

Alipowafikisha hospitali ya Bugando akawakabidhi kwa Dr. Nkulila. The next day they were both dead, mtuhumiwa wa kwanza ni mtu aliyewaleta!.

Hizo ni enzi za Nyerere, tulikuwa tukiishi Isamilo ya chini, next door ni RPC alikuwa akiitwa Mkwawa, nyumba ya tatu ni DSO. Just imagine majirani watatu wanaishi nyumba zinazofuatana wanapokumbwa na kisanga.

Baada ya Taarifa kumfikia Nyerere, kuanzia Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi alipoteza uwaziri, Waziri wa Usalama wa Taifa, Peter Siyovelwa alipoteza uwaziri. IGP wa wakati huo Samweli Pundugu alipoteza kazi, Mkurugenzi wa Tiss, Emilio Mzena, alipoteza kazi, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Peter Kisumo, alipoteza kazi,

Mzee wangu, Mzee Mayalla, RSO, RPC, DSO na OCD wa Mwanza wote walistaafishwa kwa manufaa ya umma, tulihamishwa usiku usiku na kurudishwa kijijini (detention fulani za Nyerere) na kila mmoja wa maofisa wale alirudishwa kwenye his place of domicile.

Wakati yote haya yakitokea, mimi nilikuwa mdogo, hivyo sikujua hili wala lile, hadi ilipoanza kuunguruma, Kesi ya Mauaji Mwanza, ndipo niligundua dingi alikuwa nani!, na thanks God, mtu pekee aliyenasuka ni Mzee wangu Andrew Mayalla (RIP) kufuatia kazi kubwa na mzuri iliyofanywa na wakili Murtaza Lakha ambaye kwangu, huyu wakili Lakha namhesabu ndie wakili mahiri kuliko mawakili wote wa criminal kuwahi kutokea Tanzania.

Utekaji, Utesaji na Uuaji wa TISS Kwa Watuhumiwa wa Uhaini Mwaka 1982.
Just by a coincidence, mwaka 1981 tukiwa tunaishi eneo la Drive In, jijini Dar es Salaam, tulikuwa tunaishi next to Banyikwas, nyumba kulipofanyikia vikao vya njama za kuipindua serikali ya Nyerere 1981!. Kwa wale tuliofuatilia ile kesi ya Uhaini ya mwaka 1982 tulisoma jinsi TISS wanavyoteka, wanavyo tesa na wanavyo ua yakiwemo mauaji ya Martin Tamimu. Utekaji wa Hatty Magee, kule jijini Nairobi, etc.

Mahakama ndio Mhimili pekee wa haki ndani ya katiba yetu, kwenye kesi hiyo ya uhaini, tumeshuhudia watuhumiwa wakitoa ushuhuda jinsi walivyoteswa na TISS kwenye torture chambers zao na kulazimishwa kukiri, hivyo kupelekwa kwa Walinzi wa Amani kukiri kuhusika kwao halafu walipofika mahakamani wakavikana viapo vyao kwa Walinzi wa Amani na kusema waliteswa ndio maana wakakiri.

Turture za Polisi na TISS Duniani Kote.
Japo torture ni kinyume cha sheria, polisi na TISS zote duniani wanatumia mbinu hizo kuhoji ambazo nyingine ni halali na nyingine ni haramu.

Marekani ndio nchi inayoongoza kwa kutumia torture na vile sio halali kufanya turture kwenye ardhi ya Marekani, ili Marekani kuihalalisha ila kwa vile ni kinyume cha sheria za nchi hiyo, wananunua maeneo nje ya ardhi ya Marekani na kujenga magereza na jela za mateso likiwemo la Guantanamo Bay lililoko kwenye kisiwa cha Cuba ambako sio ardhi ya Marekani kufanya ushenzi huo.
Baadhi ya Matukio ya Utekaji, Utesaji, Uuaji Yanahusishwa na TISS Hivyo Kuichafua Idara Yetu Safi ya Usalama wa Taifa.
  1. Tukio kubwa kabisa lenye taswira chafu ni shambulio la Lissu. Kabla ya Lissu kushambuliwa alitoa taarifa, hivyo kama tuhuma hizi za Lisu ni kweli, hii sio mara ya kwanza kwa TISS kuhusishwa na makando kando ya ajabu!.
  2. Tukio la kutekwa kwa Dr. Ulimboka tuliyasoma Mwanahalisi, hadi yakamuibua msemaji wa Tiss ya wakati huo Jack Zoka.
  3. Tukio la kutekwa kwa Mwenyekiti wa jukwaa la Wahariri, Absolom Kibanda.
  4. Tukio la kupotea kwa Ben Saanane
  5. Tukio la kupotea kwa Mwanahabari Azory Gwanda
  6. Tukio la uvamizi wa Clouds TV wote tumeyashuhudia kupitia CCTV, na yale makirikiri tumeyaona.
  7. Tukio la Waziri Nape Mnauye kutishiwa bastola na mwendawazimu fulani huku tumeyashuhudia live mubashara kwenye TV huku huyo mpuuzi akionekana wazi hadi sura watu wanamjua.
  8. Kutaka kutekwa kwa Mfanyabiasha tajiri wa mabasi ya Zakaria Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi
  9. Miili inayookotwa kwenye viroba na kuzikwa fasta fasta kando ya ilipookotewa bila kufanyiwa uchunguzi wa utambuzi.
Kutokana na Umuhimu wa TISS na Unyeti Wake, TISS Isikadiliwe Kwa Uwazi ila Ichunguzwe!

Naunga mkono TISS isijadiliwe na Kamati ya Bunge kwa uwazi kama ambavyo bajeti yao na ile ya defence hazijadiliwi, lakini bado wanaweza kuchunguzwa, na Sheria ya Usalama wa Taifa, sheria namba 15 ya mwaka 1996 ina mapungufu makubwa, imepitwa na wakati na kila siku sio tu inavunjwa na TISS wenyewe, bali pia inatumiwa vibaya na wanasiasa kwa kuitumia kama bakora ya kuwachapia wapinzani!. TISS ifanyiwe uchunguzi, ripoti ya uchunguzi huo iwe ni siri, ila sisi wananchi Watanzania tutarajie kuona matokeo ya uchunguzi huo ama kwa pangua pangua za maofisa kupumzishwa na kama kuna jinai, tutarajie kusikia watu wakipandishwa kizimbani kujibu tuhuma kama TISS wa Nyerere, kina Mzes Mayalla (RIP).

TISS na Udukuzi.
Kila mtu anayefahamu mambo ya iteligensia anajua TISS zote duniani huwa zinafanya udukuzi wa kiusalama kwa any suspects, but just imagine, kama Mkuu wa nchi mwenyewe, anatamka hadharani kuwa simu za watu zinadukuliwa, bila wanaharakati kupiga kelele wakati inafahamika wazi kabisa, udukuzi kwa simu za wanasiasa ni kosa kisheria!, kwa mujibu wa Kifungu cha 5(2) cha sheria ya usalama wa Taifa kinaizuia TISS kumfuatilia mtu yeyote wala kumpekua pekua au kumfanyia ujasusi kwa sababu ya msimamo wake kisiasa au Uhuru wake wa kuipinga Serikali. TISS inavunja sheria kila wakati kwenye eneo hili, rais anatangaza wanadukua simu za watu, by implication, waelewa wote, walielewa aliyedukuliwa!, kisha rais akasema kwa hasira, wasaliti wa aina hii, hawawezi kuachwa hivi hivi tuu na kutolea mfano wa kinachowapata wasaliti wa jeshini vitani mstari wa mbeke huwa wanafanywa nini, na kusema tuko kwenye vita ya uchumi ambayo ni ngumu zaidi kuliko vita ya silaha, then mara mtajwa, yanamkuta ya kumkuta!, hata mtoto mdogo lazima atadhania ya kudhania!.

TISS Ibadilike Isiishie Kudukua, Ifanye Ujasusi wa Kiuchumi na Kimaendeleo
Baada ya kumaliziki vita baridi, mashirika mengi ya kijasusi yamebadilika na kufanya ujasusi wa kiuchumi. Tanzania pia diplomasia yetu imebadilika tunafanya Diplomasia ya Kiuchumi, Economic Diplomacy hivyo TISS yetu nayo inatakiwa kubadilika na kuunda kitengo madhubuti cha ujasusi wa kiuchumi, mfano, tuna Balozi zetu katika nchi zote zinazochenjua Mchanga wa makinikia, TISS wangekuwa wa maana, by now tungeisha jua hao Acacia wanapata nini kwenye Mchanga wetu, gharama za uchenjuaji container la Mchanga ni kiasi gani na kila kinachopatikana!, lakini wao wamekalia kudukua tuu simu, badala ya kudeal na serious issues za kiuchumi!.

Bili ya Trilioni 190 Tunazowadai Acacia, Tutaaibika!.

Baada ya rais Magufuli kuuzuia mchanga wa makinikia ya Acacia na kuibuka na bili ya kuwadai Trilioni 190, kiukweli ile bili ya trilioni 190 ya TRA sio realistic!, tutakuja kuaibika na rais wetu na Waziri wetu Prof. Kabudi wataonekana kama hawajui tunastahili nini na nchi nzima tutaonekana ni taifa la wajinga, pale ukweli utakapobainika, kitu ambacho tungekuwa na TISS makini ingeweza kuzuia!.


TISS Ikanushe Uhusika na Kuwakana Wanaoichafua!
Serikali yetu lazima ifanye damage control kwa msemaji wa TISS kuibuka na kumkana wote wanaofanya matukio ya ajabu ajabu yanayopelekea TISS kunyooshewa kidole akiwemo yule mpuuzi aliyemtisha Nape kwa bastola na kuwakana wale makirikiri waliovamia Clouds kuwa sio TISS na hata kama ni kweli ni TISS kama ilivyothibitishwa kwa waliomvamia Zakaria, then TISS iwakane kuwa haikueatuma ili kila mtu abebe msalaba wake!.

Huu ukimya wa Mwigulu, na serikali ni uthibitisho kuwa serikali has a hand kwenye hayo!. Ili kuonyesha kuwa serikali haihusiki na uhuni,upuuzi na ushenzi huu, rais Magufuli lazima akasirike kama Nyerere alivyo kasirika idara ya TISS inapochafuliwa, aliifumua mwanzo mwisho bila huruma.

Ukiondoa hizo torture za TISS zilizoibuliwa mahakamani, torture za jeshi la polisi ndio isiseme kabisa, innocent (until proven guilt) haipo tena, wana wanakamatwa na kutiwa mahamubusu kwa kubambikiwa kesi zisizo na dhamana ili kuwakomoa!. People have been tortured to death, hakuna kesi and nobody cares as if polisi are doing the right thing!.

Tukio la mwisho ni gunning down waendesha bodaboda wawili na abiria wao wawili kisa wamesimamishwa pale daraja la Mkapa wakapitiliza!. Polisi wakawaripoti hivyo walipofika next check point walimiminiwa tuu na kumaliza kazi hapo hapo, hawakukutwa na silaha yoyote!.

Haya ya polisi tumeisha yapigia sana kelele humu jukwaani.

IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality!. Utampeleka JK The Hague-Part II!

Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa!, Polisi Wako Ni Wauaji!. P'se Stop This

Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Na kwa wale wenye interest na TISS kuijua zaidi, tembelea
Namna ya kujiunga na usalama wa Taifa | JamiiForums | The Home of

Kujiunga na Chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, Bunju

Afisa usalama wa taifa "shushushu" ni nani? Anafanya shughuli gani

Shushushu (Afisa Usalama wa Taifa) ni mtu wa aina gani .

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa | JamiiForums | The Home of Great .

Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa ...

Dr. Hassy Kitine, aliyekuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa .

Usalama wa Taifa waibana polisi; NI KUHUSU TUHUMA ZA MKE ...


Paskali
Update
Mkuu Mchambuzi
thanks very much for this, its very objective naona kama umemaliza kila kitu!.

It's true kuna lots of details nime avoid kutokana na uzalendo, pia nimemtaja Mzee wangu tuu kwa sababu alihusika direct, lakini sikumtaja mama yangu ambaye she is still alive and retired (hawaritayi kabisa) wala sikusema kuwa hata mimi nilipomaliza shule na kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria, nilipomaliza JKT, nilijiunga JWTZ straight japo niliacha Jeshi. Ukiwa ni mtoto wa hawa jamaa, both parents, born and breed Tiss, then mimi nami ni almanusura sana!. Anyway haya tuyaache.

Although mhusika mkuu hataisoma kutokana na lingua uliyotumia, wahusika wenyewe wamesoma, na wamesikia labda waendelee tuu kutia pamba masikioni kwa sababu kujadili jambo lolote kuhusu TISS was considered a taboo hivyo bandiko hili kwa TISS ni kama abomination!.
Thanks again.
Paskali

EEeh
 
Back
Top Bottom